Тёмный
No video :(

Je Unapitia Wakati Mgumu Katika Maisha Yako? 

Joel Nanauka
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 260   
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 лет назад
Somo kubwa sana na la muhimu kwenye maisha yetu. Shukrani sana brother.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Success Path Thanks #SeeYouAtTheTop
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 5 лет назад
Simon Zurich Sana nag linatia motorcycle ongera Sana kijana
@chaptech
@chaptech 5 лет назад
brother Ezden, nakuelewa sana ukweli, nafurahi kuona pia nawe unajifunza kupitia watu kama wewe, nyote mbarikiwe pamoja na brother Joel
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 лет назад
@@chaptech thanks Peter
@marthazakayo9787
@marthazakayo9787 5 лет назад
@@successpathnetwork balikiwa Sana , Kwan mafundisho yako kiukwel yananijrnga sana
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 лет назад
Bro ujumbe huu nimzuri sana umenigusa sana hakika wewe nimwalimu wa maisha wakweli nakumbuka wakati mgumu nilipitia rafiki wengi wakajitenga nami nilipokuja pata wakati mzuri wakataka kurudi nikafunga milango kwakujua kwamba hawakua watu sahihi. Ahsante kwa Ujumbe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Maneno Lugendo Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@allicemwassa2789
@allicemwassa2789 4 года назад
Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri,
@rukiayasuleyman2900
@rukiayasuleyman2900 2 года назад
Hayo yote unayosema! Ndiyo maisha yangu napata taabu Sana kwenye ndoa yangu lkn nashindwa kufanya maamzi, nisaidie nipate ujasili😭😭😭
@msleny6767
@msleny6767 5 лет назад
Safi sana tena maelezo nzuri sana, ni ukweli kabisa mambo haya. Nina rafiki aliye kataliwa na mzazi wake hapo basi akawa hana pakuenda wala pakukalia, lakini baada ya kuzungumzia na kijitia moyo asikate tama kuna sababu yake , leo hii anasema amejifunza vitu vingi kupitia changamoto hilo na amejifunza kumtegemea Mungu badala ya wanadamu Thanks for the upload Brother Joel💪👏👏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Hellen Ogego Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@msleny6767
@msleny6767 5 лет назад
@@joelnanauka Thanks for your uploads too, am greatly humbled
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 лет назад
Thanks for the speech kila jambo baya linatokea kuna kitu tunaepushwa.....sante bro
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 5 лет назад
Nimekisoma kitabu chako cha ongeza kipoto kwakweli kinafundisha sana good job my brother
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Hilary Godfrey Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@issamkondoa7183
@issamkondoa7183 5 лет назад
Kiongozi umenigusa zaidi ya 100% Nina zaidi ya miaka 7 sasa ninahangaika lakini nashindwa kusimama tena. Nimepoteza marafiki kama wote. Mara ya mwisho wiki iliyoisha nimejaribu biashara fulani nayo ikaanguka vibaya na shida kubwa nawaamini sana watu. Na hapa nilipo nina majonzi mpaka nalia na ninajiuliza nimemkosea nini mwenyezi mungu!
