Тёмный

CCM YAPEWA ANGALIZO KUPOTEZA JIMBO LA TARIME DC 2025 IKIMSIMAMISHA WAITARA -KADA CCM ZAKAYO WANGWE 

JAMBO TV
Подписаться 934 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Habari na Mwandishi wetu @Fredrizzo Samson
#ccm #jambotv #trending #yanga #makonda #simba

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 132   
@kingmseti9205
@kingmseti9205 3 месяца назад
Ilibhancha na Ubhoro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Tarime Vijijini Tunaenda na John Heche Tarime Mjini Tunaenda na Bob Wange Kama tupo Pamoja gonga like waone
@DandasiKundi
@DandasiKundi 3 месяца назад
Wanafaa Kwa asilimia 100
@josephmahando493
@josephmahando493 3 месяца назад
Kamanda umeongea point sana uko vizuri. Viva kijana vivaaa
@charlesnyanhanga4382
@charlesnyanhanga4382 3 месяца назад
Viva heche njia za MUNGU siyo za mwanadamu hapo sawa
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 2 месяца назад
Usijidanganye ccm hawezi sehemu kubwa kushinda uchaguzi wa huru na haki
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 3 месяца назад
Mmmh Ngoja tuone Mwishowe mtukuja kusema Samia hafai🤣🤣🥹🤣🧐
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад
Safi Kabisa CCM sema kweli daima
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 2 месяца назад
Pumbavu ccm lini ikasema ukweli
@evampuya-mp9vf
@evampuya-mp9vf 2 месяца назад
Hongera saana kwakuwa muwazi CCM umewarahishia kupata mtu sahihi
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад
Bora kama mmegundua
@StevinGodfrey
@StevinGodfrey 3 месяца назад
hechee arudishiwee jimboo lake😊
@jacksonsimon5020
@jacksonsimon5020 2 месяца назад
Bado hamjasema, na mtasema tuuu!!
@clemenceparokola
@clemenceparokola 3 месяца назад
Heche njia nyeupeeeeee
@manfredkibona3126
@manfredkibona3126 3 месяца назад
Hizo sasa ni fitina ambazo CCM inasema mwiko umejichanganya bro😅
@AthumanDauda
@AthumanDauda 2 месяца назад
Amna Cha fitina au kafitina naona jipu litatumbuka
@mahengedaktari-ek8go
@mahengedaktari-ek8go 3 месяца назад
Asante mwamba
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 3 месяца назад
Jimbo la heche.
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 3 месяца назад
Tarime mjini na vijijini hiyo ni chadema ninyi majoka ya kijani mlipata hayo majimbo kwa bahati na michongo tu! 2024/2025 tunataka majimbo hayo yarudi Chadema. Bob Wangwe na John Heche wanatosha sana! Wana Tarime ikatae ccm kuanzia wenyeviti wa mitaa, vitongoji, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mafisadi ccm.
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 2 месяца назад
Wewe sio ccm mbuz wwe ni mnafik sana
@tronline6959
@tronline6959 2 месяца назад
Kuna JITU litakufa kwa pressure 😂
@AbdallahMchani
@AbdallahMchani 2 месяца назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊🎉
@JacksonNyaikoba
@JacksonNyaikoba 2 месяца назад
Toa sera
@YoyoChacha-gl5ui
@YoyoChacha-gl5ui 3 месяца назад
Wew wetar hahuwezi kusida tarime
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 месяца назад
Nami natamani kuhamia CCM, sijui nami nitapokelewa na Samia? Au kwa kuwa mie sijaandaliwa mazingira ya kupokelewa au labda mie kasisimizi mno😂😂😂
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 месяца назад
Sio tarime tu Kanda ya ziwa wanasiri kubwa
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад
Binafsi hua naona waitara ni mwanasiasa mwenye hoja...lkn. Amekua kigeugeu sana KATIKA kuwatetea wananchi bungeni Kuna muda unaona huyu mwamba anatuteetea lkn kwa muda mwingine unaona anajipendekeza na kulamba miguu ya Samia.. Halafu Sasa amekua haonekani kwenye majimbo
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 3 месяца назад
Ndo siasa inataka hivyo
@InnocentJohn-l5y
@InnocentJohn-l5y 3 месяца назад
Bob wangwe au heche hao ndo watu sahii
@JosephMosabi
@JosephMosabi 2 месяца назад
Kwani hamna vikao vya chama mkayaongelea huko
@MngwaliAllykizangwa
@MngwaliAllykizangwa 3 месяца назад
Chuki binafsi zina wasumbua sana ccm. Heche jimbo wamesha kupa.hilo asubuhi mapema.
