Alifata maelekezo ya mwanaume, angeendelea kurudi rivas wangenaswa na wangechezea mapanga! Sifa na utukufu zirudi kwa Mungu aliemuongoza mwanaume kumuelekeza dreva!
This is my homeland...They once succeeded to hijack me and my mom and commanded us to get out of the car and leave everything inside but through the power of the most high Jah,police came and rescued us
Drama hiyo wanaigiza....utateka mtu kwa panga .... Yaan mtu yupo ndani ya gari hujui anasilaha gn then unamkimbilia na panga 😂😂😂😂😂😂...... Huu NI uongo kbsa , Kwanza ile gari tuliyopishananayo kwann imepita mkono sio sahihi? Nakama ilikuwa ya majambazi ilishindwaje kublock sisi kwa njia . 😂😂😂 Acheni upimbi maji . Straight from +255 🇹🇿
Hao sio majambazi ni wachnga ngombe sema alichoka tokimbizana na ngombe kwa time hiyo wakaamia kwenye gari jambaka kabisa umtoke kizembe akiwa ameaga kwa kimada utaelewa tu
BAWASILI/HEMORHOID. hii ni hali inayotokea baada ya kuvimba kwa mishipa midogo (vena) inayozunguka sehemu au tishu za tundu la haja kubwa. Bawasili zipo za aina mbili kulingana na sehemu inapotokea... Inaweza kuwa ndani au kwa nje. SABABU -👉mtu akiwa anahara sana 👉kuwa na kinyes kigumu mara kwa mara 👉ujauzito 👉kuwa na uzito kupita kiasi 👉kufanya ngono kinyume na maumbile 👉kula sana vyakula vya kukoboa 👉kuchuchumaa mda mrefu wakat wa haja 👉mtu mwenye tatizo la ini huweza kupata pia DALILI 👉damu kinyesini 👉maumivu wakat wa haja kubwa 👉kuwashwa kwa tundu la haja 👉kujitokeza kinyama kwenye tundu la haja kubwa Nb Ni watu wengi wanao ugonjwa huu ila huona aibu kujionesha na hatimaye huenda kupasuliwa.... Usiogope endapo unalo tatizo au unamjua alienalo mfahamishe kuna bidhaa ataweza kuzitumia na hatoweza kupasuliwa coz zinaondoa kabisa na huo uvimbe hautarudia tena kama ambavyo angeenda kupasuliwa Contact us ☎ Whtsp/call 0744481111
Je akili yako imefika mwisho huoni majibu kwenye maisha yako kwa kila kitu unafanya karibu tuombe pamoja katika chanel yangu hii bonyeza pocha kisha subscribe hapa kisha bonyeza kingele ili kupata ratiba za maombezi na mafundisho ya Mungu bila kujali dini yako asante, nabii mdogo Tz
Mwanamke alisimama akaweka gear ya nyuma mwanaume akamwamby endesha uende mbele,, mwanamke angekua pekeake angepata ajal maana kurud nyuma na gar sio kaz rahisi
Hakuna ujambazi wowote hapo , kwenye tukio is ujambazi la ukweli utapata wapi nguvu za kurekodi tukio ?? Hao vibaka mdebwedo tu , Millard Ayo nawe siku hizi waokoteza habari ??
Naitwa mganga masoudi au masoudi natibu kansa pamoja na ukimwi 0714092055 0742101381 natumia dawa inayoitwa mti mkulu niyakuchanja inasafili kwenye damu hakuna ugonjwa usio na dawa kwauwezo wake mungu nipo morogoro
Walikuwa wanafuata Basi basi walivoona gari ndogo wakageuza Wazo ila Mungu amewasaidia Abiria waliokuwa ndani ya Basi. Tunamshukuru Mungu! Ninavojuwa wazungu kwa kuogopa kifo hawatakujaga tena hapo mmewafukuza maaana wazungu kama ndege vile.