Тёмный

DAZ BABA AFUNGUKA KUHUSU KULA UNGA, NIMEOKOKA TANGU TUMBONI KWA MAMA YANGU 

EastAfricaTV
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 Год назад
Hii miziki ya huyu mwamba Daz baba n miziki ambayo haijawai tokea , Yaan namaansha n ngoma kali all the times ❤🎉
@EzzyK438
@EzzyK438 Год назад
Bro anaongea fact sana, nipeni likes zake huyu mwamba
@DavidLucas-ou7vp
@DavidLucas-ou7vp Год назад
Jembe letu bwana Hilo 😍alifanya vizuri sana mpaka nipo gheto nasikiliza elimu dunia
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 Год назад
Daz Baba você foi um homem que sempre nos deixou feliz na música tanzaniana. Deus abençoe a você e sua família 🇲🇿🇲🇿
@hunterdeskeezy7142
@hunterdeskeezy7142 Год назад
Armando
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 Год назад
@@hunterdeskeezy7142 Aqui 👍
@antidabanyikwa3259
@antidabanyikwa3259 Год назад
Rudiii banaaa Daz we miss you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 Год назад
Hawa ndo wasanii sasa,,,,content na uimbaji hamna wa siku za leo japo kizazi cha siku hizi wanachojua ni kusifu sifu vitu ili mrad2,,,Dazibaba big up sana broooo❤
@abubakaralimohammed3388
@abubakaralimohammed3388 Год назад
Tuko pamoja niliwa Saudia Arabia,great job for the East Africa Radio.
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Saudi Maeneo gani kaka
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Год назад
😂jamaa ana majibu smart Sana, I like it
@mkoreaog4434
@mkoreaog4434 Год назад
😊
@dayanamsuya6516
@dayanamsuya6516 Год назад
Wakumshukuru mungu kapata afya na akili imetulia mungu wetu amsimamie vema
@silvestabahebewadudu6625
@silvestabahebewadudu6625 Год назад
Daah Mungu mkubwa..tunakupenda daz..
@JescaPhares-r2v
@JescaPhares-r2v Год назад
Aloo Uyu mwamba anajua
@zkbeto2486
@zkbeto2486 Год назад
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Год назад
Dazz baba nimesha kua mtu mzima mie, sasa naitaji mpenzi wa kuishi nae, kuzaa na kulea watoto na mie.
@magrethsimon5787
@magrethsimon5787 Год назад
kipaji cha kweli 🥰💪
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Jembe sana , me nakukubali sana mwamba 👍
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Год назад
SALUTE 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👊👊👊 DAZ BABA
@Basagamp4
@Basagamp4 Год назад
Heshima saana Mwalimu Daz
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
Mwamba huyu hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@kilasiovethi5040
@kilasiovethi5040 Год назад
Safi kamanda nakubalii mkulugenzii wangu
@matunzojr4862
@matunzojr4862 Год назад
raha ya kuandika ngoma mwenyew ata miaka 20 lazima utaikumbuka tu huez sahau verse kama yule msanii wao aliyesahau mistari ya kuandikiwa stejin😃😃
@bennylove6021
@bennylove6021 Год назад
Jamaa aliambiwa aimbe Pafyum akashindwa dah
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Nani huyo
@mawengemtz
@mawengemtz Год назад
@@bainolatino3412 rado ausio
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Safi sana kwa kweli jamaa ana hits kali bas tu madawa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
Halafu kwao wala hana choka. Mbaya yupo vizr tuu geti kali nini ilq. Kajiaharibu naulevi
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Havuti madawa huyo wewe style ya pombe ikizidi ni inakua too much lakini ni Unga kitu kingine hiki
@AhmadaMkingiye-qm8nu
@AhmadaMkingiye-qm8nu Год назад
Ila jamaa kama kafanana na alioucisse yule kocha wa Senegal kama Kuna mtu kagundua hlo like hii comment 🤔🤔
@omarymkondo9651
@omarymkondo9651 2 месяца назад
Exactly
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Kiswahili Bhana Jamani Kifo Akiwezi Kumuumbua Mtu Mtu Akifa Aumbuki Kwasababu Kinachokufa Ulie Hai Uwezi Muona Utaona Maiti1 Sasa Maiti Itaumbuka Vipi Mbele Yako wakati Mtu Akifa Aludi Kwa Dunia Tena Mahisha Aya Kigeugeu Unaweza Msema Dazi Baba Wakati Wewe Ujui Mbele Yako Unajisifu Ukiwa Ujui Mbele Yako Unaweza Kua Teja Kuliko Dazi Baba
@ayoubimam7271
@ayoubimam7271 3 месяца назад
Huyu jamaa ana hits nyingi na kali kuliko ferouz
@Theonethatismissing
@Theonethatismissing 8 месяцев назад
Namba Nane Is the Best so far na Kamanda
@xaverisunday699
@xaverisunday699 Год назад
#aboi_4rm_makambako maniger faza wetu huyu tunajivunia hiki ni cha kwetu njombe boi mwanetu daz baba
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Год назад
Kweli
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 Год назад
Looooohhhhhh kweli maisha yanaenda,,
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw 3 месяца назад
Mtu wa maana kabisa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
Huyu anaivuta sanaa ukimkuta kwao pale duu😅😅sema nampenda yani ukipita salam kwa sana
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Anaivuta nini sasa? .. Acha unafki..
