Hawa ndo wasanii sasa,,,,content na uimbaji hamna wa siku za leo japo kizazi cha siku hizi wanachojua ni kusifu sifu vitu ili mrad2,,,Dazibaba big up sana broooo❤
Kiswahili Bhana Jamani Kifo Akiwezi Kumuumbua Mtu Mtu Akifa Aumbuki Kwasababu Kinachokufa Ulie Hai Uwezi Muona Utaona Maiti1 Sasa Maiti Itaumbuka Vipi Mbele Yako wakati Mtu Akifa Aludi Kwa Dunia Tena Mahisha Aya Kigeugeu Unaweza Msema Dazi Baba Wakati Wewe Ujui Mbele Yako Unajisifu Ukiwa Ujui Mbele Yako Unaweza Kua Teja Kuliko Dazi Baba
@@noelbryson7840 Wewe fala kweli niongee unafki wanini namjua vizr sana mpqkq ndani kwao nyumba ya baba yangu ipo karibu NA alikiba dada angu yupo karibu nq nyumb yakin dazz baba huyu anashinda nnje kwao kunakibar kidogo kilikuwakinauzwa pombe halafu kikafungwa anashinda hapo nje NA msela. Wenzie kuvuta mda wote sahii nenda utamkuta ukishuka sanene tabata segerea shuka. Vuka. Barabara ongoza ile. Njia kuelekea shule ya tusime mpqkq. Police jamii kata kona upande wakushoto utamkuta nje tuu geti lao jeusi ukiuliza tuu unapeleka mpqkq ndani
Kuna maswala waandishi wanauliza ili kumpima mtu kama at Atoka kwene reli au vipi lkn Kwa Daz naona kajipanga kisaikolojia halafu shule pia imemsaidia form 6 ya zamani sio kama yasasa
Daz ndugu yangu acha kuficha maradhi, kwani kuna siku kifo kitakuumbua. Wewe kubali tu kwamba wewe ni teja ili usaidiwe kupata tiba na baadae urudi upya kutupa burudani yako tuliyoikusa muda mrefu. Acha unga na utubu maana vijana wengi wanaangamia kwa kuficha maradhi.
Kila Mtu Anakuja Anaishi Anaenda Kikubwa Kila Mtu Amueshimu Mwenzie Akila Madawa Asile Madawa Kikubwa Jamaa Alileta Fulaa Kwa Vijana Wakale Waleo Na Wakesho Na Hata Milele Amina Hata Ukiwa Teja Lakini Ngoma Zako Tamu Muda Wote Zote Tamu