Dudu baya I agree with you 💯 mtu anaongea na mungu wake mwenyewe we are in no position to judge and tuwache kiki ama vipi thanks DUDU BAYA for sharing 🙏🏾GOD BLESS 🙌 universe God 14:08✌️1🤍🕊
Msipindishe pindishe maneno bana harmonize amekosea huwez kuanza kumfananisha mungu na kitu kingine hukuletwa duniani kuja kumtafakari mungu fanya alichokiagiza nasio kumtafakari Yeye kuanza kumfananisha na vituvingine
Asante baba nimependa majibu yako.wa kumwomba toba ni Mungu tu si sheikh wala nani..toeni kwanza boriti kwenye macho yenu ndio muone vibanzi kwanye macho ya wengine
Konki...juuu...harmonize teacher... Mtamuelewa2 harmo...mwisho..wa cku...wabongo wanapenda kuzusha alochoongea tembo sahihi...uyoo yy amezaliwa na mgomba....mkeee we si ndo Kila ki2🎉🎉🎉❤❤
I agree with you. Tanzania tunaabudu mama, nothing wrong! Tunaamini analeta mema bongo! Hapa bongo, mama ni zaidi ya Mungu, tunamwabudu! Let’s get real!
Isikilizeni tena au irudie post hii iliyoleta haya makosa mnampa makosa. Sizani kama ameongea na kusema direct mungu mwanamke!! Big up dudubaya kaka kwa uchambuzi wa uelewa KABISA...
mungu huwezi kufananisha na kitu chochote yy hamo imani yake haipo vzuri kishaanza kuwa na mashaka na mungu na hayo mashaka anayazungumza hadharani mungu ktk qur an amesema hamna kitu alichofanana nacho uislam sio dini ya kuchezewa chezewa dudu ezi za maswahaba hamo angelikua habari nyengine
@@hilalkhalfan1452 siongei na nguruwe wasiofikiri. vichwa maji kama wewe Mmelewa dini na kuwageuza kupigana vita visivo na maana wenyewe kwa wenyewe kisa dini imesema dini imesema SHENZI 🚮🚮
dudubaya unakosea sana wew binaadamu tumefikia kumfananisha na mungu na kitu chochote hapana tunamkosea mungu huyo kamkosea sana allah pesa inawasaulisha kuwa kuna mungu ndyo maana vinaropoka
Hii dunia ni ya kupita tafutani njia ya kupata pesa kwa njia munazozijua nyinyi ila sio kumtukana mungu na mfumo wa maisha anayoishi si mwislamu na toba yke ache mzinki na tabia zote anazozifanya hii dini si usanii
Ww brother kama harmonize hatokemewa basi watatokea wengine na wengine na wengine kuzungumza kauli kama hizo za kumtukana Allah na kudhalilisha Uislamu
Kuna njia nzuri yenye wamefaa waifate viongozi sio kumkashifu, harmonize akipiga goti ucku wa manane au time yyte aombe toba na Mola wetu mlezi atamsamehe.. Mana Allah ndio ajua kamaanisha au ni akili zake za bangi ni yy na Mola wake
Hajathibitisha na hiyo Kuna watu wengi hawasemi kwa sababu ya hofu mungu ilivyo tutawala kwahiyo mashehe na mapadri misikitini na makanisani wawe wanatoa elimu ya dini ili binadamu waendelee kuwa na hofu ya mungu
Konki tutazo ni kwamba dini Ya wenzetu hawanaga matani na Kitabu chao Koran, Mtume wao Yani sio kama sisi hadi watu wanamvisha Yesu rangi za upinde ila poa tu. Konki waislam wanaheshimu dini yao sana na kuna mipaka sana katika masihara Ya kufanya. Konki we endelea uku kwenye Bongo fleva Ya dini waachiye Ma shehe.
