Тёмный

BOSS WA DOTTO MAGARI AUCHAMBUA MJENGO WA MWIJAKU AACHE UONGO SIO WA B 1.3/HARMONIZE ACHA KUJITETEA. 

BinaTv
Подписаться 104 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv

Развлечения

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@monicemedia4078
@monicemedia4078 7 месяцев назад
Tambuu boss asie na majivuno, Allah akuifadhi inshaallah....
@moussaayubuchris7491
@moussaayubuchris7491 7 месяцев назад
Boss yuko vizuri sana yani ana maneno ya busara sana kwa kweli😢 jama anaelimisha kweli kweli
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 7 месяцев назад
jamaa yukoo sawaa anahekima yakuongea na anahofu ya munguu ukitoa elimu ya darasni ana uweliwa mkubwa sana kuhusiana na maishaa
@jamesmutale9302
@jamesmutale9302 7 месяцев назад
Nimemupenda mwandishi wa Abar Yuko vizuri amekoma namaswari aropoki na maswari ya meni motivate.sawa na isa tambu Yuko vizuri namupenda anajizushusha na uko vizuli
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Uzuri huyu jamaa anamijumba kibao hivyo Kweli Mwijaku katupiga.
@omanmct135
@omanmct135 7 месяцев назад
Atamimi napenda nyumbachini nizuri kuliko gorofa❤
@iddfundikira2817
@iddfundikira2817 7 месяцев назад
Jamaa anajibu kwa utulivu sana na sio mlopokaji kama msomi fulani hivi
@iyancoba9612
@iyancoba9612 7 месяцев назад
Unahekima sana kaka kuongea kwako tu ni somo kwetu tunao jitafuta ✊
@YunusiAthuman-ep5mc
@YunusiAthuman-ep5mc 7 месяцев назад
Issa nakukubali Sana kwa busara zako
@abubakarymaulidy5681
@abubakarymaulidy5681 7 месяцев назад
Mashaa allah unahekma sanaa
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 7 месяцев назад
Mwandishi wa habari yuko vizuri.
@edwinmeenda9171
@edwinmeenda9171 7 месяцев назад
Issa upo vizuri bro safi sana
@MtumbaOG
@MtumbaOG 7 месяцев назад
Brother Issa Salute kwako Allah akujalie kheri Insha-Allah
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 7 месяцев назад
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
Tajiri ana jielewa sana asee
@user-sq3uo6zp6y
@user-sq3uo6zp6y 7 месяцев назад
Issa tambuu nakuelewa sana mimi nipo songea ila nakufatilia na jina lako nalitangaza huku songea
@Amanikizota
@Amanikizota 7 месяцев назад
Nawapata vzur nikiwa Mozambique 🇲🇿
@petroyohana1126
@petroyohana1126 7 месяцев назад
Tambuu umesema kweli
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 месяцев назад
Boss wangu auna hata mbwembwe za mjin
@peternyambui7492
@peternyambui7492 7 месяцев назад
😂👏👏..Hata mimi mwenyewe...tokea mbali huku..nilivyoitazama tu.....nikajua....hhh
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 7 месяцев назад
Issa uko poa sana aiseee
@user-pd7uy5je7c
@user-pd7uy5je7c 7 месяцев назад
Isa boss huna maneno ya busara na heekima,pia huna majivunomkuu.
@lewismpangala927
@lewismpangala927 7 месяцев назад
Huyu ndo nyamwiga asie na baya
@koffianodichisesa238
@koffianodichisesa238 7 месяцев назад
Huna baya boss
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 7 месяцев назад
Nyumba ina Rangi mbili kama Ampicloxy😂😂
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 месяцев назад
Mhm Jose 😂😂😂
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 месяцев назад
Mhm Jose 😂😂😂
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@NorascoKipeto
@NorascoKipeto 7 месяцев назад
huyu jamaa makini sana, katutia moyo, tunaweza ila bwana mwija, alikuwa anavunja moyo, kwanza mwija kaponda nyumba za chini, kakosea,
@denisjoel1592
@denisjoel1592 7 месяцев назад
Tambuu Tajr huna baya boss umepoa xn huna mbwembwe nakkubar
@charlzlomo9219
@charlzlomo9219 7 месяцев назад
Isa umekosea kidogo sababu unajenga za kawida gorofa ujenzi wake sio mchezo ndio si kila mtu anagorofa
@naturelle1097
@naturelle1097 7 месяцев назад
But why debate about it? Nyumba ya Mwijaku let him be! whether katudanganya or not what is the big deal???
@khamisjohn7639
@khamisjohn7639 7 месяцев назад
It becomes a big deal because Mwijaku himself made it public. Watu katika jamii wana ndoto za kujenga so over exaggeration ni hatari mno kwani watu wengine watakata tamaa completely. Imagine mtu ana mil. 400 amejipanga kujenga ghorofa then kama ile ya kawaida kiasi kile anaambiwa inabidi awe na 1.3 billion??????
@naturelle1097
@naturelle1097 7 месяцев назад
@@khamisjohn7639 that would be the power of blindness talking
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 7 месяцев назад
Na hapa ipo
@user-qz2sk3is9c
@user-qz2sk3is9c 7 месяцев назад
Issa Tambuu mara zote nikimsikiliza huwa ananyooka sana
