Тёмный

BABA LEVO ASIMULIA MWANZO - MWISHO KUPIGWA NA HARMONIZE “ALINIKABA, NIKANYANYUA MIKONO” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 324 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,3 тыс.   
@user-is9kl3jn3v
@user-is9kl3jn3v 5 месяцев назад
Baba levo uwa sikupendi na sikuelewi ila leo nimekuelewa big up sana
@denicdaud4702
@denicdaud4702 5 месяцев назад
Kama umemskiliza b levo vzr Kuna kitu Cha kujifunza😊
@BahatiDominick-zf3li
@BahatiDominick-zf3li 5 месяцев назад
Kweli kuna funzo hapo
@reaganhassan156
@reaganhassan156 5 месяцев назад
Mpaka hapo nimejua babaLevo ni mtu Mzima na Una jielewa saana, Big Up
@TajiriChuiwadunia
@TajiriChuiwadunia 5 месяцев назад
😂😂😂😂umelogwa weweee
@igomambeyamatukiotv6536
@igomambeyamatukiotv6536 5 месяцев назад
Wapi mkorofi tu huyo
@artist_mtulivu7799
@artist_mtulivu7799 5 месяцев назад
Kama maelezo ni haya baba levo uko sawa 🙏
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 5 месяцев назад
Kwa sasa atakua na adabu BABA levo..kama kadundwa kweli..☑️📌
@richkaja3317
@richkaja3317 5 месяцев назад
Levo ubahati mbaya sanaa ulikuwekwa ndani nw umepigwa na harmonize duuh Pole sanaa acha uoga harmonize maskini tu
@madukurumwanileles7909
@madukurumwanileles7909 5 месяцев назад
Baba Levo ni mtafutaji ndo maana hajapigana,Sasa hapa Hamo atamlipa pesa ambayo ni kama ameokota dodo chini ya mti wa mkwaju,kupiga Kuna madhara yake!,jamaa anaenda kuvuna pesa Kwa Hamo kimdhamdha tu,Hongera Baba levo
@user-mr1di6ex9x
@user-mr1di6ex9x 5 месяцев назад
Kamali haina mashiko selikalini
@kibandachasimu
@kibandachasimu 5 месяцев назад
unaijua Sheria wewe?!
@georgenzai1355
@georgenzai1355 5 месяцев назад
Mwanzo umepigwa kasino 😂😂😂😂
@annieteddy3702
@annieteddy3702 5 месяцев назад
Afu cameras zitasaidia sana kuonesha ushahidi
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 5 месяцев назад
Jiloge sehemu kama izo uone kama kunasheria
@junelatifah1385
@junelatifah1385 5 месяцев назад
You did good baba levo from +254
@djstoppa2251
@djstoppa2251 5 месяцев назад
Saf sana baba levo maelezo mazur sanaa na unauamuzi wa ki utu uzima hiy ndio akili muache mtoto ajifunze
@elishamwakasege9794
@elishamwakasege9794 5 месяцев назад
YES NAITWA BABAKE NA LEVOOO😂😂😂 LEO NIKO DUBAI NAHAKIKISHA MNAJUA KILA KITU😂😂WAPI LIKE ZANGU
@bonphacearon2428
@bonphacearon2428 5 месяцев назад
B levo nakuelewa sn ila wapuuuzi hawawez kuelewa point yko...ugomvi sio kitu sahihi kweny maisha haya jmn hujui unaegombana nae kama unakichwa kigum kama mbao huwez elewa...
@taseleli9181
@taseleli9181 5 месяцев назад
Huyo baba levo mwenyewe mdomo wake hauna break wacha anyooshwe hawezi pigwa bila sababu kuna jambo hapo😂😂😂😂😂
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 месяцев назад
Ww msenge na huyu mama level anamshobkea sana
@user-bm9lu9qn2u
@user-bm9lu9qn2u 5 месяцев назад
Harmonize hana hakili bro thanks b levo boy
@mohamedkige2535
@mohamedkige2535 5 месяцев назад
daaaa nakukubali mkuu unajua kujieleza sanaaaa
@Masta313
@Masta313 5 месяцев назад
Kutumia Maguvu kushapitwa na wakati Respect B Levo
@MuhammadNasra-jg7qc
@MuhammadNasra-jg7qc 5 месяцев назад
baba levo ulifanya jambo nzuri kijiepusha na shari❤
@georgeabdallah2897
@georgeabdallah2897 5 месяцев назад
Babalevo acha kamari
@user-jx7fc2ej6g
@user-jx7fc2ej6g 5 месяцев назад
Baba levo uko sahii ugomvi sio mzuri kiukweli.
