Huyu mzeee aache unafiki kuna jamaa anaitwa Zayumba au Mafia promotion ni paka na chui na mwakinyo na anamabondia wake ambao hawapatan na mwknyo cha jabu huyu promota amemzunguka hassan kwa kumfanya ngazi ya kumtumia ktk ivent yake bila hassan kujua ili ajenge brand ya hao vijana wa Zayumba kwa mgongo wa Hassan" Hassan ameelezea vzr sana angalien Clouds media mtaelewa kuwa hawa hawakua na nia njema,, Viva Champez💪
Nyie mnazurum sana wana ngumi mnaleta magumashi ivyo viela vya njiani ni viela mbuzi acheni uhuni mnazurum jasho la wapiganaji mnatakiwa wote muondolewe coz amjaanza leo hizo tabia
Promota umekosea sana mzee sababu kama umeamua kufanya kazi na mwakinyo ungemsikiliza haikua haja ya kumuingizia mabondia ambao wanatofauti nao so jifunze mzee kila mtu ana karia yake. Sisi tukienda kucheki ngumi tunaenda kwa sababu ya main card na sio hao wengine so mnafeli sana wazee coz kila mtu anamashabiki wake
Professionally fights zipo owned na promoter sio mpiganaji binafsi unless hiyo fight iwe imeandaliwa na kampuni yake na kama ni joint venture itategemea makubaliano kimaandishi nani mwenye percentage kubwa kiasi cha kuamua nani ana nguvu ktk maamuzi pasi na kuingiliwa na upande wa pili nadhani hili jambo tungeweka hisia pembeni na kuwa na subira kidogo tutajua mbivu na mbichi mwisho wa movie tunaweza tukawahukumu waandaaji kumbe kimkataba wapo kwenye njia, besides kiuweledi masuala ya kazi hayapaswi kuathiriwa na masuala ya mtaani tofauti kama sio za kimichezo tena sio kuendana na maandishi hazipaswi kuwa considered hizi ni biashara watu wamewekeza nguvu akili na pesa
Baada ya kuangalia huyo opponent wa Chino nimeamin kweli Mwakinyo alikuwa na sababu za Msingi kugomea pambano.Hata huyu aliyepanda ulingoni sidhani kama ndie bondia aliyetarajiwa, tuache uhuni wa miaka 70
Huyu mzee anaulizwa swali anatumia siasa mdefu, ni ngumu kuelewa rudia hizi Interview zake utaelewa ..anamaneno ya kumshwishi mtu akubari.... kaulizwa chanzo Cha mwakinyo kugoma aneleza njia ya kupata promotion.
Hili swala ukilisikiliza kwamakini katika pande zote mbili, nikama huyu promoter nimagumashi matupu sasa amekutana na mwakinyo naye mjanja mwenzao kwahiyo issue nzima nika mbuzi kala mkeka😂😂😂😂😂😂
Mhh haya maelezo yapo very shallow, bondia main card ana power gan yakupanga nan acheze nan asicheze?? - Na kwanin mwakinyo achague wakupigana nae?? Kama nan kwenye management yenu. - na kwanin indongo aletwe na mwakinyo lakn nyie mumfwate kumuomba acheze na mtu mwingine. - promota alisaini mkataba na kampuni ya mwakinyo au mwakinyo mwenyewe??
Sasa Mzee kama ulikubali kurudisha pesa kwa nn uliacha wachezaji wa mtu uliyemrudishia pesa zake wacheze wakat walikuwa kweny mkataba ambao umekubali kuuvunja?
Perfect spoken... Promoter ni kazi na Boxer ni kazi, pata nikupate... Mwakinyo asiwe promoted tu, achaneni nae afanye promo mwenyewe. Hela inatafutwa kwingi, mbona sisi tunafukuzwa kazi?! Yeye nani
Ukimskiliza vizuri mzee anajifunga 💥💥💥huwezi kumrudishia mtu hela yake,alafu mkataba ubaki kama ulivyo.Umerudisha pesa za nini wakati bado mkataba hujavunja.Mzee unakosea maneno mengi umeshashindwa kesi Wewe ni tapeli na mwongo.
