Тёмный
No video :(

DR.SULLE: MJUE SWAHABA AMABAE YUPO HAI HADI LEO | MUUJIZA WA BWANA MTUME | THE ONLY LIVING SAHABA. 

ZVP ONLINE TV
Подписаться 234 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

#DrSulle #ZvpOnlineTv #MpandaKatavi

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 243   
@suleimankagobe8812
@suleimankagobe8812 5 месяцев назад
Allah awajalie moyo wenye ujasiri kama walivyokuwa masawahaba wa mtume na awajalie vizazi bora ambavyo vitakuja kuwasaidia waumini wa kiislamu
@JumaJuma-l4t
@JumaJuma-l4t 7 дней назад
Dokter Sule mola akupe kheri nyingi ,achana na makafiri wajitao wakristo ,waliotiwa vatkani na maluuni Nyerere ,
@user-gz6zs4do3i
@user-gz6zs4do3i 4 месяца назад
Maasha Allah, shukran Jazakallahu Khair 🙏 , Shekhe Sule waislam tunakukubali na kukupenda Sana,
@user-bu4sj4tv6l
@user-bu4sj4tv6l 4 месяца назад
Mashallah kweli kabisa hata Mimi nkakumbuka nilisoma hivyo kwa somo la sira ingawa Sina elmu kubwa
@yusuphomary7410
@yusuphomary7410 5 месяцев назад
Sheikh Dr Sulle anaongea kweli yuko sawa amesoma ni msomi wa zama zetu hizi na ujue kuwa haongei mambo makubwa hayo kwa utashi wake. Usiingilie mambo usioyajua tafadhali huyu ni msomi amesoma vizuri tu. Kaa kimya kwenye haya mambo uwaachie wenyewe.
@galoleali780
@galoleali780 4 месяца назад
Kua makini
@halimandune7317
@halimandune7317 5 месяцев назад
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.I. Nillikuota ww uniombee dua ili maisha yangu yafunguke innshAllah. Niko na maisha ya madeni shule,na kimaisha.
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 5 месяцев назад
Assalamaleukum kabisa dr sule namupenda sana uyu cheikh kwakweli Allah azidi kumupa pumzi na amzidishiye umri azidi kuendesha kazi yake mbele alahuma Amin
@halimandune7317
@halimandune7317 5 месяцев назад
Unanikumbusha mayatima wangu,wanaokosa haki zao shangazi yao anakula pesa yao ambayo serekali inatoa .Hakuna hta mmoja anataka kujua shida zao.Inaniuma sana lakini namuachia Mungu ndo wakili wangu.
@user-yd8dz1vk4x
@user-yd8dz1vk4x 5 месяцев назад
Ùsijali daa Halima kilio chako Mola anakisikia ba ipo siku atakujibu yooote.Na hiyo ni jaza yao ya baadae.Sio kuwa wanawadhulumu ila wanajidhulumu hao kwa hao.Allah awafanyie wepesi na sahali kwa yoote.
@rehemamohammed5534
@rehemamohammed5534 5 месяцев назад
Ustadh allah akueke Inshallah
@user-zb8xl9zg2v
@user-zb8xl9zg2v 5 месяцев назад
Kusoma hamtaki ila watu wakiwasomea mnabisha watazania mbona mechelewa sana ndiyo mnaambiwa yesu mzungu mnasema amen someni mbumbavu
@shwaibumrutu6612
@shwaibumrutu6612 5 месяцев назад
Èfe receive
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 4 месяца назад
Yesu sio mzungu Acha upumbavu na umbumbu wewe
@miskyabdillah7451
@miskyabdillah7451 5 месяцев назад
Bismillh mashaalh Allah azidi kukulinda sheikh Sule🙏🙏🙏
@kurthummohamed6290
@kurthummohamed6290 5 месяцев назад
Manshaallh dr sule nakupenda sana ❤❤❤
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Месяц назад
Allahu akbar mwenyezimungu ni mkubwa na ni mmoja
@KassimSuleiman-od2uw
@KassimSuleiman-od2uw 3 месяца назад
Mashallah Allah ukupee maisha marefu inshallah
@athmanhamza4898
@athmanhamza4898 5 дней назад
MashaAllah
@MwanaishaMsangi-p5q
@MwanaishaMsangi-p5q Месяц назад
Jazzakallah heir
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 5 месяцев назад
Dr. Sule njoo nyumbani ,tuifungue Dunia.
