Тёмный

PASTOR DANIEL MGOGO AINGILIA SAKATA LA DIAMOND PLATNUMZ | SADAKA NI MALI YA MCHUNGAJI 

EastAfricaRadio
Подписаться 495 тыс.
Просмотров 271 тыс.
50% 1

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Опубликовано:

 

31 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 254   
@florandesa6180
@florandesa6180 3 месяца назад
Mchungaji Mgongo yuko vizuri sana.🙏 Hongera sana Mchungaji kwa majibu mazuri👏
@naomisidi2181
@naomisidi2181 3 месяца назад
Pastor Mgogo yuko sawa sana. Anahubiri true facts za maisha na dini. Nimefundishika sana na Pastor Mgogo.
@R_Hosanna_V
@R_Hosanna_V 3 месяца назад
Hakika huyu nimutumishi wa Mungu amekuja kutuhudumia Butembo DRC tume barikiwa sana Daniel Mungu akulinde
@TheogenneMusavyimana
@TheogenneMusavyimana 2 месяца назад
Kumbe nawe ushaona ? Daniel namukubali. Na Mimi
@vianeynzarami6861
@vianeynzarami6861 2 месяца назад
Alikuwa bitembo sikugani?
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 3 месяца назад
Mchungaji mgogo ni genius 🔥 umejibu vyema sana
@issackmaigegogadi
@issackmaigegogadi 3 месяца назад
Kabisa 🤝🏼
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 2 месяца назад
Thank you so much pastor its very true what pastor is talking about May GOD guide you all the time and be blessed 🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤️❤️
@HassanMwaki
@HassanMwaki 2 месяца назад
I love this studio thank u for beautiful programs keep up we re following u guys.
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 2 месяца назад
Mgogo anajua sana ,hilo la ndoa ambazo zilishakufa ila watu wanaishi kwa sababu ya watoto na mimi ni mmoja wapo ,pengine mwenzangu anajua kuna ndoa ila moyoni hakika kama sio watoto wangu sitaki wateseke ningeshamuacha kitambo sana
@DianeDavidBunuma-kd9hx
@DianeDavidBunuma-kd9hx 3 месяца назад
Baba mchungaji barikiwa sana kwa majibu mazuri❤
@charleskyale9983
@charleskyale9983 3 месяца назад
NAPENDA EAST AFRICA RADIO , KENYA 🇰🇪 Nairobi.
@gilijacob3787
@gilijacob3787 3 месяца назад
Asnte pastor Mungu akubariki kwa maneno mazur ya kujenga kwa kila mtu🙏🏼🙏🏼
@dominicusulikaye4412
@dominicusulikaye4412 3 месяца назад
Safi sana. Naseeb. Mungu akubariki
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 3 месяца назад
Mchungaji amejibu vyema sana, ana jitambua sana..
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 2 месяца назад
Huyu mchungaji yupo vzr🎉🎉🎉🎉 mwenyezi mungu Akulinde wewe na Familia nzima usiku na mchana.🙌🙌🙏
@rosekawala5182
@rosekawala5182 3 месяца назад
Asante sana kwa maelezo ya sadaka. Makanisa mengi hayatoi maelezo kuhusu sadaka. Ubarikiwe sana
@IzackMwimba
@IzackMwimba 3 месяца назад
Ongera sana Mtumishi wa Bwana,kwamajibu mazuri Mungu akulinde
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 3 месяца назад
Nyama hazina shinda ni kula tu🎉🎉🎉🎉
@omarabdalabacarabdala1572
@omarabdalabacarabdala1572 3 месяца назад
Ni kwel kabsa huyu pastar hakika mungu ambaliki sana Yuko vizur sana
@ramseyngwejela499
@ramseyngwejela499 3 месяца назад
Imani ya kufunga ni imani ya kujikana. Ni kuishinda hisia ya kunusa, kuonja, kuona, kugusa na kusikia chakula kikipikwa. Na si kutotaka kuona mtu anakula na wewe huli, kisha unataka anayekula asile mbele yako. Huo huitwa uoga wa kufunga. Na hapo siyo funga ya imani inayopaswa kujaribiwa, bali ni kujilazimisha kufunga au kulazimishwa kufunga wakati moyo wako hauna imani hiyo.