@juliusnyerere5393
@juliusnyerere5393 5 месяцев назад
Ugomvi sio mzuri wakati kila siku mjinga huyu anawasema maneno mabaya mitandaoni Kama msenge baradhuli. Hana anachokiweza. Lake ni domo tu. Kama mwanamme angepigana. Aone mm Aaah ooooh ugomvi hauna maana ndio kwanza mjue leo wapumbavu wakubwa angetolewa meno hasa Akajua. Kumbe anajifanya Simba kumbe simba wa karatasi. Mjinga mmoja. Hakuna atakae mlipa. Polisi mambo ya ulevini ni yao wenyewe Hawaingiliii kati.
@chonjohousesofdrinks
@chonjohousesofdrinks 5 месяцев назад
Asante baba lavo kugombana niushamba muache dogo ajione kashinda
@icclcharters3389
@icclcharters3389 5 месяцев назад
Hapa baba level ame play smart sana,Nia na madhumuni nikumtoa upepo dogo,Watu wapo serious na maokoto so utamtishia kumpiga mwenzako anaibeba kama agenda mkamalizane mahakamani au mfanye mediation ale chake👍Big up sana lkn pia kusameheana ndio ubinaadam pia
@mugishalaurian3311
@mugishalaurian3311 5 месяцев назад
Udhalilishaji na masimango plus fitina anazomfanyia harmonize kwanza ashukuru Mungu tu, aendelee kumsemea babake daimond bila kuingilia mkate na hustle za watu..ngoja achapwe apunguze mdomo
@HancyKabisama
@HancyKabisama 5 месяцев назад
Braza we ni bonge la mwanamziki ila unafeli sana kwenye huu upande namkumbuka sana Yule Baba levo wa miaka ya 2000
@neemawekab2306
@neemawekab2306 5 месяцев назад
Baba levo his very mature ❤
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 5 месяцев назад
Baba levo ana akili ndefu atapiga hela kwa kipigo kama nikweli amepigwa anazingatia maokoto 😂😂😂
@emmanuelaben-df6yr
@emmanuelaben-df6yr 5 месяцев назад
Kaisha jichanganya kwenye maelezo kusoma alikuwa amelewa
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 5 месяцев назад
Kabisa
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 5 месяцев назад
Uposahihi baba levo, ugovi hauna faida yoyote zaidi ya hasara.
@user-rr6vu7oe1y
@user-rr6vu7oe1y 5 месяцев назад
Kabixaa
@sangbforever
@sangbforever 5 месяцев назад
Good interview ❤ Sang b forever best rapper 💪
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Tatizo watazania hamuna uwelewa baba levu yupo sahihi ugomvi sio mzur
@mugishalaurian3311
@mugishalaurian3311 5 месяцев назад
Nafikiri angeendelea kumsemea baba yake diamond bila kumkandia harmonize..ugomvi una chanzo ndgu😅😅
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 месяцев назад
Akilet ujinga apigwe sio kilamtu anaitaj chaw
@BensonLukwambe
@BensonLukwambe 5 месяцев назад
Wewe ni mzungu!?
