Тёмный

#EXCLUSIVE 

Simba SC Tanzania
Подписаться 644 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com...
📱 App: Android User: play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RU-vid Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 173   
@abdullmubaarakabdalah
@abdullmubaarakabdalah 4 месяца назад
AHSANTE SANA, ALLAH atakulipa kwa kujitahidi kutupa furaha wana Simba , kwa kweli umejitahidi Sana AHSANTE SANA
@AliUsi-ms4bm
@AliUsi-ms4bm 4 месяца назад
Uko vizuri, na mungu akubariki, huo ndio uungwana.
@SaidShehe-o7v
@SaidShehe-o7v 4 месяца назад
Huna baya kwenye mafanikioa ytu ww pia umechangia simba nguvu Moja ❤❤
@josiacharles2778
@josiacharles2778 4 месяца назад
Nimekuelewa sana Mungu akutangulie, tunashukuru Kwa mazuri yako umeongea vizuri 🙏🙏
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 месяца назад
Kaongea vyema sana
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 4 месяца назад
Hakika
@abuuhamda6213
@abuuhamda6213 4 месяца назад
Alhamdulillah bado mangungu
@pasapraygibson1653
@pasapraygibson1653 4 месяца назад
Simba nguvu moja simba mbele siku zote nyuma kobe
@gogoboyUDomboy
@gogoboyUDomboy 4 месяца назад
WE ONDOKA TU BHN ACHA KUJIELEZA SANAAAAAAA SEPAAAAAA
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 4 месяца назад
Hahaaaa mpaka nimecheka kidhungu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 месяца назад
The way unavyojua kujieleza unapangilia hoja zako vizuri mno...unafaa sana kuwa Kiongozi..sema tu Upepo ndani ya Simba haukuwa mzuri..Kuna mtu kachezesha Dishi wana simba wanaviacha Vilivyo vizuri na sasa wanavitafuta Viovu..sasa Tusubiri Vilio na Kusaga Meno...
@samwelkitiku7087
@samwelkitiku7087 4 месяца назад
Maneno matupu hayavunji mifupa ...anafaa kwa nafasi zingine sio hii alipokuwa .
@tumainimsowoya294
@tumainimsowoya294 4 месяца назад
Tunakupenda mungu akubalikie uende hata tim ya vijana ❤❤❤❤
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 4 месяца назад
Kwa hiyo akaharibu team ya watoto heeeeh
@barakagwata2378
@barakagwata2378 4 месяца назад
Hongera kwakuachia kijiti kizito,kiukweli mashabiki tunaumia sana,hebu tupishe kidogo nawewe uone maumivu yetu
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 4 месяца назад
Safi sana mzee wangu Ila bado mangungu mbona hatoki mbona anang'ang'ania sana
@mashtv5103
@mashtv5103 4 месяца назад
Ss mangungu c mpk uchaguzi ujao ndio anaweza kutoka
@RaheemMontana-jf9mn
@RaheemMontana-jf9mn 4 месяца назад
Big up sana Bigi we will 4rever cherish u n Love u , Gud luck werever u will go n success be with u Mr.Try Again . But sorry to say This ww ni mbuzi wa kafara Mangungu ndie anaetakiwa kujuzulu bt not u
@ClemenceNgulo
@ClemenceNgulo 4 месяца назад
Asante try Kwa Kila jema ulilofanya kwaajili ya simba Asante boss
@NyasanaTv-ol4ix
@NyasanaTv-ol4ix 4 месяца назад
Amefanya vizuri kujiuzulu huyo tulikuwa tunamjua alitumwa na juma mwiko kuiharibu simba aende zake
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Sasa alotumwa kuiharibu Simba ni Mangungu sio huyu, Mangungu ndo Kirusi Ndani ya Club yetu, Try again ni Mwamba sana Sema Kina Mangungu ndo Shida
@robertmsendonyamtimba3045
@robertmsendonyamtimba3045 4 месяца назад
Jambo la kher sana mzee wetu👏Bado mwenzako mang'ung'u ,mshauri basi na yeye awe Kama wewe
@AyubuKhan-kc6wt
@AyubuKhan-kc6wt 3 месяца назад
Heee mungu tunashukuru kwa kutuondolea wapigaji Hawa bado mangungu. Jobe. Fred.saidooo
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 4 месяца назад
Mkuuu una hekima sana Mungu akubariki
@farajastephanoluoga6944
@farajastephanoluoga6944 4 месяца назад
Simba isinge kuwa rahisi kushinda miaka yote kila jambo na wakati wake tusilaumiane
@FarajiDizoza
@FarajiDizoza 4 месяца назад
Mafisadi wanapungua taratibuuuu
@SimonKibona-zn1cf
@SimonKibona-zn1cf 4 месяца назад
Kujiuzuru nayo ni hatua kaka Asante Kwa mzuri mwambie na mangungu
@omaryrazalo4302
@omaryrazalo4302 4 месяца назад
Congratulations 🎉 Try Again hila bado tunakopenda na lais wa HEshima kasema atakupa nafas nyingine lakin mangungu wanaotakiwa kumuondoa ni wanachama wenyewe cos kachahuliwa na Wana hams
