Big up Masoud, Mungu akuongezee maarifa ufike mbali zaidi. Hii ni hatua kubwa sana. Ni muda wa kusonga mbele. Ushauri wangu kwako ni kwamba fanya mpango wa kupata watu zaidi ili wenye uwezo wa kuboresha zaidi ili tuanze kutumia vya kwetu. hasa eneo ia kukaa na umeme, naamini kuna wataalamu wa umeme wanaoweza kuifanya gari iweze kujicharhe kadri inavyotembea .
Hiii nimeipenda sana serikali sasa ifanye jambo kwa hawa walio anzisha mfumo rasimi kama huu binafsi nilitamani saana kuona vitu kma hivi vikipewa kipaumbele sana na serikali.
Mimi cha kuongezea hapo masudi ni kuufanya mfumo wa betri kuwa na uwezo mkubwa wa capacity badala ya kutumia betri tano litumike betri moja ama mbili zenye nguvu zaidi kwa mawazo yangu ni hayo mi nipo katoro geita
Hali ya hewa ina influence sana battery performance na battery life... Sehemu yenye baridi sana battery huisha haraka.. lakini pia sehemu yenye joto kali sana kama battery haina proper heat management huchoka mapema pia Lakini pia kucharge kidogo kidogo bila kuifikisha 100% una haribu battery life.. discharge and charge circle ikiwa haipo njema battery pia hufa... But there is always njia za kuborrsha kiwe bora
Comment nzuri ila sikutegemea, bora umetoa la moyoni, natamani sana tuungane kumhamasisha, Mfano, watumiaji wa Toyo na Guta wakihamia huku, next version ninakua imara zaidi
Ndio Karim inawezekana,MI pia Niko kwenye hatua za mwisho mwisho za kutengeneza gar,nilishaanza ila litatumia umeme ambao betri zitachajiwa kwa mwanga wa jua, tutafika tu
Vitu vya kipumbavu kutoka china na india vya sido wanaviruhusu kutembea katika barabara zetu ya Masudi kupanya wataiwekea vikwazo. Hili tatizo wanalo serikali zetu
@@hassanmzaa957 acha ujuha na ujinga wako.dunia ya sasa ni global village.dunia ni kijiji kimoja.google na andika namna ya kutengeneza gari ya umeme.how to make a electric car.Tusikubali kuwa wajinga karne hii ya sayansi na teknolojia.
Mhhh siyo kweli hiyo ipo poa sana. Magar ya Rwanda yanayo Tumia umeme yanaanzia kilometa 80 sasa si mbali sana kwa hizi kilometa. Hivyo wataendelea kubolesha zaid
Mm nimeipenda sana ideas mliyo tumia lakini nilikuwa napenda kutoa ushauri kwa nini msitafute idea nyingine nii gari iwe na otonator ili iwe kwenye mfumo wa kuji charge yenye ili iwe na uhakika kwenye safari ndefu? ni maoni tu