@EdifonceSylvester
@EdifonceSylvester 5 месяцев назад
Mkuu shida wote walikuwa wamelewa ata baba lovo alikuwa maji mzee
@makilimsimu2451
@makilimsimu2451 5 месяцев назад
Angalia suala lako watanzania wangapi usikosee nchi adabu kaka wataje ambao hawana uelewa unajua wewe ,,alafu jifunze kuandika koment itakuja kula kwako
@RamcyeeJunior254-nb9cj
@RamcyeeJunior254-nb9cj 5 месяцев назад
Skiza story Wacha kukomet ujinga
@samngala128
@samngala128 5 месяцев назад
Baba levo ,I win today take this money
@hassansammy1076
@hassansammy1076 5 месяцев назад
Pole sana baba levo jembe letu
@Surprised3DModel-ev4zr
@Surprised3DModel-ev4zr 5 месяцев назад
Pole sana baba levo
@HappyDahliaFlower-cm6cl
@HappyDahliaFlower-cm6cl 5 месяцев назад
Wewe uwongo. Wewe bifu ilooo umeishiwa aa. Shogawewe Asante jeshii unge mfanyaa hakuna chupituu
@francessimilanzi4545
@francessimilanzi4545 5 месяцев назад
We hawala wa harmonize nini?
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Месяц назад
Kuma wewe
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 5 месяцев назад
Ugomvi sio mzuri cha kufanya jiepusheni maneno maneno ili mpunguze maadui
@mwanaidhassan9977
@mwanaidhassan9977 5 месяцев назад
Kabisa huyu anamdomo sana kiherehere sana
@magomakabanja480
@magomakabanja480 5 месяцев назад
Huyo Harmonize Hamjui Baba Levo Akaulize Police Traffic wa Kigoma Ugomvi wa Baba Levo Kweli Baba Levo ni Mstaarabu Halafu Harmonize Mbona Anajidhalilisha Kua Hana PESA Mpka Agombane Kisa Million 5
@subilagamwaibanje5375
@subilagamwaibanje5375 5 месяцев назад
MIMI NASEMAGA USTAR KAZ SAANA …. JUST IMAGINE HARMONIZE ANAKUA CHAWA HUKO CASINO ANI ANASUBIRI BOSS ASHINDE NDIO YEYE APATE MTAJI WA KUCHEza …. Na Ukiona mpaka mtu anapigania Million 3 TUJIFUNZE KITU APO …😅😅 maisha Yana rank kwa kwel mtu anakula hela kwenye kamali 1B PLUS DUH nimelia😢
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 5 месяцев назад
Baba Levo pole
@nuruelmada2877
@nuruelmada2877 5 месяцев назад
Mungu mlinde Sana Harmonize🙏🏼
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 месяцев назад
Exactly
@MakwaniChangalucha
@MakwaniChangalucha 5 месяцев назад
Inshallah 🙏🙏🙏🙏
@dismasgomano268
@dismasgomano268 5 месяцев назад
I am Form+225 thanks
@joshuajilani5532
@joshuajilani5532 5 месяцев назад
You'hv proved us the you real kumbee midomoo matupigiaa mtandaoni mnaa helaa kumbee hamnaa kituu hadi mwapiganiaa pesaaa Bure kabisa
@obedymwilenga7490
@obedymwilenga7490 5 месяцев назад
Babaelevo upo vizuri
@HamisRamadhani-uq3bt
@HamisRamadhani-uq3bt 5 месяцев назад
Pesa mwanaharamuuu daaaah mungu atusaidie katka kutafta lizikiii
@user-lh6nm6dq5w
@user-lh6nm6dq5w 5 месяцев назад
Acha uwongo
@mjukuuwasembuzi
@mjukuuwasembuzi 5 месяцев назад
😅😂puñguza uwongo wew ni kihelehele sana hongera jeshi🙏
@user-ts2gf9zv9b
@user-ts2gf9zv9b 5 месяцев назад
Kafanya vzulii hmz ❤❤❤❤
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp 5 месяцев назад
Good job harmo anakuchafua sana kunabaki Yule echi baba naye
@malianonicass7029
@malianonicass7029 5 месяцев назад
Aibu yenu kugombea pesa 😅😅
@MarizLucas
@MarizLucas 5 месяцев назад
Acha ujinga we matako unashangilia ugomv
@rashowshine7849
@rashowshine7849 5 месяцев назад
Kumbe msanii wenu ana njaa😂😂😂
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
Posh kamchuna
@rashowshine7849
@rashowshine7849 5 месяцев назад
Huyu mmakonde kumbe ana njaa mamae sema kupambana kizimbani na mtu ashakaa jela ajipange😂😂
@taseleli9181
@taseleli9181 5 месяцев назад
Ajipange na nini nawe umesikiliza upande mmoja then unaanza hukumu kwanini hakupigwa mwingine kuna la kujiuliza hapi huyo baba leo ana mdomomdomo sana wacha aoneshwe😊😊😊😊😊😊
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
😂😂😂posh anamchuna
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 месяцев назад
Kwani nani huwa ana msakama mwenzie kati ya huyu na Harmonize? Na hapo katunga stor tu kuhusu Harmonize ili amharibie brand. Katumwa
@habililailo271
@habililailo271 5 месяцев назад
Tatizo unaachama sana siku nyingine watakutoa macho kama sio meno sheria itapita lkn ww huna meno au macho au whatever utakae pat harara ni ww
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 месяцев назад
Manen mengi sio kilamtu anatak uchawa
@zenamshana8140
@zenamshana8140 5 месяцев назад
Jaman, pesa haina undugu 😢
@josephkigembe-ec4pq
@josephkigembe-ec4pq 5 месяцев назад
Kumbe Baba Revo zimo bhana.