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 4 месяца назад
Shukrani sana huo ndo usomi na uongozi, Bado Kajula hapo mlijikanyaga sana
@juliuswambura7554
@juliuswambura7554 4 месяца назад
Ww uko vizuri sana na tutakukumbuka siyo Yale mengine ma kuma nina hayajajiuzuru na yanatoa sababu za kishenzi kabisa
@ezekielmlay8219
@ezekielmlay8219 4 месяца назад
Hongera kwa uungwana huna baya baba
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 4 месяца назад
Nyie hampo karibu nawachezaji ndo maana naweza kifanya chochote ilimladi aiunize crabu
@JOVINEINNOCENT
@JOVINEINNOCENT 4 месяца назад
mim kama mangungu sitoki simba, mpaka lengo langu la kuishusha daraja litimie
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 месяца назад
😂😂😂
@MickJ-kv7iv
@MickJ-kv7iv 4 месяца назад
Mangungu utatoka tu,simba sio duka la baba ako,simba ni taasisi
@abdulsalim1069
@abdulsalim1069 4 месяца назад
🤣🤣 pumbaaaaaavu zake
@kherrymrindoko7399
@kherrymrindoko7399 4 месяца назад
Jobe ulimtoa wapi ?
@frontoshirima4286
@frontoshirima4286 4 месяца назад
Hongera sana mwenyekiti
@PhilipoLeonard-q5w
@PhilipoLeonard-q5w 4 месяца назад
Pita roma huna jipya
@MichoMpambalyoto
@MichoMpambalyoto 4 месяца назад
NENDA ZAKO HUKO USITUBEMBELEZEE PAKA WEW
@mirajikawimba8648
@mirajikawimba8648 4 месяца назад
Ongela Sana .wachie wengene.
@IssaMohamed-mp4hj
@IssaMohamed-mp4hj 4 месяца назад
Tuaachien simba yetu
@BarakaIlomo-re9je
@BarakaIlomo-re9je 4 месяца назад
Umeufanya mengi lakini Simba imekufanyia mengi zaidi
@herimweusi7210
@herimweusi7210 4 месяца назад
Ni busara sana umechukua hatua nzuri
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 4 месяца назад
Alhamdulillah 🤲 mtuachie tim yetu 😅
@AlbartnelsonNyasa
@AlbartnelsonNyasa 4 месяца назад
Hayo ndio mamuzi yanayo takiwa kuyafanya pale timu inapo kuwa inataka kufa hongera sana mwenyekiti
@Dls24-l6v
@Dls24-l6v 4 месяца назад
Leo ndo nimejua kumbe benchika alifukuzwa 😂😂ety kama kocha anashndwa kuchukua mapinduzi sijui kwenye ligi nayo Hali ni mbaya 😅kama huna D mbili huezi nielewa😂😂
@MpayaAthuman
@MpayaAthuman 4 месяца назад
Hongera
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 4 месяца назад
Sante usikasirike endelea kupenda Simba. Ndiyo kaz mangungu ameshikilia bomba.
@SitiKili
@SitiKili 4 месяца назад
Huo ndio ungozi Bora asante
@SamsonTanzania
@SamsonTanzania 4 месяца назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏❤️🦁💪
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc 4 месяца назад
you failed to take us forward every day we fall back we can't accept it
@menaurukivuyo6796
@menaurukivuyo6796 4 месяца назад
Cha muhimu kama mmetoka basi Simba ikaa sehemu yake mpeni mo Tim yake
@abdulsalim1069
@abdulsalim1069 4 месяца назад
Nenda bn wew!! Bado huyo mwenzako anayetuleteaga manzoki kwenye mkutano
@DUL69
@DUL69 4 месяца назад
Simba kubwa sana but miaka 3 bila kitu tunakubali lkn really tunazidi kudidimia sio poa hata kidogo. That's why simba fans tunapata shida.Mara Mo tapeli hstupendi consistency muhimu OK but kuwa tatu no
@Khmediy3241
@Khmediy3241 4 месяца назад
Try again we Sasa ni Simba kwel unajali maslai ya Simba,sio mangungu anayejifanya yupo nje deile sijui tulimchagua Ili awe anasafiri
@raphaeltanzania
@raphaeltanzania 4 месяца назад
hata ivo ulikua umechelewa kujiuzulu
@thetruthassembliesofgodtv1584
@thetruthassembliesofgodtv1584 4 месяца назад
Hakika umebobea katika uongozi, kiongozi bora huwa anawajibika hasa anapoona mambo hayapo vzr, huko ndio kuwajibika
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 4 месяца назад
hongera kujiuzuru umefanya jambo la kihekima sio hao wakina mangungu nawajumbe wake mizigo hayajielwewi yanafanya nini yanalalamika badala yakutatua tatizo yakaisha matatizo yanayoikumbuka simba
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 4 месяца назад
Iv tangu Mo alipotoa taarifa kuwa viongozi wote wa upande wake mtoke wewe ulikuwa unasubiri nini mpka leo?? Haya na upande wa wanachama huko tuambieni mangungu anajiuzulu mda gani yaan tunasubiri kwa hamu kweli hata kama ni usiku wa manane tutarukaruka
@giovannir.restone182
@giovannir.restone182 4 месяца назад
Mangungu anasubiria nini??
