Тёмный

EXCLUSIVE: Gari ya MASOUD KIPANYA inayotumia UMEME inachajiwa kwa Saa 6 Kutembea umbali wa KM 60 

Vimba Media
Подписаться 677 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
RU-vid: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo

Развлечения

Опубликовано:

 

3 апр 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 103   
@paulkimata1091
@paulkimata1091 2 года назад
Big up Masoud, Mungu akuongezee maarifa ufike mbali zaidi. Hii ni hatua kubwa sana. Ni muda wa kusonga mbele. Ushauri wangu kwako ni kwamba fanya mpango wa kupata watu zaidi ili wenye uwezo wa kuboresha zaidi ili tuanze kutumia vya kwetu. hasa eneo ia kukaa na umeme, naamini kuna wataalamu wa umeme wanaoweza kuifanya gari iweze kujicharhe kadri inavyotembea .
@shikomephaustine1676
@shikomephaustine1676 2 года назад
Hiii nimeipenda sana serikali sasa ifanye jambo kwa hawa walio anzisha mfumo rasimi kama huu binafsi nilitamani saana kuona vitu kma hivi vikipewa kipaumbele sana na serikali.
@sammusic1580
@sammusic1580 2 года назад
Mafuta watauza wapi kila jambo lina positive na negative impacts wakiona negative impacts ni chache watasupport shida ni mifumo ya Serikali husika
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
ah wapi wataweka kodi
@williamnamende1023
@williamnamende1023 2 года назад
Woow serikali wekezeni hapo ili tupunguze utegemezi nje na madeni maana tutapunguza kuagiza nje pia mafuta
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 года назад
Hongera ila ningeshauri muungane na yule jamaa anaetengeneza umeme wa kutumia sumaku ili kuepusha kuchajisha
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Kweli kabisa, ili wakati linatembea liwe linazalisha umeme wake pia
@ezekielmjemah8497
@ezekielmjemah8497 2 года назад
Keep moving. Time will tell. Nkuombea mafanikio Kipanya. Ngumu sana Watanzania kuelewa lakini kioichojaza moyo wako usiakate tamaa kukifanyia kazi.
@samwelchacha4752
@samwelchacha4752 2 года назад
Mimi cha kuongezea hapo masudi ni kuufanya mfumo wa betri kuwa na uwezo mkubwa wa capacity badala ya kutumia betri tano litumike betri moja ama mbili zenye nguvu zaidi kwa mawazo yangu ni hayo mi nipo katoro geita
@yusuphmulshid1418
@yusuphmulshid1418 2 года назад
Very creative attractive and very funny mungu asimamie Kazi hii kubwa ya mikono yenu amina
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 года назад
Hongera sana masoud kwa ubunifu, Nimezipata leo BBC fm
@razakiabrahamani8070
@razakiabrahamani8070 2 года назад
Daaah kiukwel nimependa Sana aiseee big up ma man
@hamisimsalapai962
@hamisimsalapai962 2 года назад
Itengenezewe fast charge
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 года назад
Ah gibson hongera sana mzee kwa utangazaj wako man big up
@faqueabdala4099
@faqueabdala4099 2 года назад
Good idea
@benedictkihombo348
@benedictkihombo348 2 года назад
Hongera yako Masoud kipanya kwa ubunifu mzuri,,, hakika Tz wapo Macreativities wengi but shida kwenye uthubutu,,, yote ni yote mwanzo mgumu.
@Starlighttz538
@Starlighttz538 2 года назад
Ongera Sanaa Kp
@martinisadru
@martinisadru 2 года назад
Shida ni kwa serika yetu hawapendi watanzania wafanye
@alwaziirahmad2682
@alwaziirahmad2682 2 года назад
Kazi nzuri KP but mtangazaji kuna mengi ya magari hukuyahoji akadadavua vile ilivyotengenzwa.
@envinm9649
@envinm9649 2 года назад
Hongera sana bro, tunawasomi wengi (mainjinia) lakini hatujawahi kufikiria kufika hapo. Keep it up...!!!
