Asalamu Aleykumu doctor sele ninakuomba sana msaada wako Mimi nimgonjwa ninaumwa miaka kumi na moja nimepooza sitembei nimeugujuuguza mbaka nimefilisika naomba msaada wako wa dua zako niokowe nipone maana mtu akitaka kunisaidiwa anashundwa kunisaidiwa ninakifungo nisipate msaada Wala tiba Niko mlandizi kilangalanga naomba saana msaada Mimi nilikuwa mkristu nimesilimu