Alhamdulillahi Rabil Allahmeen, mwenyezi mungu aijalie kauli yako isimame wallah, watoto wasome wawe wenye kusoma dini, waitafute Akhera, kweli kabisa babu, walai hatuna la kusema, ila kumshkuru maulana.
This is unbelievable...!! Wanaodaiwa na huyu mzee wasidhani wameshinda. Huu ndio mwanzo wa anguko lao. Wataishi ndani ya laana moaka watakapoingia kaburini. Wakitaka wawe salama ni vema wakajiongeza na kulipa madeni yote ya nzee huyu. Hongera mh. Mwakyembe kwa kujaribu kufuatilia haki za msanii huyu. Umeonyesha wema wa ajabu. Pia nampongeza raisi wangu mpendwa kwa tende hili linaloonyesha upande wa pili wa roho njema iliyomo ndani yake. Mungu aendelee kumtunza na kumlinda raisi wetu, shujaa wa watanzania wanyonge!!
Duuh hakuna Dhambi kubwa kama mtu anasema amekusamehe na una haki yake nawe kwa ujinga ukae kimya bila kulipa Deni.mzee majuto mibaraka i juu yako acha wabaki na mizigo yao ya Dhambi.