Mwenyezi Mungu shahidi tumetoka kuongea swala hilo leo saa tano.asubhi kuhusu mfano huo.wa majini wema kutumika katika wema, na.wale waovu katika uovu. Mimi.si muislam ila katika hili namuelewa sana Sule, huwezi kukataa undugu wa Imani kisha mukatae matumizi ya umma katika dinni.
Kifup mm nakuunga mkono pia Dr sulle namuelewa mno elimu ya hawa viumbe ni pana na si kila shekhe amesoma hiyo elimu majin wapo kweli na wamepewa uwezo mkubwa sana wapo waovu na wapo wema ki fup sulle anayo elimu ya kuhus hawa viumbe
Kweli kabisa hawajaruhusu tu akili zao kuelewa mambo beyond the body maana viumbe vyote vilivyoumbwa na Mungu ni energy na viumbe vyote vipo kwaajl ya manufaa na vinamtumikia mwanaadam kwa sababu mwanaadam yeye ndo khalifa.
hii dini sio mawazo ya kila mtu , Huyo sule ni mwalimu kwa wajinga wenziwe , Hakuna mtu anayejua tawhiid na shirki akazungumza upumbavu mfano huo .... halafu wengine wanaleta theory za energy hapa , watu sijui ni wagonjwa kiasi gani
@@alkashaaiy9722 Kama tawhid ni kumpwekesha Mungu basi hata Sule hajamfanyia Mungu mshirika. Acha kukaza kichwa ruhusu akili yako kuelewa point. Kwa taarifa yako nikisema energy namaanisha spirit,hii miili ni vazi la spirit tumefumbwa kuona vitu kutokana na hii miili tuliyovishwa unahabari hata jiwe ni spirit ila unaliona Kama ni jiwe kutokana na hilo jicho la nyama.
Huo ni uchache wa elimu na kubobea sana kwenye sekula na kuchukua theory za sekula kuziweka katika khabari za ghaibu, Kwanza Tukisema ,Kila aliyesoma tawhiid ajua wasaail wa shirki ni kufungamana na majini hilo hata mtoto mdogo ajua , Sasa weww kama muda wako uliutumia kusoma theory za energy ukasahau kusoma tawhiid na shirki lazima mitego ya kufungamana na majini itakupata Allah anasema nini kuhusu habari za Roho ( Spirit?) { وَیَسۡـَٔلُونَكَ عَنِ ٱلرُّوحِۖ قُلِ ٱلرُّوحُ مِنۡ أَمۡرِ رَبِّی وَمَاۤ أُوتِیتُم مِّنَ ٱلۡعِلۡمِ إِلَّا قَلِیلࣰا } [Surah Al-Isrāʾ: 85] Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu. SHIRKI HAIKUANZA ILA BAADA YA KUANZA KUFUNGAMANA MAJINI NA WANADAMU na Allah akasema { وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا } [Surah Al-Jinn: 6] Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi. HIZO AYA TU ZILIKUTOSHA WEWE KUACHANA NA KHABARI ZA MAJINI MAANA HAKUNA MWISHO MZURI HATA SIKU MOJA ILA MAASI AU KUTUMBUKIA KATIKA SHIRKI
I support you Dr. Sule those are tarnishing your name and who are becoming difficult at the knowledge they do not possess, yan tatizo lao mmojatu lack of understanding what,how,and who the unseen creatures are especially the Jinn kind Don’t be panicked with those people just tell them to back to class perchance they will have the opportunity to acquire such a piece of knowledge A big hand to you sheikh and continue doling out such lectures to people so that they stop living in the kiz and know the truth about the Jinn kind…
Al hajj Dr Sule. Allah akuzidishie ilmu. Akuhifadhi. Na mashekhe wanajua ilmu hii. Hakuna shekhe wakisawa sawa amvao hii ilmu hawajui. Watakukashif kwa majina tofauti. Wewe songa mbele utupe ilmu. Kama ni matusi na majina ya ajabu , yasikutie dhiki. Allah akuhifadhi.