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 лет назад
Pole issa usivunjike moyo amin unaweza jaribu tena utasimama 💪💪
@aasiyaasia682
@aasiyaasia682 5 лет назад
ISSA MKONDOA uckate tamaa bora yan hapo mafanikio yako yapo karibu sana hivyo weka juhud zaid ,usilie tafakar na uangalie wapi unakosea na ujipange upya,kuwa na subra Muombe Mwenyez Mungu afu pia usipende kumuamin kila mtu sababu tupo katika dunia ilojaa hasad,chuki....inuka bro na uendelee kupigania ndoto yako ..bahar tulivu haitengenez nahodha bora...USIKATE TAMAA
@alfaniabassi7091
@alfaniabassi7091 5 лет назад
Usikate tamaaa
@umikram6755
@umikram6755 5 лет назад
Akhui kabla yakuanza jambo sema na ALLAH S.W atakujbu
@richardvalson9868
@richardvalson9868 5 лет назад
Thanks so much ßrother NANAUKA ulipo nipo👍👍👍
@T1tanGamingCsgoMore
@T1tanGamingCsgoMore 4 года назад
Lecture yako imenigusa na yote ulosema ni ukweli kabisa na yamenitokea kweli na hata wanangu na baadae yanakuwa ni kheri kwetu. You're the best and God bless you 🙏
@giversteve6852
@giversteve6852 2 года назад
Asante sana brother ....maana Dah nilihisi kupasuka moyo ....angalau
@mammyali3424
@mammyali3424 5 лет назад
Asanteee sana brother Joel..nikiwa Dubai nimejifunza kila siku Mimi ni mwanafunzi na leo umenifunza kumbe wakati mgumu...ni funzi katika maisha haufai kulikwepa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Mammy Ali Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@timamusportstelevision6599
@timamusportstelevision6599 5 лет назад
Shukrani you're my hero
@amonkomba7232
@amonkomba7232 5 лет назад
Thank you in advance once more MR JOEL
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
AMON KOMBA #SeeYouAtTheTop
@robertemmanuel1685
@robertemmanuel1685 5 лет назад
Thanks bro, kwa masomo unayoyatoa tunapata mengi mazuri sana.
@nathanielsteven539
@nathanielsteven539 5 лет назад
Ubarikiwe sana brother Joel,amina!!umenena jambo muhimu sana limenionyosha jambo, Keep it up brother.
@samsonezekiel970
@samsonezekiel970 5 лет назад
True
@tynomwingira9904
@tynomwingira9904 5 лет назад
Nashukur kwa somo zuriii Mungu akubariki..kitabu chako cha #timizamalengoyako naweza kukipata wap?,binafsi nipo iringa!
@erickwilbard6457
@erickwilbard6457 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, Mungu aendelee kukuinua, pia najifunza mambo mengi sana kutok kwako.
@seifzongo320
@seifzongo320 5 лет назад
Yaani elimu unayoitoa n Zaid yA elimu dunia hayo n maarifa ya kiroho that's why ukiongea unaongea na roho mpaka nywele zinasisimka, nakupenda Sana Kaka ila nakuuliza unaandika vitabu?! Kama una vitabu vinapatikana kwa utaratibu upi maana hauzungumzii kabisa kuhusu vitabu kak
@martinemanuel9782
@martinemanuel9782 5 лет назад
Yeah anaandika vitabu anavyo zaid ya vitano
@seifzongo320
@seifzongo320 5 лет назад
@@martinemanuel9782 vinapatikana wapi Sasa mbna atangaz
@martinemanuel9782
@martinemanuel9782 5 лет назад
Kama Uko arusha nikupe no za wakala wake boss
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Andante snaa seif karibu sana unaweza kuwasiliana 0756-094875 kuvipata
@ovn-sportswear4983
@ovn-sportswear4983 4 года назад
Salute big broo somo hatar sana
@mohamedsigwa1712
@mohamedsigwa1712 4 года назад
Ni kweli kabisa somo nimelipokea vzr na nimeelewa Mungu akubariki
@theresiadebeli9621
@theresiadebeli9621 4 года назад
Najifunza mengi Sana kwa kila kitu naona maisha yangu yanaenda Sasa tanks nakupenda bure kaka
@blessedman1163
@blessedman1163 5 лет назад
Am proud of u bro najifunza sana kupitia wewe ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuinua
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@dullahwago5360
@dullahwago5360 2 года назад
Ahsante Joel
@rashidkihombo6782
@rashidkihombo6782 4 года назад
Asante kwa elimu nzuri mi niko kwenye tatizo hilo kabisa nahitaj elimu zaid nirud tena kwenye mstar
@Madam255
@Madam255 2 месяца назад
Mimi wakati mgumu ulinilazmisha kufanya maamzi ambayo yamebadilisha sana maisha yangu kias kwamba nisingefanya maamzi saivi ingekuwa story nyingne asante sana kaka Joel Nanauka
@Lululemon55
@Lululemon55 2 года назад
Nateseka sana mpk nguvu zimeniisha depression imeharibu kila ktu katk maisha yangu hakuna ktu chochote cha kunipa hamasa, nishajidhuru si mara moja wala mbili, nimejaribu kujiua sijui mara ngapi nishalazwa mental hospital miezi miwili lkn hakuna ktu kilichobadilika wallah natamani mda wng wa kufa ufike kwa haraka
@assilaibra4563
@assilaibra4563 Год назад
Pole Sana Dear,, Nitafute.
