Ila tuache unafiki mziki nimaneno naukitizama monde mziki wake uwa nIwafujo tu aunaga maneno mazima ila sikiliza mziki wa harmonize nimziki wakusikilizika tena ukaelewa nini ananimba 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mziki wa harmonizi ninoma namond kamwinua wakati huo analenga faida harmonizi amemwingizia mondi hela yakutosha natangu aondoke mond ajatoa wimbo mzr lbd kamban yake ndo wanatoa nyimbo nzuri
Mbagala, nenda kamwambie na nyingine zote alikuwepo huyo Hamonise na hazina ujumbe, kuweni na akili, mwenzenu analenga soko la nje, Tanzania ameshamaliza kujitangaza.
Mama kasema kweli, Maishani hauwezi kuinuka mwenyewe bila mtu kukushika mkono. Diamonds ndiye aliye mshikika mkono Bwana mdogo, yeye Hermonize ajishushe na atakua mkubwa Saidi
Wee demu unafatilia vizuri hizi habari au konde ndio msanii namba1 Tz kwasasa huyo mondi namba 2 kwamujibu wa RU-vid usiongee kishabiki ongea kitu kinachoonekana
DIAMOND ALISAIDIWA NA WEMA MBONA WEMA HASEMI KWA MITANDAO KAMA YEYE ANAVYO SEMA HARMONIZE AENDE KUSAIDIA BABAKE AWE NI MLEZI AU NI MZAZI AWACHE SIFA ZA UJINGA DIAMOND KUJISIFU MARA NDEGE MARA HOTELI WANAWAKE KILAKONA
Niwimbo gan mondi amepiga wakuzid nyimbo za harmonizi kwss mnaposema anafata nyayo utunzi wanyimbo harmonizi nimkali sema mond anamzidi maendeleo harmonizi
Wewe dada unaongea usichokijua yeye amemshika mkono Nani alie msaidia uko nyuma kina papaa misifa kawasaidia nini? Walipambana kumtoa Kwa Ali na Mali akaja kuachana nao vibaya
Mmmmn we shogaangu acha kuongea ujinga hamo havimbi hamo hana nyimbo za taarabu hamo hana wakushindana Nae alafu akamshike mond mkono mshauri kwanza mond akamshike mkono mzee abduli usiongee tu