Тёмный

Elizabeth Michael - WAKATI MGUMU NAUMALIZA. 

Elizabeth Michael
Подписаться 121 тыс.
Просмотров 119 тыс.
50% 1

Elizabeth Michael - WAKATI MGUMU NAUMALIZA.
© 2019 - EM
“Many problems in our lives comes as a lesson.” Elizabeth Michael
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmi. .
Studio: Manifester Brand
Director: Stanford
Videographer & Editor: Mo Junior, Albert
Sound: Jadu
Graphics: Omnia, Enzo
#ElizabethMichaelLULU #emTopic

Опубликовано:

 

12 май 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 337   
@frankiedebrilliant
@frankiedebrilliant 5 лет назад
1.Kukubaliana na Tatizo (Accept Your Problem 2.Chukulia Tatizo ktk Mtazamo Chanya (Be Positive) 3.Chukulia Tatizo kama Funzo ktk Maisha 4.Jiweke Karibu na Mungu
@mariummwate6496
@mariummwate6496 5 лет назад
Natamani ungekuwa rafik yangu maan ninayo yapitia nimengi sina wakunishauti nifanye nini?
@frankiedebrilliant
@frankiedebrilliant 5 лет назад
@@mariummwate6496 Sawa Nicheki 0714057140
@angelherman5464
@angelherman5464 5 лет назад
kabisaa
@mashmash2826
@mashmash2826 5 лет назад
Yes by the way she is very very right
@waikapeter1556
@waikapeter1556 5 лет назад
Hongera mama kila kitokeacho tyr kimepangwa.
@happinessmtitu4485
@happinessmtitu4485 5 лет назад
Mimi kwakweli nikipitia wakati mgumu cha kwanza kabisa huwa namlilia Mungu sana huwa Nasali kuliko kipindi kingine chochote hicho ni kipindi cha mimi kujisogeza karibu sana Muumba wangu🙏🙏🙏🙏 Asante sana Lulu kwa ku share your experience.
@janniebeth7517
@janniebeth7517 5 лет назад
Asante Madame....mi nikipitia wakati mgum uwa nalia sana na kupiga goti kumwomba Mungu anifanyie wepesi....
@zamdasalumu9740
@zamdasalumu9740 5 лет назад
said well madam....ubarikiwe sana, Nina IMANI yakwamba matatizo umkuza MTU kiakili endapo atayafata hayo uloyasema..nimebarikiwa
@lisamasisi8567
@lisamasisi8567 5 лет назад
Napenda kusali na kukubaliana na matatizo kama langu na litapita. Stop will come and go but God is here to stay with me my biggest slogan
@daphrosakomba5535
@daphrosakomba5535 5 лет назад
Thank you so much,niko katika matatizo,nmesikia haya nmepata nguvu kidogo
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
MTIANI NIMEPATA JANA SIWEZI SAHAU ILA NIMESHUKURU MUNGU KWA MAOMBE NA NASHUJURU MUNGU HUOMBA HANANIKIWA SINA SHIDA JU SISI BINADAMU TUKIPATA SHIDA NDIO HUKUMBUKA MUNGU THANKS FOR UR ADVISE LULU MICHAEL GOD LOVE U HAKUNA KISICHO NA MWANZO MIKAKOSA MWISHO IN GOD WE TRUST GID IS GOOD ALL THE TIME ALL THE TIME GOD IS GOOD.
