Talent ya mtu inatoka moyoni na ikitoka hakuna kinachozuia kua kizuriii basii tuu binaadamu na yetu mioyoo dhaifuu.... lafudhi zimeenyooka Masha Allah ya binaadamu sio madogoo kwa kweli.... Aliopewa Amepewaaa na ilishaandikwaa ...🔥🔥🔥🔥
Namie naona Unakidicho unapenda uonekane peke yako usiku unakesha macho Hiki ndicho hiko sicho unamsimamo gani Kila kizuri kiwe kwako Hiyo roho yako ya korosho imepinda ichemshwe ikaangwe Alopewa keshapewa Nice over beauty song inashika namba za sifa tumuachie mungu ubaya huo alopewa amepewa