Тёмный
No video :(

#BREAKING 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

#BREAKING: LATRA WATANGAZA NAULI za TRENI ya MWENDOKASI - DAR HADI MORO ni ELFU 13 - SHWAAA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

9 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@globaltv_online
@globaltv_online Месяц назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 Месяц назад
Usimamizi Usimamizi Usamamizi!!! Namwoomba mungu atusaidie tuweze KUSIMAMIA hii huduma inavyopaswa Kusimamiwa..Amen!
@calvintemba2236
@calvintemba2236 Месяц назад
mabasi ya mwendokasi yametushinda, Mungu atausimamie tuweze treni.
@AwardHakimu
@AwardHakimu Месяц назад
Mtu alieshindwa kusimamia vitu vidogo atawezaje vikubwa mabasi yakushinde uweze treni
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 Месяц назад
Nauli is affordable
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 Месяц назад
Wawoooo! Tanzania yangu oyeeeeeee 🎉🎉🎉
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 Месяц назад
TRAINI NZURI BEI NZURI TATIZO NI SEHEMU MBILI TU, WASIMAMIZI NA SISI ABIRIA KWENYE KUTUNZA
@johnmlay4759
@johnmlay4759 Месяц назад
Waweke sheria na faini zakutunza
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw Месяц назад
Mm nakupongezeni sana sana sana ila mjipange hasa kuepuka ubadhilifu ili mradi huu usaidie nchi yetu hongeleni sana
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Месяц назад
Bei ni rafiki safi utakaelalamika basi fanya kazi Kwa bidii utafute Hela
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад
ONGERA NYINGI KWA JPM NA NYINGI KWA MAMA NA WATZ WOTE WANAO PENDA MAENDELEO YA NCHI
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j Месяц назад
Viva MAGU alithubutu
@majalaworldwide
@majalaworldwide Месяц назад
Ulipo kosea Ulipo mtaja mama Ila ulianza vzuri😂😂😂
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад
@@majalaworldwidemama anapiga kazi si mtu wa maneno lakini kazi inaonekana na inafanyika kimya kimya..
@charleskibiki217
@charleskibiki217 Месяц назад
Hilo litreni linaanza lini tuwahi tuanze kugogodea mapema maana isoje tupita vizazi vyetu hatujawahi pand , maana mabombadier ni ya matajiri huku mwendokas ni kwaajili yetu sisi
@JustinePatrinius
@JustinePatrinius Месяц назад
Safi sanaaa latra izo bei NJ sawia kabisa.... 🙏🙏
@ladytanzania6595
@ladytanzania6595 Месяц назад
Kwa Kweli these are fair prices! Watanzania tutaenjoy train yetu 💕👌
@husseinhamisimwindadi2211
@husseinhamisimwindadi2211 Месяц назад
Nauli ni yakizalendo,shukrani kwa serekali yetu!
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 Месяц назад
Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake asante sana Viongozi wetu mambo poa kwelikweli
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 Месяц назад
Thankyou
@user-nf9cc1hi1t
@user-nf9cc1hi1t Месяц назад
Mungu utisaidie wahujumu wasitokee
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 Месяц назад
Affordable
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Месяц назад
SAF SANA SAFARI ZIANZE SAS TUMESUBIR SANA
@johnmlay4759
@johnmlay4759 Месяц назад
Si ndio
@YugoAlly
@YugoAlly Месяц назад
Bei rafiki sana
@RamadhaniWaziri-ut9ti
@RamadhaniWaziri-ut9ti Месяц назад
Hatarii
@jovinrwambari9517
@jovinrwambari9517 Месяц назад
hongereni....nauli zinvumilika
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei Месяц назад
Watoto watakuwa wanatumwa dodoma mizigo na kurudi
@ladytanzania6595
@ladytanzania6595 Месяц назад
😂😂😂😂
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 Месяц назад
Umeshafeli tayari 😅
@Assu89Ma2ly-xt4np
@Assu89Ma2ly-xt4np Месяц назад
Ukipenda lah kama hutaki unaweza lipia na kutuma mzigo (kifurushi) aliye upande wa 2 akapokea ndani ya muda mchache
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 Месяц назад
Muweke na kukata tiket online kama napandia zangu moro kwenda nakutopora fresh
@ombenikweka7222
@ombenikweka7222 Месяц назад
Panda basi Hadi Moro uone karaha yake ya foleni
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
Tunawakaribisha KIMBINYIKO,ABOOD,SHABIBY,KATARAMA na wengine wengi Mje Ifakara mpk Mahenge road iko wazi
@khadijashabani5509
@khadijashabani5509 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤
@mamodelmam
@mamodelmam Месяц назад
Very affordable
@latifalayla9990
@latifalayla9990 Месяц назад
Madaraja mengine vp? Bei yake pia wekeni wazi.
