Тёмный

EXCLUSIVE: KIKEKE AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOKA BBC “HAKUNA HAKIKISHO LA MAISHA BORA ULAYA” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 209 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 516   
@user-oo7vr4cb7r
@user-oo7vr4cb7r 8 месяцев назад
Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk
@Rmkh88
@Rmkh88 7 месяцев назад
Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 8 месяцев назад
Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯
@athmanmzee7144
@athmanmzee7144 8 месяцев назад
He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.
@EliahParpulisEvalyneMkulati
@EliahParpulisEvalyneMkulati 8 месяцев назад
Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 8 месяцев назад
“Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako. Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani, Well done Kikeke
@Babuu200
@Babuu200 8 месяцев назад
Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 8 месяцев назад
anajua na anajua tena😊
@cosmasjulius
@cosmasjulius 8 месяцев назад
AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)
@malimachacha4500
@malimachacha4500 8 месяцев назад
Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 8 месяцев назад
Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.
@banguha
@banguha 8 месяцев назад
Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku
@melkizedeckelsonmbise4424
@melkizedeckelsonmbise4424 8 месяцев назад
One of the best interview.. Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 8 месяцев назад
Hata mm kabisa, BBC sifatilii tena
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy 8 месяцев назад
Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.
@user-pj1tb5xz1t
@user-pj1tb5xz1t 8 месяцев назад
Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 8 месяцев назад
Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!
@barakafundo9208
@barakafundo9208 8 месяцев назад
One of the coolest interviews Big up mwandishi
@mohamedmacha
@mohamedmacha 8 месяцев назад
Hongera sana Salim Kikeke. Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.
@flm1530
@flm1530 8 месяцев назад
Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu
@janerosejohn8373
@janerosejohn8373 8 месяцев назад
Yote Ni ubatili mtupu
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 8 месяцев назад
Amen UBARIKIWE zaidi 🙌🙌🙌
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад
Hakika, yote ni ubatili mtupu pasipo *Yesu Kristo*
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 8 месяцев назад
Fact kabsa,
@saidjuma9782
@saidjuma9782 8 месяцев назад
Yesu ndo nani??? Nyie hapa duniani hakuna maisha bora tufanye ibada tukaishe maisha ya milele
@stevenvictor437
@stevenvictor437 8 месяцев назад
Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 8 месяцев назад
Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 2 месяца назад
hiki ndo nachojiuliza
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 8 месяцев назад
Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥
@dreamboy5674
@dreamboy5674 8 месяцев назад
Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis
@EstherKisandu
@EstherKisandu 8 месяцев назад
Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 8 месяцев назад
Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken. No wonder tunampenda,
@gasperymisungwi960
@gasperymisungwi960 8 месяцев назад
Kikeke is a star, inspirational and talented
@lusekelogerald4714
@lusekelogerald4714 8 месяцев назад
one of the best interview in this year🔥🔥🔥
@victorsabuni6801
@victorsabuni6801 8 месяцев назад
very professional interview congrats🎉
@user-to9ci3ng3z
@user-to9ci3ng3z 8 месяцев назад
Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu
@nobody07241
@nobody07241 8 месяцев назад
Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji
@ephrahimmasiko9873
@ephrahimmasiko9873 8 месяцев назад
Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.
@waltergilbert3967
@waltergilbert3967 8 месяцев назад
kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu
@annasolomon9855
@annasolomon9855 8 месяцев назад
​@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅
@nancyg8664
@nancyg8664 8 месяцев назад
@@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza
@ireneseth
@ireneseth 8 месяцев назад
Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko
@paulalove1223
@paulalove1223 8 месяцев назад
​@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂
@aciamwinyi3991
@aciamwinyi3991 8 месяцев назад
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.
@bezalelmbijima8182
@bezalelmbijima8182 8 месяцев назад
Vizuri sana Salim, kuna vitu viwili kwetu vinatupa utambulisho mbaya sana sana kwa watu wengine 1.Kujali 2.Kuthamini Washahili yapaswa tujizoeze kuja muda, kuja makubaliano, kujali fulsa. Pia kuthamini kitu cha mtu, kuthamini utu wa mtu, kuthamini chako na cha mwenzako. Mwisho kutambua!
@ztvonline2523
@ztvonline2523 8 месяцев назад
Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥
@lelomellowtz
@lelomellowtz 8 месяцев назад
• Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.
@kautharyhamza6731
@kautharyhamza6731 8 месяцев назад
Well said
@mandalorian_4.11
@mandalorian_4.11 8 месяцев назад
Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 8 месяцев назад
Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje
@OteshaTime_Services
@OteshaTime_Services 8 месяцев назад
Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni
@annamussa185
@annamussa185 8 месяцев назад
Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍
@VicentMark
@VicentMark 8 месяцев назад
Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 8 месяцев назад
Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 8 месяцев назад
ni mtu wa mbeya?
