Тёмный
No video :(

KWA UCHUNGU: Mke wa ROMA Amlipua Mbunge, Kisa 'Zimbabwe' 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 217 тыс.
50% 1

SUBSCRIBE NOW / uwazi1
Baada ya kuutambulisha wimbo mpya wa mkali wa michano na mwanaharakati wa kweli Rymes of Magic Attraction R.O.M.A unaokwenda kwa jina la ZIMBABWE, Mama Ivan ambaye ni mke halali wa ROMA amefunguka mengi alipokuwa akifanya interview na Kelvin Shayo kupitia hapa Global TV ambapo moja ya vitu alivyovizungumza ni kuhusu mbunge aliyesema Roma alimtukana mkuu.
Pia amezungumzia mapokezi ya wimbo huo yalivyomshangaza na kuvunja rekodi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kuwashukuru watanzania wote walioungana naye na kumfariji wakati wa matatizo.
Kupata video nyingine kama hizi SUBSCRIBE kwenye channel yetu kwa jubofya link ifuatayo / uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 176   
@atukuzwemungudaimaariseand6156
Hongera mama ivan wew jembe wimbo mzuri ujumbe umefika kwa mlegwa nauyo mbunge mvuta bangi ana lolote anaropoka.mungu atamuhukumu yeye
@daudgugo3535
@daudgugo3535 7 лет назад
Atukuzwe mungu daima arise and shine
@joshuakimaro7250
@joshuakimaro7250 7 лет назад
Hongera sana mama Ivan kwakuonyesha ushirikiano mkubwasana kwa mumeo Roma /baba Ivan big up sana kwa Roma na mkewe
@jimsonkabume8169
@jimsonkabume8169 7 лет назад
daaaaa!!!!!!!!!! we nikioo cha jamii iliyopo, iliyo kuwepo, na itakayo kuwepo. really God bless you,we're together.
@renardyaulelio1319
@renardyaulelio1319 7 лет назад
ukweli siku zote haujifichi hongera roma hongera mke wa Roma hayo ndiyo mapenzi ya kweli
@farajampombo1981
@farajampombo1981 7 лет назад
Yule mbunge hakujua alichokua anakiongea,Alishindwa kutofautisha kati ya ROMA na NAY WA MITEGO,maana wakati huo Nay ndo alitoa nyimbo ya WAPO sasa huyo mbunge ndo aliisikiliza hiyo ngoma ya wapo.
@sadakilona5031
@sadakilona5031 7 лет назад
FARAJA MPOMBO .,.nimecheka sana alfu nukweli ilikiwa wapo ndio iko hewani
@jumamtenka6180
@jumamtenka6180 7 лет назад
yuko vizuri mama Roma amejawa hekima na Busara
@user-gi1ez6fc1y
@user-gi1ez6fc1y 7 лет назад
Hongera sana mtangazaji nakupenda Bure unatupa vitu roho inapenda Mungu akuongoze vyema ktk kazi yako, Ahsante pia mrs Roma umejieleza vizuri sana Mungu akusimamie ktk ndoa yako
@mckisodaentertainment1673
@mckisodaentertainment1673 7 лет назад
+Kelvin Shayo safi sana shemela
@naftalichacha5393
@naftalichacha5393 7 лет назад
i real appreciate this song. pia huyu mama ivan yuko smart sana katka kujieleza. much respect to you Mr Roma keep it on
@sayatvsandiego6485
@sayatvsandiego6485 5 лет назад
So touching
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 лет назад
Wewe kijana uko vizuri kwenye utangaxaji.....unawanawakimbixa sana a
@rithaphilemon2541
@rithaphilemon2541 7 лет назад
Kabisa nakuunga mkono
@sifasanga7866
@sifasanga7866 7 лет назад