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 Месяц назад
Ni sawa tumepata usafiri mZuri lakn serikali imetupiga kwenye aina ya treni waliotuletea si ile ambayo tulikuwa tunaambiwa na kuonyeshwa
@christianchando7041
@christianchando7041 Месяц назад
Nauli ni nzuri, nadhani wengi wetu tutazimudu, ila madaraja ya juu hayo yana wenyewe, na zile EMU (mchongoko) hizo tutapanda tukishatajirika 😂😂😂😂 ILA KWA HIZI ZA KAWAIDA, BEI NI NZURI
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 Месяц назад
Mmetaja nauli Je tozo yamizigo mf: ndugu zetu wakilosa kwakufungasha maroba yamichere au nauli tu mizigo bure
@anosiata8242
@anosiata8242 Месяц назад
Utasikia eti treni wamepewa waraabu tena. Maana huyo mama shida kwelikweli. Kila kitu anawapa warabu. Bandari waarabu , kiwanja cha KIA warabu, misitu hekta milion tisa na ushehe , kawapa waraabu, bunga za wanyama kawapa warabu. Kila mahari wanachi wanafukunzwa kwenye aridhi zao maeneo hayo badaye wanapewa wangeni. Watanganyika tuamuke.
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Месяц назад
Apo sasa tumewapata vizur kabisa nauli lafiki sana
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Месяц назад
Acheni lawama lazima quality ya usafiri uonekani hamuezi hamjalazimishwa pandeni mabasi
@user-sk3hg5by5c
@user-sk3hg5by5c Месяц назад
Tanzania imeendelea
@nissanmarch656
@nissanmarch656 Месяц назад
Eti kunajitu linasema nauli kweli watanzania hamnashukrani😮😮😮
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
Kuna watu hawajawahi kusafiri, Mwanza to Dar yapo Mabasi nauli mpaka 120,000/=
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 Месяц назад
NCHI ZA AFRICA NI NGUMU KUWA HURU BILA MSAADA WA URUSI,.NATUKILITAMBUA HILI NAKULIAMINI TUTAKUWA BEGA KWA BEGA NA URUSI KUPATA MAALIFA,NA NGUVU.
@kabwangaselemani5228
@kabwangaselemani5228 Месяц назад
Nauli ni za kawaida kabisa Kazi iendelee
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 Месяц назад
Nashangaa kichwa cha train kinaonekana pich mchongoko lakin kinacho tembea hakifanani na pocha
@JustinMwashilindi
@JustinMwashilindi Месяц назад
Nauli rafiki sana
@user-oh3cn2bi5l
@user-oh3cn2bi5l Месяц назад
Jinsi ya kukata tiket online
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 Месяц назад
Nauliza pugu buku buku mabehewa yatachakaa haraka mtu wa lugu dala dala kibao utaarabu utakuwa mdogo utaarabu utakuwa mdogo sana
@amanijampion3045
@amanijampion3045 Месяц назад
Acha yachakae
@ombenikweka7222
@ombenikweka7222 Месяц назад
Nauli sio kubwa kuna hadi nauli ya elfu 18 hadi singida unakwama wapi
@amirisaid6341
@amirisaid6341 Месяц назад
Singida 18??
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 Месяц назад
Kwani wewe ni mtoto?
@benedictodaniel1842
@benedictodaniel1842 Месяц назад
Kutoka Dar mpka mwanza itakuwa Elfu 90000/ kasolo kwabei hizo Mabasi yataendelea kujichukulia Point yakubeba Abilia
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Месяц назад
Bona hamjasema mtoto mchanga nauri shigapi
@jesuslivegospel-sb7yd
@jesuslivegospel-sb7yd Месяц назад
daaaaaaah...bei kubwa mno
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
Jaman Soga elf 4 natapanda maana kupita Ubungo shughuli pevu😂😂😂😂
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Месяц назад
RIP JPM
@babajay3445
@babajay3445 Месяц назад
Abood kwaheriniiiii
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 Месяц назад
😂
@bollywoodentertainment8081
@bollywoodentertainment8081 Месяц назад
😂😂😂
@edwardmwambene3748
@edwardmwambene3748 Месяц назад
Kkkkkk
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
KIMBINYIKO njia ya Ifakara mpk Mahenge iko wazi
@user-nl9xe5bu1x
@user-nl9xe5bu1x Месяц назад
Hivi kweli mtoto WA MIaka minne alipe nauli kivipi,?