@othmanmaulid4867
@othmanmaulid4867 6 месяцев назад
MashaAllah!! Nakupata Kutoka Toronto Canada
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 5 месяцев назад
Asalaam a.kum. Kuna langu Soud , nina habari za moja kwa moja kutokana na mbinguni, hii ni Kalama Mwenyezi Mungu amenipatia. Nazungumza habari sahihi kuanzia za tangu na tangu za mitume wote na vitabu na hadithi zote katika haki. Na hili ni haki imekuja kuitetea haki.
@AffectionateAirboat-mz7zt
@AffectionateAirboat-mz7zt 4 месяца назад
Allah akuzidishie baraka do sule
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад
Allahu akbar ama kweli mwenyezimungu ni mwingi wa rehema na hakika hakuna yeyote anae fanana nae
@nasrihussein4293
@nasrihussein4293 3 месяца назад
Jazskhahul kheiran
@bintmbarouk1004
@bintmbarouk1004 4 месяца назад
ALLAH AKUBARIK NA KULINDE NA MAADUI AMIIIN
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 5 месяцев назад
Mashallah Allah Akubarik kwa sote na nyote
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 7 месяцев назад
Masha Allah ❤️❤️❤️
@ANITHAPATRICK-jk9yq
@ANITHAPATRICK-jk9yq 4 месяца назад
Maaashaallah bibfatm nakutakia kher
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 5 месяцев назад
Oooh allah jaalia Kauli zetu ziwe za upendo na sio kashfa kwa sa babu maneno machafu hubaki bila kupotea namaneno machafu hayasauliki hata baada ya kusameheana hivyo tujitahidi kuwa na Kaulitz thabiti tupate radhi za mola wetu mtukufu
@user-rn8us7oj2w
@user-rn8us7oj2w 5 месяцев назад
Allah akujaze helli
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg 5 месяцев назад
Masha allah
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад
Allahu akbar mashallah
@matanohassan9667
@matanohassan9667 5 месяцев назад
DOCTER SULE SAFI
@user-fr5pv7dz7q
@user-fr5pv7dz7q 5 месяцев назад
Mzee MATANO iko mini
@DarinSalumu
@DarinSalumu 4 месяца назад
ALLAH ndio mungu wa kweri
@mussaissa6796
@mussaissa6796 5 месяцев назад
HAKUNAGA SWAHABA WA MITI WEE MZEE SOMA DINI KWANZA AU ENDELEA NA KUBISHANA NA WALOKOLE TU. SWAHABA NI MTU ALIYEMUONA BWANA MTUME MUHAMMAD S. A. W NA AKAMWAMINI NA KUMFUATA. KWA HIYO MTI HAUHUSIANI NA HILO, SOMA KWANZA.
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 5 месяцев назад
Hakunaga ndio nini???? ++
@dullnach2310
@dullnach2310 5 месяцев назад
Kwani miti haiabudu
@Hussaindazaqia
@Hussaindazaqia 5 месяцев назад
Mungu akubariki na acujazie neema duniani mpaka ahrat,docta sule.
@RASCOKALUME-no4dp
@RASCOKALUME-no4dp 5 месяцев назад
M.mungu akulinde n'a akupe wepesi wakila kitu tchini ya djuwa
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 5 месяцев назад
Dr. Sule Sitaki kusema lolote . MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ANAJUA UKWELI WA HILO USEMALO. WALLAHI, WABILLAHI, WATALLAHI kama USEMALO ni KISA CHA KWELI BASI NA IWE HIVYO. NA KAMA NI UONGO MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ATAKUFANYIA WEPESI PIA IN SHAA ALLAH.