@GraceSospeter-xw9sv
@GraceSospeter-xw9sv 3 месяца назад
Nakubar
@sheddykimaro9338
@sheddykimaro9338 3 месяца назад
L
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 месяца назад
Iyo ni funga ya kikristo ,
@Masebrain
@Masebrain 3 месяца назад
All done pastor mgogo This is very really God bless you pastor❤
@meshackthomas1341
@meshackthomas1341 3 месяца назад
Mtumishi wa Mungu. Huwaga nabarikiwa sana.nauwepo wako upo makini sana naimani ya kwel
@johnbyani6888
@johnbyani6888 3 месяца назад
Mchungaji yuko vizuri sana Kila swali ana majibu
@gaspergasper9830
@gaspergasper9830 3 месяца назад
Mm nimekuja hapa kwasbb ya simba tu maisha marefu kwake 🤝
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 3 месяца назад
Ameeen 🙏🙏🙏barikiwa MGOGO,usiusemee moyo🙏🙏
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 3 месяца назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu ❤❤
@joycekaganga6924
@joycekaganga6924 2 месяца назад
❤ Umeongea point pastor unajibu kwa hekima tujihadhari waimbaji wa mziki wa gospel Pesa isitutoe kwenye uwepo wa Mungu
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 месяца назад
Mgogo yuko vizuri MUNGU hahitaji pesa anakuhitaji wewe ujitoe kwake kama sadaka.
@ncdfreezoneorganizationnfz3102
@ncdfreezoneorganizationnfz3102 3 месяца назад
Be blessed pastor
@MaryyCarmen-kh1dh
@MaryyCarmen-kh1dh 3 месяца назад
Amen Mtumishi wa Bwana
@user-et2xl1gy2c
@user-et2xl1gy2c 3 месяца назад
Mchungaj mungu akabarki Sana Kwa ufafanuz mzur ubarkiwe Sana tunakupenda Sana sis vjana
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 3 месяца назад
Umejibu vizuri sana tunahitaji vijana waje kwa Yesu wamjue Yesu katika umri walionao yeyote aliyeona Diamond kufika kwenye mtoko wa Pasaka ni vibaya hajui maana ya injili ...Yesu hakuwafukuza bali aliwakumbatia. Tujifunze neno la Mungu tumjue Mungu kwenye neno lake tusikurupuke ukristo sio wa mtu binafsi. Yesu alikufa kwa ajili ya ulimwengu mzima plsss😊
@woah.africa99
@woah.africa99 3 месяца назад
Duh msimzingizie yesu kila mtu na dhambi zake na pastor anataka sadaka ndio mana kila mtu pastor unataka pesa
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 3 месяца назад
@@woah.africa99 karibu kwenye kazi ya Mungu uje kuvuna sadaka uone kama ni rahisi. Na ukishaona watu wa alia kuwa wanaibiwa sadaka ujue katika mwaka mzima sadaka yake haizidi hata elfu kumi acheni porojo
@asteriarngweshemi3783
@asteriarngweshemi3783 3 месяца назад
Mimi hilo kwangu nalitaman sana aokoke...ila shida iko kwa anaenwalika na vijineno anavyosemasema maana hatumskii nasib akisema kitu ila ndg yetu shusho sasa😢
@nikitamusafiri4090
@nikitamusafiri4090 3 месяца назад
Ubarikiwe san Mchungaji hekima ni kitu Bora san majibu mazuri🔥🔥🙏
@LucyDavid-ye4er
@LucyDavid-ye4er 3 месяца назад
Woow thanks pastor
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 месяца назад
Hapo kwa mfungo umenena vizuri sana ❤❤
@mtimti3912
@mtimti3912 3 месяца назад
ALICHOFANYA MAANA YAKE KILA GOTI LITAPIGWA NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA
@esperancekamikazi5479
@esperancekamikazi5479 3 месяца назад
Amen
@user-hs6ih1ex9f
@user-hs6ih1ex9f 3 месяца назад
Yesu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@LucyGodfrey-gh1ri
@LucyGodfrey-gh1ri 3 месяца назад
Mtumishi umeongea vizur sana ubarikiwe sana❤
@witnesssenyagwa5334
