Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
Alichosema mchungaji kuhusu Diamond Platinum ni kwamba hakuna mkamilifu miongoni mwetu, sote ni wakosa na haina haja ya kushambuliana na kuitana wa peponi na wa motoni.!!! Pia ameshauri kuwa mtu anapokaribia kumrudia Mungu asibezwe na hayo ndio mafundisho ya dini. Hata Mitume ya Mungu ilikua inatumia lugha nyepesi,laini na ya upole katika kuongoa watu kutokama na neno la Mungu. Na huenda Mitume wangetumia kebehi,kejeli na ukali katika kufikisha neno la Mungu huenda hata sisi wa zama hizi dini zisingetufikia kabisa!!! Zaidi tunapotaka kumhukumu mtu tutumie vitabu vitakatifu vya Mungu na sio kutumia maono yetu binafsi. Hongera sana Mchungaji kwa kuwa muwazi na kutushauri kubase ktk vitabu vitakatifu vya Quran (muslims), bibble (Chritians) etc na sio kufuata mihemko yetu ktk kuamua mambo ya dini!!
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