Тёмный

UFAFANUZI WATOLEWA SABABU ZA MAGARI YA ZANZIBAR KUUZWA BEI NDOGO TOFAUTI NA TANZANIA BARA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 126 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

19 сен 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 278   
@erickothegreat8353
@erickothegreat8353 2 года назад
Uchumi wa bara tofauti na wa Zanzibar,Sasa hapo ndo mnapo vuruga mambo,Huo uchumi mzuri wa bara ukwapi Sasa.
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
Laiti Mzee Karume Kama angelijua muungano huu utakuja kua na hasara kubwa Sana kuliko faida,asinge saini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Kweli kabisa 😀
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 2 года назад
karume hata hakuzaliwa Tanzania kwahiyo usitegemee kuwa alikua na uchungubsana na zanzibar zaidi ya kulinda maslahi yake binafsi
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
KUmbeeee
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
😳
@bahatikitete7873
@bahatikitete7873 2 года назад
@@mwinyikadhi2870 sio kweli kasome history usiongee kiushabiki
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 2 года назад
Hapo Umeeleweka, Kwasababu kama hamkufanya hivyo Magari mengi watashushiwa ZANZIBAR na wafanya biashara wakubwa Kisha Watakwenda kupiga Pesa Bara, halafu Bandari ya Bara itakosa soko. Nimewaelewa👏👏👏👏
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 2 года назад
Mungu atawapa adhabu Kali Sana siku yakiama acha tuteseke sisi wanyonge one day
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
Swali na jibu vitu viwili tofauti
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 2 года назад
Sasa si nchi mbili tofauti, Kodi mbili, sion umuhimu wa Muungano.
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 2 года назад
Hawana majibu ni ubabaishaji
@hafydhameir
@hafydhameir 2 года назад
Muungano unamakubaliano yake tuyasome tujue ndo useme umuhimu uko wapi sio kwenye kila kitu tunasema tu
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 2 года назад
Hivi hayo majibu hujayaelewa kaka, maana yake hutakiwi kukwepa kodi kwa kushushia gari yako Zanzibar. Ukishusha Zanzibar unatozwa 40% hiyo hiyo gari yako ukitaka kuisafirisha tena kule Bara, utamalizia zile 60% zilizobaki ili ulingane na yule aliyeshushia bara. ila ukishushia Bara kisha ukaisafirisha hiyo gari Zanzibar, hautozwi kitu kwa sababu utakuwa umelipa 100% ya kodi.
@africangirls482
@africangirls482 2 года назад
@@bigowillythomaskayanda7763 muungano uko wapi hapo
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 2 года назад
@@africangirls482 ,, swala la ushuru wa bandari haujalishi muungano, linatokana na sera kuhusu visiwa. Kisiwa chochote, kodi ya ushuru wa bandari ni 40%
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Год назад
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara sawa¿hio ni Tanganyika 💯👌
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 6 месяцев назад
Hawataki ilo jina na wao ndio wanaoupenda msemo unaoeema mkataa kwao mtumwa
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 2 года назад
Kwanini maji ya drop ,sukari ya Zanzibar haikubaliki kuuzwa Tanzania bara
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Ata mie nashangaa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 года назад
Kukubalika au kutokubalika kwa bidhaa ni Wateja wenyewe kuamua kutumia vya kwao hebu na sisi tuzikatae bia zao. Unapojadili Muungano angalia kwenye mambo 22 ya Muungano, biashara ya ndani sio suala la Muungano kama kama kuna kikwazo kupeleka bidhaa ya Zanzibar nje ya nchi hio ni hoja ya msingi. Kama sukari kwa nini ipelekwe Bara wakati uzalishaji haujatosheleza ndani? Hata uzalishaji drop hazijatosha ndani.
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 2 года назад
Hahahahaaaaa Hawa watanganyika wabishanit wanaumia nayakwetu yakwao hawayaoni
@shafyjuma3141
@shafyjuma3141 2 года назад
Huna nchi
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 2 года назад
Muungano uko wapi sasa hapo
@alfredibrahim756
@alfredibrahim756 2 года назад
Huu ni ujinga na upumbavu mi naishi zanzibar na nimefanikiwa kununua vifaa vyangu vya nyumbani lkn siku nikitaka kuhamia bara wanataka kodi ukijaribu kuwaelewesha hawataki
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 2 года назад
Ndiyo ni kweli kwa sababu ya Sera ya uchumi, Sera ya uchumi imevipatia visiwa tozo ndogo.