@agrpynerernest9959
@agrpynerernest9959 5 лет назад
Mungu azidi kukuweka tuzidi kujifunza kutoka kwako @Elizabeth
@tausilekei8155
@tausilekei8155 5 лет назад
Yaan Lulu umenigusa mnooooo dear na nimejifunza meng sana kupitia hilo thanks alot my
@sabraissa6709
@sabraissa6709 5 лет назад
Shukran sana mungu akubariki kwa hayo machache uliotuelezea... Mimi binafsi nimepitia magumu mengi ila siri kubwa ni kusali kama ulivyosema, nakubaliana na hali pia( na kulia mpaka nachoka wakat wa kusali au nikiwa chumbani pekeangu). But all in all hakuna kinachodumu milele na mungu zaidi ndo wa kumtegemea pamoja na jitihada zako binafsi... Shukran sana mungu akubariki
@na0m1fes51
@na0m1fes51 5 лет назад
in sumaary: 1.kubaliana na hali(accept the reality) 2.kuwa na mtazamo chanya (be positive ) 3.chakulia tatizo kama somo(make ur problem as a lesson ) 4sali(pray)
@rufinasamwel1457
@rufinasamwel1457 5 лет назад
Huwaga najitahidi niondokane na hiyo hali nkiona sio rahisi basi na relax tu huku nikiamini ni kipindi tu kinapita,na kweli Mungu alivyomkubwa nasahau kabisa najikuta Nina amani na kile kipindi kinapita bila hata mm kujua kama kimeshapita.Mungu ni mwingi wa rehema
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 лет назад
Uyo ni ukweli kbs mashaallah lulu Allah azidi kutucmamia wote tunao kubwa you mitihani amen
@saumouramadan4588
@saumouramadan4588 5 лет назад
Asante sana habity umenifunguwa macho hakika hicho cha mwisho ndio kimbilio la kila mwanadam
@glorytweve7992
@glorytweve7992 5 лет назад
Wow mimi pia huwa kama wew Elizabeth ila huwa namshukuru Mungu kwa nyakati ninazozitia na kuamini ni zampito tu....kwa Mungu hakuna kinachoshondikana🙏
@emmymwakagugu1816
@emmymwakagugu1816 5 лет назад
umeniguxa lulu mungu akubalik
@gloryndakidemi3243
@gloryndakidemi3243 5 лет назад
hongera kwa hayo Mimi binafsi nikipata changamoto kubwa sana kitu cha kwanza naenda sehemu kama chumbani kwangu then narelax kwa kusikiliza gospel songs ambazo nazipenda mostly then ile pressure ya jambo fulani ikishashuka natafakari sasa na Mungu wangu natafakari nae kwa kina sana believe me huwa napata majibu though mengine hawezi kukupa hapo kwa hapo lkn suhulisho huwa linapatikana
@redleafmedia6680
@redleafmedia6680 5 лет назад
Its true
@nazmaabdul949
@nazmaabdul949 5 лет назад
Hua nikipitia wakat mgum nasal namkumlilia mungu ipasavyo nwisho wasiku nakua sielew tatizo limeishaje alhamdulilah
@ceciliagunda4150
@ceciliagunda4150 5 лет назад
Asante kwa somo zuri Mwenyezi Mungu azidi kukuinunua Zaid ya hapo ulipo
@dianaexaudy9472
@dianaexaudy9472 5 лет назад
Nakupenda sana dada lulu,, utaendelea kua role modo wangu
@mapendobridgetv3441
@mapendobridgetv3441 5 лет назад
Kweli Naona matatizo yalikujenga. Keep it up girl
@mamyrahima6913
@mamyrahima6913 5 лет назад
Duh asanteee Sanaa kwaushaurii mzurii habbty.
@annastaziaprudence7333
@annastaziaprudence7333 5 лет назад
Kweli kabisa nimejifunza kitu dear, nakukunda mno ❤️🥰💕🙏🏽
@suzanahamaro
@suzanahamaro 5 лет назад
This is amaizing Lulu....nkkiwaga na matatizo hua na sali mno yaan hadi nikiwa natembea nasali...cant ge my head off praying na pia ni kipindi ambacho imani yangu inakua juu mno....Mungu anatenda kikubwa ni kuamini na kumpa nafasi si tu tukiwa na matatizo bali hata tukiwa na mazuri.....kitu kingine hua nasikiliza muziki mnoo....