Ritha Philemon Huyu dogo ananifanya nitulie kusikiliza video zake
@hidayaidrisha5013
@hidayaidrisha5013 7 лет назад
mm mwenyew namkubali sana..kikweli yuko vizuri
@mvandamedia4122
@mvandamedia4122 7 лет назад
+Kelvin Shayo we noma
@salomedarema3762
@salomedarema3762 7 лет назад
Love you dada una confidance had raha unafaa kuigwa
@jumamtenka6180
@jumamtenka6180 7 лет назад
ukweli ngoma iko vizuri sana ina vuta hicia
@Jadcashier
@Jadcashier 7 лет назад
duh we mwanamke ni nimpambanaji Sana safi sana
@nasha4386
@nasha4386 7 лет назад
Dada yupo vizuri sana. kweli ni mke, hana papara. barikiwa Roma family
@pauljohn2322
@pauljohn2322 7 лет назад
thanks,a rhyme that is very sensitive song
@saviolaabdallhmohamed9949
@saviolaabdallhmohamed9949 7 лет назад
Maman Ivane is beautiful and new song Roma hatari dahhhhh
@herikaniugu
@herikaniugu 7 лет назад
Roma kapata Ninja kweli kweli
@loveclinicaristotle5803
@loveclinicaristotle5803 7 лет назад
Kazi nzuri sana mwanangu #kelvinshayo mimi MWANAMAHUSIANO WAKO ARISTOTLE
@mathiasandrew8136
@mathiasandrew8136 7 лет назад
Da! kibogo bongo is loss
@damasysy1782
@damasysy1782 7 лет назад
Roma n ndugu yetu lkn yote tunamwachia sir god coz cc hatuna adhabu yyte yakutoa kwa kiumbe chochote
@rahmaabdullah4538
@rahmaabdullah4538 7 лет назад
Mrs roma big up
@rahmaabdullah4538
@rahmaabdullah4538 7 лет назад
Mungu akuzidishie upendo kwa mume wako
@iddyshabani5942
@iddyshabani5942 7 лет назад
hongera mm Ivan unajisitir umetulia auna papara kwenye interview
@samyjoseph2732
@samyjoseph2732 7 лет назад
Hongera shemeji....umeweza jitahidi kupambana big up xana
@shillaben291
@shillaben291 7 лет назад
much respect mama Roma
@sadatimk758
@sadatimk758 7 лет назад
good music
@wahindiakwembe8066
@wahindiakwembe8066 7 лет назад
Nimekupenda sana Nancy. Theway unavyoongea kiusitaarabu, ama Roma hajakosea, hongera sana mama Ivan.
@emanuelissaya1079
@emanuelissaya1079 7 лет назад
Abdu Babu,Nashwo Mwamba Roma hajawai kumtukana kiongozi kama umefatilia nyimbo zake zote na ndio maana the current government inatekeleza Yale aloyaimba Roma, Mbona waheshimiwa leo wanawakejeli watu wanawaita Vilaza hamuoni hayo acheni chuki haziwafikishi popote
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 7 лет назад
Big up Roma sema ndugu mke umepata huyo ni Mpiganaji
@leonellykweka7165
@leonellykweka7165 7 лет назад
Thank u Roma & mama IvaN
@jamalselemani9931
@jamalselemani9931 7 лет назад
kwa waliokwenda Jkt wataelewa Zimbabwe nn kamaanisha,ni chenja ya kumtia mtu mzuka na ujasiri kusema kitu,ndo maana inaendelea anaimba imba Roma,sema baba wee,kumtia morali na ujasiri ,bt sio anahama nchi,ni nyimbo ya kwenye mchakamchaka Jkt
@petereliyamagola6061
@petereliyamagola6061 7 лет назад
Jamal Selemani Kweli, umenikumbusha 832KJ
@lucymgulunde7329
@lucymgulunde7329 7 лет назад
+Peter Eliya jamani nimekumbuka mbali baba na mama kuzimbabwe.daaaah wengine kweli832 pali tunyoosha sio kwa kulima kule