@user-rs1bo1ic7j
@user-rs1bo1ic7j 4 месяца назад
Aww . Ukifika sehemu inaitwa MAJMAAH SAUDA RABIA ni mji unapeyana mpaka na JORDAN . ndomana sheria ambazo zipo jordan ndizo saudie ndizo zipo jordan . Na pesa zao zina samani sana kama sikusahawu . Nilibembelezwa nifike eko niliona uwoga sababu visa yangu ilikuwa niya saudi nikaokopa kusumbuliwa mpakani sababu niko mtu mwewusi
@mbwanamtops4936
@mbwanamtops4936 5 месяцев назад
Mashallah
@BranMayn
@BranMayn 3 месяца назад
Ukitaja jina la Mtume muhammad pbh lazma uweke salalahu alei wasalaam sikusema tu mtume , tafadhali turekebishane
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 5 месяцев назад
Hapo kwenye vidole viwili doctor vp
@AlhajiIsmail
@AlhajiIsmail 5 месяцев назад
Inshallah
@AnthoniaMaji-zm9tf
@AnthoniaMaji-zm9tf Месяц назад
Orthodox na sanamu ya Bikra Maria wapi na wapi Doctor?
@BABALAOGENERALTRADERS
@BABALAOGENERALTRADERS 4 месяца назад
❤❤❤
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 4 месяца назад
Hakika Ban Israel walipewa mitume yenye sheria baada yao kufa kitambo kisha wakaletewa mitume bila sheria kusadikisha mafundisho sahihi ya kitabu hicho kilichoingizwa pumba au chumvi au takataka na maulamaa wa kitabu hicho. Vivyo hivyo tunapoomba dua ya mtume kwa umma wake kama ilivyobarikiwa Ibrahim( as) . Ni neema kuu ya utume usadikishaji usio na sheria kwa mtume wetu mkubwa kuliko wote iweje kitabu chake kisipate mlinzi wa haya madudu yasiyoingia akililini na mantiki za kiasili au kanuni za kiungu? ALLAHU....SWAL... ALAA MUHAMMAD ...KAMAA SWAL..IBRAHIMA...KAMAA BARAKTA....IBRAHIM hii dua ya ukombozi wa Islam. HAKUNA MTU ALIYEZALIWA NA MWANAMKE AKAISHI MIAKA KADHAA KWA KUTOWEKA BILA KUFA HIZI NI DHANA ZA WAPAGANI AMBAO MIUNGU YAO ILIKUFA NA KUFUFUKA ILITOWEKA NA KUSUBIRIWA ITARUDI
@kiloziDunia-mj1vw
@kiloziDunia-mj1vw 4 месяца назад
Hakika Elimu haina ukomo. Juhudi kujua asili ni Neema toka Muumba ambapo Dr Sulle unajitahidi. Tunafaidika Kupitia jitihada zako.
@kassimabdilatif1802
@kassimabdilatif1802 5 месяцев назад
Ati Sahaba yuko hai Hadi leo. Wah! Hadithi za Abunuwasi hizi !
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 4 месяца назад
Unajiita KASSIM wakati wewe ni CAMILIUS kafiri wa kianglicana. Tulia dawa ikuingie vizuri, nisalimie mtume mwamposa.
@kassimabdilatif1802
@kassimabdilatif1802 4 месяца назад
@@Abdulhamid-pw3qy Yaani munaamini kama kuna Sahaba bado yuko hai mpaka leo ? Kwani wewehuezi kupima kwenye akili kama hii Ni ya kutungwa. Kama wale mashia wanaosmbiwa Imam wao amekwenda mafichoni tangu karne ya nane?
@MohamedMalepes
@MohamedMalepes 4 месяца назад
ASALAM ALAYKUM wew unaepinga unaepinga Kwa maandiko iliwatu tujifunze au Kwa utashiwako TU kama una ushahidi utoe nasii kupingatu sisi tunajifunza hapa kama wew pia unahoja juu ya hili leta maandiko ,au dalili
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct 5 месяцев назад
Nimekata sharing huyo swahaba hakuwa binadam atakuwa ni jini majini wanaishi miaka mingi
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 4 месяца назад
Bwege wewe tuliza huo mshono wako dawa ikuingie.
