Ni matumaini yangu kuwa Mbosso atakushika mkono kakangu ENOCK,Zaidi ya hapo yeyote aliyewatenganisha kama yamoto band alaaniwe sana!!! mob love from KENYA
Aslay tunakafaham hua kana roho fulan iv ya kukunja alafu anavimbaga sana na ndo maana anazidi kupotea na ataisha mdogo wetu Enock tunakukubali sana brother piga kazi huyu mungu anakusika na kukuona ulivo mtulivu
Hawa wanatakiwa wote wawe kwenye interview moja kila mmoja aseme chake, ila inaonyesha kuna anaye wachonganisha ili kuwatawanya, wanatumia kanuni ya wakoloni ya "DEVIDE AND RULE", Wana gombanishwa wagawanyike ili watawalike kirahisi
@@meedyshow8807 Mm siwezi feli ndugu kabisaaa.alafu katika kucheza mechi zako usiwafanye wengine wajiskie vibaya ama kuwatengezea mazingira waonekane wabaya
Nilichogundua beka na aslay hawampendi mkubwa fella na enock bela na mbosso wanamkubali mkubwafella, kwaiyo tofauti yao ndio iyo inayowafanya wawe na matabaka, pia wivu unachangia sana
Pambana ww kama ww usisubir suport ya mtu atakayeona kuna haja yakusuportiana sawa ukisubir support ya mtu utachelewa kufanya mambo yako pambana bila kukata tamaa
@@romanavarentine8755 Ndugu nenda RU-vid tafuta interview Ya dudu baya mpya utasikia kila kitu lile jama watu wanaliona chizi ila lina akili kubwa sana na haliogopi mtu.
Tunashangaa zinafanyika interview za kumfanya aslay aonekane mbaya wakati hakutaka utumwa,mbosso utalelewa mpaka lini? ,ringa na Uhuru wako jipime mafanikio kwa uwezo wako enock pambana ukipambana hautamuona m2 yeyote kua mbaya
Mbona aslay anafanywa kuwa mbaya siku zote enock pambana ujikwamue na hali yako ulipo ukiendelea kung'ang'ania kunyanyuliwa daily utawaona nduguzo wabaya epuka entrviews za kichonganishi wao washajipanga kuna ki2 wanakitafuta so pambana ndugu
Interview za kichonganishi hizo kama ana akili aendelee kukaa kimya tunajua kinachotafutwa mpaka aslay aonekane mbaya najua shda ni waseme aslay mbaya mbosso acha kutumika