@josephmahando493
@josephmahando493 3 месяца назад
CSR, Itamtafuna sana ni haki ya waliyo karibu na mwekezaji, aendeee,, na CSR ITARUDI TU NI HAKI YETU SISI TUNAO UMIA NA SHUGHURI ZA UENDESHAJI WA MGODI WA.
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 3 месяца назад
Naona huyu jamaa kaamua kumwombea John heche kura asubuhi sana sasa wewe jichanganye kumtoa waitara uone kama ccm tarime huko hautakufa!!!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад
Haaaaaahaaaaaaaa
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад
Safi sana
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 2 месяца назад
We utakuwa ni mgeni huu ukanda,yaani umepotea kifikra
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 3 месяца назад
Aheri huyo waitara kuliko huyo mliyemkaribisha juzi atawavuruga kwelikweli
@lameckrange-ol6uz
@lameckrange-ol6uz 3 месяца назад
Hayo yapeleke kwenye chama kwani hamna vikao Hiyo haijakaa vzr..
@RichardMadebe-f1m
@RichardMadebe-f1m 3 месяца назад
Broo upigaji ndani ya ccm ni haki yao kwani ripoti ya cag inajileza vzuri tu nani kachukuliwa hatua mama amesema kila mtu alee kwa urefu wa kamba yake hujasikia? Acha watu wale mema ya inchi
@amanmwalyambi1416
@amanmwalyambi1416 2 месяца назад
Nimependa ukamandani
@georgedaudisabuni5339
@georgedaudisabuni5339 3 месяца назад
Kukataa wazee wa mila hapo ndipo unabugi viongozi wa dini wanaumhim wao na wazee wa mila wanaumhim wao usiangalie imani yako
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 месяца назад
Shida hakushinda 2020 Na haya ndio malipo yake Maana watu walipiga kura wakimtaka Mwl.John wegesa heche Ila jana jana yenu mkapola uchaguzi Sasa vumilieni Maana kura huwaamua maana Pauline ya wengi ni kauli ya mungu Sasa kura ni kama kauli
@deomaiko9632
@deomaiko9632 2 месяца назад
Hii ndio siasa 😂😂
@JosephatMsafiri
@JosephatMsafiri 3 месяца назад
Haya yapo hata majimbo mengine pia na inawezekana kuna kozi maalumu wanayopitia kwani hakuna hata moja linalotofautiana.
@AmimIigeni
@AmimIigeni 3 месяца назад
Heche ni suala la muda tu kuchukua jimbo
@robertphilip385
@robertphilip385 2 месяца назад
Fukuzeni huyo waitara mlevi mkubwa toeni kabisa huyo mono mongugi
@chunoKisuma
@chunoKisuma 3 месяца назад
Huyo waitera ni chawa,tu. Hafai kuwa hata kiongozi kwanza anatamaa sana
@sospeterodhiambo6869
@sospeterodhiambo6869 3 месяца назад
waitara hakubaliki huku tarime Ss tunangoja kipyenga kilie tuanze naye
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 2 месяца назад
Naomba mbaki nae hata sisi akirudi chadema hatumtaki😂😂
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 2 месяца назад
Pipoooooooo✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥👌👌💪💪💪 ccm tumewachoka tokeni mapema
@ntegrity277
@ntegrity277 2 месяца назад
Wewe umeshindwa kumuenzi baba yako CHACHA ZAKAYO WANGWE hata alipo analia! Ungebaki CHADEMA watu wa Tarime hawawezi kumuacha CHACHA ZAKAYO! Mdogo wako BOB WANGWE NI JEMBE aje Tarime achukue ubunge asubuhi wewe hufai
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 месяца назад
Mungu wangu Waitara kimemsibu nini
@ChristerKoku
@ChristerKoku 3 месяца назад
Nyie watu wa Tarime CCM,msijaribu kumuengua Waitara,na Mbunge makini ni Mbunge anajua kuzitetea hoja za mama Samia,lakini zaidi anajua kulia bungeni tafadhali kaa naye.Hoja zako peleka kwenye vikao vyenu.