@richardkiula2011
@richardkiula2011 2 года назад
Hongera KP
@vinnielovie646
@vinnielovie646 2 года назад
Great idea Great minds
@clintonjoas9020
@clintonjoas9020 2 года назад
Kaz nzuri
@geofreyludasi1172
@geofreyludasi1172 2 года назад
Hongera masoud ,wewe no kiboko
@ntegrity277
@ntegrity277 2 года назад
Naomba muongeze ubunifu kwa kuweka motar ambayo gari Hilo likiwaka TU iwepo system ya kuendelea kuchaji HIZO battery
@essodaddy6608
@essodaddy6608 2 года назад
Nimependa sana iyo lakini kwanini gari lisiwekewe solar na invertor kuondoa kupoteza muda wa kuchaji.
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 года назад
Ushauri mzuri sanaa
@geraldtarimo7379
@geraldtarimo7379 2 года назад
Hongera kipanya motor 72
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 года назад
Masudi uko vizuri?, safi sana endelea hivyo hivyo utafika mbali sana. Nashauri mfumo wa solar iwekewe utakaochaji gari huku linatembea.
@felistermatindi9134
@felistermatindi9134 2 года назад
Hongera Masoud kwa hatua hii
@allymvungi1269
@allymvungi1269 2 года назад
Umetisha kaka
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 2 года назад
Hongera kwa kazi nzuri
@mwantelatv3028
@mwantelatv3028 2 года назад
Hongera sana bt tunataka kujuabei
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 года назад
safi sana
@robysonmrema5720
@robysonmrema5720 2 года назад
Safi sana ubunifu mzuri mnoo ila ikipendeza hapo kwenye kibin juu mngeweka solar systems hapo juu Ili iwe inajijaza yenyewe
@salhaomary6008
@salhaomary6008 2 года назад
Safi Sana broo
@bahatngowo3379
@bahatngowo3379 Год назад
Sh ngapi mhitaji
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 года назад
Umeme ni jambo jema. Tatizo huo umeme nao haupo! Labda ingekuwa la maji. But Hongera
@judithjohn2167
@judithjohn2167 2 года назад
Tanzania inahitaji wenye maarifa.....na sio wenye degree.....Bro Masoud umenigusa sana....
@jacksonbiswalo8360
@jacksonbiswalo8360 2 года назад
Na mm nina swali:Je!huwezi kutengeneza mfumo wa jenereta ili chaji ikibaki kidogo unawasha jenereta hf unakuwa unachaji huku safari inaendelea?
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Kuhusu umeme wa solar... Kuna issue ya wattages kama wattages za solar zinatosha obviously itacharge
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 2 года назад
For emergency its gud mngeweka solar system ili kuongeza milage
@nizocreezy4416
@nizocreezy4416 2 года назад
well done
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 2 года назад
Kipanya ni bigwa apewe U- professor, lakini wataalam wamsaidie, maana haiwezi kuwa heavy duty.
@BeatriceFredy-dx8jn
@BeatriceFredy-dx8jn Год назад
Serikalii ya bongo isapoti watu jamani
@chidwash1004
@chidwash1004 2 года назад
Ongereni sn masudi kipanya
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Hali ya hewa ina influence sana battery performance na battery life... Sehemu yenye baridi sana battery huisha haraka.. lakini pia sehemu yenye joto kali sana kama battery haina proper heat management huchoka mapema pia Lakini pia kucharge kidogo kidogo bila kuifikisha 100% una haribu battery life.. discharge and charge circle ikiwa haipo njema battery pia hufa... But there is always njia za kuborrsha kiwe bora
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter 2 года назад
What matters is … cost …. Battery ina save kuliko fuel … Unapiga hesabu za kutumia battery mpka kufa … and fuel cost kwa time hyo then … una amua
@mussachuo6702
@mussachuo6702 2 года назад
Sijui inaweza kutembea spid ngap?