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 2 года назад
Ogopa sana kuishi kwenye nchi ambayo inatengemea mwanamchi kuiyendesha kisha mwananchi huyohuyo ndi anakandamizwa
@rajabmohammed234
@rajabmohammed234 2 года назад
Kiongoz jibu lipo wazi kbs,haiwezekan baadhi y mambo yawe sawa lkn kwny ushuru mnaanza kujenga hoja ila maji n mafuta hayakai sehem 1,dunian kote hakuna nchi 1 ushuru w bidhaa 1 ukalipa mara 2 tofaut.
@jackson2120
@jackson2120 2 года назад
SIO MAGARI TU ZANZIBA WANA UNAFUU MKUBWA SANA SISI VIONGOZI WETU HAWA PENDI TUWE NA MAISHA BORA ILI WAPATE MWANYA WA KUOMBA KURA WAKATI WAO WANA NAFUU KUBWA SANA KI MASLAHI
@futurepublications6847
@futurepublications6847 2 года назад
maelezo yako hayaja fafanua vizuri Waziri , naomba ukajielimishe kwanza katika eneo lako la kazi halafu uje utujibu hili swali vizuri
@amosmoses7800
@amosmoses7800 2 года назад
CcM ni chAmA cha kuWanYonYA nA kuWadidiMizA waNanchi ... HaKunA jenGinE Ni wiZi mTupu haPo
@micamathew2595
@micamathew2595 2 года назад
Muungano uko wap sasa??? Hii nchi ikoje??
@muharamhassan845
@muharamhassan845 2 года назад
Sio kaunafuu sema kuna nafuu kubwa sana ila nyinyi nata mmeharibu ushuru mkubwa
@alfinmbilinyi1326
@alfinmbilinyi1326 2 года назад
Zenj kiuchumi wako vizuri kuliko bara.watu milioni moja na nusu wabunge zaidi ya 50.shinyanga mjini watu milioni mbili idadi ya wabunge mmoja.kiuchumi zenj wako vizuri.
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 2 года назад
huu ni ushahidi tosha wakuonye kama zanziba ni nchi na sio visiwa ila mmevaaa uccm na tamaa ndio zinazo waponza
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 2 года назад
Kwani Broo Kua kisiwa sio sababu ya kua si nchi Karume baba ndio alieuondosha Utaifa wa Zanzibar
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
Sio hvyo lengo lao Zanzibar iwe moja ya sehem ya ukafiri hawapendi maadili y kiislam ya tawale
@edwinernest2012
@edwinernest2012 2 года назад
Upuuzi tuu, sasa inamaana gani na wakati nchi ni moja! Wimbo wa taifa ni mmoja!! Mnawatia watu hasira tuu! Alafu presha.
@preciouspeter3445
@preciouspeter3445 2 года назад
Mchezo mchafu huu mwisho wa siku picha ni ile ile sema mnacheza na wananchi
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 года назад
Apana zanzibar tuna wimbo wetu na sio wimbo 1 njo zanzibar watoto wakiwa school ndio utajua je wanaimba nyimbo gani sisi atuimbi mungu ibaliki tanzania sisi tuna nyimbo yetu kama ufaamu iroho sawa
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 2 года назад
Nchi 2 broo
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 2 года назад
@@ulipoulipotupo7564 haya tumia fursa hii utufundishe au utuandikie beti za wimbo wenu wa taifa lenu tusikie natujue maana mlivo na kiherehere kana kwamba zanzibar mnaishi mbinguni kumbe mnawaza kutengana mpate msaa na waarabu.
