Тёмный

Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 132 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 157   
@fefenailsandmakeup1353
@fefenailsandmakeup1353 2 года назад
Nnachojifunza Mungu anatuinua kupitia watu, cha msingi ni kumuomba atusaidie watu sahihi wanaotakiwa kutushika mkono tufikie destiny zetu in Jesus name🙏❤
@cindyakiki6623
@cindyakiki6623 2 года назад
Amen love🙏 caption🔥👌🏻
@leecode6135
@leecode6135 2 года назад
Uko poa dada kwa ujumbe wako
@DanielIsaack-mx4fc
@DanielIsaack-mx4fc Год назад
Thats true❤️🔥
@johnkalage2914
@johnkalage2914 3 месяца назад
Amen. 🙏
@jembeMahiri
@jembeMahiri Год назад
Hii ndo interview ya kwanza Salama ameachia mhojiwa kutiririka na stori yake mwenyewe bila kuuliza maswali. Majay kama mtu hawezi kuwa motivated na story ya majizo huwezi kuwa motivated na chochote.
@medyamon
@medyamon 2 года назад
This is inspiring, a man that says i will do something and they do it or work on it....this thing is rare! I have learned to never settle for small minded people/people who can't take a risk because they are scared to fail. He believed in himself and he did what he wated to. Congratulations sir! Nlijuaga tu there is more to that ukimya wako and ofcoz we seeing your wife today! Ungeniuliza nikutafsiri kwa neno moja then I would say wisdom with no hesitation 👏🏼👏🏼
@saraphinakabubi3725
@saraphinakabubi3725 2 года назад
Exactly 🙌
@editatairo9667
@editatairo9667 2 года назад
What an Inspiration. Congrats Majjizo for the 'Never give up and hustling attitude'. Congrats Salama Jabir for such a program. Unatuletea life stories za watu mbalimbali ambao wanakuwa inspiration kwetu sio zile siasa za motivation speakers
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 года назад
I never listen to you before but your life is inspirational to many young people out there.
@Adeen.1
@Adeen.1 2 года назад
Ni kitu kizuri kujivunia kijana ka wewe majizo ila kwa usikivu wangu na experience yangu historia yako ingeweza kuwa inspirational than that kama ungeiweka wazi huenda ingetu inspire zaidi.
@Adeen.1
@Adeen.1 2 года назад
Hau sound comfortable with what you are saying...ka una edit vitu hivi ila big up kwa hapo ulipo🙌🙌🙌🙌
@Swahili_Wisdom
@Swahili_Wisdom 2 года назад
Ukiwa Mtu Mwenye Maono Makubwa, Ukiwaelezea Watu wako ukawaona Hawakuelewi Jua Hao Unatakiwa Kuwaacha, The way Unavyo fikiria kwa Ukubwa Sio Kama wao cz Upeo wao Mdogo. So lazima ujiondoe kwenye Hilo Group, This is the spirit of Visionary guys who change the world and systems. Disrupt everything
@MRiki03
@MRiki03 2 года назад
Vary humble Man Salama Leo maswali sijayaskia but nimejifunza sana sana Mwenyezi Mungu anitunzie ❤️❤️❤️❤️❤️
@JustArkon
@JustArkon 2 года назад
Sio bahati mbaya, yote ni ya Mungu sema bahati nzuri sehemu yenyewe ipo!!
@gutalemohammed5043
@gutalemohammed5043 2 года назад
Definition of genius =respect, hard-working,and manners
@winifridambilinyi8043
@winifridambilinyi8043 2 года назад
Wooow Inawezekana kuanza ulipo na kufikia unatamanikuwa💪🏾
@loiceamugune6711
@loiceamugune6711 2 года назад
He is one of my favorite,Majay you are a determined man na mchakarikaji sana God bless you man.