@ceciliansemiwe8188
@ceciliansemiwe8188 5 лет назад
This Great and Inspiring! Thank you so much Dear Elizabeth! Stay Blessed
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 5 лет назад
Wooow! Wonderful thing LULU! Keep that good spirit alive! May God keep you for us! 💯🙏
@fortunelionessvictory8161
@fortunelionessvictory8161 2 года назад
Siku zote nyakati ngumu azidumu mbele zake Mungu,bali watu wagumu hudumu
@hamadharerimana8187
@hamadharerimana8187 5 лет назад
she I's amazing... she has grown ....am so happy for her
@belindamboya5256
@belindamboya5256 5 лет назад
My very own mentor🌹 Huwa nalia ili kupata amani Nakubaliana na tatizo I pray nikiwa nina amani Then napambana nalo kwa hekima ya Mungu
@eileenremmy8576
@eileenremmy8576 5 лет назад
Nimebarikiwa sana shikana wangu mungu akutunze mama uishi miaka mingi.
@hellenashely2167
@hellenashely2167 4 года назад
Nikweli kunawakat ukipitia iman ya uungu ndan yako inapotea japo kua mungu nikila kitu ktk maisha nikweli yy ndo aletae na ndo aondoae lkn hua inafika wakat iman inaondoka kabisa lkn God bless you love you
@saumukaisi3996
@saumukaisi3996 5 лет назад
Asante sn mm nikipata stress yoyote ile huwa napenda kusikiliza mziki mzurii ambau upo pole pole sn Alf nitalia sn then na relax pia hongera kwa kukabiliana na hali uliopitia nakupenda sn Lulu Michael you smart girl
@mariamphilip3184
@mariamphilip3184 5 лет назад
Your so spiritually awakened ❤️ be blessed
@vivianchao9421
@vivianchao9421 5 лет назад
Such a brilliant young lady.l love your attitude keep the spirit high gal
@halimaramadhani4040
@halimaramadhani4040 5 лет назад
Lulu nakupenda bure mrembo wangu,,Asante kwa somo kwakweli nimejifunza...mungu akulipe katka hili...
@silianawilson7998
@silianawilson7998 5 лет назад
Thank you nimejifunza kitu, i love you lizzy
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 5 лет назад
Thanks kwa nice somo!
@maryviverlucas9182
@maryviverlucas9182 5 лет назад
Hongera Lulu kwa ujasir ulonaona kwel umestahil kuwa ulivyo kulingana na ulikopita...I love u mama
@christinajacob8263
@christinajacob8263 5 лет назад
Asante lulu kwa somo zuri nakupendaga bure we katoto Nikiwa Katika wakati mgumu nalia nawaza sana kiukweli umenikumbusha jambo mungu ndiyo kila kitu
@ednamgina187
@ednamgina187 5 лет назад
Ni njia zinazo weza saidia wengi Asante kwa somo
@natashasabrina3202
@natashasabrina3202 5 лет назад
First to comment 😘😘 jamani da lulu, your such a sweetheart 😘😘 penda weye sana, thanks 🙏 for the good lesson mammy
@gracemfangavo4824
@gracemfangavo4824 5 лет назад
Like it lov umenifanya nijihc kibonge ghafla😘
@joharinaz5007
@joharinaz5007 5 лет назад
Thx lulu nakuitikaga sana weye dada😍
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Asante lulu nimejifunza
@lovewau3536
@lovewau3536 5 лет назад
asante mpenzi kwa kutukumbusha hilo mungu akubariki mno
@upendojoseph31
@upendojoseph31 5 лет назад
Thank boss lady wa tanzania you diserve it
@docprecious2080
@docprecious2080 5 лет назад
Amen...Its such a huge lesson! Be blessed.
@blasidajulius2240
@blasidajulius2240 4 года назад
Mungu akubarik sana Lulu una akili sana nakupenda mdogo wngu
@evanciaedward2352
@evanciaedward2352 5 лет назад
Waooo, Well said sister. Mungu akubariki mnoo. Nimekuelewaaa sana. Pia mimi nikipata changamoto au tatzo lolote kiukwel Naingia chumban Natafakari why and how then naingia kwenye maombi Na kumuomba Mungu anisaidie.
