Bado juma kihelehele piga sana midomo kama choo cha stand hakipumui harmo safi sana ungemng'oa jino ana bahati kaguswa tu watu wa wasafi midomo mingi wanakera sana ni kuwabonda tu
Unatoka oman ukampe zawad.chizi kam huyu na madevu machafu waxaxi wako wanall kwenye nyumba ina mlango wabat am umefugwa na makamba kam madevu ya doto magar tunao toka oman wengi wao hamjielew
Wew doto muzehe magari hauna hakili .angekuwa diamond kure cazino ungesema maneno gani . Harmonize is a big star kile aliyofanya siyo kitu kizuli.as a big star in East Africa .muzehe na ndevu hizo unasapoti kugombana hakili ndogo
Hivi wewe unakuaga na akili gani wew mbona hua unaandikaga ujinga ujinga,haya mchawi alikuangia weww, mbona unamchukia sana harmonize au ni baba ako wa kambo
MASIKINI NA TAJIRI .... HAHA HA HAHAAAA..... ANAYEITWA CHAWA ANAKULA BATA SEHEMU MOJA NA MJANJA....SWALI LANGU ???? ... TAJIRI NA MASIKINI WANAPOGOMBANIA PESA YA MCHEZA KAMARI ALIYESHINDA.... HAPO VIPI ..??????? .... HIYO PESA NI YA MTU MWENGINE KABISAAAAAAA...ILA WALIOPIGANA NI MASIKINI NA TAJIRI....HA HA HA HAAAAA... HII INAMAANISHA KUWA.. ALIYEPIGA NA ALIYEPIGWA ..WOTE SIO WAJANJA KATIKA MAMBO YA PESA... #TUBADILIKE....