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
@@noelbryson7840 Wewe fala kweli niongee unafki wanini namjua vizr sana mpqkq ndani kwao nyumba ya baba yangu ipo karibu NA alikiba dada angu yupo karibu nq nyumb yakin dazz baba huyu anashinda nnje kwao kunakibar kidogo kilikuwakinauzwa pombe halafu kikafungwa anashinda hapo nje NA msela. Wenzie kuvuta mda wote sahii nenda utamkuta ukishuka sanene tabata segerea shuka. Vuka. Barabara ongoza ile. Njia kuelekea shule ya tusime mpqkq. Police jamii kata kona upande wakushoto utamkuta nje tuu geti lao jeusi ukiuliza tuu unapeleka mpqkq ndani
@amirimohammed2875
@amirimohammed2875 Год назад
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Kuna maswala waandishi wanauliza ili kumpima mtu kama at Atoka kwene reli au vipi lkn Kwa Daz naona kajipanga kisaikolojia halafu shule pia imemsaidia form 6 ya zamani sio kama yasasa
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 5 месяцев назад
Tako
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 10 месяцев назад
Kuna kitu hakipo sawa ila yeye mwenyewe hataki kukubali, muda utaongea
@sultanmsoloni8635
@sultanmsoloni8635 Год назад
Daz akiri mingi
@patrickdezzy9871
@patrickdezzy9871 Год назад
Muulizaji anapwaya sana, Kuzoea kuuliza maswali ya udaku udaku, eti umewai shika sh ngapi.
@nackplankton1669
@nackplankton1669 Год назад
Hajawah kutokea nahatotokea kama huyu miaka30 mbele
@kuvetamzazi8689
@kuvetamzazi8689 Год назад
Daz ndugu yangu acha kuficha maradhi, kwani kuna siku kifo kitakuumbua. Wewe kubali tu kwamba wewe ni teja ili usaidiwe kupata tiba na baadae urudi upya kutupa burudani yako tuliyoikusa muda mrefu. Acha unga na utubu maana vijana wengi wanaangamia kwa kuficha maradhi.
@benmbuya1814
@benmbuya1814 Год назад
Acha kuhukumu, una uhakika gani anatumia hivyo vitu?
@dayanamsuya6516
@dayanamsuya6516 Год назад
Ila ata kama hivyo anaonekana yuko fresh kuliko kipindi cha nyuma anapambana vizuri
@salimrizikijaji1281
@salimrizikijaji1281 Год назад
Dah bos wng huon km anatumia hayo mambo hapataki toch hapo
@bakarimuhibu602
@bakarimuhibu602 Год назад
Madawa kweli yanaharibu sana
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Год назад
Umuli
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Год назад
mwamba
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Dah kumbe daz yukonpoa tuu leo wamemkuta hajalewa anaongea poa tuu bado anajielewa tuu
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 Год назад
Kamanda ...kichwa hiki
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 Год назад
Wasanii ya siku hizo walikuwa wanafanya vizuri sababu walikuwa wanatembeleana maskani zao na kupeana chalenge sema tu mziki ulikuwa haulipi
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
Hapa kapona mbona anang'aa
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og Год назад
Sema umepoteza brand uyu mwamba kaja na 20parcent mikumi wamekunywa tungi awana ela acha wavutane apo bar 20parcent kapigwa mbaka chupa ya mkono
@JescaLameck-mr9dw
@JescaLameck-mr9dw Год назад
Waje bana waje tumewa mc bana hawa wakisasa wametuchosha na mapenzi
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Год назад
Ndipo wazazi wangu walipokaa chin na kufkri japo kuwa mm mkubwa nianze skul
@salehhemed9388
@salehhemed9388 Год назад
Elimu Dunia
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Год назад
Anafanana na Bob
@trillionthamani
@trillionthamani Год назад
Mario hawezi kuulizwa atukumbushe alichoimba
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Kila Mtu Anakuja Anaishi Anaenda Kikubwa Kila Mtu Amueshimu Mwenzie Akila Madawa Asile Madawa Kikubwa Jamaa Alileta Fulaa Kwa Vijana Wakale Waleo Na Wakesho Na Hata Milele Amina Hata Ukiwa Teja Lakini Ngoma Zako Tamu Muda Wote Zote Tamu
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 Год назад
Unga ni jambo baya sana jamaa ameshindwa kabisa kuacha unga ni ngumu sana
@djtobasoba3660
@djtobasoba3660 Год назад
Tatizo ukilikataa inakuwa mbaya
@michaelmwalupale3354
@michaelmwalupale3354 Год назад
Mwandishi ana maswali ya kiwaki sana huyu hakujipanga kabisa
@kadaskarim5081
@kadaskarim5081 Год назад
Daz umeanza kupendeza hongra san
@abeidsaid9635
@abeidsaid9635 Год назад
akuna kitu mm nilimuona tabata teja aswa huyu leo kaoga kavaa kapendeza
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 Год назад
Ngoma zake ninazo mpaka saiv
@IDV630
@IDV630 Год назад
Uyu jaama namukubali nyimbo zake hazitatoka kwa hewani
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 3 месяца назад
ananikumbusha utoto wangu sana
@derrickwanatanzega5047
@derrickwanatanzega5047 Год назад
MWANDISHI UNA MASWALI YA KINDEZI
@championtv255
@championtv255 Год назад
Dah huyu jamaa kazeeka na utam wake
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
NAWEWE OKOKA KWA NEEMA'
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
Mond msaidie huyu jamaa
@mudriqbutton8372
@mudriqbutton8372 Год назад
Rasta
@elishamwangolo1560
@elishamwangolo1560 Год назад
jembe langu tanzaniano
@rashidomar1558
@rashidomar1558 Год назад
Heavy weight
@zkbeto2486
@zkbeto2486 Год назад
Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO
Далее
无意间发现了老公的小金库 #一键入戏
00:20
Daz Baba   Elimu dunia
5:03
Просмотров 114 тыс.
NALIMI &FRIENDS
36:47
Просмотров 3,9 тыс.