Sheikh uk sawa sana wanaokupinga hawana elimu yakutosha. hakuna kazi ambayo haina upinzani wape elimu hao lakini naimani ipo siku watakuelewa tu maana wanapinga alafu bila hoja ya msingi nakukubali sana sheikh wangu sure kwaelim yako ya dini. nawashangaa sana masheikh. wakubwa ambao wana sema wewe nimshilikina alafu mbele jamii bila kufanya utafiti Mungu awasameh tu kwasababu hawajui
swala la majini lipo kwenye Quran na kuna sura kamili ikiliongelea hilo , nakwamba wapo majini wema na wazuri nakwamba nabi Suleiman aliwatumia maafriti ( wakuu wa majini waliomba kumletea kiti cha balqis nk) watu wanaopinga pinga ima kwasababu ya ujinga wao au kwasababu ya kukosa kufatilia hicho wanachobisha.
Utakumbukwa kwa kuharibu dini ya Allah kwa kuihushisha na majini mchawi wa kileo hadi mitandaoni elimu ulienayo ni batil kwa kauli ya mtume salallahu alayhi wasalam,,,,ataejihushisha na elimu ya nyota mchawi huyoo
Sheikh nimekuelewa vyema sana na vyote ulivo visema haswa ile ya kusafiri ipo na wamefanya hadi viongozi sio tu mashehe. Tatizo letu sisi elimu hatuna na tunabisha kimasilahi. Wengine wanabisha sababu hawajui tu
Innalillah wa innalillah rajiuna sule acha tama yamaisha. Majini ni majini na sisi watu ni watu,tumikana na watu majini nao atatumika namajini acha wunafiki,maisha nimapito tu.
Good jins encourage people to do good and guide people to good things and not commanding people to do good whilst evil jins they command and guide people to evil as well as doing bad things…
DR SULLE NASHAURI SOMA KWANZA VITABU VIZURI. ALAFU HOJA ZOTE NILIZO ZISIKIA NAONA KAMA UNATAFUTA NAMNA YAKUJITOWA KWENYE MANENO YAKO YAMWANZO UNABADILIKA. REJEA TENA KWA ALLAH NA UACHE KUPANDIKIZA KITU KWA UMMAH AMBACHO KINAWEZA KUKULETEA MADHARA MAKUBWA MBELE YA ALLAH 😢
Unaweza kuwa hujuwi na hujinjuwi kwamba huyuwi tusitetee mambo yetu tukaharibu wengine ukiwa na Imani za kishirikina mwisho Yako unakuwa mmbaya tujitathmini sana...
Huyu mwamba km kuna uwezekano akatazwe kulingania watu kuhusu shirki, huyu ameshauva ujini sio binaadamu tena. Na kwa jamii yawaliowengi hawajasoma dini atapotosha sana huyu. Hili si la kupuuzwa - baada ya kulingania ucha mungu analingania watu wafanye shirki. Allah amtoe nguvu aache kupotosha watu kwa ajili ya maslahi yake binafsi.😢
dr ifike wakati uache kubishana na watu ambao hawana elimu fullstop #HAWANA ELIMU jua hivyo profs heb ach kupotez muda na wao niki skiliz hoj zao hazina mashiko mmoj anasema majini hawaonekan dr sule kawaon vp na mungu kasem sis hatuwaon wao wana tuon nika pat jibu hawa jamaa hawana elimu kuwahus hao majin nabii suleiman ali waon vip
Kusoma sana ni shida kwa upande mwingine ,majini wanaotii sheria za Mungu ni kwa kuabudu MUNGU tu,Na wale majini wanaofanya mabaya ndio wale wanafanya shirk kama kuwapatia watu kuua,katika mijaraba,katika albadiri wala si kazi nyingine,Ndio maana hukumu siku ya kiama itawahusu binadamu na majini tu, tuache mixing katika dini,
Ikumbukwe kua chanzo cha watu kufanya shiriki ni kwasababu watu wamemiliki majini leo unamtumia jini kwa wema kesho imani inabadilika unamtumia jini kwa ubaya . Watu wapo tayari kumlipa mganga ma bilioni ya pesa kwa ajili yakumua mtu je leo kıla mtu awe na jini lake ivi kuna atakae baki si tutauwana tu .mm siwafichi nina roho nzr lkn mtu akinikera nakua na hasira je leo nina jini si nitamtuma aje anilipie kisasi . Mtume alikua hawaombi majini bali majini wenyewe ndio walikua wakimfata mtume na hıı ni kwasababu yeye ni mja mwema lkn licht ya kua majini wanamfata mtume lkn mtume hakuwahi kuwaomba mali . Je Dr sule ukiacha Mtume kuna ata swahaba wa mmoja wa mtume aliekua akiwaomba majini watafutiwe mali au chochote kile .??