@Tatizofficial
@Tatizofficial 2 года назад
Anaongea kiupolee,mm nampendaga majizoo na radio yake na hasoo zake,keep it up bro♥️
@veronicapotas5706
@veronicapotas5706 2 года назад
Dah Boss luge apumzike tu kwa amani kwakweli yule ameokoa TANZANIA
@partnersah8802
@partnersah8802 2 года назад
Sure. Sikujua kama kila.kijana anayeshaini now ametoka kwake aseee. Allah ampunzishe kwa aman 🤲
@veronicapotas5706
@veronicapotas5706 2 года назад
@@partnersah8802 yaan sijui ni kwann wazuri ndo hutangulia😓😓
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Dah kweli maisha ni safari ndefu na hakuna kukata tamaa
@bahatirngulika4493
@bahatirngulika4493 2 года назад
So inspiring kwakwel,let me go for part2
@mwarahsemor6301
@mwarahsemor6301 2 года назад
jizzo nakubali sana haso zako broo kumbe sijachelewa ✊
@abduly.snootie
@abduly.snootie 2 года назад
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾 🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
@MrSABYY
@MrSABYY 2 года назад
Huyu jamaa yuko makini sana 🗝🗝. Big up Tajiri Majizooo 🔥🔥🔥
@flavourboyke
@flavourboyke 2 года назад
Huyu ndio mume wa lulu
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 года назад
Congrats salama is best interview u do big up
@jujo_master
@jujo_master 2 года назад
show kalii salama tuletee D.knob tafadhali👐👐
@sashaemmilz1468
@sashaemmilz1468 2 года назад
Aisee sikati tamaa jamani mweeh MUNGU nisaidie,namkubali sana baba G
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 года назад
Napenda sana salama anavyoanza kuuliza maswali yaani huwezi tarajia
@aivanandrea2160
@aivanandrea2160 2 года назад
Thanks sisy for being incredible..
@edgahendi1949
@edgahendi1949 Год назад
Hahahaaa majizo amefanana na yle mchungai wakenya aliewauwa watu kwakufunga enway majizo namkubali sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Duh! Mafanikio sio rahisi kwakweli 😢
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Saaana aiseee
@mussamushi6958
@mussamushi6958 2 года назад
Anaongea kwa Sauti ya chini hatumsikii fresh
@sulehimanhabibu6046
@sulehimanhabibu6046 2 года назад
Mleten diamond siku moja au Harmonies salama
@CHITUS
@CHITUS 2 года назад
Wooow Inawezekana kuanza ulipo na kufikia unatamanikuwa💪
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 года назад
Asante majizo kwastoria Yako n'a Asante kwakumuoa lulu
@aminiismail3371
@aminiismail3371 2 года назад
Dada Salama tuletee Vunjabei na Mo dewji
@unitedtune_tz5369
@unitedtune_tz5369 2 года назад
Ya jux! Hamjapost jmn! Wengine hatuna mda wa kukaa sana kweny TV tunaomba ziwe znatumea na huku
@businesstanzania
@businesstanzania 2 года назад
Sauti Ya Maj Ipo Chini, Asikiki
@NyehuDaudi
@NyehuDaudi Год назад
Haki maisha nikupambana hakuna kukata Tama
@nancepallangyo8805
@nancepallangyo8805 2 года назад
Nakupenda bure salama ❤️
@hastomatumla5017
@hastomatumla5017 2 года назад
Alaf kasome history ya majizo Kwa mangeapp
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 года назад
Watu tunatoka mbali kwa kweli
@mrfashion1687
@mrfashion1687 2 года назад
Nasubir SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
@ireneamanimusician9635
@ireneamanimusician9635 2 года назад
Salama hii description sasa mm hoooooiiiiiii😃😃😃😃😃mbavu zangu jama
@vicentjulio9337
@vicentjulio9337 2 года назад
Respect Majizzo
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
But nakupenda buuuure salama hata hivyo nimreeeeeembo
@preatyarhaan1190
@preatyarhaan1190 2 года назад
Interview na wema sepetu plz
@chikotosammy3891
@chikotosammy3891 2 года назад
Madam Boss naomba kama yawezekana tupate Mr Blue #Nyanizee
@jujo_master
@jujo_master 2 года назад
😄 😄 😄 ila tid mnyama ni mtundu bana
@makalani4759
@makalani4759 Год назад
Karibu kinyope kaka
@dcampafrica
@dcampafrica 2 года назад
tuletee young killer
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 2 года назад
Jesca Kumbe Ana Mafutaaa Jamani 🤣🤣
@catenzeki678
@catenzeki678 2 года назад
😂😂😂😂😂
@asiaashraph4227
@asiaashraph4227 2 года назад
❤️❤️❤️
@coffeetable5683
@coffeetable5683 2 года назад
tunamuhitaji Oscar oscar
@giftmalema5032
@giftmalema5032 2 года назад
Sijutii kusubscribe hii Chanel..... asante majizzo
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Awesome 👌🏽
@deusdedit789
@deusdedit789 2 года назад
Sasa mimi naogopa nini lazima ndoto zangu zitimie
@salmaluhasi2986
@salmaluhasi2986 2 года назад
Waooooo, kwenye maisha hakuna kukata tamaaa!!
