Kwenye Part 1 aelezea mengi ila moja wapo ni haya
-Sababu za ukimya wake taingia alivyotoka jela
-Aelezea kitu ambacho hatokuja kukisahau maishani mwake
-Aelezea kitu ambacho aliwahi kufanya na anakijutia hatokuja kukifanya maishani mwake
-Kwasasa akiri kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote
-Aelezea project ambayo anaifanya ambayo kwasasa yupo mbioni kwenye kuifanyia uzinduzi (foolish Age)
2 июл 2013