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 Месяц назад
Yalini hii
@user-ms2kf3mf3q
@user-ms2kf3mf3q Месяц назад
Sio kwenye treni hadi kwenye ndege kumenoga
@suleysafari798
@suleysafari798 Месяц назад
Kwaheri mabasi, yaani bye bye
@ibrahimsaid133
@ibrahimsaid133 Месяц назад
Ratiba za safari zikoje au ni daily
@joramkishaluli9277
@joramkishaluli9277 Месяц назад
Nauli ni kubwa mno, bado haijamsaidia mtanzania. Mfano Dar - Dom sh 31,000/-x2 = 62,000/-. Tulitegemea mtu atoke Dar kwenda kufanya kazi Dom na kurudi kama mataifa ya wenzetu kwetu sisi bado ni kitendawili bei hips.
@mduda_i
@mduda_i Месяц назад
Ukipanda basi unatumia masaa7 hadi 8 dom to dar, utuambie huwa unalipa sh.ngapi???? Treni unatumia masaa 3 hadi 4 sasa tueleze wewe ulitaka ulipe bei gani?
@J_Jeromy
@J_Jeromy Месяц назад
Tukumbukena na Mbeya green city 🎉🎉🎉
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Месяц назад
Tupo kwenye mpango uo msijali
@edwardmwambene3748
@edwardmwambene3748 Месяц назад
Njooni mpaka mbeya kwakweli mtakuwa Mme tukomboa
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 Месяц назад
Mbeya yenu ni Tazara
@johnmlay4759
@johnmlay4759 Месяц назад
​@@edwardmwambene3748kuna tazara
@NammanaMobile
@NammanaMobile Месяц назад
Kwaiyo ikifika kwenda Mwanza si itakuwa zaid ya nauli ya ndege
@mduda_i
@mduda_i Месяц назад
ndege ni sh.ngapi?
@NammanaMobile
@NammanaMobile Месяц назад
@@mduda_i Mwanza 95
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 Месяц назад
Sawa tutafika
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 Месяц назад
Kwanini Arusha mnaitenga na angali ni jiji la kitalii?
@doiabel3793
@doiabel3793 Месяц назад
Train itafika Kila mkoa tulia kijana
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 Месяц назад
Tupo kwenye mipango yakuleta kesho au kesho kutwa please
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 Месяц назад
Mtavuta Bangi kwenye behewa
@mohammedalishamis9405
@mohammedalishamis9405 Месяц назад
@@rogerabdallah439😂😂😂
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 Месяц назад
Mama abduli.....
@ombenikweka7222
@ombenikweka7222 Месяц назад
Ukitaka ufike chalinze kituo chake karibu ni wapi?
@johnmlay4759
@johnmlay4759 Месяц назад
Hapo hamna kituo maana kituo cha kwanza ni pugu
@stapinuswilliam860
@stapinuswilliam860 Месяц назад
Time vp
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Месяц назад
Sijui ni kuite Mheshimiwa au Mhudumu unaongea mambo ya nauli usishangae nikalipa hiyo nauli uliyotagaza ukakuta mambo tofauti Mheshimiwa au Mhudumu uliyetoa tangazo hilo nakupa miezi miwili au mitatu utaniambia kuwa Mimi ni mwongo andika jina langu kwenye note book yako utakuta tangazo lako litakuwa the comedy kwetu sisi wabongo hatuna jeuri la kuheshimu hilo tangazo ulilolitoa yangu macho😮
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Месяц назад
Negative people hamkosekani🙄
@mpegesaaswile6581
@mpegesaaswile6581 Месяц назад
Nikajua train itakuwa rahisi kuliko mabasi,kumbe ujinga tu
@kamazima11
@kamazima11 Месяц назад
Jaman nauli sawa usimamiz mnaweza?? Mnatupa Uhakika gani ? Maana yasijekuwa mambo ya mabasi ya mwendokasi , maana mwendokasi walianza hivi hivi kwa mbwembwe ila kwa Sasa hivi haifai , binafsi nina wasiwasi na hii Treni isije tukasikia limezimika njian, na sijui kuna shida gani kwenye usimamizi wa hizi kodi za wanaanchi
@user-ub3xh7ug6c
@user-ub3xh7ug6c Месяц назад
Nauli zamabc zitashuka
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 Месяц назад
Tatzo pia mmetuletea makitu ya kishamba sanaa kitu cha mwaka 47
@Jemesipiter
@Jemesipiter Месяц назад
Mumetuaminisha kua tren haitakua na vituo vingi njiani ispokua morogo kisha Dodoma why pugu mara kirosa?