@rajabufadhiri5911
@rajabufadhiri5911 4 месяца назад
Mungu.akujalíe.kwakazi.ulifanya.mungu.atakulipa
@AbelJoseph-ef8bf
@AbelJoseph-ef8bf 4 месяца назад
Inauma sana kwann ww nasio mangungu
@METHODKINUNDA
@METHODKINUNDA 4 месяца назад
Kila la kher......
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 4 месяца назад
Dah!! Kweli leo ndo nimeamini huyu try agan alikuwa amechokwa yaani huku mtaani kwangu mda wa saa kumi na moja jioni wakat anatangaza kujiuzulu kupitia azam tv limeibuka shangwe la hatar syo mapikpik syo magari syo watembea kwa miguu duh mpka nikajiuliza kwani leo kuna metch ya daby maan wakat wadaby ndo kunakuwaga na shangwe iv nikaulizia kwani kuna nini et naambiwa furaha yooote ni try again kajiuzulu je akijiuzulu mangungu si ndo watu watafanya na sherehe kabsa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@chichasam9032
@chichasam9032 4 месяца назад
Wewe pita hvi unapewa pesa unakulaaaa
@MpayaAthuman
@MpayaAthuman 4 месяца назад
Muambie mangungu atoke nayye au laa aitishe kikao
@rosenyoni6426
@rosenyoni6426 4 месяца назад
Bado mangungu
@NgoshaNgege
@NgoshaNgege 4 месяца назад
Mangungu fanya maamuz ya kiume kama mwenzako
@WilirkMushy-tk8gw
@WilirkMushy-tk8gw 4 месяца назад
sio suala la uadui. ni jambo la kuiheshimu mahitaji ya timu. sio mahitaji yko ww.ko Kwa manufaa ya timu nenda boss
@PeaceMakersFamily77
@PeaceMakersFamily77 4 месяца назад
When I was a kid👶I used to think that Egypt and Israel are in Heaven
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад
Mwambie narafiki ako Mangungu ataaibika ajiuzulu mapema huku tunanoa nyengo atajua hajui
@mustaphersamson6174
@mustaphersamson6174 4 месяца назад
MKUU WE NENDA TU, MANA HAIJAWAHI TOKEA SIMBA KUTOFUZU KILABU BINGWA, KWAHIO EBU TUPISHE TUONE MBELE ITAKUAJE, UBINAFSI ULITAWA,
@AllyKimeme
@AllyKimeme 4 месяца назад
Hogela mkuu Kwa kuinusulu simba
@buzarepublic7022
@buzarepublic7022 4 месяца назад
Thank you imetoka leo 😂😂😂😂😂
@issaKassim-rj2ci
@issaKassim-rj2ci 4 месяца назад
Uungwana ndo huu ahsante kwa mazuri yako
@hamadyhamisi2654
@hamadyhamisi2654 4 месяца назад
Nitaendelea kukubali kiongoz wngu kwa busala ulizo zitumia sio kama wale wajinga wameenda kukusanyana baa
@AminaLibisa
@AminaLibisa 4 месяца назад
Mchukue na mangungu please 🙏
@Khmediy3241
@Khmediy3241 4 месяца назад
Mangunguu tafadhari nawe fanya ustarabu ka mwenzio
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 4 месяца назад
We pita hivi mzee wangu huna baya ila kujiuzuru kupo pale pale
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 4 месяца назад
Wanajiuzulu japo kwa unyonge sana ila ndo busara kwa kiongozi bora hongera Mr jarib Tena. Bye bye👋😅
@SaidiSaidi-o6r
@SaidiSaidi-o6r 4 месяца назад
sawa inatosha waachie wezio uongozi kupokrzana
@kherrymrindoko7399
@kherrymrindoko7399 4 месяца назад
Nakuunga mkono na kukuahidi tupo pamoja sana ukishindwa unakaa kando tutakupa fursa mbele .