@salmonmkanulasalmonmkanula807
@salmonmkanulasalmonmkanula807 5 лет назад
Hizo ndo changamoto nilizo nazo kaka nimejitahidi kujikwamua ngoma imezidi kuwa ngumu nilikuwa vizur kipindi cha nyuma nimekuwa mtu wakuangushwa tu na ndugu na mahusiano yangu ya mapenz nimepata mke lakin ambaye amekubali kuwa na mm lakin bado naona kabisa changamoto zimezidi nimekosa hata hela ya kodi na matibabu ya mke wangu, yupo hospital mjamzito muda si mrefu kuanzia sasa anajifungua wakwe zangu wananiona kama namtesa mtoto wao najisikia aibu sana kaka nakuomba unipe mbinu nyingine labda mungu atanibaliki na mm
@emmanuelkitomary2274
@emmanuelkitomary2274 3 года назад
Asante kwa mafundisho yako nimejifunza Sana barikiwa
@elizabethmrema5556
@elizabethmrema5556 3 года назад
Kaka somo lako ni nzurii sanaa litatufundisha wengi
@devotastambuli864
@devotastambuli864 4 года назад
Ni kweli kabisa
@clemencejohnson1072
@clemencejohnson1072 5 лет назад
Shukran kaka ..MUNGU AKUBARIKI SANA..
@neemamacha8806
@neemamacha8806 5 лет назад
Asante kwa somo zuri kaka Joel. hili ni la kwangu kabisa!
@princeholy4777
@princeholy4777 4 года назад
Nakuona kama wewe ni Role model katika maisha yangu.
@philomenajolam8516
@philomenajolam8516 3 года назад
Jamani Mungu anatoa somae kwa wkt , asante kwa somo zuri
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 лет назад
Naam kujifunza ni muhimu sana na Mungu anajua zaidi... Ahsante Mungu akubariki
@benedictmasigo3802
@benedictmasigo3802 5 лет назад
Thanks brother I appreciate
@alexandermajula7268
@alexandermajula7268 6 месяцев назад
Asante sana
@homemarket1601
@homemarket1601 2 года назад
Shukran sana kaka nimepata funzo kubwa
@gladyvictor9094
@gladyvictor9094 2 года назад
Asanteee
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 2 года назад
Asante sana kaka na mungu akubariki
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 года назад
Asante sana umenisaidia
@hamismkunda1452
@hamismkunda1452 5 лет назад
ubarkiwe kwa somo nzurii
@dullahgutram7040
@dullahgutram7040 3 года назад
asante brother mungu akubariki
@priscakalenga4055
@priscakalenga4055 3 года назад
Asante sana nashukuru kaka
@paulinastephano236
@paulinastephano236 2 года назад
Ubarikiwe sana Sana 🙏🙏
@fatmaali4794
@fatmaali4794 3 года назад
Asante my brother
@priscahrobert5481
@priscahrobert5481 6 месяцев назад
Mungu akubarik sana❤
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 5 лет назад
💯👏👏👏 Asante
@maimunapelembo4284
@maimunapelembo4284 5 лет назад
kweli umenigusa sana ktk maisha haya napitia magumu mengi mno mpaka Nakata
@fanuelmallongo1042
@fanuelmallongo1042 5 лет назад
Ubarikiwe Sana kaka kwa ujumbe mzuri
@mariangailla660
@mariangailla660 2 года назад
Asante my kaka wanifunza mengi na kunipa nguvu
@bitembwambo2893
@bitembwambo2893 2 года назад
Nimejifunza mengi kk barikiwa
@shabansalum6014
@shabansalum6014 3 года назад
Shukran sana Mtaalam... Faida kubwa inapatikana kwa hakika katika Somo hili na mengine mengi unayo yaleta...