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 5 месяцев назад
Omba omba haooo wanagombani 10m za boss
@TausAbasi-jf2xx
@TausAbasi-jf2xx 5 месяцев назад
Omba omba wa kasino mamba moja harmonize
@ericko-254
@ericko-254 5 месяцев назад
Big up Temboo,,ungepoga mdomo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@EmmanuelMoses-pb1zh
@EmmanuelMoses-pb1zh 5 месяцев назад
Mm nimeipenda tu kwenye Take This Man
@bakarially253
@bakarially253 5 месяцев назад
Hongera sana Muha mwezangu sisi waha sio wanjonge lakini sisi wasitarabu sana lakini tukiamua huwa sisi ni watoto sana
@deboramartin8111
@deboramartin8111 5 месяцев назад
Ila kuandika hamjui
@FootballLaduma
@FootballLaduma 5 месяцев назад
Waha tangu eanza kufirwa, mjini, mmegeuka vituko vitupu
@kassioothemiracle1688
@kassioothemiracle1688 5 месяцев назад
​@@deboramartin8111we unaejua kuandika umefika wapi?
@deboramartin8111
@deboramartin8111 5 месяцев назад
@@kassioothemiracle1688 wewe nina uwezo wa kulisha familia yenu yote na changanya na ukoo wenu alaaaaah
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 5 месяцев назад
@@deboramartin8111ww mshamba kg.ndoo habari ya mjini
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 5 месяцев назад
Safi sana baba levo mfundishe adabu huyo mtoto hajielewi mibange tuuu
@karimjuma4019
@karimjuma4019 5 месяцев назад
Kuma. La mamako hawezi kumfundisha adabu jeshi subir uone inaishaje hii
@fredykaitani595
@fredykaitani595 5 месяцев назад
Utafirwaaaa
@josephlorri431
@josephlorri431 5 месяцев назад
Afundishwe ustaarabu..harmonise ni jinga fulani,tabia za ushamba.. mambo ya primary
@user-vb2tg3yt8i
@user-vb2tg3yt8i 5 месяцев назад
Mujinga tu ww
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
Ni kweli bangi hajielewi
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 5 месяцев назад
Nimekuelewa sana Ba'levo! Kuna mbwa kwe2 hana hata mavi ya kunya,linatafutaga cfa tena,militia family ye2.Mbwamuoxo likomee.