@nemestesha7784
@nemestesha7784 2 года назад
respect🤛
@davidmachange7186
@davidmachange7186 2 года назад
Salama episodes nyingine uendelee kuziweka google podcasts kama ulivyokua unafanya b4....Ila shows are delicious 😋 🔥
@kwandusamson
@kwandusamson 2 года назад
Q
@ziadaakida2743
@ziadaakida2743 2 года назад
Majizo wewe ni mpole,Harafu umwelewa mno Kama ndivyo hata ndani kwako basi Lulu amepata mume sahihi,
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
Upele anaujua mkunaji
@Epicmarkmedia
@Epicmarkmedia 2 года назад
Tunamwomba John Joo
@hafidhfaridjuma5938
@hafidhfaridjuma5938 2 года назад
Ajee kwelii plz salama
@waltergodwin2529
@waltergodwin2529 2 года назад
Kama uhai upo, hakuna uchawi kijana.
@fatumamkini1652
@fatumamkini1652 2 года назад
❣️❣️🙏
@viwawashanganionlinetv1601
@viwawashanganionlinetv1601 2 года назад
Diamond ndio tunaemtaka
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 2 года назад
tuleteee mwijaku siku moja
@veronicapotas5706
@veronicapotas5706 2 года назад
Yule ataongea mpaka muda uishe na hakuna cha maana alichokisema hahaaaaaa
@saidzola7905
@saidzola7905 2 года назад
Amani karume pls
@minaakimwaga5073
@minaakimwaga5073 2 года назад
Hy sauti majizo
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 2 года назад
Sizza ni kaka🙌🙌🙌🙌🙌
@selemanimsangi7805
@selemanimsangi7805 2 года назад
Tunaomba umlete Mzee Chrissant Mhennga Aliyekuwa mkuu wa kundi la kaole enzi za kanumba
@ramlaamiri5601
@ramlaamiri5601 2 года назад
Show show
@irenemakene7219
@irenemakene7219 2 года назад
I am here to learn and be inspired....
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 Год назад
Kwa Fujo Djs ❤
@meislive5234
@meislive5234 2 года назад
Radio gani ? Magi kimagi no that and she is now that gay!
@winnieevarest3634
@winnieevarest3634 2 года назад
tunamuomba wema please
@msabahaali758
@msabahaali758 Год назад
salama mualike Ismaili Jussa Ladhu apo
@anikaanikaa7617
@anikaanikaa7617 2 года назад
Tuletee kajala please
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 года назад
Shout out to TMK representative sir kassim. 11:36 12:46 13:43 14:20 15:28 17:24 18:22 19:06 20:33 21:02 21:32 23:19 23:59 25:20
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 года назад
Mbona husemi kwenu lutamba lindi jina lako halisi hutaji unataja jina la janja janja
@housnayousif780
@housnayousif780 2 года назад
😳😳😳
@renatuskasula259
@renatuskasula259 2 года назад
Rado kiraka
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 2 года назад
Mtengeneze wa kwako..then muweke mbele yako' akupendeze..eehh.!? unaweza kumkuta katoboa kwa mungu anakula kuku pepon., unaingilia mamlaka ya kuumba toka mungu.!? kulea tu mtoto anaweza kukushinda..ije kutengeza binaadam.?¿ Shetan wahed.! mkubwa
@Blakybraun_3
@Blakybraun_3 2 года назад
Hivi jaman kila celebrity hakuna aliyetoka kwenye familia ya matajiri mbona kila mtu ametoka kwenye familia masikini tu
@wardamzuka3997
@wardamzuka3997 2 года назад
Wapo ,wema ,hemed PhD familia zao hazikuwa maskini 😀😀😀😀😀
@NS-ru1yf
@NS-ru1yf 2 года назад
Mo
@magdalenayinza1418
@magdalenayinza1418 2 года назад
Jux, zuchu,
@Rosepeter001
@Rosepeter001 Год назад
Madam Rita
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 года назад
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@mangetz2835
@mangetz2835 2 года назад
Sauti ndogo
@queenmilan2024
@queenmilan2024 2 года назад
ILA LULU ANAVUMILIA.SANA KULALA NA HUYU MWANAUME CHAI HATA BURE SIMUONESHI UCHI WANGU.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Kwann my?