@raskidali2413
@raskidali2413 5 месяцев назад
Bi Amina alikufa Mtume akiwa 6years
@user-xx8dy9pu6v
@user-xx8dy9pu6v 5 месяцев назад
Nahapa sasa ndio nitie neno naomba razi mpaka kwamola wangu kwamba mashekhe zutu unafki utakuja kuwagalim leo mmnamsifia rahisi mwanamama wetu alivyo kubali chonjo mkamsifia halafu kumbe nikitu chenye ifecti kwetu kwanini mmnaogopa kukosoa viongozi mashekhe zetu mmnaogopaga nini
@abdulahmahamed3790
@abdulahmahamed3790 5 месяцев назад
Nataka hiyo hadithi ipo kwa kitabu gani
@abdallahamanzi8337
@abdallahamanzi8337 19 дней назад
Tulieni msiokuwa waislam mpewe madini
@NtirampebaIdi-nf4mp
@NtirampebaIdi-nf4mp 5 месяцев назад
Dini imekuja ikiwa ngeni,na itarudia la allah ikiwa ngeni tena sheh enderea usipingwi
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV 5 месяцев назад
Hawa massuffi siku hizi wana mafundisho ya ajabu. Hivi hata maana ya swahaba imebadilika?!!
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 5 месяцев назад
Yaani nikituko Cha abunuasi 😂😂😂
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct 5 месяцев назад
Uma wawaislam unadanganywa sana na watu kama hawa wanaojiita wamesoma dini kwa akili za kawaida tu haiwezekani swahaba wa kalne hizo awe hai hadi Leo kwa nini asibaki muhamad mtume nimegundua mawaidha mengi yakutunga na hii nayo ni hivyo
@Ruu974
@Ruu974 4 месяца назад
Tunge ambiwa kwa sasa yupo mjigani tukamuone😂
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 4 месяца назад
Nyie wote ni makafiri wapumbavu. Sikilizeni vzr nini kinachoongelewa hapo kabla ya kuleta ubishi wenu msiouelewa. Ndio maana na bila shaka ukristo ni ukafiri usiomithilika. Endeleeni kuserebuka na sebene makanisani
@HussainWargama
@HussainWargama 4 месяца назад
Fanya adabu sule si harika lako kumbafu wewe ndio mwongo
@dicksonpiuswande9489
@dicksonpiuswande9489 5 месяцев назад
Acha uongo, yaani ana miaka 12 na akafiwa na mke wake Hadija?
@RabiaOmar-ke8de
@RabiaOmar-ke8de 4 месяца назад
Hapo miaka 12 bado hajaowa
@sitiabas2686
@sitiabas2686 4 месяца назад
Mmm
@feruzyjuma
@feruzyjuma 12 дней назад
Wewe ni muongo na ni tapeli
@osmandunga7431
@osmandunga7431 5 месяцев назад
@georgekimasa hiyo ni lugha ya lugha ya mfano huyo swahaba aliye hai siyo binaadam kabla ya kukurupuka jipe muda kidogo japo uulize upate elimu nini kilichokusudiwa hapa.
@user-nz5zg4lz7l
@user-nz5zg4lz7l 6 месяцев назад
Yule muhamadi siyo mutume hatakidogo acha wongo
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
Wewe mgonjwa wa akili.
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 5 месяцев назад
@@AbbasHussein-zq3yi kwani unafkili kutukana ndo majibu
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 5 месяцев назад
Kumbe Mtume nani
@KojaMasudi
@KojaMasudi 5 месяцев назад
Usibishane na watu wanaotembea na vinyesi vyao kwenye makalio yao wakidai ni wasafi ndugu yangu utachoka bure​@@AbbasHussein-zq3yi
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 4 месяца назад
Ni kweli mbora wa viumbe, Muhammad hakuwa mutume ila ni Mtume (SAW).
