Na siku hizi kulea watoto wakiume ni kazi Sana kuliko wakike, halafu dunia bado haijashituka, bado upendeleo mwingi unaelekezwa kwa watoto wa kike , mi inaniuma, Nina watoto wakike na wakiume, wote wapewe uangalizi Sana na jamii, ni hatari
Kwa upande mwengine baadhi watu/wazazi wapo wanaolitumia vibaya suala hili la udhalilishaji, kwa maslah yao binafsi, kwa mfano mtu anaweza akagombana/akakosana na mtu mwengine,sasa ili kuona kuwa ni namna gani ataweza kumkomoa mwenzie na kumuingingiza katika balaa moja kubwa anaona amsingizie mwenzie kuwa amembakia mtoto wake, vipi hapa mtoto atakuwa ametendewa haki na mzazi huyu? Vipi mustakbali wake kwa ujumla utakuwaje? Na inawezekana ni uhakika 100% hajafanyiwa hicho kitendo. Na vipi huyu mzazi aliemuingiza mtoto wake katika record mbaya kitu ambacho si sahihi tutamuweka katika nafasi ipi?. YOTE KWA YOTE NI TUBADILIKE KUANZIA KATIKA MALEZI NA HATA SISI WENYEWE, TUWALEE WATOTO KATIKA MALEZI YALIYOKUWA BURA NA SISI WATU WAZIMA TUACHE TAMAA ZA KIJINGA.
Wtto wengi siku hzi hawapigwi wala hawafunzwi ndio mana ubakaji unazidi. unakuta mtto anamuomba mgeni pesa au anamsachi mifukoni na mzee wake yupo anacheka tu, zamani wazee wakijitambua kiasi ambacho unakuta mtto si rahisi kua na ukaribu na m’me hata km ni jamaa yake. Na jengine watu wazima waache kuwapa vizawadi na pesa wtto, wwape wazee wao ili wazee wawape wtto wao. Hii inaeza kusaidia wtto kuacha ukaribu na w’me.
Na hawa wafanyaji tungekuwa tunamalizana nao kimya kimnya ukeshagundua tu huyu jamaa kamlawiti mwanangu unamalizana nae mwanao ndio inakuwa mtu mwisho kumlawiti.. Hio ndio adhabu alioiweka Mungu uko sahihi na hawa wakeshagundua wanatumaliza wataacha tu, waovu wengi wanapenda kuishi . Hatua nyengine yyt tunajipumbaza tu wtt wetu wanazidi kupotea na mabasha wanacheka leo kamfisidi hy kesho yule na tunawajua mtt akibana anamtaja tu anamlawiti.. Dawa ni kumalizana nae mlawiti kimya kimya tu... Kesi ikiipeleka polisi inachukua miaka 2, dpp miaka 3 , mahakaman miaka 5. Tena basha yuko nje anaharibu wengine mtaani bukheri hana wc wc..
Asilimia kubwa Mambo hayo hutokea ktk familia,mfano baba, kaka, ndugu Majiran,Wajomba hawa ndio wanao haribu Watoto ila mitihan hii ikiwa akipatika ukimalizanae kuvuruga kwa magongo bara bara mpk ata akitoka basi iwe funzo wake weziwe,akiwa nguvu hana tena ametoa macho kwenye kigari Watapotea matendo machafu
nimekuewa dada yangu asante, elimu nzr wapatiwe wakina mama semina mashule wazazi waitwe na hata misikitini na kanisani mitandaoni bado wengine hawana simu na hata ivo wanasema bando
Mttzo mengi sana yanasabbishwa na wtto kutopigwa. Kuna makosa mtto anahitaji kupigwa nasio kusemezwa. Ssa hii kujitia kusemeza au kulea kizungu ndio inayopelekea watu wazima wasiojitambua hawana adabu, aibu wala utu. Tukumbuke mtto unaemlea Leo kiyai ndio mtu mzima wa kesho…anakua na familia yake au Atakua na kazi yake iwe ualimu, udaktari, unasi, muuza duka au hata mzururaji…je km hujampa malezi ya kumkanya na kumrudi kwa mikwaju kwa makosa ya serious au yakujirejea unadhani atakuaje? Msiige malezi ya kizungu total, wtto wa kizungu au wa Ulaya wengi sana hawana adabu hata za kuvalia nguo zao na sbbu kubwa hawapigwi. Kwahio km hampigi mtaona mengi hivyo vzazi vikikua
Uovu huu una miaka mingi mno hapa nchini, lakini ulikuwa hauzungumzwi wazi wazi kama unavyozungumzwa kipindi hiki ambacho umeshapiga kwa kila jamii. Uko mashuleni hususan mabwenini,magereza
Dada nyumbani kwetu pemba wala usingeye hayo mtu amezaa watoto wake wanawake wawili watiyana kucha mama yao anajuwa anasema hawana adabu hao anaenda chuoni akirudi mikojo inatoka ananuka uchi chini anawachekeleya hao watoto watu hawamulizi kitu mama yao
Ww je umechukua hatua gani kusaidia hao watt au kumpa elimu ya kujitambua mama yao??....hii kuja kumsema hapa wakt huna jitihada yeyote kuwasaidia basi una dhimma mbele ya mungu chunga sana msaidie huyu mama na watt wake...huenda hana elimu ya aina yeyote kuhusu malezi.