#africa #drsulle #tanzania
Dr.Sulle aongelea ziara zake za kutembelea mikoa kumi.Ameyaongea hayo wakati akihojiwa na chombo kikubwa cha habari hapa Tanzaniza @globaltvonline akisisitiza lengo la kuendelea kuhamasisha amani ya nchi na kuzuia mmomonyoko wa maadili unaopelekea vijana kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Baada ya Mwanza nakwenda Geita
#islaahislamictv #islaahislamicduacentre
✍@jaywaladhapresenter
14 окт 2024