@martinisadru
@martinisadru 2 года назад
Mwanzo mzuri sana
@pastorshadrackruben9673
@pastorshadrackruben9673 2 года назад
Kwa nini wasiifungie sola ikawa inachaji ikiwa inatembea.
@carloslivingston7619
@carloslivingston7619 2 года назад
Kitalaamu inatakiwa kuanndikwa S.W.L 500Kg
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 года назад
Kilometers 60 ni chache sana guyz halitufai kwa mazingira yetu
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 2 года назад
ila mwanzo mwema huu kaka naamini tz ni kubwa na wataalam wapo uhenda tunaweza mpata mwamba mwingine akaboresha wazo
@hassanb.chaula4248
@hassanb.chaula4248 2 года назад
Comment nzuri ila sikutegemea, bora umetoa la moyoni, natamani sana tuungane kumhamasisha, Mfano, watumiaji wa Toyo na Guta wakihamia huku, next version ninakua imara zaidi
@dannymwaijala3335
@dannymwaijala3335 2 года назад
Hata mm naunga mkono ila jitahidini ili chaji ikae angalau hata km 200 kwenda mbele
@williamnamende1023
@williamnamende1023 2 года назад
Huu ni mwanzo naamini matoleo yajayo atabolesha zaidi abastahili hongera kwakuwa ni meanzo
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 2 года назад
Ikiwa inaenda kwanini isiwe na mfumo wa kujichaji wakati inatembea
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 года назад
Anatakiwa aifanye hii gari iwe na fast chaji hapo atakuwa kapiga bingo maana tunataka kari ambayo nusu saa imejaa full
@babawawiltegamaso4367
@babawawiltegamaso4367 2 года назад
mimi nalia na serikali kuwawezesha vijana wakitanzania wanavipaji kweli jamani
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
halilipiwi hilo....
@karimmsosa4262
@karimmsosa4262 2 года назад
Mimi nina haidia ya kitaharam hiyo gari ipo uwezekano wa kutumia hy gari bira kuchaji... automatically ikitembea hiwe inajicharg yenyewe
@obisanaa
@obisanaa 2 года назад
Ndio Karim inawezekana,MI pia Niko kwenye hatua za mwisho mwisho za kutengeneza gar,nilishaanza ila litatumia umeme ambao betri zitachajiwa kwa mwanga wa jua, tutafika tu
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 2 года назад
Jifunze kiswahili kwanza
@aliomar1986
@aliomar1986 2 года назад
Lina speed ngapi
@josephmayunga9817
@josephmayunga9817 2 года назад
Endesha tuone basi
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 года назад
kwaiyo kipanya kawa mvumbuzi
@antonymnyavanu5200
@antonymnyavanu5200 2 года назад
Funga dainamo kwenye tairi iwe inajichaji inavoendelea
@afyamuruwanaurembo1108
@afyamuruwanaurembo1108 2 года назад
Haiwezi kutengenezewa outnetor ijichaji yenyewe !
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 года назад
Si rahis
@onesmomlinga2739
@onesmomlinga2739 2 года назад
Ni nzuri ila mlango unalia hauna grisi nn?
@chodotv1345
@chodotv1345 2 года назад
Mama ona ilo na sema neno
@rpynoel566
@rpynoel566 2 года назад
ikiwezekana mutengeneze mfumo wa dainamol Ili likiwa linatembea linajitengenezea umeme na kujichaji
@Word_DJ.
@Word_DJ. 2 года назад
Is not easy
@shadihatihassani8131
@shadihatihassani8131 2 года назад
Sarut kwako
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 года назад
Ako magu angekuwepo hai, cjuwi mungepewa nini nyie jamaa
@martinisadru
@martinisadru 2 года назад
Vitu vya kipumbavu kutoka china na india vya sido wanaviruhusu kutembea katika barabara zetu ya Masudi kupanya wataiwekea vikwazo. Hili tatizo wanalo serikali zetu
@hildantandu5909
@hildantandu5909 2 года назад
Umeona
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
huyu kakopi tu kwenye google.Na charger aliyekopi ya kizamani ya kisasa inaitwa fast charger inachajiwa kwa saa moja tu
@hassanmzaa957
@hassanmzaa957 2 года назад
Acha majungu kama unaona ni rahisi kakopi na wwe huko kwenye google
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
@@hassanmzaa957 acha ujuha na ujinga wako.dunia ya sasa ni global village.dunia ni kijiji kimoja.google na andika namna ya kutengeneza gari ya umeme.how to make a electric car.Tusikubali kuwa wajinga karne hii ya sayansi na teknolojia.
