Ninacho kuombeya tu Allah akupe mwisho mwema na akufishe ili hali amekuriziya na unameno yenye busara na hekima kunako zungumza mkataba ni mkataba tu wasisahau kuwa walipo kuja kwenye kuomba msada hawakulazimishwa
Ipo siku Daimond ataeleweka kwa wasio muelewa,hiv kweri mfano akina Mo wanasema eti wameweka billion 20 Simba ni mchezo mchezo tuu? Daimond piga kazi watajua hawajui yan u promote mtu umeweka milion zote hizo afu ale Kona kirahisi rahisi.
Wakubali wakatae daimond ww ni mfano wa kuigwa sina Tim Ila ww uko vizuli sana wacha waseme lakini ww ndiyo nguli wa muziki nakupenda kwa uhodali wako wa kazi chapa kazi Baba ww wacha waseme mradi ww akauti zako zinasoma🤼♂️💥💥💥🔥💥🔥🔥🔥🔥🔥😄😄 mambo ni faya😃😃😃😃😄🌹🤼♂️💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@@smukelomkhize9775 we ni mkundu kwel una uhakika gan kama analala na mama yake au ndo kuhic tu, pumbav kabix, unajiona mwenda mbinguni sana kumbe na ww una madhambi kibao tu shenzi kabix
UKIMSIKILIZA VIZURI DIAMOND UTAMUELEWA VIZURI SANA HIVIV HAO WASANII WA WCB KABLA YA KUSAIDIWA NA DIAMOND WALIKUWA HOI HAWANA KITU LEO HII WANAMUONA ETI MNYONYAJI🥴
Lakin paspo yy angepata wap pesa ya kumlipa .inaumiza sana pale unapo msaidia mtu badae anavyokuchukulia ni tofaut na uliko mtoa .harmonize wa Sasa n tofaut na Yule wa Bss alipikwa kwanza ndo akawa alivyo alikaa ndan ya wasaf miaka .ata masta Jay alisema.tatzo vijana tukipata tuna sahau tulikotoka na tunajinyanyua sana
Hata huyo diamond mwenyewe kabla ya kufika hapo alipo ....hapo mnapo muona Leo ...pia yeye kuna msaada wa watu alipitiaya....au kwa kua walio msaidia hawakujiweka hadharani kusema ndio mwaona n km alifika mwenyewe huko juu....na kila binadamu lazima aanze chini ndipo afike juu....n kufika huko juu mungu kaweka msaada ..kwa wewe utapita njia hii mpka ufikie mafanikio yako.
Huo ndio ukweli !!am even glad that Harmonize alishaongelea hili na kufafanua kilichofanya akaenda kwa Raisi ambaye alikuwa karibu na Harmonize wakati wa uhai wake!
Fact unaenda wapi njooo hapa kwanza.upo sahihi sana sana mond hao umewajenga kimziki lazma walipe vizur coz hiv jamaa wa tandahimba bila wewe siangelikua anatumbuiza bar tu mpaka tenda za kule sio dar.