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 года назад
boys sea si mtuache na zanzibar yetu kama unataka kujua sisi atuimbi mungu ibaliki Tanzania njo kipindi cha asubui katika shule zote utasikia tunaimba wimbo gani ss sio watanzania ni wazanzibar 😂😂😂
@edlumala9428
@edlumala9428 2 года назад
Viongozi wetu bwana! Hata hajui anajibu nini, kaunafuu flani hivii… zanzibar wanalipa 40% tu ya kodi inayolipiwa bara, so ukipeta gari hiyo bara unalipia ile tofauti ya asilimia 60%! Faida hiyo ya kulipa asilimia 40 ni kwa wazanzibari tu! Matumizi yake ni zanzibar tu!
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Hehee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@yuzotv458
@yuzotv458 2 года назад
Hii inaitwa mwalim kapewa sindano hahahahahaha najua umeelewa mlimwengu mwenzangu.
@user-go3bk6wr8u
@user-go3bk6wr8u 2 года назад
Na waondoe tra yao waone znz inavyopaa kiuchumi, husda za wabongo kutuwekea tra ili watunyonye.
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 года назад
Maneno ayo kake ndio yanayofanya kuwa awataki kuiachia ebu tuweni wapole kwenye kuongea maneno kwan sifa izi ndizo ttzo pia
@canibalgazaboy8325
@canibalgazaboy8325 2 года назад
@@ulipoulipotupo7564 hakuna nchi isiyo kuwa na mamlaka ya kukusanya mapato ya nchi husika ata isingekuwepo TRA basi mngekuwa na ZRA ko huwezi kukwepa hilo
@ally1702
@ally1702 2 года назад
@@canibalgazaboy8325 Zanzibar ina zrb ndio inayokusanya mapato ya Zanzibar lakini kuwepo kwa tra ambayo ni bodi ya mapato ya Tanganyika ndo mkaona watu wanapiga kelele ushuru Mara mbili sasa ebu fikiria laiti ingekuwa tra hamna tupo na zrb tu unadhani iyo gari ingeshushwa kwa kiasi gani na vitu vengine maana yake tungekuwa na unafuu zaidi kaka
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
Nakumbuka Mizengo pinda wakati huo no waziri mkuu alipigwa swali Bungeni ktk kipindi Cha maswali ya papo kwa papo..jee Zanzibar no nchi au akamjibu Zanzibar no mkoa yaani sehemu ya Tanzania bara..hata cc wakati tunasoma tulikua tunaambowa shuleni Tanzania Ina mikoa 25 yaan bara mikoa 20 na unguja mikoa mi5.. Sasa iweje mkoa uliie ushuuru Mara 2 wakat nchi ni moja!!!? 😳
@richardedwinn1291
@richardedwinn1291 2 года назад
Wiz mtupu
@ustadhsalimonlinetv.1807
@ustadhsalimonlinetv.1807 2 года назад
Sio unguja yenye mikoa 5 ni Zabzibar
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
@@ustadhsalimonlinetv.1807 sawa shekhe
@mwinyikadhi2870
@mwinyikadhi2870 2 года назад
@@ustadhsalimonlinetv.1807 yaan unguja mikoa mi3 na Pemba mikoa mi 2
@shamomar629
@shamomar629 5 месяцев назад
Gari kuingia Tanzania bara unalipia 100% kiwango cha import tax, ukiingiza Zanzibar hulipii yote (lakini si lazima unaweza kulipa yote kukwepa usumbufu ukitaka kusafirisha) utalipa asilimia 60% tu ya kodi. Ila utakapoamua kuileta gari bara basi utamalizia asilimia iliobaki 40% ili ukamilishe kodi halisi ya 100%
@Mc_ngosha
@Mc_ngosha 2 года назад
Hamna kitu Apo maana nikwamba Bandari ya Zanzibar itafanya kazi kubwa. Kama inawezekana kupunguza kidogo itakua nafu Maana mapato yaongezeka na kwetu pia watu wataleta latest Car 1.Parking wateja wataongezeka 2.Bandari pia itaongeza Sana Mapato 3.Mafuta pia mtapata Mapato Kwaufupi kupitia njia hizi 3 Kama mfano serekali itanufaika bado ziko nyingine nyingi sana Think Big
@stanfordmartinshauri3257
@stanfordmartinshauri3257 2 года назад
So what if nikaagiza gari bara then nikaenda nalo kisiwani zanzibar kwa matumizi ya kule, jeh nitarudishiwa ile 60%?
