Sheikh Dr Sulle anaongea kweli yuko sawa amesoma ni msomi wa zama zetu hizi na ujue kuwa haongei mambo makubwa hayo kwa utashi wake. Usiingilie mambo usioyajua tafadhali huyu ni msomi amesoma vizuri tu. Kaa kimya kwenye haya mambo uwaachie wenyewe.
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.I. Nillikuota ww uniombee dua ili maisha yangu yafunguke innshAllah. Niko na maisha ya madeni shule,na kimaisha.
Assalamaleukum kabisa dr sule namupenda sana uyu cheikh kwakweli Allah azidi kumupa pumzi na amzidishiye umri azidi kuendesha kazi yake mbele alahuma Amin
Unanikumbusha mayatima wangu,wanaokosa haki zao shangazi yao anakula pesa yao ambayo serekali inatoa .Hakuna hta mmoja anataka kujua shida zao.Inaniuma sana lakini namuachia Mungu ndo wakili wangu.
Ùsijali daa Halima kilio chako Mola anakisikia ba ipo siku atakujibu yooote.Na hiyo ni jaza yao ya baadae.Sio kuwa wanawadhulumu ila wanajidhulumu hao kwa hao.Allah awafanyie wepesi na sahali kwa yoote.
Asalaam a.kum. Kuna langu Soud , nina habari za moja kwa moja kutokana na mbinguni, hii ni Kalama Mwenyezi Mungu amenipatia. Nazungumza habari sahihi kuanzia za tangu na tangu za mitume wote na vitabu na hadithi zote katika haki. Na hili ni haki imekuja kuitetea haki.
Oooh allah jaalia Kauli zetu ziwe za upendo na sio kashfa kwa sa babu maneno machafu hubaki bila kupotea namaneno machafu hayasauliki hata baada ya kusameheana hivyo tujitahidi kuwa na Kaulitz thabiti tupate radhi za mola wetu mtukufu
HAKUNAGA SWAHABA WA MITI WEE MZEE SOMA DINI KWANZA AU ENDELEA NA KUBISHANA NA WALOKOLE TU. SWAHABA NI MTU ALIYEMUONA BWANA MTUME MUHAMMAD S. A. W NA AKAMWAMINI NA KUMFUATA. KWA HIYO MTI HAUHUSIANI NA HILO, SOMA KWANZA.
Dr. Sule Sitaki kusema lolote . MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ANAJUA UKWELI WA HILO USEMALO. WALLAHI, WABILLAHI, WATALLAHI kama USEMALO ni KISA CHA KWELI BASI NA IWE HIVYO. NA KAMA NI UONGO MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ATAKUFANYIA WEPESI PIA IN SHAA ALLAH.
Aww . Ukifika sehemu inaitwa MAJMAAH SAUDA RABIA ni mji unapeyana mpaka na JORDAN . ndomana sheria ambazo zipo jordan ndizo saudie ndizo zipo jordan . Na pesa zao zina samani sana kama sikusahawu . Nilibembelezwa nifike eko niliona uwoga sababu visa yangu ilikuwa niya saudi nikaokopa kusumbuliwa mpakani sababu niko mtu mwewusi
Hakika Ban Israel walipewa mitume yenye sheria baada yao kufa kitambo kisha wakaletewa mitume bila sheria kusadikisha mafundisho sahihi ya kitabu hicho kilichoingizwa pumba au chumvi au takataka na maulamaa wa kitabu hicho. Vivyo hivyo tunapoomba dua ya mtume kwa umma wake kama ilivyobarikiwa Ibrahim( as) . Ni neema kuu ya utume usadikishaji usio na sheria kwa mtume wetu mkubwa kuliko wote iweje kitabu chake kisipate mlinzi wa haya madudu yasiyoingia akililini na mantiki za kiasili au kanuni za kiungu? ALLAHU....SWAL... ALAA MUHAMMAD ...KAMAA SWAL..IBRAHIMA...KAMAA BARAKTA....IBRAHIM hii dua ya ukombozi wa Islam. HAKUNA MTU ALIYEZALIWA NA MWANAMKE AKAISHI MIAKA KADHAA KWA KUTOWEKA BILA KUFA HIZI NI DHANA ZA WAPAGANI AMBAO MIUNGU YAO ILIKUFA NA KUFUFUKA ILITOWEKA NA KUSUBIRIWA ITARUDI
@@Abdulhamid-pw3qy Yaani munaamini kama kuna Sahaba bado yuko hai mpaka leo ? Kwani wewehuezi kupima kwenye akili kama hii Ni ya kutungwa. Kama wale mashia wanaosmbiwa Imam wao amekwenda mafichoni tangu karne ya nane?
