Hivi kigamboni mnayoiongelea ni ipi hiyo, mimi niko sokoni ktk biashara ya ujenzi, kigamboni is among best 3 location za ujenzi kwa jijini dar, es salaam
Mie naomba kuuliza tu ,unakiwanja Bunju na Kuna mwingine ana kiwanja ya Kigamboni ukianza kujenga mkakutana dukani kuchukua material,pale dukani mnabadilishiwa bei ya vifaa,na je fundi pia hata kama ni yule yule naye atabadilisha bei kwenye kila eneo, kuhusu majirani wanao kuzunguka watakuwa wanakuambia usiweke dirisha la alminium maana wao hawana ? ?? Mie naombeni mniweke mjini huenda kukaa kwangu Chalinze mjini mengi siyajui