@kingsleynsshukuru2693
@kingsleynsshukuru2693 5 месяцев назад
Baba levo uo niuashamba mwenzako daaa ukamucukia wewe vipi sababu diamond anakuliasha vipi mwanangu
@luqash_luqman9744
@luqash_luqman9744 5 месяцев назад
😂😂😂mkiambiwa wasani wa kenya ni Matajiri kuliko wa bongo hamwaminii onenii sasa ukwlii😅😅😅😅wanangangania za watu njaaaaaa itawauwaaa
@mjunimashauri5311
@mjunimashauri5311 5 месяцев назад
Ukiacha uteam fundi majumba ametudhihirishia artists wetu ni njaa yaaani Sio pombe 3m ni ya number one artists kupigania na kuleta unable ni njaa inatusumbua
@malianonicass7029
@malianonicass7029 5 месяцев назад
Hiyo ndo point mzee hawana pesa wanalilia milioni tatu 😅😅
@rerisamba
@rerisamba 5 месяцев назад
Tena ameenda nyakua pesa za omba omba
@avax5717
@avax5717 5 месяцев назад
Baba Levo bwana.. 😂😂 jisemeage wee
@user-uh5ly3ye2v
@user-uh5ly3ye2v 5 месяцев назад
Pole ndugu umepigwa na kitu kizito
@LeahGibebe
@LeahGibebe 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@sidemelodytz6487
@sidemelodytz6487 5 месяцев назад
Mwenye akili atamuelewa baba levo. Wasio na akili watamtukana baba levo.big up bro b levo b
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 месяцев назад
Kwan nani anamshobokea mwenzie? Huyu amezd kumfata Harmonize
@user-rl4mm1vi2e
@user-rl4mm1vi2e 5 месяцев назад
Muungwana akivuliwa nguo asimami uchutama👍
@kiya0910
@kiya0910 5 месяцев назад
Huyo harmoniza ana ushamba Sana ajifunze kuishi nawatu jiga yy mpuzi moja yy
@kikumbaalain8619
@kikumbaalain8619 5 месяцев назад
❤❤
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 5 месяцев назад
Safi levo
@majaliwamaginyula9327
@majaliwamaginyula9327 5 месяцев назад
Iv kweli wewe baba levo na uzima huo na ujanja wako unaeleza kupigwa na harmonizer acha longolongo Mzee big up harmonizer unetukomeshea kenge ya kigoma
@dotojohn9316
@dotojohn9316 5 месяцев назад
Mbwa ww
@user-yj5es1jw8c
@user-yj5es1jw8c 4 месяца назад
Upo sawa bos
@franccoz94
@franccoz94 5 месяцев назад
TATIZO wasani wa bongo wanafeki sanaaa maisha,hawaa wasin s ndoo wanatuaminisha kua wanapesaa sasa wagombaniana mil 10 ya kupewa kweli
@robertulaya6419
@robertulaya6419 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@user-pi6lb6nx3m
@user-pi6lb6nx3m 5 месяцев назад
Sheria ifate mkondo wake, tukianza na bqbq levo unauhakika Gani kama huyo tajir hamjui, watu ote anaojuana nao we una wajua,kutwa umekuwa ukimtolea mqneno ya kejer nq dhalau khamonizi mala umuite kilandage,Hana pesa nyadundo, Sasa kakunyoosha ndo unasema kesi ipo mahakamani safi sana.
@mupendaeugenie2600
@mupendaeugenie2600 5 месяцев назад
😅😅😅😅 kwakupenda kucheka wala kufurahi njo ukonaenda chokoza mwenye anakushinda nguvu pole sana mzee puwa aumuwezi jeshiii ule 🇨🇩🇨🇩
@Timoclement
@Timoclement 5 месяцев назад
Safi sana Baba levo mda mwingine status yake asitumie vibaya mfundishe kidogo
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 месяцев назад
Nimekuelewa kbs
@aud548
@aud548 5 месяцев назад
Harmo alitaka kuwa chawa😂😂😂😂...sema wakuu asee ...mtu kapiga 1 B 🙏🙌🙌
@francisdjkakras3255
@francisdjkakras3255 5 месяцев назад
Wew baba levo unafaa unyoshwe vizuri hio mdom itaisha
@shau-macgyver8603
@shau-macgyver8603 5 месяцев назад
Yaani amekufikia sehemu ya kukukunja mwehu wewe bado Yule jinga la mwanza
@malianonicass7029
@malianonicass7029 5 месяцев назад
Msijitoe ufahamu ni aibu kwenu 😅😅😅 kugombania pesa
@Gyptechne_001
@Gyptechne_001 5 месяцев назад
Baba levo mjanja.,hicho kipigo anatengeneza hela..siku hizi watu hawapigani.