@benedictimakombe6720
@benedictimakombe6720 4 месяца назад
Hunajipya wenenda 2
@JamesRugwije
@JamesRugwije 4 месяца назад
Usijieleze Sana pita hiviii Bado huyo jamayako mangungu nayeye atoke kwendreeeeeeni huko
@runaramadhani6579
@runaramadhani6579 4 месяца назад
Anza kuondoka Sasa ivi
@FarajiDizoza
@FarajiDizoza 4 месяца назад
Hahaaah
@JosephTibu
@JosephTibu 4 месяца назад
Sawa mkuu tunakutakia kila lakheri😊
@FadhiliRajath
@FadhiliRajath 4 месяца назад
Kichaaa
@RajabuhamisiHassan-qv5wm
@RajabuhamisiHassan-qv5wm 4 месяца назад
Dah 😭 nimesikia kulia try agen ameondoka vizuri, bila kumsema mtuyoyote vibaya
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 месяца назад
Ana akili ndo maana anajieleza vyema
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 4 месяца назад
Kweli watu wakiamua mtu atoke anatoka kweli haya yote nikua namatokeo mabaya uwanjani
@raphaeltanzania
@raphaeltanzania 4 месяца назад
atoke tu hakunakutia huruma
@directoridd5893
@directoridd5893 4 месяца назад
Wewe hata kwa macho unaonekana unasema kweli lakini huyo mwenzako magungu liongo sana aisee nae aondoke
@BeatriceMusoma-v3u
@BeatriceMusoma-v3u 4 месяца назад
Kwendaaah atutaki ngonjela
@adelakaguo
@adelakaguo 4 месяца назад
Hili jambo ni la busara sana
@frowinedison5128
@frowinedison5128 4 месяца назад
Tunasubiri iendelee kunyesha tuone panapovuja😅
@LorynNila
@LorynNila 4 месяца назад
Siku zote tuna sua sua wapo kimya awakuwa na maamuzi
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 4 месяца назад
Byee nenda salama
@eliashagai7920
@eliashagai7920 4 месяца назад
TATIZO lako umekuwa unatuaminisha tuwe na subira usajili uutakuwa wa kishindo tuwaamini viongozi,mnasubiri dirisha liinafimgwa usiku ndonasjili uyoga matokeo yake wanakuja wachezaji wa hovyo tu .
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад
Imetosha umefanya mazur mengi ilatena ukaaza kuyaharibu pumzika umetumia busara sana sio mpaka utolewe kwamapanga si hatupend tufike huko pongez kwako umejitambua
@PatrickChama-g4d
@PatrickChama-g4d 4 месяца назад
Mangungu atoke
@EliasCosmas-qp6gn
@EliasCosmas-qp6gn 4 месяца назад
Bado unaweza to
@sadikielijohngamasa2603
@sadikielijohngamasa2603 4 месяца назад
Bado mmoja nafsi yangu ipate amani😢
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 4 месяца назад
Mangungu huyo na kajula
@ashelimwamlima602
@ashelimwamlima602 4 месяца назад
Basi Mangungu Aondoke 😂 kwanz anasinzia tu
@hawahussein137
@hawahussein137 4 месяца назад
Huo ndiyo uungwana
@YusuphAbdallah-fp4qw
@YusuphAbdallah-fp4qw 4 месяца назад
Kapumzike kwa amani
@chugaprince
@chugaprince 4 месяца назад
Bado ujasema na mwenzako mkumbushe
@emmanuelsanukul4868
@emmanuelsanukul4868 4 месяца назад
Hilo la usaliti nikwer tunaliona inonga chama saidoo
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 4 месяца назад
We ondoka tu bhn unakuja kutuambia mambo ya mabasi hapa kwani simba tulikua tunasafiri na beskeli, we ondoka tu ujafanya chochot wezako wakiondoka wanaongelea mazuri ya makombe wewe unaongelea magari mazuri kwel kabsi kwendraaaaaàh
@ErickChristopher-rx6lq
@ErickChristopher-rx6lq 4 месяца назад
Mangu nayeye asepe simba sio ya babake
@SIMONHERMAN-qv2ln
@SIMONHERMAN-qv2ln 4 месяца назад
Simba n rasmi ya mo
@JumaWayeye
@JumaWayeye 4 месяца назад
🎉😂😅
Далее
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Просмотров 33 млн