@witnesssenyagwa5334 3 месяца назад
Ata kuwa na hekima ya maneno ni bonge la ZAWADI kutoka Kwa mungu ubarikiwe mtumishi 🙏
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 3 месяца назад
❤❤❤Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 5/5 umejibu vizuri sana
@ShukuluMwalongo
@ShukuluMwalongo 3 месяца назад
Ubarikiwe sana daniel mgogo kwamajibu yako mazuli
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 2 месяца назад
Thanks pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽😇❤️❤️
@user-zt6eb7re4u
@user-zt6eb7re4u 3 месяца назад
Mm nawasikilisa tu na mm nikisoma text yenu😂😂😂 mugogo umeongea ukweli tulianza hotelini
@annamussa185
@annamussa185 3 месяца назад
Kwanza mwili wa yesu hauna nyama za ng'ombe,Yesu alikuja Duniani kama binadamu na si Kama Ng'ombe
@risperomulo2894
@risperomulo2894 3 месяца назад
Uuuuh nzuri sana pongezi
@hezroncrisent5898
@hezroncrisent5898 2 месяца назад
Hiii imeendaa 🍎🍎♥️ mbarikiwe sanaaaaa ♥️♥️♥️♥️♥️
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 3 месяца назад
😂😂😂😂 huyu mchungaji kiboko eti tunafungisha ndoa kumbe wenzio washamaliza kila kitu wachungaji tunakuwa kama tunapasha kipolo 😂😂 kuna ukweli lakini
@DiazPilipili
@DiazPilipili 3 месяца назад
Asante saaana mwalimu
@ShadrackMakelele
@ShadrackMakelele 2 месяца назад
Il était ici chez nous à Bukavu précisément à mon église sayuni il nous à manqué vrema, et nous prépare comment réussir à entré dans le royaume de Dieu Jésus Christ nous l'aimons bcp
@glorymwazyunga641
@glorymwazyunga641 2 месяца назад
Vraiment la parole de Dieu est nouvelle chaque jour. Felicitation d'avoir ce serviteur de Dieu
@user-mr6uk3lv1b
@user-mr6uk3lv1b 2 месяца назад
Mungu akubariki sana
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 3 месяца назад
Namtabilia msafi kwenda wasafi🤗
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 3 месяца назад
akili zako2
@sululuzungu9587
@sululuzungu9587 2 месяца назад
Usiaze uchaw hapa naww
@paschalhendri-ct5gr
@paschalhendri-ct5gr 3 месяца назад
Umenena vyema sana pastor mgogo
@h.akarim
@h.akarim 3 месяца назад
Nipo Congo 🇨🇩🔥☝️ gonga likes
@user-it8pu9od2w
@user-it8pu9od2w 3 месяца назад
Mambo ashura
@highthemetv7857
@highthemetv7857 3 месяца назад
Hujaulizwa acha kiherehere 😊
@h.akarim
@h.akarim 3 месяца назад
@@highthemetv7857 tayari bwana we vipi 😂😂
@user-lj4nb7oz7l
@user-lj4nb7oz7l 2 месяца назад
Asante sana mchungaji
@reeygeazy4908
@reeygeazy4908 Месяц назад
Pastor 🎉🎉🎉❤
@user-wl6tn9rb3w
@user-wl6tn9rb3w 3 месяца назад
Nyama haina uhusiano na Yesu 😂😂 Daniel nakupenda bure from kenya❤
@nelykinigacomedian9484
@nelykinigacomedian9484 3 месяца назад
Umejibu vizuri sana mtumishi
@user-yk2ns6sk7v
@user-yk2ns6sk7v 2 месяца назад
Hongera sana mchungaji kwa majibu mazuri ubarikiwe sana upo sawa kabisa
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 3 месяца назад
Safii kabisa majibu mazuri Mutumishi
@mosesbarasa3804
@mosesbarasa3804 3 месяца назад
👍👍
@Dominant97
@Dominant97 2 месяца назад
Perfect pastor
@charlespolle8982
@charlespolle8982 3 месяца назад
Kabisa Diamond amekaribia 😊
@MrSalim1112
@MrSalim1112 3 месяца назад
Ijumaa nzuri
@user-os3tg5bo6v
@user-os3tg5bo6v 2 месяца назад
Huo ndiyo ukweli,adui atumia njia hiyo kuharibu kusudi la Mungu.Amen
@user-ik9yc4xv6v
@user-ik9yc4xv6v 2 месяца назад
Barikiwa sana mchungaji kwa majibu.