ASALAM ALAYKUM wew unaepinga unaepinga Kwa maandiko iliwatu tujifunze au Kwa utashiwako TU kama una ushahidi utoe nasii kupingatu sisi tunajifunza hapa kama wew pia unahoja juu ya hili leta maandiko ,au dalili
Uma wawaislam unadanganywa sana na watu kama hawa wanaojiita wamesoma dini kwa akili za kawaida tu haiwezekani swahaba wa kalne hizo awe hai hadi Leo kwa nini asibaki muhamad mtume nimegundua mawaidha mengi yakutunga na hii nayo ni hivyo
Nyie wote ni makafiri wapumbavu. Sikilizeni vzr nini kinachoongelewa hapo kabla ya kuleta ubishi wenu msiouelewa. Ndio maana na bila shaka ukristo ni ukafiri usiomithilika. Endeleeni kuserebuka na sebene makanisani
@georgekimasa hiyo ni lugha ya lugha ya mfano huyo swahaba aliye hai siyo binaadam kabla ya kukurupuka jipe muda kidogo japo uulize upate elimu nini kilichokusudiwa hapa.
Who are your?na kama wewe ulikuwa unajua kwani usinge tuambia wewe mpaka Dr sule aseme ndoo useme anatudanganya kwa hiyo wewe ulikuwa unasubilia Dr sule aseme ukosoe sio
Sasa maalim inaja gani kumuita muongo kwenye Hilo mwenzako nawakati wewe akilini mwako huna Aya hata Moja utakayo iyongea ituvutie kukusikiliza tuusikie uwongo wako
Kweli kabisa mie niliishi na aliyekuwa mumewangu nikafanyiwa visa atimae nilitoka pale nikasafiri nasasa ninamaisha mengine nawashukuru JP wtt wangu wamekuwa kwashoda Sana ila Insha Allah
Duh hii Dini imejaa uongo hatareeeee Dunia inatafuta kila siku mtu mwenye umri mrefu zaidi Duniani na wanapatina wa 100 na kitu sizaidi ya 120 Leo we unatwambia kuna swahaba yupo hai hadi Leo Toka kipindi Cha Muhammad 😂😂😂😂😂 Waislam bhana
Kwani unaebisha kama akunaswahaba halie Hai kwani unajua mahana ya swahaba kwanza. Swahaba nikiumbe yoyote alie mwamini mtume na kufuata ama kumsaidia kazi zake atamiti ipo ilio kaa mtume kwaiyo nao pia nisahaba bwwge kama ujui.
@@user-kf9yz6jp8r Elimu ya mashetani Huwa inawatoa kwenye reli Neno swahaba limetumika kama mfuasi wa mtume inakuwaje mti unaitwa swahaba. Eh 🤣🤣🤣 Neno swahaba linawakilisha mfuasi wa .
Kama ni mtu wa kupenda kujifunza Mambo ya kiimani huezi kusema dokta muongo kusema hivyo inamaana wew umesoma na unavijua vitabu vyote Muombe sheikh atupe refference ya vitabu alivyosoma
Shekh huyu mawaidha yake hayafundishi watu yanapotosha watu kuna video moja anasema kuna mskiti comoro umejengwa na majini hakuna jini au shetwan muislam hata mmoja katika hii dunia viumbe hao wote wamelaanika wamejenga mskiti vipi Shekhe anatakiwa atoe mawaidha na ushahidi
Kuna mäjini waislamu ....unapotoa comment yako akikisha kitu unachosema umefikiria mara mbili sio kuvuta bangi na kujiongelea ...heshimu mtu amesoma historia ........sio sawa na kwako uliko amini mchungaji ameanza kwa baiskeli baada ya miezi miwili ako na v8