Mh Makonda wewe ni mbunifu sana ki ukweli nakupenda sana ... Unaisadia Arusha yetu kwa kiwango cha juu sana ... I wish kila kiongozi angelikua kama wewe ... Tanzania ingeliweza kuwa na maaendeleo na kujitegemea
Kuna watu maalum wamezaliwa na vipaji vya uongozi!! Huyu ni mtu mwenye utu .Na wale viongozi wengine ni binadamu na wanaendelea kubaki na ubinadamu wao kwa sababu wao si watu kwani wamekosa utu.
Makonda siyo kwamba unatafuta kiki, kwa Kutumia saikolojia ndogo tu ya kuzaliwa nayo siyo ya Shuleni, mtu anaweza kugundua kuwa wewe ni Kiongozi mbunifu. Unaubongo mkubwa wa Uongozi. TUACHE WIVU TU, TUSEMENI UKWELI