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 7 месяцев назад
Pia Mimi nishasema Wemba kaongeza Sana hiyo ni 135M wajenzi tunaelewa Kila kitu
@devgodfrey
@devgodfrey 7 месяцев назад
Hello hellooo pita kule😅
@furahachuma9039
@furahachuma9039 7 месяцев назад
Milioni 150 huwezi kuijenga ile nyumba. Nina mashaka ya uzoefu wako ndugu Issa.
@emmanuelbarnabas2577
@emmanuelbarnabas2577 7 месяцев назад
Yupo sahihi mzee
@furahachuma9039
@furahachuma9039 7 месяцев назад
@@emmanuelbarnabas2577 Sasa kama kiwanja pekee ni kati ya mil 25 hadi 30, hiyo nyumba ndio iwe milioni 150. Labda mimi bado niko usingizini.
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 7 месяцев назад
Ikizidi sana mil. 170, no more money
@allynguba2579
@allynguba2579 7 месяцев назад
Nafikili watu awajui kila maisha yanavyoenda na huu ujenzi na ghalama inapungua tofauti na zamani vijana tupambane ndomana SA ujenzi wa gholofa rahisi sana so nasisi tutafika tuu
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 7 месяцев назад
Sikuzote km hujajenga ndio utona gharama ila kwa wanaojua ujenzi million 100 ninyingi sana nghrofa ni nondo zamilimeta kubwa hzo ndio zinasimamisha ghorofa
@jonasiedy39
@jonasiedy39 7 месяцев назад
Huyo mtangazaji akatafute kazi nyingine
@user-yu5cg1xr4s
@user-yu5cg1xr4s 7 месяцев назад
kaka kile co kiwanji bar nisehem ya machimbo alinunua shimo
@medidaudi8335
@medidaudi8335 7 месяцев назад
Ma boss watulivu hawanag maneno mengi hua wanatulia
@emmanueljisendi8928
@emmanueljisendi8928 7 месяцев назад
Huyu jamaa Issa tambuu hata ukiwa na milioni 5 anakusikiliza na anaukuzia gari tofauti na chawa wake
@gilbertfuria5817
@gilbertfuria5817 7 месяцев назад
Kizimkazi
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 7 месяцев назад
Bro anaongea Kwa hekma Sana Tuige kitu kwa huyu Bwana tajir
@zaburi2386
@zaburi2386 7 месяцев назад
Hapana ile ghorofa inazd milion 150 inawezekana kufka had 400-500
@user-jd9xd3gk3m
@user-jd9xd3gk3m 7 месяцев назад
We nyumba ya million 400 unaijua kwel au unaisikia tu😂
@kwisa4899
@kwisa4899 7 месяцев назад
ile nyumba ni 200ml
@DenisyMhozya
@DenisyMhozya 7 месяцев назад
Ile ikizid 140
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 7 месяцев назад
Anababaika kwa sababu ni ghorofa eti​@@user-jd9xd3gk3m
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 7 месяцев назад
😂😂hapana bhana inafika mia 300 ile
@user-sq3uo6zp6y
@user-sq3uo6zp6y 7 месяцев назад
Mimi nagari yangu ya 250000 nimekuandika issa tambuu auna ngwengwe upo smatt sana kuna siku nitakuja kinondoni nikutane na wewe issa tambuu
@khamismsoma8698
@khamismsoma8698 7 месяцев назад
umepita na mimi mule mule.. fundi rangi ni local sanaa hajui kazi yake.. hata fundi decoration ni fake pia..
@user-sq3uo6zp6y
@user-sq3uo6zp6y 7 месяцев назад
Gari yangu mbovu ila nitakuja nalo
@AshroffBrown
@AshroffBrown 7 месяцев назад
Broh nyumba ya mwijaku sio chini ya milion mia 7 mi kama engineer
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 7 месяцев назад
Bei ya kiwanja
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu 7 месяцев назад
150 Hadi 200. Haizidi 200
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 7 месяцев назад
Issa hata wewe umetudanganya ile nyumba haiwezi kuwa na samani ya 150
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 7 месяцев назад
Inawezafika na zaidi gharama za ujenzi ziko juu
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 7 месяцев назад
Inafika 350m+
@ednahumazi777
@ednahumazi777 7 месяцев назад
Your boss ni wivu
@user-yu5cg1xr4s
@user-yu5cg1xr4s 7 месяцев назад
😂😂😂😂nakubar fund
@karimjuma4019
@karimjuma4019 7 месяцев назад
Mbwen nyumba zipo ila kigambon zaid kibada kuna kufuru broo acha kabisa
@pharesdismas8876
@pharesdismas8876 7 месяцев назад
Upajui mbweni ww tulia
@Wiseoneclassic
@Wiseoneclassic 7 месяцев назад
Hapajui mbweni ahafika
@AlbertHenry-gq5rd
@AlbertHenry-gq5rd 7 месяцев назад
Mmemjibu vizur hajawahi fika mbweni
@karimjuma4019
@karimjuma4019 7 месяцев назад
@@AlbertHenry-gq5rd iyo mbwen haiingi kibada mara hata mia jaman ivi mnapajua block 16 au mnaongea tu ?
@JosephMilinga-nl4zh
@JosephMilinga-nl4zh 7 месяцев назад
Ujafika mbweni mkuu, jaribu kupita uone mahekaru
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 7 месяцев назад
Jamaa amenyoka kama Lula
Далее
skibidi toilet zombie universe 40 ( New Virus)
03:06
Construction site video BEST.99
01:00
Просмотров 349 тыс.
Получается 6 эмоций 😄
0:46
Просмотров 2,8 млн