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 2 года назад
Dah swali zuri kweli kweli
@emmanuelmatagulwa7372
@emmanuelmatagulwa7372 2 года назад
Hapo sasa
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 2 года назад
Sahihi Kbsa umesema
@simulizizamwanaupwa2644
@simulizizamwanaupwa2644 2 года назад
Kwanini basi huku Tanganyika kusiwe na ushuru sawa na Zanzibar? Maana ni kana kwamba huku bara kununua gari ni adhabu, hivyo ukinunua unaadhibiwa. Hapa kuna kasoro kiukweli
@augustryann365
@augustryann365 2 года назад
Mbona hajajibu swali sasa amezunguka zunguka tu kamaliza stor
@muyazakhmuhammed9232
@muyazakhmuhammed9232 2 года назад
Nchi mbili, Tanganyika na ZANZIBAR ndioo maana ya muungano,
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Heheee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@emmanuelanael6934
@emmanuelanael6934 2 года назад
Hakuna haja yamuhungano, bora hilo jina la TANZANIA life ibaka Tanganyika, na Zanzibar. Zote zitambulike kama nchi mbili tofauti.
@joeaub2185
@joeaub2185 2 года назад
Huyu analeta majibu ya kufikirika kweny akili yake na sio majibu rasmi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiuchumi...Bado hatujapata majibu zembwela tafuta mtu mwingine aliyesoma maswala ya uchumi na aliye taasisi ya TRA wanaweza kutupa mwanga..
@kiagohlevy576
@kiagohlevy576 2 года назад
Safi mzee hajajibu kiufundi
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 2 года назад
Yaani huyu sijui anaeleza nini. Nijuavyo mimi, Sura ya mwisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, inazungumzia mambo yasiyo ya kimuungano. Na suala la kodi ni moja ya mambo yasiyo ya kimuungano. Ndiyo sababu kila nchi yaani Zanzibar Vs Tanganyika wamejipangia kodi zao tu na hazilingani.
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 2 года назад
Kwahiyo kuna Tanzania Revenue authority na Zanzibar Revenue Authority.Je unadhani hicho kilichoandikwa kwenye katiba haiwezi kuwa moja ya kero za muungano ?unadhani wananchi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wanaridhika na hali hiyo?
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 2 года назад
Benson lucas .mambo ya kodi sio ya muungano .bara kivyake kisiwan kivyake .ndo jibu sahihi .
@abhaaly
@abhaaly 2 года назад
Huyo Anaeongea Hapo Ni Mwanasheria Wa ACT, Nadhani anaelewa Sheria Za Kodi Na Muungano. Ukweli Kama Alivyosema Sheria Za Ndani Kwa TRA Ni Moja Kuhusu Ushuru...!!!
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 года назад
Safi sana zembwela kwa good swala
@omaryyusuf9405
@omaryyusuf9405 2 года назад
Ilaa hajaa jibuu swalii
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Mmmh ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 года назад
Muungano uko kwenye maneno tu kiuhalisia hakuna Cha muungano hapa
@rastapeace9616
@rastapeace9616 2 года назад
Munaongea bumba tuu
@husseinkitingi8186
@husseinkitingi8186 2 года назад
Sababu zake hazina mshiko maana kodi ya mmiliki talipaje mteja?
@salumabdallah3495
@salumabdallah3495 2 года назад
Sioni Point hapo tatizo tra wanajua kabisa uhalisia wa manunuzi ya magari Japan magari ni bei rahisi sana unaweza ukanunua kwa bei ya dola elfu mbili ukachajiwa zaidi kodi zaidi ya dola elfu nne pamoja na charges za bandari
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
Mtihan, Sawa na mchele mmoja mapish tofauti
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Mambo ya kukandamizana sana.