@petereliyamagola6061
@petereliyamagola6061 7 лет назад
Lucy Mgulunde Kumbeee, tulikuwa sote. Japo nimekusahau. Ila zile Chenja ni morari sana
@shynejiskaka9959
@shynejiskaka9959 7 лет назад
NI KWELI WENG HAWAELEWI "ZIMBABWE" HAIMAANISHA MNAVODHAN KAMA ANAFAGILIA HUKO NO AMETUMIA KUONESHA HISIA SANA INATUMIKA SANA JESHIN PALE WANAPO JITIA MOYO KWA KAZ JKT
@mvandamedia4122
@mvandamedia4122 7 лет назад
+Shyne Jiskaka ndio
@abelumoja8043
@abelumoja8043 7 лет назад
Roma hapa kati ya ngoma ulizo imba hiii imefunga rekodi zote mungu akubaliki saanaaaa tenaaa saana
@chrispinjoseph1522
@chrispinjoseph1522 7 лет назад
i think u might be one of a real example of a wife
@josephkipese2495
@josephkipese2495 7 лет назад
Chrispin Joseph anatisha kka yuko vizur
@jansonluziro4065
@jansonluziro4065 7 лет назад
Duuuuuuuuiu!!!!!!!ngoma uko mwake siyo siriiiiiiiiiii
@desingojackson5365
@desingojackson5365 7 лет назад
mama uko vzr sana hongera Roma una mke jembe This is choice from God.
@ntimifrank2770
@ntimifrank2770 7 лет назад
And who is thumbing this down
@williamskemisola6625
@williamskemisola6625 7 лет назад
Good interview,kelvin shayo I missed your presentation
@ostazclassic3370
@ostazclassic3370 6 лет назад
Kelvin Shayo kelvin nipo nchi za inje hila nakukubali kwa interview napenda unavyouliza kama utojali help me your number phone
@ankoliankoli9566
@ankoliankoli9566 7 лет назад
asante Roma wimbo wako wa heshima kubwa sana tz kila mu2 anaupenda
@kaluzione2231
@kaluzione2231 7 лет назад
shemela hauna mdgo wako?? ili nipose kbsa maana ww ni mpiganaj na uzr huo sio wa nchi hii
@josephmanyama5413
@josephmanyama5413 7 лет назад
Silvester Kapala mie nishawahi haaaaa
@moseslaurentlaurent9365
@moseslaurentlaurent9365 7 лет назад
Silvester Kapala huwa hafanani hawa watu
@augustinofifi
@augustinofifi 7 лет назад
Silvester Kapala ila huyu dada mzuri jaman
@consolatamalesa8823
@consolatamalesa8823 7 лет назад
Silvester Kapala wwwe
@fadhilynolasco7339
@fadhilynolasco7339 7 лет назад
vizuri mma Roma napenda xana
@hamisisheby8678
@hamisisheby8678 7 лет назад
nimeipenda roma kapata mke
@fazilielia2295
@fazilielia2295 7 лет назад
I love that song
@alfredycheyo8847
@alfredycheyo8847 6 лет назад
Hongera sana Shemela yetu..kwa utu ulio nao
@davidsosthenes1821
@davidsosthenes1821 7 лет назад
great I.Q Roma
@sofiachilunzo7139
@sofiachilunzo7139 7 лет назад
loma kaoa mwanamke mwenhe hekima sana nimempenda.
@norbertmassawe247
@norbertmassawe247 7 лет назад
Roma Ni jembe anajua sana namkubali sana
@buluhanmsolah2285
@buluhanmsolah2285 7 лет назад
Norbert Massawe
@henrickovicent2933
@henrickovicent2933 5 лет назад
Na mmi na kwenda Zimbabwe, big up sna kka roma.
@khalidishui2412
@khalidishui2412 7 лет назад
nakubali Roma
@palesyosilingo6386
@palesyosilingo6386 7 лет назад
Huyo mbunge mungu atahuku tena anafuta bange!
