Bro ujumbe huu nimzuri sana umenigusa sana hakika wewe nimwalimu wa maisha wakweli nakumbuka wakati mgumu nilipitia rafiki wengi wakajitenga nami nilipokuja pata wakati mzuri wakataka kurudi nikafunga milango kwakujua kwamba hawakua watu sahihi. Ahsante kwa Ujumbe
Safi sana tena maelezo nzuri sana, ni ukweli kabisa mambo haya. Nina rafiki aliye kataliwa na mzazi wake hapo basi akawa hana pakuenda wala pakukalia, lakini baada ya kuzungumzia na kijitia moyo asikate tama kuna sababu yake , leo hii anasema amejifunza vitu vingi kupitia changamoto hilo na amejifunza kumtegemea Mungu badala ya wanadamu Thanks for the upload Brother Joel💪👏👏
Kiongozi umenigusa zaidi ya 100% Nina zaidi ya miaka 7 sasa ninahangaika lakini nashindwa kusimama tena. Nimepoteza marafiki kama wote. Mara ya mwisho wiki iliyoisha nimejaribu biashara fulani nayo ikaanguka vibaya na shida kubwa nawaamini sana watu. Na hapa nilipo nina majonzi mpaka nalia na ninajiuliza nimemkosea nini mwenyezi mungu!
ISSA MKONDOA uckate tamaa bora yan hapo mafanikio yako yapo karibu sana hivyo weka juhud zaid ,usilie tafakar na uangalie wapi unakosea na ujipange upya,kuwa na subra Muombe Mwenyez Mungu afu pia usipende kumuamin kila mtu sababu tupo katika dunia ilojaa hasad,chuki....inuka bro na uendelee kupigania ndoto yako ..bahar tulivu haitengenez nahodha bora...USIKATE TAMAA
Lecture yako imenigusa na yote ulosema ni ukweli kabisa na yamenitokea kweli na hata wanangu na baadae yanakuwa ni kheri kwetu. You're the best and God bless you 🙏
Asanteee sana brother Joel..nikiwa Dubai nimejifunza kila siku Mimi ni mwanafunzi na leo umenifunza kumbe wakati mgumu...ni funzi katika maisha haufai kulikwepa
Yaani elimu unayoitoa n Zaid yA elimu dunia hayo n maarifa ya kiroho that's why ukiongea unaongea na roho mpaka nywele zinasisimka, nakupenda Sana Kaka ila nakuuliza unaandika vitabu?! Kama una vitabu vinapatikana kwa utaratibu upi maana hauzungumzii kabisa kuhusu vitabu kak
Mimi wakati mgumu ulinilazmisha kufanya maamzi ambayo yamebadilisha sana maisha yangu kias kwamba nisingefanya maamzi saivi ingekuwa story nyingne asante sana kaka Joel Nanauka
Nateseka sana mpk nguvu zimeniisha depression imeharibu kila ktu katk maisha yangu hakuna ktu chochote cha kunipa hamasa, nishajidhuru si mara moja wala mbili, nimejaribu kujiua sijui mara ngapi nishalazwa mental hospital miezi miwili lkn hakuna ktu kilichobadilika wallah natamani mda wng wa kufa ufike kwa haraka
Hizo ndo changamoto nilizo nazo kaka nimejitahidi kujikwamua ngoma imezidi kuwa ngumu nilikuwa vizur kipindi cha nyuma nimekuwa mtu wakuangushwa tu na ndugu na mahusiano yangu ya mapenz nimepata mke lakin ambaye amekubali kuwa na mm lakin bado naona kabisa changamoto zimezidi nimekosa hata hela ya kodi na matibabu ya mke wangu, yupo hospital mjamzito muda si mrefu kuanzia sasa anajifungua wakwe zangu wananiona kama namtesa mtoto wao najisikia aibu sana kaka nakuomba unipe mbinu nyingine labda mungu atanibaliki na mm
Brother, Kiukweli mfumo huu wa kufundisha uko vzr kuliko ile ukiwa ofifisini, Unafundisha vitu ambavyo ni halisi ya maisha ha watu, Brikiwa sana mtu wa Mungu.. NAOMBA UONGEZE ZAIDI MASOMO MENGINE YA NAMNA YA KUPANGA BAJETI, NA NIDHAM YA PESA
Daaaaaaa bradha nimeshinda nimetapeliwa sana Kuna wakati nilitapeliwa kazini hakika nimeyashinda mungu mkubwa sana leo ndo najuwa kumbe nilikuwa natengenezewa njia
“ kuna wakati mgumu mwengine inabidi ufanya maamuzi usipofanya wakati mgumu unajirejea ili kukulazima ufanye maamuzi”sahihi mno maamuzi wakati meengine yanauma unaweza kutoa maamuzi huku unalia ila inabidi ili utoke kwenye kifungo jpkua unapenda ilaukioonahupendwi br kutoa maamuzi na baadae vitu vyote hukaasawa ahsante dokta joel somo lako ninaonesha wAzi sikukokea pia nimejifunza
Kaka somo hili linanihusu ,ninamiaka na hata sasa ninapita wkt mgumu,marafiki na watu wa karibu, ninaowaamin huniumiza sana yaani nimekuwa wa mtu wa kulia, kuhuzuni na kujutia tu kila wakati.nimejikuta nakosa imani na watu kabisa