@deusthomas3739
@deusthomas3739 2 месяца назад
Amina
@FOUNDATIONTV6
@FOUNDATIONTV6 3 месяца назад
Kindly do research African was not created on religion but on spirituality
@AsiaYohana
@AsiaYohana 3 месяца назад
Nakukubali sana mchungaji mgogo mungu aendelee kukutunza
@maryiiilyatuu683
@maryiiilyatuu683 3 месяца назад
Mungu/ MUNGU
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 месяца назад
SANAAA. ANAKARIBIA KARIBU BA BWANA. MUNGU AMZIDISHIE IMANI NA UPENDO.
@Noellaizerkadoko
@Noellaizerkadoko 3 месяца назад
Diamond yupo vizuri anahitaji kuombewa ili aokoke pia hongerasana Christina shushu hongera sana Rozimuhando.
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 месяца назад
Na aje tu mazima maana hajawahi kua ktk mila za Ibrahim na Is-haka wala Ismail..hakuwahi kua muislamu
@JacksonMsumi
@JacksonMsumi 3 месяца назад
Hta Yesu alisema fata maneno yangu na sio matendo yangu ,Simba hapo Hana baya Ani
@williamfrancis8724
@williamfrancis8724 3 месяца назад
​@@JacksonMsumiAmna akuna andiko ilo
@user-rv7nm5ep4p
@user-rv7nm5ep4p 2 месяца назад
Safi sana mchungaji kwakweli mi nakukubali sana unaongeaga ukweli mtupu, Mungu azidi kukulinda na kukutumia apendavyo yeye.
@magembedaniel2179
@magembedaniel2179 3 месяца назад
Kweli kabisa wajina hiyo umesema kweli naunga mkono💪💪💪
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 3 месяца назад
Good
@CelestinKasereka-ls4zo
@CelestinKasereka-ls4zo 3 месяца назад
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 месяца назад
❤❤Safi sana
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 3 месяца назад
Mchungaji ubarikiwe sana😂😂❤
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 3 месяца назад
Safi sana mchungaji mgogo
@Esther-os7fi
@Esther-os7fi 2 месяца назад
Mungu aku inue mchungaji mgogo
@JudithChepkorir-vl1lu
@JudithChepkorir-vl1lu 3 месяца назад
Waas nyama sitawaiimis judii from Kenya
@GodwinPeter-gb4gp
@GodwinPeter-gb4gp 3 месяца назад
Pastor Mgogo ni mwamba sana has wauza mafuta wangekua kama huyu asee kwel ingependeza mno
@FarajaNzalalila-yx4oo
@FarajaNzalalila-yx4oo 3 месяца назад
Kwann
@richardmollely2933
@richardmollely2933 3 месяца назад
Pas uko vizuri sana kwa majibu mazuri
@MwogeyeEtienne
@MwogeyeEtienne 3 месяца назад
Namupenda muchunga anatu elimisha,kiimani barikiwa
@ebronpeter8454
@ebronpeter8454 3 месяца назад
Mchungaji Daniel Mgogo nimekuelewa Mungu amekupa hekima kubwa sana umejibu vema sana
@chescoeliutakilemile3633
@chescoeliutakilemile3633 3 месяца назад
😊
@justinemasue6623
@justinemasue6623 3 месяца назад
Kweli
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 3 месяца назад
Pastor mgogo umejibu vyema Sana
@ccmtanga2023
@ccmtanga2023 3 месяца назад
Alichosema mchungaji kuhusu Diamond Platinum ni kwamba hakuna mkamilifu miongoni mwetu, sote ni wakosa na haina haja ya kushambuliana na kuitana wa peponi na wa motoni.!!! Pia ameshauri kuwa mtu anapokaribia kumrudia Mungu asibezwe na hayo ndio mafundisho ya dini. Hata Mitume ya Mungu ilikua inatumia lugha nyepesi,laini na ya upole katika kuongoa watu kutokama na neno la Mungu. Na huenda Mitume wangetumia kebehi,kejeli na ukali katika kufikisha neno la Mungu huenda hata sisi wa zama hizi dini zisingetufikia kabisa!!! Zaidi tunapotaka kumhukumu mtu tutumie vitabu vitakatifu vya Mungu na sio kutumia maono yetu binafsi. Hongera sana Mchungaji kwa kuwa muwazi na kutushauri kubase ktk vitabu vitakatifu vya Quran (muslims), bibble (Chritians) etc na sio kufuata mihemko yetu ktk kuamua mambo ya dini!!