Mungu hafanishwi na chochote huo ndio ukweli tena ulio uchi, hamonize amekosea mno lakin amemkosea mungu sio binadamu hivyo hamonize anatakiwa aongee mungu wake sio binadamu sema waislamu huwa wanajifanya wanajua sana kila kitu kwa kujifanya wakamilifu sana huku hawana lolote zaidi ya visasi, mungu anatuagiza tupendane na mtu akikosea tumsamehe saba mara sabini, sisi wakristo kwa kosa la hamonize tungemuombea tu mema msamaha kwa mungu sio kumuombea dua mbaya kama waislamu ohh akifa asizikwe, ooh atakufa kifo kibaya mara ooh tumtenge 😂😂 mara asomewe albadili ya kufanya yamkute mabaya khaa! asante mungu najivunia kuwa mkristo ❤❤ waislamu wanajifanya wana maadili lakini watoto wao ndio wana tabia za ajabu ajabu uwakute sasa kilo kona a'm proud to be Muslim 😂😂😂 huku watoto wako ni wazinifu tu, zuchu, jux,diamond ,hamonise,mbona, marioo nk ndio wazinifu wakubwa 😂😂 mtu akikosea waislamu hawamuombei na kumuachia mungu wao wanatoa hukumu badala ya kumbuombea abadilike 😂😂😂, jambo la busara via ngozi wa kiislamu walitakiwa kumuita hamonize na kumfundisha imani na kutenda yaliyo mema yanayomlendeza mungu kumuelimisha mungu anapenda nini? mungu hapendi hiki na kumuombea maombi maalamu kwa mungu amsahehe kosa lake alilolifanya na kumuombea abadilike awe na hofu ya mungu moyoni mwake, sio kuja huku kwenye mitandao na kutupigia kelele zao eti hamonize atengwe, akifa azikiwe kikafiri, hawamtambui kama ni mwenzao mara awaombe waislamu msamaha utazani amewatukana wao hamonize amemtukana mungu anatakiwa kumuomba msamaha mungu sio wao binadamu viongozi wa kiislamu huwa wana midomo mno ulishawai kuona kiongozi wa kikiristo anayeijua dini kweli kweli akatokea mkristo mwenzie amekosea akashindwa kumuombea kwa mungu asamehewe na kumfunza yaliyo mema akaja kwenye mitandao kupiga kelele na kumuombea yamkute mabaya NEVER ila waislamu sasa duuuu ni kelele na kumuombea mtu yamkute mabaya sasa hapo wanamfundisha mtu aliyekosea kutambua kosa lake ili atubu na kurudi zizini kwa kuendelea kutenda mema yanayompendeza mungu au wanampoteza kabisa mtu huyo?? yesu hakuja kuwakomboa walio wema bali waovu jamani waislamu BADILIKENI jamani khaaa!!!!
sasa jamii nyengine ishakubali kua mungu ni mwanamke kwa sababu ya maneno ya hamo sasa bila kusema hadharani kua ile kauli nimekosea hawa watu walio muamini watabaki na imani yao mungu ni mwanamke nani atawaongoa wakati yy alosema kisharudi kwa mungu wake kimya kimya ikiwa ataomba toba ya kweli basi pia awajulishe na wale alowatia mashaka kuhusu mungu kua alikosea ili na wale wawe na imani ya kweli na mungu hawa wasanii kuna watu wanawaamini sana eti msanii ana elimu ya dini kuliko mashekhe dunia inapoelekea ni kwenye vurumai duni shetani anataka kututawala kwa kila kitu
dudu baya ww nijiazi ww unaupeo mkubwa sana viongozi wadini wote duniani jifunzeni najuha watu wasikua naupeo mtamlaumu dudu baya ila mwenye upeo awawezo kumlaumu ww nyinyi viongozi wadini kuweni makini ktk Imani mtu akikosea. muhite umuelimishe sio kujio hona ww nimwema sana kwamungu iyo ahipendezi mungu wabaliki viongozi wadini nauwape mahalifa yakuishi nawaumini wao hasante nawapenda
Kuna utofauti kati ya kuhisi alivyokngea kimawazo yake alihisi aliwanzia kitu km hicho ni dhambi pia kuhisi kitu ambacho siyo yaani Hana uhakika hivyo akiomba Toba Kwa mungu wake atasamehewa hata dhambi ikiwa nyekundu baba yeti Ambae ni mungu anasamehe hakukua na sababu ya kushupalia hivyo mnauminza akili zenu sisi wanadamu tuwazayo mabaya ni tofauti na mungu anavyotuwanzia makosa ya kushupalia yapo ila hili ndo mmeliona tuu mmgeona makubwa ya hayo mtafanyaje? Tujifunze kutokupaniki na kumeudia mungu Kwa Toba
Mashehe baada yakuona. Mtu huyu anawaza hivyo. Maana yake. Walipaswa. Watumie taaluma. zao na hekima. Kutoa somo. Kufundisha inawezekana elim ingewafikia weng nasio jaziba. Kwa swala mhimu. Maandiko Ya Mungu. Yapo ili watu wajue kweli ya Mungu 🙏 🙏
dudu baya kaa kimya uislam huujuwi, mungu katoa hukumu mbali mbali ahukumiwe bin adamu hapa hapa duniani,dini hii si yko,uliza wenye dini usikurupuke, kasema babaake ni shekhe haoni anamtia babaake aibu.