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
Hana pesa aibu gan hii kugombania 5milion😂alafu anajiita tajiri
@dotojohn9316
@dotojohn9316 5 месяцев назад
Mm nakutaka wew mbwa nipo mwanza
@user-ly2tv5og1n
@user-ly2tv5og1n 5 месяцев назад
Ugomvi hauna maana kabisa.
@dianawalter7903
@dianawalter7903 5 месяцев назад
Kupigwa ushapigwa hiyo ndo point😂😂😂 Sheria itachukua mkondo Atalipa faini ila kichapo umekipata🤣🤣🤣 Hilo ndo la msingi. Asante
@Bless-sk8uv
@Bless-sk8uv 5 месяцев назад
Ww baba LEVO acha kumdisi kwenye nyimbo zako punguza
@anordgerison8639
@anordgerison8639 5 месяцев назад
Anajifanya na Tajili kumbe Harmonize n masikini Kama masikini wengine ...!!!!!
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 месяцев назад
We zako zko wap
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 месяцев назад
Nawe jifanye tajili tukuone
@user-kg7of9fr5x
@user-kg7of9fr5x 5 месяцев назад
Hahahahaha Wana utopolo wote wawili mtajijua wenyewe
@jindamjukuu8440
@jindamjukuu8440 5 месяцев назад
😊😊😊wamekuchapa 😅😅😅 pole
@user-zp7zs8gk7y
@user-zp7zs8gk7y 5 месяцев назад
Kumbe Baba levo ni mwanaume sikuwai jua Kama baba levo ni mwanaume me huwa najua ni mwanamke juu ako na mdomo sana harmonize amefanya kitu yenye nlitaka afanye anakuanga mwanamke house girl huko WCB Baba levo ni mtu anapenda ugomvi kwa wasanii wengine akipigwa ni vizuri
@salma_6j975
@salma_6j975 5 месяцев назад
Leo kawa mpole
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 5 месяцев назад
Harmo kaonyesha ushamba wa hali ya juu sanaaaaa
@hidayaally9977
@hidayaally9977 5 месяцев назад
Kashachunwa hana kitu
@dicksonmoshi7480
@dicksonmoshi7480 5 месяцев назад
usimlaumu harmonize , ikiwa mpaka sasa hajatoa kauli yeyote
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 5 месяцев назад
@@hidayaally9977 🤣🤣🤣
@user-wp4hl1mu9p
@user-wp4hl1mu9p 5 месяцев назад
Safi sana bado daimondi
@jordanmwamlima7579
@jordanmwamlima7579 5 месяцев назад
Baba Levo Leo unamuita Harmonize tajiri😂😂😂 si unasemaga Hana kitu kabisa, gawaneni tu😂😂😂
@malianonicass7029
@malianonicass7029 5 месяцев назад
Na Hana kweli ila baba levo anasemaga sasa hi I harmo ana pesa ila sio zamani
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 5 месяцев назад
Mwambieni uyooo amonaIzi cjui acheee kuxhezaa naa warevi akumbukee a,k,a Yuko wp stivuu 2kei Yuko wp aepukee michezo naa watuu wenginee awachezewi
@karimjuma4019
@karimjuma4019 5 месяцев назад
Nenda zako ww nyie ndio walewale
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 5 месяцев назад
@@karimjuma4019 wendaa ujijui unajinsia gani mana mwanaumee akiongea kakojoee ukararee choko mmoja wewe
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
Anajiita tajiri😂
@gardimarks7419
@gardimarks7419 5 месяцев назад
This show how game haina hela
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 5 месяцев назад
Wasanii wananjaa sana
@mamy8220
@mamy8220 5 месяцев назад
😢😢😢😢😢kumbe wasani wakubwa wanafanya Ivo harmonize sio ivo 🥺🥺 nakupenda baba levo wetu pole
@robertulaya6419
@robertulaya6419 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@issalyanali4119