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 8 месяцев назад
@@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi
@MrNdanguza
@MrNdanguza 8 месяцев назад
​@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 8 месяцев назад
​@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya
@anthonygenge4366
@anthonygenge4366 8 месяцев назад
Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉
@JackobGalish-ky3no
@JackobGalish-ky3no 8 месяцев назад
A very good interview
@Stan-103
@Stan-103 8 месяцев назад
Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅
@ayrunyjtayruny279
@ayrunyjtayruny279 8 месяцев назад
Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿
@emilysanga7662
@emilysanga7662 8 месяцев назад
Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana
@hassanabuu6
@hassanabuu6 8 месяцев назад
Awesome interview ❤
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 8 месяцев назад
Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .
@joshck4117
@joshck4117 7 месяцев назад
kwake ni sababu za msingi
@lydiabandio9416
@lydiabandio9416 7 месяцев назад
Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.
@JacoboleKampuni-px9rd
@JacoboleKampuni-px9rd 8 месяцев назад
Legendary
@user-hq9jf5gs5w
@user-hq9jf5gs5w 8 месяцев назад
Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari
@user-fc3og1eo3x
@user-fc3og1eo3x 8 месяцев назад
Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro
@wahapahapa3279
@wahapahapa3279 8 месяцев назад
Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations
@user-hq8fo4ph4p
@user-hq8fo4ph4p 8 месяцев назад
Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 8 месяцев назад
😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 8 месяцев назад
,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe
@mayaally2512
@mayaally2512 8 месяцев назад
Njoo upauke pumbu
@edwinkinyamagoha1228
@edwinkinyamagoha1228 8 месяцев назад
IGA ufeee 😅😅😅
@Pedeshee01
@Pedeshee01 8 месяцев назад
Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 8 месяцев назад
Genius man🎉
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 8 месяцев назад
Salim Kikeke ❤️
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 8 месяцев назад
Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤
@user-xq4en6qt7e
@user-xq4en6qt7e 8 месяцев назад
Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media
@AziziMapunda-vt4nv
@AziziMapunda-vt4nv 12 дней назад
Ongela Sana mungu akubaliki🎉🎉🎉🎉
@pceodhc
@pceodhc 8 месяцев назад
Great interview! 👏🏾
@godfreychaula3969
@godfreychaula3969 8 месяцев назад
interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 8 месяцев назад
Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo
@veniciacharles8851
@veniciacharles8851 8 месяцев назад
Interview nzuri nimeipenda,
@user-di8me2wb7p
@user-di8me2wb7p 8 месяцев назад
Masha ALLAH
@victoriaowen909
@victoriaowen909 8 месяцев назад
Role model💕🥰
@medardsotta5211
@medardsotta5211 8 месяцев назад
Legendary Kikeke!
@user-qf3so2qk6l
@user-qf3so2qk6l 8 месяцев назад
Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara
@geofreygomela2118
@geofreygomela2118 8 месяцев назад
I learn alot
@amibeamibe7261
@amibeamibe7261 8 месяцев назад
hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.
@elishasamwely8712
@elishasamwely8712 8 месяцев назад
Hongera sana kaka nakukubali
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 8 месяцев назад
Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka
@neema_mollel
@neema_mollel 8 месяцев назад
Nampendaga sana kikeke
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 8 месяцев назад
Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar
@akleiludovick9853
@akleiludovick9853 8 месяцев назад
Seriously 😮 binafsi naplan za ku relocate USA.
@augustuss4503
@augustuss4503 8 месяцев назад
Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 8 месяцев назад
Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home
@chibunews5642
@chibunews5642 8 месяцев назад
Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 8 месяцев назад
@@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania
@kdloon2030
@kdloon2030 8 месяцев назад
​@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!
@mpwaguzipwagu3199
@mpwaguzipwagu3199 8 месяцев назад
😂😂😂
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 8 месяцев назад
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
@WorshippersofGodarmy-ot1mk 8 месяцев назад
Hongera rafiki yangu, katk radio
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 8 месяцев назад
Very sad.. We.missed Night News!!!!!. Kila la kheri...