@sarahwanzaa6272
@sarahwanzaa6272 5 лет назад
Go Lyulyuuuuu Go Shikana wetu wewe ni zaid yamwanamke na nusu ❣❣
@samwelsirieli1624
@samwelsirieli1624 5 лет назад
Yaani nilijifunza kupokea hayo kutokupokea jambo kwa mshtuko,,,,pale mama yangu alipopigiwa simu na kuelezwa habari Fulani,,,akapata mshtuko Mkubwa hadi kufariki,,,,ni somo nzuriiii Sana'a,, mi pia nawashaurigi Sana'a ndugu zangu kutokupokea jambo lolote lile kwa panikiii
@jescapaul2917
@jescapaul2917 5 лет назад
Mimi nakupenda sana lulu na umenipa somo
@florenceholmen8304
@florenceholmen8304 5 лет назад
Subscribed✅. Such a good content, keep it up👏🏾👏🏾... more light on you please.
@mapishibyzuh6631
@mapishibyzuh6631 5 лет назад
You are Amazing and l am so Glad of the woman you a growing to become. I love you Liz. God above all 4rm 254
@alimarajab2721
@alimarajab2721 5 лет назад
mimi nikiwa katika wakati mgumu huwa napenda sana kumuomba mungu aniondolee yale majaribu pia huwa napenda kumsikiliza mama kwa kile atakachonishauri kutokana na hali ya wakati huo
@catherinemuindi8555
@catherinemuindi8555 5 лет назад
Very mature girl ' love your real tolk and may God continue using you
@momorchum8994
@momorchum8994 5 лет назад
Learning from the best asante mama G. Love you
@dorislelo287
@dorislelo287 5 лет назад
Thank u shikana for the words stay blessed we love you.
@hevilamkongo4596
@hevilamkongo4596 5 лет назад
Mimi nikiwa kwenye wakati mgumu namliliaa mungu and na yaacha yaje koz naamini hapa sioo makazi yangu ya milile so nayaacha yabaki kuwa kama yalivyo kujaa maana ni ya dunia na nitayaacha wakati wangu uki fika kurudi kwenye makazi yangu ya milele.
@farajafabian4218
@farajafabian4218 4 года назад
Thank u so much dear....God bless u....love u so much
@kilunjupolinah911
@kilunjupolinah911 5 лет назад
Thats the Spirit mdogo wangu. Thank you so much for making my day. God bless you😙
@bettykaduma4937
@bettykaduma4937 5 лет назад
Nimekusikiliza vizuri, nimekuelewa sana na kujifunza pia. Mi nikipitia vigumu kulia kwanza🤔 mwepesi kukasirika mwepesi kusahau..
@raymondkasongo4610
@raymondkasongo4610 5 лет назад
I really like this message and you are a good inspiration for me and nazani hiyi ujumbe imeingiya vizuri kwenye sikiyo zetu na kila mtu ambaye apendi iyi ujumbe nazani aana na fasi katika hiyi duniya.
@reginamassawe6701
@reginamassawe6701 5 лет назад
Umenifundisha Kipenzi changu somo lako nimelipenda sana ndugu ....nakupenda sana lulu wangu weeee ...
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 5 лет назад
Wengi huwa tunapanic tunapopata Matatizo na kulaumu wengine!! Badala ya kutafakari na kuchukua hatua. Somo zuri.
@cieremim7357
@cieremim7357 5 лет назад
Asante kwa hii ubarikiwe sana
@marysylvery5826
@marysylvery5826 5 лет назад
Asante sana kwa ujumbe.. Unajenga na nimejifunza kitu
@shalloissah1698
@shalloissah1698 5 лет назад
Wow wow thanks so much my lovely siz Lulu nimepta kitu kutoka kwako mungu akubriki
@Auntieminah
@Auntieminah 5 лет назад
Kuna kitu kimoja nimejiaminisha ninapokua kwenye matatizo, kwanza nothing stays permanent (itapita tu) and second kila kinachotokea ni mipango ya Mungu,and above all naamini Mungu hakutuleta dunian tuteseke! So matatizo ni vipindi tu vya mpito. Nikiwaza tu ivo bas am good to go!