@princeholy4777
@princeholy4777 4 года назад
Napenda kwa kile unachokifanya. Umenisaidia sana hongera Nanauka
@stevendais7653
@stevendais7653 4 года назад
Asante kaka Kwa somo zuri , daah maana nipo kwenye wakati mgumu wenye maumivu makali
@hafsahcletty5968
@hafsahcletty5968 5 лет назад
Alhamdulilah mashaallah.Shukran
@babugojo6418
@babugojo6418 3 года назад
Asante
@isihakamyonga3886
@isihakamyonga3886 5 лет назад
Napitia hali hiyo hivi sasa. Nashukuru kwa somo zuri.
@rehemakawamda629
@rehemakawamda629 4 года назад
Kweli kaka joel mimi napitiya ayo naomba msada
@yoramdogezah8000
@yoramdogezah8000 4 года назад
Brother, Kiukweli mfumo huu wa kufundisha uko vzr kuliko ile ukiwa ofifisini, Unafundisha vitu ambavyo ni halisi ya maisha ha watu, Brikiwa sana mtu wa Mungu.. NAOMBA UONGEZE ZAIDI MASOMO MENGINE YA NAMNA YA KUPANGA BAJETI, NA NIDHAM YA PESA
@davierobert5563
@davierobert5563 5 лет назад
Asante sana kaka jn kwa masomo yako mazuri nimejifunza mengi sana
@mohamedhango1631
@mohamedhango1631 5 лет назад
Hakika ni somo kubwa ktk system ya maisha yetu shukran kwako.
@jacksonmakasi8378
@jacksonmakasi8378 2 года назад
Asante Kaka umeleweka
@herimailo8183
@herimailo8183 Год назад
Brother asante
@edwardsizya3515
@edwardsizya3515 3 года назад
Safi bro
@charlesatanas3270
@charlesatanas3270 4 года назад
ubarikiwe sana joel,nilipotea kazi yangu ya kwanza nikajua ndio mwisho wa maisha lakini nikaja kupata bora zaidi ya ile ya kwanza
@swahibmakumulo9329
@swahibmakumulo9329 5 лет назад
Well Spoken Joel!!!!
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 3 года назад
Daaaaaaa bradha nimeshinda nimetapeliwa sana Kuna wakati nilitapeliwa kazini hakika nimeyashinda mungu mkubwa sana leo ndo najuwa kumbe nilikuwa natengenezewa njia
@beatricmmpantaleo3420
@beatricmmpantaleo3420 4 года назад
Smart Kaka with smart brain🙏🙏🙏
@zawadimasali2548
@zawadimasali2548 5 лет назад
Sijui hata niandike nini, Mungu akubariki Sana na akuongezee maarifa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
zawadi masali Amin nashukuru mnooo,endelea kuniombea
@mg.general7710
@mg.general7710 5 лет назад
Shukran Sana broo
@joowzeyboyjoowzee4474
@joowzeyboyjoowzee4474 4 года назад
Thanks again
@helbertsoneka2008
@helbertsoneka2008 5 лет назад
shukran brother J
@salimmuhamed7731
@salimmuhamed7731 4 месяца назад
Mwalimu mungu akubariki mm nafanyakazi na ndungu zangu lakini wananiharibia kazi kuwaondosha nilawama nifanye nini niepukane na huu mzigo
@AbdulHalim-su7kl
@AbdulHalim-su7kl 5 лет назад
Mr.Nanauk yaan katik sik zot y 1 leo umenp kitu kubw sanaaaa ubarkiw mkuuuuu....
