Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,
Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪
Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!
Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike
Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!