@JacksonMsumi
@JacksonMsumi 3 месяца назад
Kama media mnadhani mtaweza kuleta chukizo baina ya dini zetu Kwa kuuliza maswali kama hayo basi sio Kwa nchi yetu dogo umefeli hapo ishu ya kutokula nyama IJUMAA KUU Fanya interview na kamati husika ya WAKATOLIKI UTAPATA majibu mazuri zaidi
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 3 месяца назад
Kwani kakosea wapi?Na Dini hapo imetokea wap ndugu? KWANI PASAKA NI KWAAJILI YA KAMATI YA WAKATOLIKI?
@moseslaizer7349
@moseslaizer7349 3 месяца назад
Hata mimi kwa kweli nyama sikuacha nilikula na kama ni kwa ajili ya Yesu imakaa sawa nimemla Yesu niko sawa
@venanceanyimike407
@venanceanyimike407 2 месяца назад
Umejibu vizur sanamtu mishii
@ShadrackMakelele
@ShadrackMakelele 2 месяца назад
Que mon Dieu Jésus Christ Luis protège
@EverlynKenneth
@EverlynKenneth 3 месяца назад
Waaaoooooh be Blessed 🙌 MTUMISHI Mgogo mstari wangu naupenda sana 🙏 😢 ZABURI133:1 Tazama jinsi ilivyo vyema nakupendeza NDUGU wakae PAMOJA kwa UMOJA.
@KelvinKivamba-kl1ry
@KelvinKivamba-kl1ry 3 месяца назад
Tunao soma comment tujuane
@user-rw6jc7zp9k
@user-rw6jc7zp9k 3 месяца назад
Ok ❤
@josephine753
@josephine753 3 месяца назад
Ubarikiwe mushungaji tafusiri yako Mungu akubariki sana
@allysaidyineehelpformaminc5021
@allysaidyineehelpformaminc5021 3 месяца назад
Hapo kwenye watoto ndoa nyingi ndo zinashikilia mchungaji anamajibu ya point
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 3 месяца назад
Yes hata mm n hvo tu
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 3 месяца назад
Nyama hazina uhusiano na yesu,nyama zinaliwa tu hahahahaha
@nadian818
@nadian818 2 месяца назад
This guy is handsome DARK SKIN ❤️
@injilikitaa
@injilikitaa 3 месяца назад
Kulalana kabla ya ndoa ni kwamba baada ya ndoa utafanya kitu kama unapasha cabbages 😂🔥🔥🔥🙌
@Kajux97
@Kajux97 3 месяца назад
Vzur sn
@davidsibejo4916
@davidsibejo4916 3 месяца назад
Kweli nimependa majibu yote
@Mawaridi
@Mawaridi 3 месяца назад
Mchangani hapo kwenye nyama. Nenda ukachimbe vizuri mambo ya Imani angalia chanzo cha Kila kitu
@user-nv7sf2iu2v
@user-nv7sf2iu2v 3 месяца назад
Nyama zinaliwa tu wewe
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 месяца назад
Ni mapokeo ndugu nothing else
@meshack3266
@meshack3266 3 месяца назад
Uchi kijamaa kunazidisha swaga adi kinaboa sasa kwani kuongea kawaida uwezi
@happinessmillinga387
@happinessmillinga387 3 месяца назад
japo umechapia (ashakum si matusi)ila nilikua naitafuta coment kama yako aisee umeona kama mm jamaa swaga zimepitiliza khaa hyo simu sasa inavyowekwa juu mara imewekwa huku mara kulee ili mradi tujue na yy ana macho ma3🤣🤣🤣
Далее
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27
😂😂😂THE BEST OF JULIUS MOGAKA
13:06
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39