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
Uchi wako unanuka hata hivyo
@maryamtan682
@maryamtan682 2 года назад
Ttz mnaenda waramba lipsi ndo maana,.
@esterdoriye4780
@esterdoriye4780 2 года назад
Dada anachuki binafsi huyu
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 года назад
Mbona kaka yuko vzr tu jaman
@naaalovee3910
@naaalovee3910 2 года назад
Dj majizo kwa fuuuujooooo
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 2 года назад
Majizzo nawe kiswanglish chako
@bettymwigune8150
@bettymwigune8150 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
🤣🤣
@2116-n
@2116-n 2 года назад
TUNAOMBA YA ZEMBWELA na DANIEL KIJO, TAFADHALI
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 года назад
Tuleteye paula
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 года назад
Madawa yakulevya ndo yaliyokutoa sema ukitumia akili
@arafaomari1832
@arafaomari1832 2 года назад
Wewe zuena kweli hiyo
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Mmmh
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
Nawe fanya hivyo
@mbux7443
@mbux7443 2 года назад
Kabisa
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 2 года назад
Nawe kauze ili uwe nazo,unafanya nini kwani?
@mrmweusi592
@mrmweusi592 2 года назад
Afuate nikki wa pili
@kassimiddi1663
@kassimiddi1663 2 года назад
wadeiii
@smfkingdom9944
@smfkingdom9944 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-EoUNzHZowFY.html Balaa la kamti pombe
@kwinyajohn
@kwinyajohn 9 месяцев назад
D.nob
@hanihaadamuhanifaadamu4125
@hanihaadamuhanifaadamu4125 2 года назад
Kumbehuyu kakanimbayahivi
@maryamtan682
@maryamtan682 2 года назад
Wala hn ubaya wwt, acha chuki, kwenye list ya wabaya uwezi kumueka kamwe.
@dianamdaku9802
@dianamdaku9802 2 года назад
😂😂😂umeandika mwenyew au?
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 2 года назад
Kiukweli mbayaaaa hata Eliza kafuata marundo tu
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 2 года назад
Anaongea vizuri
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 года назад
😀
@queenmilan2024
@queenmilan2024 2 года назад
HE KUMBE HUYU BABA NI LI BAYA HIVYO.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
🤣🤣🤣jmn
@maryamtan682
@maryamtan682 2 года назад
Wee mwenyewe mbaya.
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 года назад
Wewe sio Mungu huluhusiw kumkosoa mtu
@keifatuke99
@keifatuke99 2 года назад
Baba yako akiwa mzuri yatosha
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 2 года назад
Unataka awe mzuri ili iweje. Kenge we!
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 2 года назад
Sio bahati mbaya, yote ni ya Mungu sema bahati nzuri sehemu yenyewe ipo!!
@zainabcosmas6961
@zainabcosmas6961 2 года назад
❤️❤️❤️
Далее
PUBG MOBILE | Metro Royale: Fun Moments #4
00:16
Просмотров 132 тыс.
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
33:07
Просмотров 312 тыс.
Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
40:28
Просмотров 535 тыс.
Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1
28:34
Просмотров 202 тыс.
Salama Na VANNY BOY Ep 54 | NDAGHA PART 1
39:49
Просмотров 467 тыс.
PUBG MOBILE | Metro Royale: Fun Moments #4
00:16
Просмотров 132 тыс.