Mbunge wa viti maalumu, Ester Bulaya ameliambia bunge kuwa kikokotoo cha wastaafu bado ni janga akiiomba serikali kukaa mezani na wastaafu kujadili namna bora ya kuwapa mafao yao kutoka asilimia 33 iliyopo hivi sasa hadi asilimia 50 kwa mkupuo.
Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi
13 сен 2024