@mj_tz648
@mj_tz648 2 года назад
Huo niupumbavu mtupu mtu anapata bahati anauziwa gari zanzibar labda mil 2 akija bandar ya bongo hawaangalii risiti ya gar wanagugo beiya aina yagar je uliokuja nalo hapo haki ikowap ndio mana bara matajiritu ndio wana miliki magar masikin anakua hanauwezo wakumiliki gar ifike wakati serikal itambue kua bara navisiwa vya nzanziba ni nchimoja nikama mikoamingine ilivyotu
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 2 года назад
Katika vitu ambavyo huwa sielewi kabisa yaani sera moja Sheria moja Kodi tofaut , hivi HiZI Kodi kwanini zipo juu sana yaan ununue 12m Kodi 12m?
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
Heheee ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@mwajabuamiri3457
@mwajabuamiri3457 2 года назад
Kwann waseme Tanzania bara, wakati kule kunaitwa Zanzibar! Kwanini wasiseme Tanganyika? Au jina la Tanganyika ndio limekufa kwa cc watanyika kukosa maarifa!
@malianonicass7029
@malianonicass7029 2 года назад
Silipendi jina la Tanganyika kabisa
@mwajabuamiri3457
@mwajabuamiri3457 2 года назад
@@malianonicass7029 mtumwa huru
@rjrajab2312
@rjrajab2312 2 года назад
Napia mjuulize watanganyika kwanini huko tanganyika Umeme bei nafuu kuliko huku zanzibar wakati nchi ni moja
@fababindawood8363
@fababindawood8363 2 года назад
Mbona hajajibu m2 akinunua tv 1 au mbili kwa ajili ya matumiz yke ya nyumban 1 sebulen na nyengine labda chumban kwake?hapa ndo kero za muungano watu wanazipigia kelele.waondowe tu mtu akinunua tv asisumbuliwe kulipa ushuru
@yuzotv458
@yuzotv458 2 года назад
Hakuna majibu hapa yakitaaram naona ruka ruka tuu. Acha niingie showroom mie iyo mitabu yote yanini. Yaani Tanzania ukiagiza gari ya mil 6 utakung'utwa kodi ambayo nibora uingie showroom tu. Nahiii inasababisha serikali kukosa mapato ila hawajajua tu.
@aminimushi6945
@aminimushi6945 2 года назад
Wachumi wetu shida.
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 2 года назад
Yaani unaongea unajikanyaga kanyaga , ukweli ni kwamba nchi hizi hazijaungana alafu michezo kama hiyo iwepo.
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 2 года назад
Swli zuri majibu kidg sikuyasoma mana swali direct majibu ukenda gongo la mboto utashuka wanja ndege sjui mara boda boda upande bandarini swali bado kidigi
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@eenpaard3915
@eenpaard3915 2 года назад
Ushuru sevi uko sawa sawa
@tumainjohn6165
@tumainjohn6165 2 года назад
Mh!! Mbona sijaelewa, maana umeelezea inavyotofautiana, na si kwa nini zinatofautiana
@dicksonndalu6212
@dicksonndalu6212 2 года назад
Ok
@edinaikunda1259
@edinaikunda1259 2 года назад
Sijui kama anea jibu kalielewa swali...simuelewi chochote aisee
@abuubakarhaji3244
@abuubakarhaji3244 2 года назад
Mbona hajajibu kuhusu vitu vidogo vidogo ?ameulizwa kuhusu TV nimechukua kwaajili ya matumizi je nayo kwanini itozwe tena kodi na ilhali ni vitu vidogo vidogo?
@wilsonmsenga6447
@wilsonmsenga6447 2 года назад
Mbunge Msukuma alisema tunawachumi wabovu tofauti na wanavyosema darasani, hii haileti maana eti wao ushuru kidogo, but bara ushuru mkubwa. Tofauti yake nn? Kwamba Zanzibari wanaishi watu masikini sana wanaohitaji msamaha na bara wanaishi watu matajiri sana. Mm sielewi nisaidieni nipate elimu.
@samuelndosi9577
@samuelndosi9577 2 года назад
Hapo brother mambo ya muungano ni shida.