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 2 месяца назад
Pamoja na hizo sifa zako kwa Waitara,ni vyema umkaribishe jimboni mwako umpiganie apate kura ili awaongoze nyie huko
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 месяца назад
Na bado mmeanza kusinichiana wenyewe,, waachieni wenye Jimbo lao
@ntegrity277
@ntegrity277 2 месяца назад
BOB WANGWE NI MBUNGE POPOTE TANZANIA HUYU NI DHAHABU YA MARA KITAMBAA SAHIHI CHA KUTUFUTA MACHOZI YA CHACHA ZAKAYO WANGWE BOB WANGWE HATA HECHE HATOSHI MBELE YAKO! WEWE NI KIPENZI CHA WANA TARIME JARIBU MY SON
@MweraRiro
@MweraRiro 3 месяца назад
Fuatilia katika tiktok ya wiki moja iliyopita,,,,,nilisema tangu 2005 hakuna mbuge alie wahi kurudi mara mbili au awamu ya pili bungeni kufikia 2025 itakuwa miaka 20 sijui kama kaka yangu atavunja record
@samoskiyalo6095
@samoskiyalo6095 3 месяца назад
Njia muliyo ipita je mutabadikisha? Hongera kutambua wema huzaa wema tenda utaweza
@joycethomas7918
@joycethomas7918 3 месяца назад
Sasa kwanini usipeleke kwenye viongozi wa kanda ya juu. Hilo kosa kusemea kwenye mitandao, hiyo inaonekana vitina zenu wenyewe
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 месяца назад
Huyu si kada wa CCM wala mwanaccm.CCM wana sehemu zao maalumu za kuzungumzia mambo yao sio kwenye mitandao! Zaidi ya hapo CCM wana sare zao zinazowatambulisha, ambazo ni rangi ya kijani, makada wanaoisoma katiba ya CCM wanafahamu. Kipindi hiki kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mengi yatasemwa yakilenga kuchafuana.
@kibemassao6478
@kibemassao6478 3 месяца назад
Ww ni bogus, huoni nembo ya ccm hapo kifuani? Au umeshiba maharage
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 месяца назад
Massao nyie ndio mliozoea kuandika mambo bila kufahamu sawa na kudandia gari kwa mbele sawa na huyo mwenzio. Nikuelekeze ndugu yangu kwenda kwa wakongwe wa chama hiki kuelimishwa. Kwa kukusaidia tuu ebu angalia picha za wana ccm wawapo kwenye shughuli zao maalumu za ama mikutano ya kichama, kisha unitajie idadi ya wajumbe wanaokuwa na vazi lenye rangi ya huyo jamaa yako. Usiandike tuu ulipaswa uelewe kilichoandikwa. Pale kilichoandikwa ni rangi wewe bila kuelewa ukaona nembo.Ebu tafiti kwanza
@kirariwilanya1850
@kirariwilanya1850 3 месяца назад
Waitara ni Mbunge wa Magu & Ccm.huyo hajawai kushinda Tarime watu tunajua hata Waitara na watu wake wanajua kwamba "Heche ndie Mbunge wa Tarme vijijini ni swala la mda tu"
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona 3 месяца назад
Huyu si mwana ccm.
@Weslauss
@Weslauss 2 месяца назад
Nilichogundua ww ndo mpinzani wa Chama Cha Mapinduzi na Waitara
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 3 месяца назад
Kumbe kuna ubaguzi wa ukoo huko kwenu!! Hamfai kabisa kuitwa Watanzania,mnatuletea tabia za Kikikuyu
@Mosesndahani
@Mosesndahani 3 месяца назад
Wenzako bungeni mpina aliyesema kweli katimuliwa.
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 месяца назад
Unafiki tu wa kisiasa mbona 2020 mlikula hela zake na mkamnadi mpaka akapita ubunge we kijana lazima umekisa vijicent vya waitara
@fwc5552
@fwc5552 3 месяца назад
Alipita kwa kupigiwa kura na nani
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад
Bila mwrnda zake hilo jimbo mnajuwa ni la CHADEMA huyo Waitara kawrkwa kama malaya wa magoti!
