Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
Shida hakushinda 2020 Na haya ndio malipo yake Maana watu walipiga kura wakimtaka Mwl.John wegesa heche Ila jana jana yenu mkapola uchaguzi Sasa vumilieni Maana kura huwaamua maana Pauline ya wengi ni kauli ya mungu Sasa kura ni kama kauli
Wewe umeshindwa kumuenzi baba yako CHACHA ZAKAYO WANGWE hata alipo analia! Ungebaki CHADEMA watu wa Tarime hawawezi kumuacha CHACHA ZAKAYO! Mdogo wako BOB WANGWE NI JEMBE aje Tarime achukue ubunge asubuhi wewe hufai
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
BOB WANGWE NI MBUNGE POPOTE TANZANIA HUYU NI DHAHABU YA MARA KITAMBAA SAHIHI CHA KUTUFUTA MACHOZI YA CHACHA ZAKAYO WANGWE BOB WANGWE HATA HECHE HATOSHI MBELE YAKO! WEWE NI KIPENZI CHA WANA TARIME JARIBU MY SON
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
Massao nyie ndio mliozoea kuandika mambo bila kufahamu sawa na kudandia gari kwa mbele sawa na huyo mwenzio. Nikuelekeze ndugu yangu kwenda kwa wakongwe wa chama hiki kuelimishwa. Kwa kukusaidia tuu ebu angalia picha za wana ccm wawapo kwenye shughuli zao maalumu za ama mikutano ya kichama, kisha unitajie idadi ya wajumbe wanaokuwa na vazi lenye rangi ya huyo jamaa yako. Usiandike tuu ulipaswa uelewe kilichoandikwa. Pale kilichoandikwa ni rangi wewe bila kuelewa ukaona nembo.Ebu tafiti kwanza
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
Hufai kuwa kiongozi wewe hayo ni mambo ya ndani ambayo mnatakiwa kuyaongelea kwenye vikao vyenu vya ndani utakuwa na lako jambo hapo husaidii chama bali unakiharibu
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake