Тёмный
No video :(

Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 256 тыс.
50% 1

Wakati tukiendelea kuzifuatilia headline za bungeni Dodoma ni vyema usikubali kupitwa na maoni ya mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyowasilisha wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017

Опубликовано:

 

1 ноя 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 169   
@muhammadsalaam1373
@muhammadsalaam1373 4 года назад
Ipo siku Bashe atakuwa rais wa Tanzania insha Allah.
@awadhally1052
@awadhally1052 2 года назад
InshaAllah
@leonardkapati3125
@leonardkapati3125 2 года назад
Amina
@edwinchama9211
@edwinchama9211 7 лет назад
absolutely.. you stand up, you say the truth fearlessly... thank you.. be blessed kaka bashe
@stevenayo4742
@stevenayo4742 7 лет назад
Bashe nakuelewa sana fanya kweli nchi ibadilike
@franksomanga8759
@franksomanga8759 7 лет назад
I salute you Bashe you're always stands on truth and facts
@sharifaoisso2094
@sharifaoisso2094 6 лет назад
Waaah I have never listened u before.Allah akujalie kila LA kheri
@athumangullam3854
@athumangullam3854 7 лет назад
linapokuja suala la nchi tuweke vyama pemben...hawa ndio wawakilishi tunaowataka bungeni
@ephraimathanas7833
@ephraimathanas7833 7 лет назад
we nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu sana bashe
@medlucas7397
@medlucas7397 6 лет назад
tamaa yangu ni kuona kila kiongozi anajituma kuliko mwenzake asante Husehn Bashe
@jeromefelix7741
@jeromefelix7741 7 лет назад
(kaka tumehaidi wananchi sisi chama cha mapinduzi,au kwa sababu kaka yangu wewe ujaenda kuomba kura?)yani ni moja ya maneno yenye ukarimu sana.daaaah yani kaka hussein bashe ningekuwa na uwezo wakukutana nawe ningekupa mkono wangu ili uendelee kupata baraka na maneno mazuri kama haya,manake kwa muonekano na hayo maneno yako inaonesha ni mtendea kazi mzuri japo me sikufuatilii...kaka husseini fanya kazi hiyohiyo kwani wananchi walikupa kura ili ukafanye kazi nzuri...nakuombea Mungu akulinde na kukubariki kokote uendako na kuuweka mkono wake kwenye shughuli zako zote ufanyazo,ziwe zako na za wananchi kwa ujumla zote ubarikiwe.
@gabrielchowo8070
@gabrielchowo8070 7 лет назад
Wewe ni mbunge shupavu sana na unasimamia ukweli wala sio siasa nakukubali sana na Allah akulipe kwa ukweli unaosimamia
@awadhally1052
@awadhally1052 2 года назад
Amiin
@marcojoel5217
@marcojoel5217 7 лет назад
big up sana hussein bashe kwa kutetea masilahi mapana ya nchi.
@moheqadday8123
@moheqadday8123 7 лет назад
big up bashe uko vizuri hata kama wewe ni ccm nakukubali kwny hoja zako mungu akubariki
@lapelyepota5572
@lapelyepota5572 7 лет назад
well spoken MP. tunapenda wabunge wanaojiamini kama wewe. sio wengine waoga ka kunguru. sipendagi kusikiliza speech za wanaccm. but hapa👍👌
@allyomary2636
@allyomary2636 7 лет назад
mungu akulinde mbunge ww kama tungekua na wabunge wa ccm 15 tu hii nchi ingekua mbali
@janekivivilo1851
@janekivivilo1851 7 лет назад
Hii ni nchi yetu ambapo Mungu alipenda sisi wstu weusi tuzaliwe hapa,HIVYO tunataka viongozi wanaosema ukweli katika kutetea maslahi na maendeleo ya wananchi!wabunge wetu simamieni vizuri sheria za nchi yetu.unganeni na kufanyakazi kama wabunge wa binge LA jamhuri ya muungano, na si vinginevyo !kwa pamoja na kwa sauti moja tunaweza.
@hermanmwailanga3912
@hermanmwailanga3912 6 лет назад
upo vzr brother wananchi tumekuelewa (siku zote tuna hitaji watu wa kweli wanao weza kusimamia maslahii yanchi yetu )nawapa shukran watu wa nzega kupata bonge la kiongozi
@maxv5047
@maxv5047 7 лет назад
Napenda sana viongozi kama hawa bungeni kungekuwa na wabunge wengi tungefika mbali sana mungu akuweke miaka mingi Mh. Bashe
@imamollel8494
@imamollel8494 6 лет назад
pamoja xana bashe,,
@annamwamlima894
@annamwamlima894 7 лет назад
Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema wewe ni muwaz na unachoongea nakuelewa
@jumayahaya8609
@jumayahaya8609 6 лет назад
uko vizuri sana mh Bashe
@frankmlawa4156
@frankmlawa4156 5 лет назад
We ni mashine bashe mungu akulinde daima mpango n kilaza uyo
@frankmlawa4156
@frankmlawa4156 5 лет назад
Magufuli umefanya vema sana kumteua uyu jamaa anaakili kama zote ani MPE nafasi kubwa atakusaidia sana mzee bashe
@realrealadventurestz3348
@realrealadventurestz3348 7 лет назад
Umeongea ukweli kaka big up!
@jaliwakope1949
@jaliwakope1949 7 лет назад
Niliwaza pia suala la kuongeza kodi hasa kwenye sekta za kibenki, utalii, na n,k kama ndio njia pekee ya kuongeza makusanyo na matokeo yake tunaona utalii na huduma za kibenki kushuka nchini. Serikali isikilize maoni haya
@NabiiKelvinSittaSitta
@NabiiKelvinSittaSitta 7 лет назад
maarifa iko Juu Yako! Be Blessed Baahe.
@jumahassan273
@jumahassan273 3 года назад
Kweli mungu ameshuka kwa watu wachache bashe mungu akubarik kwa kututetea wananchi wengi
@itmanager1119
@itmanager1119 6 лет назад
asante kakaangu Bashe bungeni natamani hata uwe ndgu unakomboa taifa la 2018
@potypooty38
@potypooty38 5 лет назад
Kaka mungu akuzidishie maisha malefu
@sebastianitz2178
@sebastianitz2178 6 лет назад
Uyu ndie mbunge anajua kazi yake wote wangekuwa kama Bashe Tanzania tungekuwa mbali sana ila wengine hawatimizi wajibu wao
@godlucktesha2676
@godlucktesha2676 7 лет назад
kaka ww ndio unahitaji wa tz tukuombee maana upo sereous na maaendeleo ya nchii hii
@jacksonsospeter-cg2of
@jacksonsospeter-cg2of Год назад
bro bashe you are upcoming Magufuli, Utakuwa rais nimekutabilia mimi.
@annacarlos7925
@annacarlos7925 7 лет назад
hongera sana kaka ubarikiwe mungu akupe afya njema utumikie wantanzania kwa haki
@obadiaalbetus620
@obadiaalbetus620 7 лет назад
aksante sana kwa kazi ulofuata kwaajili ya watanzania 'heshima'kwa ulo waambia wakuelewa ataelewa
@lawisonjameskaleme6243
@lawisonjameskaleme6243 6 лет назад
Very thick minded, hiki kichwa achana nacho.. tungepata hata robo ya wabunge wa CCM... kama hawa hakika
@nestarlameck9561
@nestarlameck9561 7 лет назад
i do respect u bro...unajua mpaka sio vzuri
@wilsonamandus1567
@wilsonamandus1567 6 лет назад
mungu akulinde na kuongoze mh.h bashe we ni muwazi na si mnafiki kama walivyo wabunge wengine
@anastanciamalema9406
@anastanciamalema9406 7 лет назад
Mungu akubariki sana kaka umeongea points sio brabra usichoke kutenda Mema vivyo hivyo ili wananchi tunufaike
@erickkihuru4529
@erickkihuru4529 7 лет назад
nimekuelewa sana big up!!!!
@edwinmoshi2523
@edwinmoshi2523 7 лет назад
mi naona huyu mh. apewe kabisa hiyo wizara. inaonekana waziri Mpango ana vyeti vizuri tuu ile anashindwa kuviweka in practice
@fathiyasaleh2639
@fathiyasaleh2639 7 лет назад
kodi zinatuumiza wananchi WA chini
@davidkalinga5580
@davidkalinga5580 7 лет назад
shida ni kuwa wazir mpango amepangwa
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 3 года назад
Ccm mtunzeni huyuu MTU ndo rais ajae ,mie nasema wacha tumpe nchii nyota njema hiii .....big up bashe am learning facts in politics via u bro .....my vote will not lost in ballot box
@oresluaw6607
@oresluaw6607 7 лет назад
mungu akutangulie ktk uongozi wako nimejifunza kitu
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 лет назад
Hussein Bashe Hawa ndio viongozi Na Wabunge tunaowataka. wawe CCM ila wakweli. hatutaki unafiki Mungu akulinde kijana mwenzangu. tears for really
@edgerkinyaga8202
@edgerkinyaga8202 7 лет назад
d
@aibansaidy4497
@aibansaidy4497 6 лет назад
mungu akubariki mh bashe kwkwel unaongea vitu vyenye ukwel ndani yake
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 5 лет назад
Mh uko vzr sana 100% ila punguza lugha ya magaribi huko, tumia lugha mama ya kiswahili tukuelewe vzr Mh H.Bashe
@mgendela2416
@mgendela2416 7 лет назад
Bashe anajua achosema..💪
@capelohamadi5273
@capelohamadi5273 7 лет назад
Huyu ndie mbunge......
@gezaulole7988
@gezaulole7988 7 лет назад
go ahead Bashe, go wakikuzingua hama na Chama kbs
@denniskiboko2502
@denniskiboko2502 7 лет назад
Ukwell nikwamba Inchi hii inaitaji watu Jasiri kama Bashe. tuache ushabiki tutete Taifa. Mungu akubariki Bashe
@lwiticomwalukumba4148
@lwiticomwalukumba4148 7 лет назад
you are real man ....Bashe
@erickhaule8680
@erickhaule8680 7 лет назад
daah aisee wanatuua na haya makodi
@omarymwigula5479
@omarymwigula5479 7 лет назад
Huyu jamaa huwa namuelewa sana pamoja na kuwa yeye ccm
@user-oj1vp9vd4j
@user-oj1vp9vd4j 7 лет назад
ɷɷɷɷ Heeyy Friends I Havee Just Won Branddd New Samsung Galaxy From visitttt : - t.co/wnm5Vtayxv
@yusufumpepo5836
@yusufumpepo5836 5 лет назад
Bashe. samahani ,naomba nikuulize swali bro, hivi unahisi kwann wabunge wezako hawafanyi kazi ya kibunge kama we we?
@ezekiamaluma6091
@ezekiamaluma6091 6 лет назад
Ungekuwa jimbo ni kwangu ningepanga foleni kukuchagua
@eliudkimokezi8538
@eliudkimokezi8538 7 лет назад
Hon. Bashe 👏👏👏
@jisandumanyakenda3666
@jisandumanyakenda3666 2 года назад
Braza uko vinzur sis wakulima nakupa hoger kazi iedelee kaka
@sskbmtbk4901
@sskbmtbk4901 7 лет назад
Lait wabunge wa cc ...wangekuwa na hoja kama hz za mheshimiwa klio knachoskika xaiv kisngekuwepo
@gastordominic410
@gastordominic410 7 лет назад
Hongera Sana kaka hussein bashe ww ni mzalendo baada ya jk yaan nyerere
@YOHANAKASARA
@YOHANAKASARA 7 лет назад
Huyu ana neno zur kwa nchi
@MohamedHassan-zc5bl
@MohamedHassan-zc5bl 7 лет назад
mkuu bashe ndelea hivyo yani ni filosis filanyoso
@rehemapaulo9427
@rehemapaulo9427 5 лет назад
Mungu akulinde mheshimiwa
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 Год назад
Safi sana big mungu pamoja nawe
@nathanmapunda1052
@nathanmapunda1052 5 лет назад
natafuta kila neno la kukuambia kaka bashe, zaidi ya ahsante.
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 4 года назад
Msema kweli mpenzi wa Mungu.
@awadhally1052
@awadhally1052 2 года назад
Kwel Allah amuhifadh
@jamesmwaisondola6745
@jamesmwaisondola6745 6 лет назад
Bora kuwa na mmbunge mmoja kuliko wabunge mia wasio na elimu by mwaisondola chief
@renatuscharles4524
@renatuscharles4524 5 лет назад
Pengine naona huyu ndo miongoni mwa waheshimiwa wa kweli,wabunge wetu wamuige Mheshimiwa Bashe,nchi yetu ikiwa na wabunge wengi kama Huyu ni lazima nchi yetu isonge mbele tu ,sasa niwakati wakufanya utekelezaji sasa Tanzania mpya izaliwe.
@ambakisyemwanjemba6501
@ambakisyemwanjemba6501 7 лет назад
mbunge makini sana
@Msonjo
@Msonjo 7 лет назад
big up umesoma
@fathiyasaleh2639
@fathiyasaleh2639 7 лет назад
Hakuna professionalism inayoweza kusimama peke take bila msaada kutoka fani nyingine. kwa mfano ni mhandisi gani asiyehitaji mpishi WA kumuandalia chakula.
@kephasnaftal
@kephasnaftal Год назад
Hussein Bashe his president
@paulkusaya8476
@paulkusaya8476 6 лет назад
MUNGU akupe ulinzi mh bash
@kabaitijunior2642
@kabaitijunior2642 7 лет назад
Bashe ni mtu makini sana namuelewaga harakati zake hasa pale anapooona ujinga unatendekaa
@hasanngwindi3237
@hasanngwindi3237 7 лет назад
Waambie nakukubari sana bashe
@emmanuelpanga943
@emmanuelpanga943 6 лет назад
Bashe wewe ni kiongozi bora ndoto ya watanzania..Uzalendo kwanza Mr. ccm mjipime kwa mwenzenu jamani
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 7 лет назад
constructive contribution
@salimmasatu6839
@salimmasatu6839 7 лет назад
kaka kweli we ni mwanaume haung'atagi maneno kabisa cyo km hao wanaccm wengine wao ni ndiyo hata km ni baya ili wachanguliwe kuwa mawaziri. tutetee kamanda tunakuombea ufike mbali
@stelaamosi2549
@stelaamosi2549 7 лет назад
nimekuelewa kaka semasema habari iwafikie
@ajayommy279
@ajayommy279 Год назад
Liumbwa linacheka kwa zarau dar inaumaa mungu ww wajua
@mangibusiness6771
@mangibusiness6771 7 лет назад
J.P.M akitumia busara na hekima... Tutafika... Akitumia sifa tutamtoa 2020......
@odetatz3050
@odetatz3050 7 лет назад
tungekuwa na watu kama hawa wa5 tz tungefika mbali
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 года назад
Nakupenda sana kaka
@yusufumpepo5836
@yusufumpepo5836 5 лет назад
kwa ifahamu wa elimu yangu, kama hutaku kushauriwa au kukosolewa basi hutafanya vitu kwa maendeleo na kitu utakuwa unapata hasara. na huh mfumo ndio serikali yetu ilivyo.
@kamkubwa
@kamkubwa 7 лет назад
what we call a leadership.
@pauldeogratias1037
@pauldeogratias1037 6 лет назад
NAKUPONGEZA SANA BASHE KWA UZALENDO WA KUWA MKWELI BILA KUJALI ITIKAD ZA CHAMA CHAKO
@rashidabrahamani5860
@rashidabrahamani5860 6 лет назад
kaka nakupongeza sana kwa kucmamia haki kweli tunaumia
@danielphares3089
@danielphares3089 5 лет назад
Nakukubari brother yani dah one day naomba mungu anisaidie nije nilitetee taifa langu kama unavyo litetea wewe
@robati.majwajwamajwajwa4152
@robati.majwajwamajwajwa4152 6 лет назад
Huseen. Bashe. Ninomasana. Namkubari
@hamismartin5011
@hamismartin5011 7 лет назад
hii ndio inaitwa hadhi ya bunge
@ayoubmponzi2859
@ayoubmponzi2859 7 лет назад
umetukuka na unafanya kaz kwa weledi mkubwa sio mkulupukaji mungu awe pamoja nawe kwa kutusaidia wanyonge
@petermsogot4905
@petermsogot4905 7 лет назад
mzalendo waukweli
@salisali3738
@salisali3738 3 года назад
2021 lita kuwa bunge kama tembere
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 5 лет назад
Huyu jamaa shule alienda kutenda kilichokuwa kimempeleka 100%
@doctorjuniour9459
@doctorjuniour9459 7 лет назад
Nahc kwa wabunge wa CCM huyu ndo anajielewa wengne wote MABUA tu...wanatoa toa macho mda uende tu
@tanstoretz
@tanstoretz 7 лет назад
big up Beshe
@tinooscar9981
@tinooscar9981 7 лет назад
safi sana
@maliyamungukimaro5211
@maliyamungukimaro5211 5 лет назад
unasifa ya Kuwa rais
@ibrahimmwasomola4130
@ibrahimmwasomola4130 7 лет назад
daaaah uyu jamaa
@jimsonmsigwa4072
@jimsonmsigwa4072 7 лет назад
bashe ni mzalendo tuache siasa.
@henrickchambilo4806
@henrickchambilo4806 5 лет назад
Jimson Msigw
@mafoleb.8562
@mafoleb.8562 7 лет назад
basheee kula tanooo
@yassinponera4271
@yassinponera4271 5 лет назад
nice kaka
@alexjohn693
@alexjohn693 Год назад
Ayo naheshimu saana chombo chako hivi hawa viongozi wetu wanamwakilisha nani ikiwa. Mahindi inadaiwa kuwa yako mengi unga leo kg 25 alobaini elf shida wapi
@pastorydaudi1388
@pastorydaudi1388 Год назад
NEXT PRESIDENT
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 5 лет назад
Dogo, nakushauri hivi, wewe na Zitto inaonekana hua mnasoma sana kabla ya kuja bungeni, wahenga wanasema, "the wise speaks because they have something to say but fools speaks because they want to talk" you are among of the wise people. Sasa mhe, naomba uwe unampelekea mhe waziri wa fedha mapendekezo yako even before vikao vya bunge havijaanza, wakikataa basi.
Далее
Получили тысячи $$ на "старье".
20:10
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Просмотров 664 тыс.
BASHE KIBOKO, AWACHANA LIVE VIGOGO WA SERIKALI BUNGENI
16:34