@lucybakuli5124
@lucybakuli5124 7 лет назад
pambana mwanamke mwenzangu nimeipenda sana hiyo mwanamke lazima huwe hivyo zidisha penzi mama achana na wambeya wa mjini Fanya kazi pambana na hubby wako
@amourhamdu7972
@amourhamdu7972 7 лет назад
Palesyo Silingo hahahaha
@ezekieltz5298
@ezekieltz5298 7 лет назад
nawapenda Sana
@msafirnyau5471
@msafirnyau5471 5 лет назад
wazaaaap cool
@bonnysure1082
@bonnysure1082 6 лет назад
Ongera san Shemeji Ma Ivan kwa kutambulisha ngoma ya Zimbabwe
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 7 лет назад
Hii kauli ya kusema Mungu ndio anajua, Mungu ndie atakaehukumu, huwa inawapa advantage sana watu waovu, Kauli hii huwa haina afya.
@tonnychibwete8903
@tonnychibwete8903 7 лет назад
shemejii langu ninjaaaaaaa💪💪💪💪💪💪
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 7 лет назад
JAMALI BWANA, MAPIMBI WALIKUWA HAWAJANG'AMUA HILO HUYU JAMAA NI JIWE SANA YAAN KAMA AKINA LUCK DUBE LONG TIME AGO WALIKUWA WANAGONGA VITU KAMA IVI.GONGA NYINGINE KAKA,TUNAKUSUBIRI, MAMBO YA MAMBAMBIO WAACHIE HAO HAO AKINA ....
@lothaole1390
@lothaole1390 7 лет назад
Ngoma imetulia saana. Nice interview kijana wangu.
@godloveswai908
@godloveswai908 7 лет назад
big up roma kaza but unajua maisha ni vita
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
Hata mm nakwenda zimbabwe tna natumia boda tu boda hahaha penda sana ww dada nancy
@shabanimlonga4639
@shabanimlonga4639 5 лет назад
Pole sana brothel Roma hayoo ndo maisha ya TZ
@rdcongoproduction8796
@rdcongoproduction8796 6 лет назад
yu dada alicho kisema hata na mimi hule mstari nikisikia unaniuma kweli
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 7 лет назад
kamuimba MTU wew sema hujaftalia vizur, kuna mbunge alisema et nimemtukana mkuu, nyingine aliye tabiri
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 года назад
Roma. This is your wife for life. Usije kumuacha
@barakamtonyole6555
@barakamtonyole6555 7 лет назад
Shayo nipe mawasiliano yako mi nakusifu sana kwa namna unavyoweza kufanya interview yenye mpangilio mzuri
@andrewlusambo7123
@andrewlusambo7123 7 лет назад
wew mama Mbona mpana sana w
@soitahnasongo944
@soitahnasongo944 6 лет назад
Mwanamke mtulivu hana papara daaa walai bonge la wife material Mungu ni Mungu akujalie mema
@amaningesse533
@amaningesse533 4 года назад
Good idea
@raphaeliuhuru3718
@raphaeliuhuru3718 7 лет назад
big up bro Roma chapa job
@rickyjonas767
@rickyjonas767 4 года назад
Amen
@jimmysalm3954
@jimmysalm3954 7 лет назад
mke wa roma kuna watu wamelia
@imanmsafil4436
@imanmsafil4436 7 лет назад
nakukubali sn Ivan mumy
@josephmanyama5413
@josephmanyama5413 7 лет назад
mi ndio nasepa zangu hivyo Zimbabwe nawakubali sana ni bonge LA couple aiseee shemela pambana sana uko juuu
@mdashomwamba679
@mdashomwamba679 7 лет назад
OK Poa Sister
@deusmareche9241
@deusmareche9241 7 лет назад
Stick in truth don't fear born figther man don't loose hope human are the lost organism remember
@estamelejomah572
@estamelejomah572 4 года назад
Hongera mwimbo mzur
@selemanisaid2214
@selemanisaid2214 7 лет назад
safi Sana Roma
@danielambros9346
@danielambros9346 7 лет назад
mama kazi nzuri sana
@masigomhoja5182
@masigomhoja5182 6 лет назад
shemej uko vizuli sana yani heshima sana umejaliwa kila kitu
@janvieryenga1419
@janvieryenga1419 2 года назад
Ongera
@rithaphilemon2541
@rithaphilemon2541 7 лет назад
Much respect kwako kev bila kumsahau Esther popote alipo
@kudraharuna9410
@kudraharuna9410 7 лет назад
ata mm sna noma na Roma kwn n mpganaj wa kisiasa
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад
Ivi nyie wanandoa musali dini ipi???
