uyo mtu anae mhoji tahiri ana fanya interview iwe ya kiwakiii kavipi anoe tajiri maiki af ahojiwe yeye ana toa watu kwenye mstari kinoma inshort ana boaaa 😂
Halafu binadam bana, kiongozi mshukulu pia mjomba wako, kukupigia usione ndio kama vile alikutesa, alikuw anakuonya tu Kama mtoto wake, ndio maana alkufundisha ufundi alikuw anakupenda.
Unajua nilikuwaga najiulisa huyu dogo anatokea wapi cz mbona mstarabu sana halafu hana makuu hivyo kumbe jamaa ni mnyamwezi watabora. Mie nimeishi sana Tabora zaidi ya miaka 10 nawajua sana watu huko ni wakarimu sana na wastarabu kikubwa wana huruma sana sana kuliko huku kwetu Pwani
Kiukwel mtangazaji hajui kufanya interview naomba carry matory huyu kijana ashike camera kwanza aisee amezingua sanaaaaa hata interview hatuja enjoy kiufupi jamaaa ni poor
huyu mshika maiki komanyoko zako yani asa ndo nini? mtu anaongea we unauliza maswali ya kiseng carry futa hii pussy kazi inaharibu content watu wanataka kusikia mambo ya maana yeye anauliza maswali kifala ebu jifunze wenzako wanavofanya interview...
Dogo mtangazaj una mdomo sana emb angalia wenzako wanafanya nn haupigi nae story uyo unamhoj hatua kwa hatua wwe kila sentence swal alaf hayana maana are u gay