Dr sule hongera yako hao majini yako yame juwa kukupa umarufu kama kawaida yao wanavyo fanya mana umevuma sio mchezo ela haya tutaona mwisho wako wewe na hawo majini yako si letu jicho tu
Dr suleee Allah hajaahidi kumlinda mtu kwa kutumia Jinni jmn ukisoma ayatul Kursiyyu wakat unatok ndan kwako Allah anakupa kikosi cha malaika cio majini pia ukitaka kulala ukisoma zile sura alizosema Mtume SAW bc Allah anakupa ulinzi wa malaika cio jinni jmn tumche Allah kuna majini maulamaa kweli inaez ukapatwa na shida akakusaidia lkn c tena aanze kukupa masharti au akupe pesa tenaaa heeee huenda anakusaidia km anataka tu ujira kwa Allah akusaidie kisha habar imeisha lkn akwambie uchome ubani au akupige mikwaju ukaswali au ukupe ulemavu mpaka ukubali uganga ili utibu watu huyo anataka kukutia ktk shirk Allah atuhifadhi
@@mwawekomiuda9779 Kiukweli fanya utafiti wako hakuna mganga wa kienyeji mkristo,, utasikia sharifuu majini, Sheikkk Abdul, sheikh omary nakadhalika.hutasikia majina ya kikisto kwa sababu hatuna ushirikinaaaaaaaa
Dr kaeni chini kama waislamu ALLAH amewapa jukumu zito la kuhakikisha gurudumu hili linasonga mbele ila mkiwa mnapingana wenyewe kwa wenyewe hamuoni kama mnatugawa makundi kwa makundi Allah atawauliza kuhusu ili mkumbuke jamani sisi wengine elimu yetu ni ndogo sasa mkihitilafiana wenyewe kwa wenyewe sisi wanafunzi wenu mnatuweka kwenye fungu gani??
Nakuelewa sana na naelimika pia na nina mtoto nimegundua ana jini nilikuwa nadhani ni kifafa kwa miaka mingi hivyo napokea elimu hii nilikuwa siijui na ninakuelewa kabisa kwa vile ysmenisibu
Sio kweli Mtu akiubwa bro hana jini lolote ila upande wakulia kwake ana malaika upande wakushoto yupo malaika haya we wasema mtu akizaliwa hua ana majini wawili huo sio ukweli
Watakuelewa tu. Tatizo watu vichwa vigumu na elimu hawana. Yani shekh wewe uko sawa sana, na wanaopinga hawataki watu waelimike juu ya hili. Hii aitaki tochi. Imeenda hiyo !!.
