maashaallha shekh Allah akujaalie kwa kuipambania dini yetu ya kiislam amiin inshaallha na Allah atuepushe na matendo maovu atujaalie mwisho mwema amiin
Hata mimi naona bado anayo nafasi kubwa sana kumuomba msamaha Allah kama asemavyo Doctore . Alhaj Doctor sule. Harmonize (ALLAH) hafananishwi na kitu chochote au kiumbe chochote kile umaarufu unakutoa kwenye njia.Mdogo wangu Kaka yangu
Aitwe kwanini, kishakosea ikisha abembelezwe No..hajamkosea Sule alomkosoa ni Allah, anatakiwa yeye ndio anyenyekee kwa Allah, waislamu watamfundisha tu
Kabisa vipeni vyake vyamsumbua vya freemason nendo ulaya uangalie milionia anampa mtu gari lakifahari nyumba napesa kwa kujifanya masikini kumbu ni tajiri mkubwa , jee yy hanaweza kumnunulia mtu gari ama honda nyumba yakiswahili, ni hawezi , nakama anaweza kwanini akangangania pesha kwenye sheree walipokua wanapewa chawa cjui laki tako nae akataka haibu
Alhamdu lillah dr sulle, Allah akulinganie tusiwape nafasi watu fulani kumtukana mwenyezi mungu eti kisa umaarufu, umaarufu na muislam unaendana wapi?, wamepita watu maarufu waliojulikana na hawakusubutu kumtukana mwenyezi mungu
Masha Allah shekh tukiwa acha Hawa wasanii wafanye wanachotaka ktk dini watatuharibia dini waambiwe wazi wazi kama hivi dokta sule unavyofanya maashaaa allah
Harmonize ni kioo cha jamii. Kitondo cha kumkufuru Mwz,mungu kitaigwa na sehemukubwa ya jamii. Ilikuinusuru jamii ifike mahalia watu kama hamonize wanastahili kushtakiwa kwa Mungu. Kitakacho mpata kiwe fundiaho kwa Wasanii watu yenye fikra kama hamonize.
Asante sana shekhe pesa na afya isikupe kiburi unamfananisha Muumba wa mbingu saba pasi na nguzo iblis mwenyewe laana za MOLA ziwe juu yake hakuwai fika huko ww harmonize ni nani Allah atuongoze
Doctor,umenikosha moyo wangu,Allah akulipe kheri,nawengine wasikilie apoooo.waambie na aw wajiita wa islam wanavaa uchi mbele ya watu. Waitutukanishie dini yet nzuri
Doktor sule Allah akupe umri mrefu kwakweli wakuelewa kaelewa hata asie kua mwislam,hii ni ilimu kubwa na siu utaufuti tena,,,,,walikuwepo famous na watukuja famous sasa kutengeneze mazuri na hadith nzuri
Shekhe dr suley mwenye zimungu subuhana watalah akutangulie na kukujalia mafanikio makubwa na maisha marefu shukran huyo hamo rabundo nikafir Shekhe sitaki kusikia Habari zake
Mungu Anaemuelezea Harmonize Wenda Mungu Anaewapa Utajili Wa Mwendo Kasi Wenda Ndie Mungu Kwa Upande Wao Lakini Mungu Aliye Juu Ajawai Kufanana Na Mtu Wala Kitu Isipokua Manabii Kama Nabii Yesu Amefanana Na Watu Ndiyo Sababu Hata Watu Uigiza Movi Kwa Mifano Ya Kuona Japo Tunajua Siku Izi Wanaibuka Sana Manabii Na Kujitangaza Cha Ajabu Kwenye Makanisa Yao Wanataja Jina La Yesu Badala Ya Kujitangaza Wao Kama Manabii Wapya Hata Hao Wanaitaji Kuambiwa Kweli Kwanini Harmonize
Dr Sule nakukubali kauli zako Sahihi Hakuna dhihaka katika kumchezea Allah na Mwenye anaunga Mkono kumtetea Harmonize yeye pia ni Mmoja katika Tabia hiyo..Dini ya Allah sio ya Mchezo ukiona Munkari kataza kwa kupitia mikono yako ukishindwa Mdomo wako na Mwisho ukishindwa chukia ila hiyo ni udhaifu wa Imani ..I respect you Sir Allah akuzidishie japo sina Elimu ya hivyo sana Lakini harmonise atajifunza kitu hapa.
Mimi ni fans wa Harmonize lakini kakosea kabisa kiasi namimi nikakwazika kwa kweli Fanya tauba na ushahidie kwa mara nyingine ili Allah atupokey Pepopi Allah ndie mjuzi namwenye elmu
Hormonez acha upumbavu wa maisha katika hii dunia baba,kila mmoja na pesa zake katika hii dunia kakangu pesa za majini izo ndo zakusumbua kichwa mpaka unaamua kusema maneno ya kipumbavu kama ayo pole sanaa kakangu pesa za majini ndo zimekutawala brazaa ila mungu yupo nawe.