@raphaeliuhuru3718
@raphaeliuhuru3718 7 лет назад
big up sana mamy ivan
@filbertgwamasiga9555
@filbertgwamasiga9555 7 лет назад
Ngoma Kali sana Roma kaumiza vbaya
@gracerenady9425
@gracerenady9425 5 лет назад
Nakumiss sana we kska
@christinahaule9726
@christinahaule9726 7 лет назад
Good
@halimahashim3734
@halimahashim3734 7 лет назад
Daa nafungasha naenda✈ ZIMBABWE
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 7 лет назад
GONGA NGOMA MULEMULE MAPAMBIO HAYANA NAFASI, YAANI KAMA AMITA BACHAN TU, MWANZO MWISHO
@mailahbatano5024
@mailahbatano5024 4 года назад
Mama ninjaaaaa big up
@tegemeamwashitete2470
@tegemeamwashitete2470 7 лет назад
Kazi nzuri
@elvunielvuni6637
@elvunielvuni6637 7 лет назад
acha kutetea kuropoka wajifunzee waimbe nyimboo za maadirii sio kuropoka aache kutumika na wana siasa Roma msanii mzuri saanaa afanye yakeee
@johnkanuda9355
@johnkanuda9355 4 года назад
Mwanamke imaraaaa.nice saaana xhem
@victormwakipesile5604
@victormwakipesile5604 4 года назад
Ncly
@romawapili9031
@romawapili9031 6 лет назад
daaa niliumia Sana baada ya kaka kutekwa
@allymasta4866
@allymasta4866 7 лет назад
good good
@abdulkarim5645
@abdulkarim5645 7 лет назад
tunaenda pammoja roma bongo nyoso twende zimbabwe
@nzomukundafatuma5364
@nzomukundafatuma5364 7 лет назад
Kweli mama
@laqushfaki3080
@laqushfaki3080 7 лет назад
nic dada
@ntamugabobizi4580
@ntamugabobizi4580 4 года назад
Roma una muke wahakiri sana kama zamaradi tena mupore
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 года назад
Mama ivani ni bonge la mwanamke aisee
@georgetina6150
@georgetina6150 7 лет назад
komaa jembe hao wanaokuchefua wapotezee Fanya yako
@edwardkundy5918
@edwardkundy5918 7 лет назад
Kaz saf san kaka
@eleutelmwalongo4282
@eleutelmwalongo4282 7 лет назад
pamoja mkatoriki
@laqushfaki3080
@laqushfaki3080 7 лет назад
up romaa
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 7 лет назад
watu wameguswa sannaaa kwa kuwa hatupendi ujinga wa kuteka teka watu hovyooo, km kuna mtawala anafanya hivyo amewakosea watanzania aache mara moja ushenzi huooo, kuteka watu sio utamaduni wa watanzania.Watanzania ni wapole,msituletee ushetani wenu,kama hutaki ushindani nyamaza
@raphaeliuhuru3718
@raphaeliuhuru3718 7 лет назад
bro me nakukubali xana kizuri hakikoc kasoro achana na majungu ya wa2 piga kazi
@NegoLetMeDo
@NegoLetMeDo 7 лет назад
#SuperWoman
@charlesjames3928
@charlesjames3928 7 лет назад
Salt
@ngassa19
@ngassa19 7 лет назад
Roma is my choice
Далее
Roma - Zimbabwe [Official Music VIdeo]
4:45
Просмотров 4,3 млн