@issalyanali4119 5 месяцев назад
Angevunjwa pia,,mwehu
@MNOMA255
@MNOMA255 5 месяцев назад
Funga uyoooo
@karimjuma4019
@karimjuma4019 5 месяцев назад
Hana jeuri ya kumfunga harmo hata cku moja kenge ww
@Zuu673
@Zuu673 5 месяцев назад
Wasanii hawana hela kugombe 5milion😂
@user-bk5oj9jf1h
@user-bk5oj9jf1h 5 месяцев назад
Mmakonde by 🎉🎉❤❤❤
@alristv3599
@alristv3599 5 месяцев назад
Baba levo fanya kweli, ajifunze
@user-jz7du4md3j
@user-jz7du4md3j 5 месяцев назад
Babalevo uchawa sio mzr
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 5 месяцев назад
B Levo umefanya poa sana tu kutokumrudishia kipigo hii ni Tz bana sio nchi ya Vita kama kakushambulia kweli ataadhibiwa tu
@SambweteMtepa
@SambweteMtepa 5 месяцев назад
Babalevo Hana uwezo wakumpiga harmoniz
@raymondclaud6026
@raymondclaud6026 5 месяцев назад
Wewe ulikuwepo???😅😅😅
@jumaibrahim9773
@jumaibrahim9773 5 месяцев назад
Waambie unaijua jela
@khatibumasudi
@khatibumasudi 5 месяцев назад
Wewe pia ni chawa kama vile babalevo machawa wa wasafi
@user-np5ry2bf5q
@user-np5ry2bf5q 5 месяцев назад
Kiki ya Baba Levo na Harmonize kuzima MAPOZ ya Diamond Platnumz imegonga mwamba⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️🇹🇿
@smilereigner
@smilereigner 5 месяцев назад
Sema Baba Levo anadeka😂😂😂
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 5 месяцев назад
Alafu amonaize anasema anayo Hela unagombea milioni 5 tajili gani
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 месяцев назад
Sasa million tano ndogo 😂😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 5 месяцев назад
Harmonize kumbe hela hana😂 unanyang'anya hela walizopewq wenzio
@deulemwangolo
@deulemwangolo 5 месяцев назад
Baba Levo utawacha Ufala,,,, lazima umuheshimu Jeshi
@AmosSikuzani-mq7gb
@AmosSikuzani-mq7gb 5 месяцев назад
Baba levo usisem et haukutak kugomban sema ulion hauta mshinda . Naon kwasasa unatak ukulipe alip kupiga😂😂 unyako round hii🎉
@officialAlAbdul
@officialAlAbdul 5 месяцев назад
Mashabiki mtaelewa aya maisha vizur awawajinga wana juana na wana njaaa
@tinaabdallah5631
@tinaabdallah5631 5 месяцев назад
Hili swala Ni ishu imetengenezwa kumchafua hamonaizi hata huyo tajiri pia Ni mchongo
@officialAlAbdul
@officialAlAbdul 5 месяцев назад
@@tinaabdallah5631 akuna kitu kama iyo kama n kuchafua basi harmo kapenda awa watu wanakutana daily mtu bifu la serious n la kiba na simba
@Lukukula
@Lukukula 5 месяцев назад
Umeongea point
@john_1trader
@john_1trader 5 месяцев назад
Dah mtu alimpiga mwenza eti millioni 5 na mnajiita wasanii hivi unashindana na chawa maokoto
@user-qq4wg7ib4k
@user-qq4wg7ib4k 5 месяцев назад
Mm ndipo ninaposhangaa msanii mkubwa tena
@RamadhaniKaholi-os3tn
@RamadhaniKaholi-os3tn 5 месяцев назад
🎉huyo Harmonize aluka sarakasi kwenye trasfoma ya umeme.......nivile tu watu wa Kigoma hawapendagi ugovi Ila wakiamua kukombana hawatoi sare.......Apo Baba levo hakosi vidono na vinkuti,,,,hizi dawa ni hatari ,,,,huyo Harmo kama anataka mechi wakaandikishane kisheria halafu ngoma iwekwe kati tutamsahau
Далее
Разоблачение ушные свечи
00:28
Просмотров 379 тыс.
BABA LEVO amuonyesha dhalau HARMONIZE  mbele ya MWIJAKU
9:14