@RamadhaniMwaja
@RamadhaniMwaja 4 месяца назад
Mmefikia Hadi kudanganya kuhusu dini
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 5 месяцев назад
Mtumishi ako na bodyguards tangu lini kwa kusema ukweli??? SULE wewe motoni
@user-vc1hu8gy6g
@user-vc1hu8gy6g 5 месяцев назад
Ww unaesema shekh NI muongo tupe yakwako yaliokweli tuyachuje usipayuke TU kwa utashi
@user-yd8dz1vk4x
@user-yd8dz1vk4x 5 месяцев назад
Sasa huo mti upo nenda fb kuhusu Jordan utapata mapango,hilo dead Sea hata mti na mengi saana zaidi. Ukikosa pia wewe tunga tutasikiliza
@densaramadhan6527
@densaramadhan6527 24 дня назад
doctar tupe madini wanajitoa akili hao walishindwa kuhifadhi vitabu kichwani wanakushangaa hao wataelewa tu
@user-bg5ig2gv2c
@user-bg5ig2gv2c 6 месяцев назад
Yarabi,who are you to dought Dr Sule anaeleza uwongo juu ya mtendo ya Nabiyullahi Muhammad! May Allah guide us to the truth,in shaa Allah
@victorterry227
@victorterry227 4 месяца назад
Who are your?na kama wewe ulikuwa unajua kwani usinge tuambia wewe mpaka Dr sule aseme ndoo useme anatudanganya kwa hiyo wewe ulikuwa unasubilia Dr sule aseme ukosoe sio
@user-zv8hb1zc3j
@user-zv8hb1zc3j 5 месяцев назад
Msikashif mzivovijua
@user-nz5zg4lz7l
@user-nz5zg4lz7l 6 месяцев назад
Mwongo sana
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
Huelewi unalolisema.Mw Mungu akuzindue hapo gizani ulipo.Huwezi kuzinduka hapo kila kwa nusra ya Mw Mungu pekee.
@user-xx8dy9pu6v
@user-xx8dy9pu6v 5 месяцев назад
Sasa maalim inaja gani kumuita muongo kwenye Hilo mwenzako nawakati wewe akilini mwako huna Aya hata Moja utakayo iyongea ituvutie kukusikiliza tuusikie uwongo wako
@rizikinassoro419
@rizikinassoro419 5 месяцев назад
Kama shekh ni muongo tuelezeni hayo ya kweli lengo ni elimu kwa jamii
@richardnganya2311
@richardnganya2311 5 месяцев назад
The year of the Lord 2023.... 2024 AD. Reference belongs to Lird Jesus? Why AD?
@Ruu974
@Ruu974 4 месяца назад
Eti lird 😂 checheto uo apa washirikina aiwahusu
@user-nz5zg4lz7l
@user-nz5zg4lz7l 7 месяцев назад
Dr. Sule mwongo
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 6 месяцев назад
Mwongo mwongo kweli
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
​@@partsonchundwa2287you two are crazy.
@user-kr5vh9jl9q
@user-kr5vh9jl9q 5 месяцев назад
Nilikuona kwa ndoto,ukiwa mbinguniu umevaa kanzu
@user-zv8hb1zc3j
@user-zv8hb1zc3j 5 месяцев назад
Wakiristo kaeni pembeni hayawahusu
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 5 месяцев назад
Hao ndo wale nyoyo zao ziko na stamp bro
@user-kr5vh9jl9q
@user-kr5vh9jl9q 5 месяцев назад
Shekh aslm alykm,niliona picha yako mbinguni ukiwa umevaa kanzu ya yellow,inamaanisha?
@bakarimwaguluwe-yh2dn
@bakarimwaguluwe-yh2dn 4 месяца назад
Nonsense no where to be found
@HairuIsmaili
@HairuIsmaili 5 месяцев назад
3:04
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 5 месяцев назад
Ndo uskie ukweli sasa sio udanganjwe bro
@densaramadhan6527
@densaramadhan6527 24 дня назад
we mwehu doctar sule anatoa vitu vya kielmu kasome kungura wewe
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg 5 месяцев назад
Yan mimi.nipo na wewe kbs kwasababu ulichokua nacho mimi sina
@sitiabas2686
@sitiabas2686 4 месяца назад
Bbb
@AbdulMutta
@AbdulMutta 5 месяцев назад
If you are low educated tulia don't comment maybe Huna elimu
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 5 месяцев назад
Dr. Sule xstian kama mm najua ukifa basi kwisha, Yesu ndio alifufuka. Pinga Yesu tu ukiendanga jikoni na madawa yako ya kienyeji. Duh🏃🏃🏃🏃
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 5 месяцев назад
Kweli kabisa mie niliishi na aliyekuwa mumewangu nikafanyiwa visa atimae nilitoka pale nikasafiri nasasa ninamaisha mengine nawashukuru JP wtt wangu wamekuwa kwashoda Sana ila Insha Allah
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 4 месяца назад
Hujui usichokijua....ng'ang'ana tu...hadi mauti yako....