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 2 года назад
Km 60 Ni Umbali ndogo Sana!! Bado halitufai!!
@mbakijonas6792
@mbakijonas6792 2 года назад
Ndiyo mwanzo jamani heeeeeeeh!!!!!!!! Au wewe lenu ukichaji dk 1 linatembea Km efu ngapi??????????
@shikomephaustine1676
@shikomephaustine1676 2 года назад
Mhhh siyo kweli hiyo ipo poa sana. Magar ya Rwanda yanayo Tumia umeme yanaanzia kilometa 80 sasa si mbali sana kwa hizi kilometa. Hivyo wataendelea kubolesha zaid
@VimbaMedia
@VimbaMedia 2 года назад
Mtoto anaanza na kutambaa
@obisanaa
@obisanaa 2 года назад
KAZI NZURI SANA,JAMAN NI MWANZO TUU TUMPE MOYO TUSIMKATISHE TAMAA
@herbertkamote2213
@herbertkamote2213 2 года назад
Yani unachaji masaa 6 halafu huwezi kwanda hata bagamoyo
@dbwaxvevo5780
@dbwaxvevo5780 2 года назад
Apo unakua na genereta yako tu ukifka mahal pakula una washa unachaji Ila chaji iwe ndefu
@Word_DJ.
@Word_DJ. 2 года назад
Unaua betr
@mgasaemanuel53
@mgasaemanuel53 2 года назад
vp injini alinunua au ka create mwenyewe
@eyeonnature4022
@eyeonnature4022 2 года назад
Haitumii injini ni mota tu.
@amosikapangala9893
@amosikapangala9893 2 года назад
Mm nimeipenda sana ideas mliyo tumia lakini nilikuwa napenda kutoa ushauri kwa nini msitafute idea nyingine nii gari iwe na otonator ili iwe kwenye mfumo wa kuji charge yenye ili iwe na uhakika kwenye safari ndefu? ni maoni tu
@sultanmswahilitv4864
@sultanmswahilitv4864 2 года назад
Vipuli vyote nivya mzungu.Hakuna kitu apo
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 2 года назад
Hata Wazungu nao wananunua kwa Wengine,Kwahiyo WW ulitakaje?
@samuellevy2564
@samuellevy2564 2 года назад
Hongera Kwa hili but serikari yetu ndio shida ADAM huku Tunduma alitengeneza ndege wakamkataza kuruka na ukazima hapo
@tinotairo
@tinotairo 2 года назад
Ni mwanzo mzuri sana, ushauri, bidii ya uboreshaji waipeleke kwenye kupunguza muda wa kuchaji, masaa sita ni mengi sana. Hongera sana Masoud!!
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
kakopi kwenye google ya kisasa inachaji saa moja tu
@abrahamabdala1207
@abrahamabdala1207 2 года назад
Kwa nnavoijua Tanzania watamua uyu jamaa
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 года назад
Nalo neno?
@abrahamabdala1207
@abrahamabdala1207 2 года назад
Alikuja akatokea alitengeneza Kara linatumia tu wshampeleka kwa mung Sasa kipanga awe muangalif
@chodotv1345
@chodotv1345 2 года назад
😂😂😂😂
Далее
МАРИЯ ГОЛУБКИНА О БАБУШКЕ #shorts
00:43
В GEOMETRY DASH СДЕЛАЛИ GTA
00:27
Просмотров 694 тыс.
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 23 млн
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
Просмотров 12 тыс.
#краснодар
0:14
Просмотров 2,8 млн