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад
Haaaaaahaaaaaaaa
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 месяца назад
Mmeanza kusinichiana wenyewe na bado waachieni wenye Jimbo lao
@MashakaMatuku
@MashakaMatuku 3 месяца назад
Hongera kwa kuwambia wasisiemu wenzako kwamba Jimbo siyo lenu lakin pia inaonekana wewe ni mwanachadema uliyejificha ccm ili ufanye mambo yako yaende kua tu wazi jisalimishe uwe salama tatzo mkisema ukweli mnafukuzana na wewe jiandae ila karbu chadema
@nicholausmramu
@nicholausmramu 3 месяца назад
Kijana ww ni mwelewa sana una akili sana nakupongeza
@MawazoMofu
@MawazoMofu 3 месяца назад
Heche katapila limesafisha njia, watumikie jamii !!
@AthumanDauda
@AthumanDauda 2 месяца назад
Kanda ya ziwa mbona kitaeleweka tu majipu tutayatumbua mda ukifka
@HadaikaNgabona
@HadaikaNgabona 3 месяца назад
Wewe ni mjinga kabisa. Mambo hayo ni ya vikao.
@cassimjr
@cassimjr Месяц назад
Ccm mtanyooka tu next election
@HappyCalicoCat-zq8mo
@HappyCalicoCat-zq8mo 3 месяца назад
Wewe unataka jambo acha kumsumbua mheshimiwa
@helencyprian8745
@helencyprian8745 3 месяца назад
Kumbe hata nyie wenyewe mnatoana uhai😢😢😢😢
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 3 месяца назад
Hiyo tabia ya Waitara ndio aliyonayo huyo mwingine uliyemkaribisha hana sifa za uongozi kwa Sasa akiona Kuna mtu anaongelea nafasi yake ndie anakuwa adui yake
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 3 месяца назад
Waitara 2025 hana chochote tarime
@michaelmwikalo971
@michaelmwikalo971 3 месяца назад
Si mlimuona lulu 😂 kisa muibomoe Chadema wenyewe kwa wenyewe sasa mnanyukana kwisha habari yenu na msubiri ya Msigwa sasa😂
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 2 месяца назад
Ww una hila zako kama ni hoja si upeleke kwenye Vikao vya Chama au na ww una mgombea?
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 месяца назад
Mumuhoj na watara na nyabugeti tumjue
@emmanuelcharles5613
@emmanuelcharles5613 3 месяца назад
Jomba uko vizuri waitara mbwembwe nyingi tiripu hii ataenda gombea msata
@hemedimbilikila9768
@hemedimbilikila9768 3 месяца назад
Hahahah msata Tena duh
@charlesmurimi765
@charlesmurimi765 3 месяца назад
Mimi nasema Waitara ni tapeli. Huyu ni jirani yangu ila kibaka
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 3 месяца назад
😂😂😂
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 3 месяца назад
Huyu kijana hafai
@kibwetere1418
@kibwetere1418 3 месяца назад
Kumekucha!!
@BoscorPatrick
@BoscorPatrick 3 месяца назад
kijana mwenzangu achana na siasa.unusuru uhai wako .ccm hawapend mkweli watakupina au kukustava/ kukutundulis.kukuben sanane n.k
@emmanuelhema186
@emmanuelhema186 2 месяца назад
Hufai kuwa kiongozi wewe hayo ni mambo ya ndani ambayo mnatakiwa kuyaongelea kwenye vikao vyenu vya ndani utakuwa na lako jambo hapo husaidii chama bali unakiharibu
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 месяца назад
Ndani hakuna nafasi
@cassimjr
@cassimjr Месяц назад
Chama kilishaharibika hicho
@nestor384
@nestor384 3 месяца назад
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
@MayalakusekwaNkwabi
@MayalakusekwaNkwabi 3 месяца назад
Wewe na Waitara ni CCM ni WAONGO
@Kanyawela
@Kanyawela 3 месяца назад
Nileteee uyu imeanza kutugeuka
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 2 месяца назад
Chuki binafsi hizo.wewe uogopi kufungwa??