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 5 месяцев назад
Duh hii Dini imejaa uongo hatareeeee Dunia inatafuta kila siku mtu mwenye umri mrefu zaidi Duniani na wanapatina wa 100 na kitu sizaidi ya 120 Leo we unatwambia kuna swahaba yupo hai hadi Leo Toka kipindi Cha Muhammad 😂😂😂😂😂 Waislam bhana
@user-du6bd3no2b
@user-du6bd3no2b 5 месяцев назад
Wewe mjinga sana...
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 5 месяцев назад
Wewe usichokoze dini ya Mwenyezi Mungu. Hasbi allahu Wanamat wakeel.
@user-sk1hm7mf2t
@user-sk1hm7mf2t 5 месяцев назад
Kama hujikitu uliza usijifanye unajua kumbe hujui kama imejaa uwongo inazidi diniyako sijui upo dinigani ila akuna dini ya ukweli kama uwislam
@user-kf9yz6jp8r
@user-kf9yz6jp8r 5 месяцев назад
Kwani unaebisha kama akunaswahaba halie Hai kwani unajua mahana ya swahaba kwanza. Swahaba nikiumbe yoyote alie mwamini mtume na kufuata ama kumsaidia kazi zake atamiti ipo ilio kaa mtume kwaiyo nao pia nisahaba bwwge kama ujui.
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 5 месяцев назад
@@user-kf9yz6jp8r Elimu ya mashetani Huwa inawatoa kwenye reli Neno swahaba limetumika kama mfuasi wa mtume inakuwaje mti unaitwa swahaba. Eh 🤣🤣🤣 Neno swahaba linawakilisha mfuasi wa .
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 5 месяцев назад
Dr. Haki bro wewe ni muongo na miongoni mwa wale wapinga kristu.
@LaizaYoung
@LaizaYoung 5 месяцев назад
Mwalim haujakosea kbc ichi kisa ni chakwel kbc
@salhkasmm558
@salhkasmm558 5 месяцев назад
Alikuwa mumeo kama mtume
@user-hp1im5ek4r
@user-hp1im5ek4r 5 месяцев назад
Uongo
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 5 месяцев назад
Hapo ktk kufufuwa vp
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 5 месяцев назад
Sina elimu wacha niskilize tu.
@rehemamohammed5534
@rehemamohammed5534 5 месяцев назад
😂😂😂
@zuberinasibu1441
@zuberinasibu1441 5 месяцев назад
Hivi maana ya swahaba ni nini katika uislamu ???
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
Waliokuwa marafiki wa karibu na Mtume.