MTUME WAKE ALLAH HAWEZI KUSAIDIWA NA MAJINI KWANI MTUME WAKE ALLAH ASILI YA UOVU ILI HATA ASAIDIWE KWANI YEYE NI MAASUMU HANA HATA KITU ANACHOWEZA KUKOSEA KATIKA MAISHA YAKE YOTE NA HATEGEMEI MWINGI ASIYEKUA ALLAH S.W...,MFANO WA NABII YUSUFU ALIOMBA MSAADA KWA ASIYEKUWA ALLAH S.W NATUNAONA NABII YUSUFU NATIJA YA KUBAKIA KATIKA JELA KWA MDA WA MIAKA SITA ,KWA KUTAMKA TU NIKUMBUKEKWA BWANA WAKO,BADALA YA MOLA WAKE,SASA ITAKUWA MTUME SAW,AHIFADHIE NA MAOVU NA ILI HALI MTUME HAFANYI DHAMBI HADI AJE KUTUMIA JIIIIIINI ,KWA KUMUINGIZA MTUME KATIKA KATIKA HAYO MAZUNGUMZO HAYAENDANI NA MTUME SAW...SI DHAMBI ANAFANYA WALA HAGHAFILIKI , WALA KUSAHAU...HIZO NI KWA UMATI ILI WAJIKINGE NA VIUMBE VIBAYA ,LAKINI MTUME SAW ASILAN DARAJA YAKE HAINAUHUSIANO WA KUZUIWA MAOVU KWANI HANA SIFA ZA UOVU WALA KUFANYA DHAMBI HADI JINI AJE KUMZUIA,HAYENDANI NA MISINGI YA DINI YA KIISLAM,KAMA ULIVYOMUINGIZA MTUME SAW KATIKA WANAOSAIDIWA NA MAJINI...HAPO MIMI SIKUBALIANI NA MAZUNGUMZO YAKO...NA ELIMU YA MAJINI SIYO WATU WOTE WANAISTIIDAD YA KUELEWA KWA HIVYO ELIMU ZINGINE NI MAHDUUD KWA BAADHI YA WATU ,KWANI WASOELEW UTASABABISHA WENGI WAUKASHIF UISLAM...KWA KUTOJUA KWAO..NA WEWE NDIYE UTAKUA MASUUL KWA HAYO INSHAALLAH WABILLAH TAUFIIQ.
Tukubali jini hawezi kumsaidia mtume kufanya wema. Je binadamu anaweza kumsaidia mtume kufanya wema? Kama jibu sio, maswahaba walioshirikiana na mtume katika vita mbalimbali walikua wakimsaidia mtume kufanya uovu au wema? Je? Kama Sule hana dalili ya kutumia majini katika kufanya baadhi ya kazi wewe una dalili kwamba kutumia majini ni kosa?? Naomba unisaidie.🙏 Sina dalili ya swali langu lakini nimejaribu kutafakari naomba unielimishe.
Unajua Dr Sule ww unaitwa mshirikina kwa jambo la kumtii uyo unomuita jini uchome uban mashtaka au uvae pete au usome jina fulani la Allah hayo ni mashart unayatekeleza tena mengine kwa cku maalum au kwa wkat maalum uo ndo ushirikinaaaa hupaswi kutii amri kutoka kwa jini Allah atuhifadhi
Alouliza swali kwamba Allah kwann hakuwatuma majini amewatuma malaika,hpa tpo kt ya mwanadam na jini,kw mungu haulizwi maamuz yke,c lazima atumie jini,uwezo wake ni mkubwa,swali uliza kw jini na mwanadamu tu,c kw Allah na viumbe vyake
Kesi za Majin babu yng shekh sleman nin Alawiy alikuw htr ww km Kuna jini kashinda niletee mim spotez muda wa kukesh na mgonjwa usiku mm Sina mda huo dakika 5 nishamalizan nae
Lakini shekh jitahidi kuboresha huduma zako za tiba maana yangu unakuta kuna wangine 1wapo mbali alafu wanaumwa alafu ukiangalia hali ya kipato ipo chini mtu huyo unamsaidiaje ili apate huduma yako kwaiyo sisi kama wadau wako tunaomba lifanyie kazi hilo maana unapo sema mtu mpaka aje ofisini kidogo inakua ni ngumu unakuta labda kuna wengine wanaishi kigoma alafu wanaumwa sana jitahidi kuboresha huduma ili usaidie jamii yote
Iweje watu tunaunganisha majini na Uislamu wkt ufanunuzi umeshatolewa kuwa majini ni viumbe tu km viumbe wengine? Hakuna viumbe wa Kiislamu wala wa Kikristo wala wa Ki-Confucius.
Jamani waislamu wapatikane baadhi ya masheyikh waongee kwa busara na Sulley sio malumbano tumesahau hata ndugu zetu wanauliwa na mayahudi tumekalia majini,kweli?
Kitenda cha kusoma quran, halaf mkaona hakuna dalili kisha mkahamia kwa jin kutaka msaada huo ndo ushirikina, kwamba Allah ushamweka pemben na unamtegemea jini