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Abdul Halim Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop
@mathiasnchinga1987
@mathiasnchinga1987 2 года назад
Nakosa mwelekeo wa maisha yangu
@wejja423
@wejja423 5 лет назад
Ubarikiwe sana mkuu. Kuna vitu nimejifunza katika somo hili
@judithwambura9234
@judithwambura9234 5 лет назад
Many thanks bro
@joseefaidabutu7294
@joseefaidabutu7294 4 года назад
Asante sana mwalimu
@alimaalim9287
@alimaalim9287 5 лет назад
Iko vizuri sana
@egonkasiano7822
@egonkasiano7822 5 лет назад
Shukran
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Год назад
Asante kwa somo kaka napitia wakati mgumu ila tangu nikujue wewe umekuwa mkombozi wngu!
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 5 лет назад
“ kuna wakati mgumu mwengine inabidi ufanya maamuzi usipofanya wakati mgumu unajirejea ili kukulazima ufanye maamuzi”sahihi mno maamuzi wakati meengine yanauma unaweza kutoa maamuzi huku unalia ila inabidi ili utoke kwenye kifungo jpkua unapenda ilaukioonahupendwi br kutoa maamuzi na baadae vitu vyote hukaasawa ahsante dokta joel somo lako ninaonesha wAzi sikukokea pia nimejifunza
@dinnamhepwa3547
@dinnamhepwa3547 5 лет назад
Jaman, asante sana kaka
@eugenfredrick2328
@eugenfredrick2328 5 лет назад
Thanks Sana my brother!!!
@chrisnam8885
@chrisnam8885 4 года назад
Hello
@abdulybabumgwaobabu7407
@abdulybabumgwaobabu7407 5 лет назад
kiukweli napenda kukufuatilia sana broo unatuelimisha shukran Allah akujalie Afya njema na umri mrefu uzidi kutuelimisha zaid na zaid
@joyceisack5930
@joyceisack5930 5 лет назад
Asante sana J
@joycewambui2270
@joycewambui2270 5 лет назад
Amen Joel barikiwa kwa hekima iii
@makalanimakalani331
@makalanimakalani331 3 года назад
Dah we jamaa mungu aku linde,
@elizamuba6436
@elizamuba6436 5 лет назад
Kaka somo hili linanihusu ,ninamiaka na hata sasa ninapita wkt mgumu,marafiki na watu wa karibu, ninaowaamin huniumiza sana yaani nimekuwa wa mtu wa kulia, kuhuzuni na kujutia tu kila wakati.nimejikuta nakosa imani na watu kabisa
@alfayoamani177
@alfayoamani177 4 года назад
Thanks for advice brother
@merymushi6173
@merymushi6173 5 лет назад
Kaka Joel nimejifunza sana mambo mengi kupitia wewe Asante sana
@josephngunda5120
@josephngunda5120 3 года назад
Mungu kamrudisha Dr. Myles Munrol duniani kupitia Wewe mwili wako na akili yako 👍👍👍.
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 5 лет назад
Thanks my coach
@shukuranirebecca4877
@shukuranirebecca4877 Год назад
🙏🙏
@joycengonyani3529
@joycengonyani3529 4 года назад
Hongera kaka kwa somo zuri.
@suleymanomary6694
@suleymanomary6694 5 лет назад
ubarikiwe brother
@artsoneliah2542
@artsoneliah2542 5 лет назад
Mungu akubariki sana, ukweli nimepata kitu leo
@jumannemohamed4526
@jumannemohamed4526 5 лет назад
Ahsante sana kwa ushauri wako
@rehemajuma4656
@rehemajuma4656 5 лет назад
Somo zr sana kaka Joel shukraan
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 лет назад
Asante sana kwakuniongezea tena ujuzi
@ronicsluther7918
@ronicsluther7918 5 лет назад
Ni kweli mm napita mnoo
Далее
Joel Nanauka : Nini Ufanye Unapopitia Nyakati Ngumu?
46:23
LIFE WISDOM : USHINDI KATIKA VITA - JOEL NANAUKA
10:40
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,7 млн
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33
Nyakati Nne (4) Za Ushindi - Joel Nanauka
10:29
Просмотров 33 тыс.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
لدي بط عالق في أذني😰🐤👂
00:17
Просмотров 3,7 млн