@khamiszubeir8780
@khamiszubeir8780 2 года назад
Huyu jamaa ANAONGEA pumba kabisa Nawale walipewa vyeotu
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 года назад
Hiyo 40% ya kodi inayolipwa Zenji inaenda kwenye mfuko gani, inanufaisha Zenji peke yake au Tz yote? Kwahiyo wanapewa unafuu kwa ajili uchumi wao uko chini? big lie. Kwa anayetaka kutumia gari Kilwa au Ukerewe(vyote ni visiwa) na anayetumia gari Zanzibar yupi anatumia gari kwenye kisiwa chenye hali ya chini kiuchumi. Watangazaji hopeless wanashindwa kuuliza maswali ya msingi.
@chananjamajiji5412
@chananjamajiji5412 2 года назад
Mwanangu uliishia darasa la ngapi?
@Awatee
@Awatee 2 года назад
@@chananjamajiji5412 Hajitambui uyo Achana nae mwanasheria wao kakiri mwenyewe kua Tanganyika ndio inayo wabana haki zao za kupata mikopo kwa kuwazuia kwenda kutafuta mikopo wakajifanyia wanacho taka kuna watu humu wamo wamo tuu mtihan Yote hii kuipenda dunia
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 2 года назад
OK 40%
@edwardmasanja4979
@edwardmasanja4979 2 года назад
Ufafanuzi mzuri sana ,je ukitoa gari Tanzania bara kwenda zanzibar utarudishiwa 40% ya kodi?kwa sababu zanzibar kuna punguzo la 40%
@kakasanga5497
@kakasanga5497 2 года назад
Umeandika point sana Edward
@afroplan431
@afroplan431 2 года назад
Edu bwana... :)) Unataka wote tuhamie Zanzibar..sio 😁😁😁😁
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 года назад
Zanzibar mtu akitoka bara atumlipishi kodi kubwa ila ttzo mtu akitoka zanzibar kwenda bara ndio ttzo apo tozo ju ya tozo
@emanueltesha8873
@emanueltesha8873 2 года назад
Ajatoa ufafanuzi ameeleza mbona video imeishia sehemu ambayo atujajua ufafanuzi wenywe
@mariomachecajoaquim1921
@mariomachecajoaquim1921 2 года назад
Hilo sio poa. Tanzânia niumoja.
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 2 года назад
Sio gari tu , zanziba vitu asilimia 99% ni rahisi sana tofauti na bara
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Год назад
Hapo bado hamtendi haki mungu anawaona
@rwekasimlizi2029
@rwekasimlizi2029 2 года назад
Mh!!!! why?
@maxcharles5436
@maxcharles5436 2 года назад
hela nyingi wanachukua wakat ni nch .moja
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 2 года назад
Duuuh ninchi 1 nyinyi vichogo akilihamnazo
@BoB_Mkami
@BoB_Mkami 2 года назад
kiongozi katumia nguvu na dakika 3 kuexplain kitu ambacho kina tuofautisha na kutufanya tuonekane kama 2 countries! kodi kodi tu! ila fresh acha tushibe!
@paulheavyrain9584
@paulheavyrain9584 2 года назад
Hyo n CHangamoto ya muungano inabidi ishughlikiwe Kama ishu Ni uchumi hata huku bara kila mkoa uchumi wake Ni tofauti. Dar tofauti na kigoma. So watu wakigoma Kodi ipunguzwe.
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Kama nimekuelewa hivyo kama umekuja gari nje ukaishishia Dar lakini inakuja Zanzibar utalipishwa ushuru wa Zanzibar maana unaitumia Zaznibar au?
@ibrahimalisalum6382
@ibrahimalisalum6382 2 года назад
Kiufup ushuru wakule ni mdogo kuliko huku
@aishaaisharagp9381
@aishaaisharagp9381 2 года назад
Hapana damwana ukiishushia dar unalipa milioni moja maanahuwezi kutowa garinje wakati umedhamiria kunitumia Zanzibar ukaishusha dar wakati zenji ushuru nimdogo
@abhaaly
@abhaaly 2 года назад
Unatakiwa Ikitoka Nje Ifikie Zenj Mwanzo unapata Hiyo Unafuu...Ukishusha Tanganyika popote Rungu lipo pale pale
@mrsomeone7728
@mrsomeone7728 2 года назад
Mr zembwela hebu naomba ukipata muda tena muite huyo bwana atuambie nini maana ya muungano. Na nini maana ya kodi tofauti. Mimi bado sijamuelewa.