@happinessngole9081
@happinessngole9081 5 лет назад
Unaniispire sanaaa Lulu
@jordanjonas7098
@jordanjonas7098 5 лет назад
Me nakupenda sana
@pendosammy5984
@pendosammy5984 5 лет назад
Nakupenda pia Lulu natamani nikuone isee uso kw uso mm mkenya nitakuja nxt yr Tz nitafurahi sana nikikuona Lulu pllz
@emmybasley9293
@emmybasley9293 5 лет назад
Be blessed Lizzy... Asante kwa ujumbe mzur
@teamchujio6590
@teamchujio6590 5 лет назад
Dah! vizuri sana my queen, kiukweli ktk maisha kuna changamoto sana ktk maisha, lkn mimi hadi sasa uwa najikuta nalia tu mwenyewe kwani changamoto yangu kubwa ni kupata kazi, tangu mwaka umeanza nimekuwa na sumbuka sana ktk swala la kupata kazi na kinacho nifanya niumie nafsi zaidi nikiona hali ya umaskini iliyo tanda ktk familia yangu, licha ya yote haya sijawahi kukata tamaa kabisa ktk maisha yangu, na mtanguliza Mungu kwa kila jambo, cha muhimu nilicho jifunza zaidi ni kumshukuru mungu sana kwani naimani atafanya njia wakati ulio sahihi japo kuna wakati ambao watu uniambia kuwa nime fungiwa kishirikina lkn sitaki kuamini ktk hilo sababu najua kuwa ni pekee ndie mwamuzi sahihi wa maisha yangu, Amen
@fat-hiyabakran8737
@fat-hiyabakran8737 5 лет назад
Nouraan-S... well said and fact...Maneno ya uhakika kabisa
@deborahjustinerwambogo8490
@deborahjustinerwambogo8490 5 лет назад
Mungu akukumbuke siku zote za ujana wako na akakutendee siku zako zote za uzee wako mtoto mdogo uliyeniafanya nikue maradufu kupitia wewe GOD BLESS YOU Darling........ sijawahi kujuta kukufahamu
@julianaelias4525
@julianaelias4525 5 лет назад
Bravo rule.....Nice show Girl. Mungu ndo kila kitu na matatizo uyana muda tu
@annahjohn2193
@annahjohn2193 5 лет назад
Mara zote na siku zote uwa nasema kuna kitu ndani yakooo ambacho Mungu kaweka sasa ni wakati wa Mungu kukidhihirisha wazi kupitia weww.....🙏🙏🙏🙏... Gooo gooo gooo my babe elizabethmichaelofficial...... Kuna vitu nazidi kujifunza.. Asante🙏🙏🙏❤
@siamlay7107
@siamlay7107 4 года назад
Ishalla lulu nakupenda sana lulu
@priscalyimo887
@priscalyimo887 5 лет назад
Lulu you are my age mate but i can say that you are braver than i..you are my inspiration girl..i’ve learned alot of things through you..your entire life has taught many of us on how to believe in our selves,i love you girl
@immaculatalazaro1585
@immaculatalazaro1585 5 лет назад
You are matured too.. I loved your confession
@lynalyna3968
@lynalyna3968 5 лет назад
Utube is my best nikiwa ktk wkt mgumu
@DMENDTVmusicMovie1
@DMENDTVmusicMovie1 5 лет назад
Great idea and good message
@MaureenMollel
@MaureenMollel 5 лет назад
Well said..keep getting wiser..love u
@afrarugakingira5862
@afrarugakingira5862 5 лет назад
Nimejifunza...asante
@sylviemutwale9527
@sylviemutwale9527 5 лет назад
Uyu Mungu Amubariki sana yani yupo naakili nzuri sana
@rozzeymercy5552
@rozzeymercy5552 5 лет назад
Thanks for such a super advice,its true en we love you😘😘
@lydiaalfred8825
@lydiaalfred8825 5 лет назад
ujumbe mzur my dada nakuona bure 😘❤️❤️🙏
@winfridthomas1689
@winfridthomas1689 5 лет назад
Asanteeee kipenz nimekupata tupo pamoja sn Amin love my
@winfridthomas1689
@winfridthomas1689 5 лет назад
Naomba nikulize kitu km auta jali
@antoninakwekwe4420
@antoninakwekwe4420 5 лет назад
Natokea kenya bt l love u walai
@thedarrens_hardware