Au Mambo ya promotion na machangizo ndio zimemponza Muadivent mwenzangu,kule mkiendesha promotion huwa hatuhoji,sasa huku Kwa Kaisari ni tofauti,hakuna Aminaaaaa,ni amnaaaa
Sisi watanga tena wadigo og tunapendana sanaa sasa ww mzee mlitaka kumtumia hassani na kwa faida yenu hata ww km mtu kakukosea alaf eti aingie kweny kazi zako unaweza
The way i see it ..mmekutana ...Yule mtanga mjeuri ,egoistic na kwa sauti yako tu mzee unaonekana una kautapeli...pelekaneni mahakamani hapa hatuwezi kujua ukweli😂😂😂
@@legangatzmedia4846Kwa jinsi nilivyosikia Hassan hayuko sawa, kabisa kisheria Wala kimantiki Kwa sababu makubaliano baina ya promotions agency boxer hausihani nao, na angesema katika mkataba Mama
Ila mzee Huna la kuongea hpo nenda kwenye point tu ushaambiwa hatupatan why ulaximishe nyie wababaifu mnadhurumu watu kwanza picha za magoroto mpka leo hamjawalipa walioshut tangazoo
Ninavyo jua mimi ipo hivi sikuzote muamba ngoma huvutia kwake ili suluu ipatkane nasisi wafuatiliji wa ngumi tujirizishe tukae tukijua mabondia wetu hawaonewi hii kesi iyende mahakamani huko ndo zitajulikana mbivu na mbichi hivyo2 yani
If you listen to this Promoter KARIGO from his side and the information he gives, you will see if he is truthful...but to believe what he says, it is good that he is found in Mwakinyo and he explains his own so that to BALANCE ..because what happened will pollute the promoters, they will be seen as thieves, fraudsters, etc. look for Mwakinyo to come here and tell us his truth too, not to play with the minds of TANZANIANS.
Kwa nn ubadilishe logo za mabango ya mafia boxing ili mwakinyo asikwazike halfu mafia boxing iwepo physical haiingii akilini kuwa uambiwe mafia boxing haipo halafu wahusika wapo.
Azam muwe mnafanya die diligence sio mkataba tu hapana. Binafsi ni mtu naheshimu mno bidhaa za azam kwamba ni watu makini, nimeanza kupata tabu namna TV inavyoendeshwa ratiba za baadhi ya vipindi haziko sawa na taarifa hazitolewi kuonesha hakuna documented procedures na kama zipo not well monitored. Lazima muweke mstari azam haifanyi kazi na wababaishaji.
Nilichogundua mzee uliwachezesha hao watoto wa mafia kwa sababu ya hela za watu ulizokula kwa mafia haiwezekani useme mkataba umekufa halafu bado utumie watu wa mtu ulievunja nae mkataba, kuna uhuni hapa
mzee unaenda ishu za ubaguzi na kazi ni vitu viwili tofauti.. MWAKINYO yupo sahihi, mnataka kupiga hela kupitia mgongo wa watu.. ndio mana DIAMOND PLATNUMZ watu kama nyie anawakata tu mopromota wa mchongo
Jamaa ajipange arudi International tu alafu inshu ya maywether aliikosa vipi hata kama mtu alibana angepasua mwenyewe tu sometimes middle man anamezwa tu unapita
Mwakinyo ana muda sana hajapigana na nikwasababu mbalimbali hatujui katika hili nani ni mkweli ila ajue tu siku akipigana akipigwa kitakachoonekana. Ni alikuwa anagopa kutokana na uwezo kushuka so inabidi ahakikishe pambano lolote atalopigana anashinda
Bila Shaka huna elimu yakumzidi huyu jamaaa mwakinyo kazengua big time sasa mwakinyo kazenguliwa kivp na wakaty mpka mkataba inasema ashavuta mpunga stop being stupid
Inshort nikwamba mwakinyo asingewez kupanda ulingon coz hayupo Sawa na mafia boxing promotion ambayo ipo chini ya zayumba ndomn hata nyinyi kwa kugundua hilo mukaingia mkataba wasiri na mafia boxing promotion
Sawa kabisa litapeli alafu liongo hata linavyoongea lina onekana sasa mzee mzma kama ww unaongelea mambo ya wanawake ili zee lilikua tapeli pale yanga wamelitimua ustafte kijitetea ww mzee hata macho yako yanaonekana muongo
Hata mimi nilijua ni bonge Ostadh kumbe msabato!! sasa kwanini asije kisabato hapo taapeliiii mmoja huyo kazi kuchafua logo na dini za watu hapo kwendraaa zakooo