@salminasalim5630
@salminasalim5630 8 месяцев назад
Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho
@barakajonas3209
@barakajonas3209 8 месяцев назад
Karibu sana nyumbani Arusha
@DoreenMwakibinga
@DoreenMwakibinga 8 месяцев назад
Umetumia akili kurudi ili kuinteract earlier na Jamii waone ulichonacho hukusubiri na hukusita Big up
@NuelyAlphonce-ts2dx
@NuelyAlphonce-ts2dx 8 месяцев назад
Namkubar sana salim kikeke noma kweli
@user-fb9tp8ol1s
@user-fb9tp8ol1s 8 месяцев назад
Mwenyewe niliishi pale Sheffield ila siku ya mwisho nikarudi nyumbani
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 8 месяцев назад
Ila suala kutunza ahadi wageni wengi hulalamika juu ya Wtz kutokutunza ahadi pindi wanapo ahid kukutana na mtu mwingine, lingine ambalo bovu ni customer care ni mbovu mno
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 8 месяцев назад
Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!
@j4amas5
@j4amas5 8 месяцев назад
Sunnah hiyo
@mustavic7750
@mustavic7750 7 месяцев назад
Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti
@user-ee6st5bo5t
@user-ee6st5bo5t 21 день назад
huyo ni muislam shika adabu yako
@MustymediaTv
@MustymediaTv 8 месяцев назад
Interview bora sana
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 8 месяцев назад
Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania
@josephlorri431
@josephlorri431 8 месяцев назад
Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw
@petermanala6138
@petermanala6138 3 месяца назад
​@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂
@boscoerasto5148
@boscoerasto5148 8 месяцев назад
Nakukubari sana kaka
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 8 месяцев назад
❤🧡
@TheboyTz1-yf3xl
@TheboyTz1-yf3xl 8 месяцев назад
Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
Najikuta navizia maswali ya muulizaji..dah huyu anajitaidi sana. Alafu ametulia anapomuuliza Salim..safi sana
@lyrics_forum
@lyrics_forum 8 месяцев назад
Millard Umetisha sana Huyu dada anayeongea Voice Over yuko vyema sana, nadhani maskio yangu ndio mara ya kwanza namsikia Mwanamke akireport katika Media yako. Kongole sana
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 8 месяцев назад
Mwanamke gan?
@norbert_nganzi
@norbert_nganzi 8 месяцев назад
That is
@personpeter2221
@personpeter2221 8 месяцев назад
Nmechoka kukaa bongo miaka 27 bado cjafankiwa au ndo bongo bahati mbaya??? Nataman niende ulaya nkaishi maisha ya kipweke kuliko hiz shobo zero
@marianneadams1443
@marianneadams1443 8 месяцев назад
😂😂
@annamussa185
@annamussa185 8 месяцев назад
Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗
@bonemwaminifu3935
@bonemwaminifu3935 8 месяцев назад
Daaah noma
@mweusisimba7185
@mweusisimba7185 8 месяцев назад
Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya
@nancyg8664
@nancyg8664 8 месяцев назад
Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.
@pmoshy2466
@pmoshy2466 8 месяцев назад
SMART
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 8 месяцев назад
Ongera saana salim kikeke
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 8 месяцев назад
😂😂, salm twambie ukwel, sema hivi nimefanya kaz kwa muda mrefu kila nikitaman kua mtu mkubwa mwenye pesa nashindwa nikaamua Nije Tanzania kutoka na kias cha pesa nilicho nacho nikirud tz ni pesa ya kutosha😂😂😂😂😂
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 8 месяцев назад
​@DENISDIGITAL😂😂😂eti:"sawa Salimu."😂😂😂😂😂
@ibrahimkisua8439
@ibrahimkisua8439 8 месяцев назад
very genius
@mwanad4595
@mwanad4595 8 месяцев назад
Legend
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 3 месяца назад
Eheee,jamani
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 8 месяцев назад
Interview mzur
@barakarobertmochungu
@barakarobertmochungu 8 месяцев назад
Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 8 месяцев назад
Sio nguri Brother ni nguli ok
@musaallyhusseinmzeebaba7874
@musaallyhusseinmzeebaba7874 8 месяцев назад
it's very wonderful podcast, very inspiring however improve on your podcast gadgets such as mic, why holding a mic for over 30 minutes? it does'nt look more professional.
@egbertcharles
@egbertcharles 8 месяцев назад
Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu. Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@SaadIssa-mw4gh
@SaadIssa-mw4gh 8 месяцев назад
Tanzania very social country ❤
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 8 месяцев назад
Point❤
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 8 месяцев назад
Kabisa yaaani ulichoandika
@samwelmichaelchangarawe5800
@samwelmichaelchangarawe5800 8 месяцев назад
nakumbuka enzi za covid kuna siku nimeingia kwenye lift kaihong mall wachina wakatoka wote 😄😂
@egbertcharles
@egbertcharles 8 месяцев назад
That was normal. ... Which city were you living ? @@samwelmichaelchangarawe5800
Далее
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11