Unajua baba wawatu angetaka kuimba yy peke yk mngesema leo hii nawambia angekua na myimbo nying kishenz na ata ivyo ana nyimbo nying na bd atakua juu akutaka kuimba peke bali akoona avute wasiojiweza leo wamepata vi ela wanamuona mjinga
Diamond is the one of the best Tanzanian artist has ever had anyone who denies that is just a blind hater . Amewakuza vijana wengi nchini tz. Na anaajiri wengi kama kijana wa umwri yake. Hakuna wakumulinganisha nawe Easter Africa. Diamond babalao 😀
Hayo ndo maneno ya kusema ni biashala lkn apoapo unasema unawasaidia unakosea harmonize alisema hizo hisa alilipa lkn migogoro ikaanza watu wa kalibu yako ukawatuma kumtukana kumtukunana kumuwekea figisu na ss ni mashabiki mfano baba levo
Nibiashara lakin hapo hapo ndokafanya msada hebu jiulize niwasanii wangap wakubwa tanzania kulko kna ray angai mahal amefka so mbal na biashara msada upo ulfanyka hapo
Biashara ndio lakini mtu akikata mikataba.. Asighniwe..... Bila kuzubaishwa kutupiwa muda.... Laki tano harmo kalipa ila mnakwepa kumsighni atoke!!.. Ulikuwa unaepa kwenda marekani.. Ndo harmo akaomba usaidizi kwa jpm.... Ukasimamishwa Airport ukasighn.... Hiyo sio kushtakiwa... Alitafuta msaada
akuna mfano wa kuigwa apa anawapotosha umaa maan daimondi angekuwa sheikh leo waty wangempa sapoti sema umaa anaupotoshaa ukwel ndo uwoooh ibilis utupuu
1.Hakuna msanii aliyelazimishwa kujiunga WCB 2. Kila msanii ajiangalie Hali na umaarufu wake kabla na baada ya kujiunga WCB 3. Mwisho ndio tutoe hukumu Anayeona kuwa WCB inawanyonya wasanii, itapendeza yeye akaanzisha Lebo yake halafu akawa anawasajili wasanii Kwa elfu 20 na mwisho wakitaka kuondoka wanatoa elfu 30 ili waende,,,,,,,,, Longolongo zingine tutakuwa hatuwatendei iliyosawa WASAFI
Ndio binaadam walivyo hawatizami hapa na hutizama kule stahamili diomond ni wenyewe walisema kheri adui sheitwan kuliko adui kiumbe hawajakosea acha nao iko siku watakukumbuka
@@narrissajackson3869 kwani serikali ndio alioikosea au hamonize ndio anaedai kua alilipa pesa aliokua anadaiwa lakini mondi alikua hataki kumpa karatasi ya usibitisho kua hayupo wasafi na alikua anataka kusafili nje ya nchi ndio hamo akapanda hewani kwa jpm na jpm kutoa amli kwa mwakiembe na mwakiembe kutoa masaa matano hamonize apewe hati ya ke kutoka wachafu kua yupo free
@@rashidyally8715 mimi nilifikiri utatambua umuhimu wa kupata taarifa kutoa mahali pasipoegemea kokote, ila ajabu huamini anachosema diamond na unataka wengine waamini atakachosema harmonize huoni ni kasoro. Muda mwingine tukiwa realistic itatujenga sana. Na haina haja ya kutoa maneno ya kashfa lugha za kuudhi. Smart minds just give out smart words to work upon
@@narrissajackson3869 hayo mapovu Sasa baazi ya wa tz wapuuzi Sana yani mtu akiongea ukweli anaonekana muongo na mtu anaeingea uongo ndio anaonekana mkweli na kingine ushabiki Kuna ushabiki wa kipumbavu mtu Kama unamshabikia hata akikosea wewe husemi ukweli kisa unamshabikia 😄😄😄
@@rashidyally8715 unajuaje ukweli ili hali wewe si sehemu ya management team, niandhani huo ndiyo ushabiki, binafsi siwezi elewa nani yupo sahihi kwani kila mmoja anajiteetea yeye na wao wanajua vema zaidi. Sisi ni akina nani tujudge aliye sahihi kati yao ili hali hatuna details. Sioni kama kuwasikiliza wao ni njia sahihi ya kuupata ukweli, ila ni uhuru wa kila mmoja wetu kufuata aonalo utambuzi wake unamuongoza. Binafsi ninaona wana bias kubwa.Kuegemea upande mmoja bila hakika sioni umuhimu wake, kwani ni hakika itakuwa kujifariji kujua ilihali sina hakika
Ooh! Kumbe wasiokuwa na shukrani na tamaa kama mmakonde ndio hao wenye tamaa, kaja fukara halafu anataka kuchukua mpaka na mali ya tajiri aliemtoa kwenye ufukara.🤔