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 Месяц назад
Hii ni daraja la kawaida,yaani ordinary class kutakuwepo na express hizi zitakuwa na vituo vichache watatangaza
@Masudi-pc7yp
@Masudi-pc7yp Месяц назад
naurinafuu
@ProudNative
@ProudNative Месяц назад
Treni itaanza kutoa huduma lini?
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w Месяц назад
Mwezi wa Saba tarehe 27
@josegambi7149
@josegambi7149 Месяц назад
Jengeni mpaka mbeya
@edwardmwambene3748
@edwardmwambene3748 Месяц назад
Kabisa iyende mpaka zambia uko
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo Месяц назад
Hiv dar kilosa 18 au nimasikio yanguu
@ramadhanmohamed3261
@ramadhanmohamed3261 Месяц назад
Yeah 18000
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
Masikio yako yamesikia vzr. Wasalimie Kimamba na Ilonga
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo Месяц назад
Ntawasalimia aisee siwezi pitwa ​@@hassanlikwenangu8471
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 Месяц назад
Sasa nitaoa dodoma mana ntakuwa natereza tu
@user-nt6fb2ky3t
@user-nt6fb2ky3t Месяц назад
Nauli kubwa.,her tupande mabasi
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
Acha kupotosha NGOSHA, Mwanza to Dar via Bus siku inaishia njiani. Unakula vitumbua na mahindi ya zaidi au sawa na nauli uliyolipa, unafuu uko wapi?
@swahibal-karama145
@swahibal-karama145 Месяц назад
SIKU NGAPI UNAFIKA MORO?.
@jumashedafa
@jumashedafa Месяц назад
Yan si naul tu kuwa ni poa ila unafik mapema na hujachoka
@user-vt3uq3xv3s
@user-vt3uq3xv3s Месяц назад
Kidete 😂😂😂
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 Месяц назад
.
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
Acheni wizi kwa watoto kwann msingeanza miaka 7 au 6
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Месяц назад
Nauli bado iko juu,kwa Basi toka Dom hadi Dar bei 29,000 hadi 35000
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 Месяц назад
Kwani laazima uingie business class Ingia economy 18,000 tuu!! Unataka iweje tena ndugu
@kemmymugele350
@kemmymugele350 Месяц назад
Nauli ya treni haiwezi kua sawa na nauli ya basi.
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w Месяц назад
Ww kweli fala😅😅😅😅
@pastorpetermageta6833
@pastorpetermageta6833 Месяц назад
Bado nauli ni kubwa, bora tuendelee kupanda basi
@jumashedafa
@jumashedafa Месяц назад
Kapande huku unasubir nn?
@AishaJanuary
@AishaJanuary Месяц назад
Akili kibaba wewe
@muzneali4747
@muzneali4747 Месяц назад
​@@jumashedafaUKIONA HIVYO HUYO NI MWANACHAMA WA CHADEMA SI UNAJUA SERA YAO KUPINGA KILA KITU HATA INGEKUWA BURE BASI ANGEPINGA
@jumashedafa
@jumashedafa Месяц назад
@@muzneali4747 Ndio ivy na ata ingekuw kubwa ni bora hiyo cz ipo haraka na hukerekwi ndan wala kubanana, hukuna folen...yan kama una samaki wako hawaozi ushafik dodoma chap...uwaandae uwakaange huend urud nao Dar tena...hahahahah
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t Месяц назад
Tunashukru sn kwa huduma mliyotuletea?Asanteni sn.lakini tunaomba mtufikiliye na sisi wenye kipato Cha chini,kwa maana kwa mtido huu mtakuwa mmetutenga wakulima na wenye kipato Cha chini!!!hatuwezi panda?maana hamjatutengea sehemu yetu, mtapanda peke yenu wafanyakazi na wafanyabiashara?maana nauli hamjaiweka rafiki,kwa wote?ili na sisi wa Hali ya chini, tuweze kupanda?Bora basi mungeweka hayo mabehewa bei tofauti ili Kila mmoja aemweze kupanda?,kusiwe na ubaguzi,kwa mwenye kipato tu?Na kwa wasiyo na kipato?wote tuweze kupanda?Mimi kwa tusiyo na kipato ningependekeza iwe sh 5000
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Месяц назад
Fikeni kigoma jamani
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Месяц назад
Umeona
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 Месяц назад
Punguzeni uchafu kwanza 😅
@johnmlay4759
@johnmlay4759 Месяц назад
​@@davidanselmo4041😂😂😂😂😂😂😂
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Месяц назад
Wanapiga ela kwenye daladala huko wameweka nauli rafiki
Далее
I Built 3 SECRET Rooms In School!
33:34
Просмотров 13 млн
Китайка Шрек всех Сожрал😂😆
00:20
МЕСТЬ МАЛОГО
00:52
Просмотров 75 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 718 тыс.