@jflamingo1760
@jflamingo1760 2 года назад
Amna umuhimu wa kujihita muungano sisi ni sawa na nchi mbili tofauti yaani Kama umeagizia bidhaa Kenya tu
@abhaaly
@abhaaly 2 года назад
Ndio Ilivyo na Ndio Sahihi Zaidi Ndio Wanachokitaka Wazanzibari...!!! Kila Mmoja Afe Na Mbao Yake, Muungano Kwa Mambo Maalumu Tu ya Asili.
@khamismohammed2582
@khamismohammed2582 2 года назад
huyu jaamaaa naona anapata kigugumiz hili si suala la kumuliza huyu hawez kueleza ukwel naona anaeleza kinyume kinyume tu
@muharamhassan845
@muharamhassan845 2 года назад
Swali ni je nani anakusanya Kodi Zanzibar kama c TRA
@giftmalema5032
@giftmalema5032 2 года назад
ZRA Ndio wanahusika na kodi zanzibar.... na kodi haipo katika muungano....
@papaamasauti5944
@papaamasauti5944 2 года назад
Hata bara bei ya bandari ipo ndogo ukihamisha gari kwenda nchi nyengine ndio Kuna pesa unatakiwa kuongeza
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 года назад
Matumbo yako ni bora kuliko watz
@clementmwaitebele7687
@clementmwaitebele7687 2 года назад
Double standards
@ericmkami7578
@ericmkami7578 2 года назад
hii video hata sijaelewa kesema kweli....sasa Nini maana ya muungano kama mimi nikinunua gari au vitu Zanzibar ukitaka kuleta bara nachajiwa tena Kodi??? huu muungano upo kwenye vitu gan specific maana ufafanuzi wa hyo brother hata sijauelewa vzr.....🤔🤔🤔
@abdulwahidel-abry5007
@abdulwahidel-abry5007 2 года назад
Zungumza kiswahili cha Zanzibar bwana waziri. Kaunafuu ndiyo nini?
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@martinkisha6307
@martinkisha6307 3 месяца назад
Tunahitaji kujua tofauti ya uchumi wa Zanzibar na bara atueleze? gari nimenunua kwa mtu lilisha tumika labda miaka mitatu bado linadaiwa kodi tena 😊
@hamisisilimu1245
@hamisisilimu1245 2 года назад
Twenzetu Znz
@nwntz
@nwntz 2 года назад
Kama ndio hivyo mama anachotaje ela za bara zinaenda kuendeleza zanzibar ?
@lalasalama6720
@lalasalama6720 2 года назад
Unauhakika
@nilathecat2444
@nilathecat2444 2 года назад
kwa maana hiyo nipalepale tu....TRA-wana fanya watanzania wasi lete magari yakifari na mpya
@FeruziIsa-nc5vo
@FeruziIsa-nc5vo 2 месяца назад
Wajitasmini hawa Jamaica.
@mohamedhussein5535
@mohamedhussein5535 2 года назад
Hii nchi hii kunasiku tutashika mitutu kama sio ss vizazi vyet
@hajimakame3788
@hajimakame3788 Год назад
Naushangaaa huuu Muungano wa sasa hivi mbona wakati alipokuwa rais Nyerere mbona gar zilikuwa zikisafirishwa hailipiwi kodi kama hii ya sasa hivi na namba zilikuwa hazibadilishwi unatumia zile zile kwa nini saiv yamekuwa haya mambo yamekuwa mengi
@danieljeremia8629
@danieljeremia8629 2 года назад
Duh ajajibu kitu ivi anajua kujibu maswal wasomi hvyo kama hawa
@mr_BENNY_OFFICIAL
@mr_BENNY_OFFICIAL 2 года назад
kwann
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 2 года назад
Si nchi moja ni nchi mbili tofauti zilizoungana
@salehmdumbwa6181
@salehmdumbwa6181 2 года назад
Huo ndio wizi tusioutaka hauna Sababu za msingi kaka mnatuletea mambo ya ajabu Sana
@mussaomary7173
@mussaomary7173 2 года назад
mi ni fundi.nilienda Zanzbar na tools zangu.wakati naenda haikuwa shida.niliporudi ilitakiwa nilipie eti nimenunua zanzbr.