@thedarrens_hardware 5 месяцев назад
Please continue with these sessions EM
@mkg6006
@mkg6006 5 лет назад
As for me I always try to talk about my situation,not with everyone but with my best friends or try to talk to God if I feel like that I don’t want to share with someone. Be blessed Michael
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 5 лет назад
Thanks my dear for this message. Ubarikiwe
@keagleeagle821
@keagleeagle821 5 лет назад
Nikipata tatizo huwa najiuliza je katika hili tatizo je kitu gani kibaya sana cha mwisho ambacho kinaweza tokea kutokana na ilo Tatizo. Mfano kama tatizo ni kwamba sina kazi basi najiuliza kitu kibaya sana ni kwamba nitalala njaa na watoto .Basi naanza kujaribu kusolve hiyo outcome mbaya sana ambayo inaleta na tatizo. Naweza lina bustani,naweza okota kuni na kupitia kuni ,income kidogo iliyopo naweza weka stock ya mahindi ndani etc. Kwa hiyo mimi nikipata tatizo huwa na jump kwenye solution zaidi huwa sitako kutumia muda kulichambua tatizo bali natumoa muda mrefu kutafuta solution.Pia naamini ambacho akikuui kinakufanya jasiri. Kwa hiyo hii misemo miwili kwa kiingereza ndio inanipa nguvu. 1)What doesn't kill you,makes you stronger. 2)What is the worst possible outcome of the crisis ?Find solution of the worst possible. outcome
@merrieromeo3855
@merrieromeo3855 5 лет назад
Mimi binafsi nmegundua ukipata tatizo lolote usipanic ukiweza hilo umelishinda hilo tatizo... Thn natulia sehemu nafanya toba Alafu namwelezea Mungu kila kitu namwambia hili nalo litapita najua naomba nisaidie... Na huwa litapita mpaka namshangaa Mungu
@rahmaally2014
@rahmaally2014 5 лет назад
Nkupenda lulu wanguu😘😘😘
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 5 лет назад
Wooow Thanx dear lulu
@amenachappa5431
@amenachappa5431 5 лет назад
I love you Big Siz.Tz n takuja kwa jili yako Siz.
@maryannqueen7356
@maryannqueen7356 5 лет назад
1 AND 2 ndio ngumu Sana!!!!!! Kukubaliana na hali na Pengine umesingiziwa!!duhh!! SIO RAHISI.. ILA KAMA Lulu aliweza tunaweza...asante....EML
@ishermumy1254
@ishermumy1254 5 лет назад
thx my love kwa somo zuriii
@maryamsalum1830
@maryamsalum1830 5 лет назад
Safiiiii Lulu♥️🤗
@hettielillie1268
@hettielillie1268 5 лет назад
Problems are there to make us,shape us to the better and greater us. They make us who we are. They make us strong imagine a life with no challenges?how will thay be? It wont be a life well lived. Our challenges/problems arent there to pull us down they are there to shape us........its our choice to decide that. #iminspired
@lusekelorichard2787
@lusekelorichard2787 4 года назад
Good...
@mpatrickthomastvandradio6038
@mpatrickthomastvandradio6038 4 года назад
That's true with God challenge we are really great in this world better u learn and never forget, Lulu problems are there to teach us may our mighty lord countie to protect u ever day I love you
Далее
Elizabeth Michael - CHAPTER 24 Part 1 (Private Party)
10:13
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Je Unapitia Wakati Mgumu Katika Maisha Yako?
9:49
Просмотров 51 тыс.
UHONDO WITH RAYVAN [WCB]
47:30
Просмотров 49 тыс.
MAOKOTO - SEHEMU YA KWANZA | STARLING MKOJANI
17:09
Просмотров 248 тыс.
ELIZABETH MICHAEL: SAVE MY VALENTINE 2019
2:59
Просмотров 184 тыс.
NI NOMA - Elizabeth Michael (Movie)
1:40:29
Просмотров 3,7 млн