Тёмный

DOCTOR MO ACHIZIKA NA USAJILI WA MAANGAMIZI SIMBA| SIWADAI TENA VIONGOZI" 

SPORTS MAX
Подписаться 171 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Опубликовано:

 

3 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 26   
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l 2 дня назад
Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 2 дня назад
Hakika upo sawia kabisa
@Isakhiayusuph-jb3yx
@Isakhiayusuph-jb3yx 3 дня назад
Wewe Dr mohamed taala hamna
@dominickiungulia1016
@dominickiungulia1016 3 дня назад
Usajili umefanyika vizuri, tunategemea mazuri msimu ujao
@KATEGILEMABADA
@KATEGILEMABADA 3 дня назад
So kila mchezaji nzuri lazima aitwe timu ya Taifa maana wazuri ni wengi
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 2 дня назад
Usiumie Jobe Atavunjiwa mkataba kwa Sasa anamalizana na Simba namna ya kulipana
@mohdseif2593
@mohdseif2593 2 дня назад
KINACHO MUEEKA JOBE KWENYE SIMBA KWASASA NINI NAHAMNAKITU ANATIA ASARA TEAM TU
@SalimAl-mahrooqi
@SalimAl-mahrooqi 3 дня назад
Lakini haija eleweka usajili WA simba hata hawaeleweki tunaogopa kichapo kilicho pita
@user-bx1qo9fe3q
@user-bx1qo9fe3q День назад
Huyu jamaa nikigeugeu hiiklp naifath nitamuonyesha hii ndio bongo tulia uspapalike
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 дня назад
Hii timu wakizoeana mama weee hataRiii
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 2 дня назад
Alienda wapi?
@peterchande957
@peterchande957 3 дня назад
Huyu jamaa bonge la mshamba analazimisha kuingia kwenye mpira lkn haumtaki
@Theprincipalmboya
@Theprincipalmboya 3 дня назад
Jaribu na wewe ndugu yangu
@jaribunimangoma4322
@jaribunimangoma4322 2 дня назад
We ndiyo mshahara ongea nawe tukusikie
@xhiranation
@xhiranation 3 дня назад
Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 3 дня назад
Doctor asante ulipolalamika nilsema vipi huyu sasahivi Simba ipo safi Magoliiiii tunataka mambo kama haya hamaaa nenda kakahapo ma.bo safii❤❤❤
@mqsqymmh3866
@mqsqymmh3866 3 дня назад
Kumbuka hata unaemuona chama hapo kuna mda uwa haitwi timu ya taifa wakat wabongo ndo mnamuona ni professional player
@user-rq4fq4pw4y
@user-rq4fq4pw4y 3 дня назад
Yanga kazi yao kutupondea tu, wanaumia sana na MO
@errydeo8865
@errydeo8865 3 дня назад
Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!
@EssauGabriel-fy8pu
@EssauGabriel-fy8pu 3 дня назад
Haya tuliza mshono watakuonesha shoo
@yonathansimon7147
@yonathansimon7147 18 часов назад
Huyu ni utopolochura
@user-hf2uf7cm3k
@user-hf2uf7cm3k 3 дня назад
Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike
@LassonDominick
@LassonDominick 3 дня назад
Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!
@franccoz94
@franccoz94 3 дня назад
KWA HAMZA HAMNA BEKI HAPO MCHEZAJI HATA TEAM YA TAIFA HAITWI,HAMNA MCHEZAJI HAPO TUTALAUMIANA SANAA LIGI IKIANZAA
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 3 дня назад
Mmh ww naye kwaiyo mchezaji mpaka aiwetwe timu ya taifa
@imanmasawe749
@imanmasawe749 3 дня назад
hamza atawashangaza wengi tunajua wewe ni utopolo
Далее