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 5 месяцев назад
Maswahaba walikuwa walevi na walikufa juu ya ulevi but hicho hupati Kwa madrasa kabisa. Uzuri amesema majina yao
@JumahAShabani
@JumahAShabani 5 месяцев назад
Kama unavyo sikia wanafunzi wa Yesu ndiy maswahaba
@sitiabas2686
@sitiabas2686 4 месяца назад
Mlevi mamaako kuma wewe
@isihakajarika2668
@isihakajarika2668 5 месяцев назад
Kama ni mtu wa kupenda kujifunza Mambo ya kiimani huezi kusema dokta muongo kusema hivyo inamaana wew umesoma na unavijua vitabu vyote Muombe sheikh atupe refference ya vitabu alivyosoma
@user-ht8po7un8p
@user-ht8po7un8p 5 месяцев назад
Upo sahii elimu ni bahari
@user-po1cq9so9h
@user-po1cq9so9h 5 месяцев назад
Shekh huyu mawaidha yake hayafundishi watu yanapotosha watu kuna video moja anasema kuna mskiti comoro umejengwa na majini hakuna jini au shetwan muislam hata mmoja katika hii dunia viumbe hao wote wamelaanika wamejenga mskiti vipi Shekhe anatakiwa atoe mawaidha na ushahidi
@KhamisisamaBudzo
@KhamisisamaBudzo 5 месяцев назад
Kuna mäjini waislamu ....unapotoa comment yako akikisha kitu unachosema umefikiria mara mbili sio kuvuta bangi na kujiongelea ...heshimu mtu amesoma historia ........sio sawa na kwako uliko amini mchungaji ameanza kwa baiskeli baada ya miezi miwili ako na v8
@dullnach2310
@dullnach2310 5 месяцев назад
Labda ww ndo ulolaanika
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 5 месяцев назад
Miujiza ya Muhammad ni ZERO hana lolote
@abdoumadiousseni4835
@abdoumadiousseni4835 5 месяцев назад
Ww ni mugonjwa wa akili
@shaibumlawa3666
@shaibumlawa3666 5 месяцев назад
Wewe kama nani sasa kwa mfano!watu hatuishi kwa miujiza!
@ummyomary6350
@ummyomary6350 5 месяцев назад
Makafiri huwa mmenyimwa akili na maalifa yaaan mpo tu Kama ndio maana mmeitwa kondooo
@myaudimazarahu3532
@myaudimazarahu3532 6 месяцев назад
Uongo uongo uongo😂😂😂😂😂
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
Wewe kichwani kuna tope unaye mwita Dr S mwongo. Kajifunze anayoyasema.
@rehemamohammed5534
@rehemamohammed5534 5 месяцев назад
Kweli 😢😢😢😢
@isaackmlayy6228
@isaackmlayy6228 5 месяцев назад
alafu Muhammad yuko kaburini hivi kwanini hamjitambui ndugu zangu
@rajabibrahim8616
@rajabibrahim8616 5 месяцев назад
We kafiri huna ujualo, pumzika
@AshaSalim-xd8xp
@AshaSalim-xd8xp 6 месяцев назад
Ninanihuyuanyesemadrsulenimuongompuuzihuyu
@mariyammariyam1454
@mariyammariyam1454 5 месяцев назад
Nawewe unayemkosoa sule nawe Aya kuandika uwezi km mwenzio kabarikiwa kutufungua wacha wivu we galatia
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 7 месяцев назад
Acha uongo wewe, yaani miujiza mikubwa hivyo hata Allah mwenyewe haijui wadanganye haohao wenzio
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 7 месяцев назад
Acha ujinga kuongea kwa usiloijua soma au sikiliza au nyamaza
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 7 месяцев назад
@@ismailhassan5209 Ujinga wangu ni upi?niambie
@MakonkhalidiRadjabu
@MakonkhalidiRadjabu 7 месяцев назад
Sasa wew unapinga nin kuhusiana na hiyi Dawa ya Dr Sule. Baba wey kama hurya Muamini Muhammad s.ww baba wey bado huna na fasi.. Here n after....!
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 7 месяцев назад
@@MakonkhalidiRadjabu ninachopinga ni hiyo miujiza mikubwa kiasi hicho Cha ajabu hata Allah haijui
@user-lp8pr2sv7c
@user-lp8pr2sv7c 6 месяцев назад
Mashaallah
@AbbasHussein-zq3yi
@AbbasHussein-zq3yi 5 месяцев назад
@partsonchundwa2287 kuna ajenda nyuma ya pazia.comment hazichapishwi ila zako zitokeza chini ya maelezo ya Dr Sule. Je!! Kuna nn?
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 6 месяцев назад
MashaAllah
@UmayaHaji
@UmayaHaji 4 месяца назад
Mashallah
@jumaibrahim7781
@jumaibrahim7781 5 месяцев назад
Inshallah
@HairuIsmaili
@HairuIsmaili 5 месяцев назад
❤❤❤
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 2,4 млн
СМАЗАЛ ДВЕРЬ
00:31
Просмотров 263 тыс.
UTAPENDA MAWAIDHA YA DK SULE AKIWA MSIKITINI
49:17
Просмотров 34 тыс.