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 6 месяцев назад
Hoja dhaifu kweli,uchumi wa Zanzibar tofauti na bars,hivi humu humu bars uchumi wa kigoma Ni sawa na mwanza?ama uchumi wa mpanda Ni sawa na dar?
@yussufkansela8118
@yussufkansela8118 2 года назад
yani apo hadi nirudi shule ndio nimuelewe .sasa yy kaulizwa nini na kajibu nini.(kwani nchi si moja mbona unazungumka mbuyu
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 2 года назад
Ulijuaje kama kazungumza mbuyu na hukusoma na mambo huyajui
@nassirali7499
@nassirali7499 2 года назад
Hizi ni nchi 2 kasome katiba ya Zanzibar ya 1984 utaona hilo
@issakhamis6474
@issakhamis6474 2 года назад
Wanazingua hawo
@lgsonline8836
@lgsonline8836 2 года назад
Viongozi wa bongo vichwa maji sana yan
@Gdjn974
@Gdjn974 2 года назад
Sijamuelewa mbona yan bado hajafafanua vzr inakuwaje kuwaje na kwann
@Emmamusiccmb
@Emmamusiccmb 2 года назад
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈👈 kuutazama naamini utaupenda*
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Q_ef3eAEVj8.html
@umbaliche
@umbaliche 2 года назад
Hivi Zanzibar na wao wameingia uchumi wa kati kama sisi huku?🤔🤔
@ulipoulipotupo7564
@ulipoulipotupo7564 2 года назад
Nyinyi mna uchumi wakat kutoka wapi wakat tanganyika aiwezi kujiongoza bila ya zanzibar kama hamtaki kuamin ebu kubalini mungano uvunjike ili wazanzibar tupate kufa kwa njaa lkn kila kukicha mnaishikilia zanzibar kimabavu na kuja kuuwa watu hili zanzibar isiwe uhru
@joeaub2185
@joeaub2185 2 года назад
Mm ningejaribu kwa majib yangu kuwa umbali wa kutok nchi za uarabun au india mpk bandari ya zanzibar kuna ukarib na ndio maan kodi yake inakuwa kubwa tofaut na umbali wa kufika bandar ya Dar lzm kodi iwe kubwa wanapiga thaman ya mzigo na umbali wake...
@chananjamajiji5412
@chananjamajiji5412 2 года назад
Hebu angalia Ramani ya Dunia halafu ufute ulichoandika
@ip_header
@ip_header 2 года назад
Suali hilo ilibudi aulizwe waziri wa biashara wa Tanzania, inaumiza sana kuona nchi moja kodi tofauti, kama suala la uchumi hata Tanzania bara kunawatu halizao sio nzuri, kwann wasifikiriwe pia?
@georgeakasha764
@georgeakasha764 2 года назад
Nchi 2 tofauti mkuu, sema tu tupo kwnye muungano.
@sunrishmussan6958
@sunrishmussan6958 2 года назад
Hamna umuhimu wa muungano hapo nikero tupu maana mtu kupata bidhaa kupitia Zanzibar hadi unahisi ni zaidi ya kero
@katerelomkuyati6764
@katerelomkuyati6764 2 года назад
Wahuni tu nyinyi Hapo ndiyo nathibitisha kuwa mnawadhulumu wazanzibar Wapeni nchi yao
@joels.orinda6352
@joels.orinda6352 2 года назад
Kodi zi shuke maana aina maana ya muungano sasa
Далее
Je ni kweli Zanzibar MAGARI BEI NDOGO ? - Mr Sabyy
8:23
I Built a EXTREME School Bus!
21:37
Просмотров 6 млн
Я КУПИЛ САМЫЙ МОЩНЫЙ МОТОЦИКЛ!
59:15
What Killed Mercy Mawia , The husband explaining
10:59
Просмотров 1,3 тыс.
Kigali: Is This the Real Rwanda ? 🇷🇼 vA 112
33:47
I only teach well, why am I a victim
0:42
Просмотров 10 млн