@SungwaFrancis-sx1ls
@SungwaFrancis-sx1ls 3 месяца назад
Wewe ni musaka tonge huna lolote la maana la kusaidia chama,kwa kashifa hii unayotoa ikiwezekana naomba chama kikufukuze uanachama hufai kuitwa mwana CCM.
@leonceuwandameno6378
@leonceuwandameno6378 3 месяца назад
mkimfukuza ndo mtashinda uchaguzi? mlipewa ubunge kama ubani na mwenda zake --- sasa mtaisoma namba kama kauli ya chama chenu inavyosema.
@richardbegga6679
@richardbegga6679 3 месяца назад
😂😂😂😂 MaCCM yamevurugana Hatari
@MachotaMachota-w6c
@MachotaMachota-w6c 2 месяца назад
Achaumbeaww mkuria anaumbea utafiriujaenda jandoya kisu
@henrymwamakula
@henrymwamakula 3 месяца назад
Kiongozi umetukosea wanaccm kamati ya maadili na kamati ya siasa ya wilaya ipo mbona umkurupuka kwenda kuongea kwenye media
@helencyprian8745
@helencyprian8745 3 месяца назад
Mbona uwizi ni asili yenu unashangaa nn? Wakiwaambia nyingi ni wapigaji mnawaona wabaya, sasa mnasema wenyewe. Ni muda tu
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 3 месяца назад
Huyu mpumbavu katumwa, hana lolote. CCM Vibaraka kama Mpuuzi huyu anayeongea wanapo achwa ndio chanzo cha migogoro..
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 3 месяца назад
Acha ujinga wewe nani akuamini wewe mchumia njaa tuache kumuamini mh mbunge mwakilishi wetu.
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Sasa na wewe mitandaoni ndio umeona pa kutolea malalamiko? Hakuna vikao vya Chama? Unaboa bwana!😢😢😢
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 месяца назад
Mwache aseme bhana😂😂
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
@@gidongailo7174 ndio keshasema tena!
@MonicaBeni
@MonicaBeni 3 месяца назад
Sasa unamlalamikia nani? Wakati ccm woote ndio tabiya yenu. Kwani yule mama yenu marangapi anang'oa watu anaohisi wanampinga? Hiyo ni tabiya ya mzaziwenu mkuu kwaiyo waitara karithi kutoka kwa yuleee mama yake
@AMANIMSORE
@AMANIMSORE 3 месяца назад
tarime kwanza watu baadaya mkuu
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 3 месяца назад
Kama hutoi huduma yeyote akiwekwa anapigwa tu
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 3 месяца назад
Huyu hana jipya nimusaka tonge
@amanmwalyambi1416
@amanmwalyambi1416 2 месяца назад
Waitara kwisha
@ryobajohn7177
@ryobajohn7177 3 месяца назад
HUYO HAFAI
@sainatv2688
@sainatv2688 3 месяца назад
Sasa kimeumana ila chunga ulimi utafichwa msa c mrefu tata maana chama chenu kwa kuficha hahahaha
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 2 месяца назад
Pumbavu zako wwe unatumiwa
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 3 месяца назад
Mshikemshike Tarime....😂
@MasakaChacha
@MasakaChacha 3 месяца назад
waitara ni taira kama kichwa chake
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад
Waitara tupeni nje. Weka Heche hapo
@VenanceMbanga
@VenanceMbanga 3 месяца назад
Acha wafu wazikane wanyewe
@JacksonNyaikoba
@JacksonNyaikoba 2 месяца назад
Usogere watu
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 3 месяца назад
Kumbe wewe ni mpuuzi tu unaongelea mambo ya uchaguzi leo mbona bado acha mbunge afanye kazi aliyo tumwa na wananchi
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 2 месяца назад
Hahahaaa
Далее
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 11 млн
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 4,1 млн
ВЫЖИЛ В ДРЕВНЕМ ЕГИПТЕ!
13:09
Просмотров 130 тыс.
НЮША УСПОКОИЛА КОТЯТ#cat
00:43
Просмотров 448 тыс.
Ruto's choice for Gachagua replacement
21:42
Просмотров 7 тыс.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 11 млн