Yani nilichogundua watu wa mungu wamekosa maarifa mtu hunakasirika na kujifanya kana wewe ndo hunamjua mungu vizuri jamani mungu hatetewi mungu anajitetea mwenyewe hata hao manabii sio kama ndo walikamilika kivile hapana walikua wa2bwakawaida tu kama wewe, hila mungu hakitaka jambo lake hatakuinua hata wewe kupigana zidi ya adui wa mungu, kwaiyo hacheni miemko yenu mungu na huyo harmonize ni kiumbe wa mungu, na yeye mungu mwenyewe ndo hanajua jinsi ya kudili na viumbe vyake hacheni hunafki wenu
Dudu baya anaongea vibaya coz haelewi...uislamu ni kuhimizana mema na kukatazana maovu ..hivyo sio kuhukumu mtu ni kumkataza,kumkanya asiendelee kuyafanya...unatetea usilolijua Wala kulifahamu😢hauna elimu ya dininyoyote coz sijaona shekhe yeyote aliyesema eti anamhukumu harmonize ila ameonywa tu😢
Mimi jamani nimeenda mbali sana kwenye hii tafakuri ya harmonize juu ya mwanamke nakja nikajiuliza ivi kwa nini sisi binadamu tuwapo hatarini hasa inapotokea hatari ya ghafla uwa tutaja vitu vitatu unaweza akasema mungu wanga mgine akasema hamad mgine akasema yesu wangu mgine akasema mama yangu hapa sjjui mama nae yupo kwenye kundi gani maana ndani kuna watume wawili lakini kwenye hatari mama uwa anatjwa sana aaa yaani bas harmonize naomba utunge wimbo kuhusu hiyo tafakuri kuna vitu vya kujifiunza humo naona kuna ujumbe mzuri
Konki ipo ivi wamepaniki nakulekebisha harmonise nikwasababu tu harmonise ni muislam na yeye anajitangazaga kuwa yeye ni muislam ndomana dokta sure alisemsema harmonise..kama harmonise atakuwa mkristo basi hawezw kusemwa..napia kuhusu harmonise kuhusu kuomba msamaha mungu adharani nikwasababu harmonise amemtukana mungu dhahiri ndomana dokta sure alimwambia harmonise asafishe mungu dhahiri alafu ndo amuombe msamaha faragha..mwenyezimungu tusamehe Kwakilichotokea usitukasilikie yarabi
Mungu unamuomba msamaha wewe na yeye sio kupayuka mataani kama walokole eti hee tubu hapana dudu baya smeongea big point sure ni binadamu kama binadamu wengine yaani mungu kweli harmonize kakosea na akiomba msamaha yeye na mungu wake pia anasamehewa ila sure yeye anahukumu
Dudu baya nikweli ila kunadhambi ambayo inakukamata ww kama ww Ila kunadhambi inakwenda kulingana na athari unavyo endelea kuwaathili watu sasa harmonize anawatu wanao mfuata na kumpenda sasa kama atatubia kwa mungu wake ni sawa ila kwa hawa wanao mfuata wataelewaje alafu ww mkristo huyo harmonize anajinasibisha na uislamu dini inayofuata muongozo wa mtume Muhammad sasa mtume amesema mwenye elimu ya dini ndie mrithi wake sasa hilijambo linahusu dini ww imba mziki na usitoe mifano ya dini nyengine harmonize anafaa kukemewa na kuzinduliwa shukran
Harmonise aliyaleta mwenyewe kwenye Mtandao wangefanya kimya kimya yangeisha kimya kimya .ukikosea kubali kurekebishwa , shekh alicho kifanya alipitiliza kweli ila bado yuko sahihi kumwambia wazi wazi kwamba kakosea ili kesho ajifunze.
Viongozi wa dini ni wajib wao wazungumze kwa kila kosa afanyalo muislamu, huu ni umma bora wa kukatazana mabaya na kuambuzana mazuri. Na wanamtaka Harmonize aombe msamaha kwa mola wake hawakuhimiza aombe kwa mtandao muhimu ni kuwa amuombe mungu msamaha na hilo ni kwa maslaha yake mashekhe hawafaidi wala hawahasariki akiomba ama asiombe
Hapa nikuwa cc ndio tutakaokuxika, kwa mujibu wa dini mtu mwenye kauli Kama ya harmonize amejitoa kwenye Imani ya uislam, hivyo hastahili kuzikwa kwa mujibu wa taratibu taratibu za uislam,labda angejitoa rasmi,halafu unapomjadili harmonize usichanganye Imani konki
wakati wa mitume na manabii ndio adhabu zilikua za shuka papo hapo zama zetu ni kulingaliana na peana na saha na alie kamili ni mungu pekee anaefaa kuhukumu ndio maana yoyote anaeomba uongozi amejifananisha na mungu
Kosa lipo lk inatakiwa aelekezwe atambue Kosa bas atubu cos atubu au asitubu hasara yake nakama faida yake pia hauwezi hukumiwa Kwa makosa ya mwingine lkn viongozi kukemea maovu ni wajibu wao