Mimi nashauli hii ifanyike mikoa yote ya tanzania 🇹🇿 itainua mziki wa wakonywe wetu nchi nzima na kufanya platform zao kuwa juu kama mwanzo na wataweza kupata matangazo mengi
Hatari sana enzi hizo..mziki ujumbe achana na sasa mziki biashara na maagizo..mtu kitambo ulikuwa unaumiza kichwa utunge ujumbe gani bt now unaweza fumba macho dakika 2 na nyimbo unarekodi dakika 7 imeachiwa hewani.. Nmekumbuka mbali mno kwa kizazi chetu...😢😢😢
Kila mda na mazuri na mabaya yake mika 20 ijayo haya miziki ya akina Diamond yatasifiwa tu saana, labda wewe mto mdogo hawa wakati walikuwa naimba wazazi walikuwa nawaona wahuni na hakuna mzazi alikuwa natamani mtoto wake awe msanii
Kipindi cha hii nyimbo bado kijana kabisa nna miaka 23 nipo chuo UD nimekumbuka natoroka chuo naenda kwao na mpenzi wangu Mburahati en that was my first love nimekumbuka moments zote tukiwa wote viunga vya UD Mburahati kwao na kwetu Magomeni....Rest In Peace Zuwena wangu kama jana vile
Acnt Mh SUGU na Wenzako ambao mulipata wazo hili , Acnten DAZ NUNDAZ hpa ndipo ninapojiona mtu fulani pale tu ninapo ona vijana kbs miaka hawazijui hzi TUNGO zenye mafunzo na tafakari
kunakipindi niliwaza wasanii wazani wakipata kampani wanamashabiki wengi nyimbo zao ni za kudumu sio kama wasanii wa saiv Kama sugu eshima kwako kuwakumbuka wadau