Тёмный

Ni Mazito!!.. Mwakinyo Afunguka Mkasa Mzima Mpaka Kuogomea Pambano, Ukweli wote Huu Hapa 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Mwakinyo afunguka kila kitu kwenye Leo Tena, Hizi ndio sababu za kugomea pambano la leo.

Развлечения

Опубликовано:

 

28 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 331   
@JansanMokiwa-hr6hl
@JansanMokiwa-hr6hl 9 месяцев назад
Nnacho mpendea mwakinyo Hajari kupoteza chochote kwenye maisha yake zaidi ya roho🥰🥰
@samniza1763
@samniza1763 9 месяцев назад
Love you Mwakinyo kwa msimamo wako, wabongo wasikuzuge si wakapigane wao? Mtanga wetu keep up the attitude, wasikubabaishe.
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 9 месяцев назад
Bwana mdogo Mwakinyo naomba nisamehe. Nilicomment awali kabla sijakusikia maelezo yako. Uko sahihi. Sahihi kabisa. Watanzania wabongo tubadilike jamani. Wizi dhuruma ufisadi hadi kwenye Ndondi?! Hongera Mwakinyo kwa ujasiri huo. Hongera sana.
@victorcephas3618
@victorcephas3618 9 месяцев назад
Huyu jamaa wenye akili ndiyo watamuelewa Huwa hapendi longolongo pia haendekezi njaa anajua anachokitaka. #SmartBoxer
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 9 месяцев назад
Mwakinyo wewe nidiamod platnumz wa ngumi hutaki ujinga unaieshim kazi yako pia husukumwi na njaa mipaka inazingatiwa🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️🇹🇿✔👑👑👑👑
@lazaroburton1163
@lazaroburton1163 9 месяцев назад
Ndo mabondia tunaowataka kama hawa wanaojielewa ngumi ni kazi na ajira kama kazi zingine hongela sana mwakinyo nakusuport 100% bro💪🏾.
@rogersiddy
@rogersiddy 9 месяцев назад
Kbs hakuna kuburuzwa kipumbavu apa nimefurahi sana misimamo ya Mwakinyo safi sana
@FagoTz-fy5uf
@FagoTz-fy5uf 9 месяцев назад
A
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 9 месяцев назад
Ukisikiliza maelezo ya mwakinyo na poromota unaona kabisa mwakinyo 3 -0 poromota
@lubilimasai1540
@lubilimasai1540 9 месяцев назад
Nikikumbuka issue ya kusahau begi na viatu kumbana nabaki kuguna tu
@mr.saiduwesuomary1859
@mr.saiduwesuomary1859 9 месяцев назад
Ngoja majibu halisi yatakapokuja ndio utajua ukweli uko wapi, mara nyingi personal interest kwenye biashara Huwa si salama siku zote...maelezo yake ya awali anasema hakuna makubakiano ya kimaandishi, Kwa akili ya kawaida unaweza kuamini Kwa level yake na kufanya pambano la kiwango hicho anaweza kufanya makubakiano ya mdomo? 1. Promotion company 2. Azam media 3. Kamisheni ya mashindano TZ Wote Wana taarifa kuhusu pambano means taratibu zote zimefuatwa, hakuna pambano lolote Duniani Kwa level ya mwakinyo makubakiano/mikataba inafanyika Kwa mazungumzo ya mdomo. Hivyo basi hao wote niliowataja hapo juu sio wajinga yeye ndio mwerevu, Azam kafanya matangazo Kwa muda gani tujifikirie na tuache personal interest, yeye ashukuru Mungu aliemsomesha kasitiriwa na ibra Class na Mafia Promotion ndio walikuwa washenga wa Ibra Class asipepese macho... yeye ni nani? Amejawa na jeuri na kibiri to be honest with u, kama anataka aendeleze carrier yake aachane na undazi
@SkopionMmalala-ox3gz
@SkopionMmalala-ox3gz 9 месяцев назад
👍kaka nakubal hao wanataka kukushusha Bora ulivyojuwa samani yakaziyako kaka 100
@abdullichibela6463
@abdullichibela6463 9 месяцев назад
Mwakinyo ni champez anaye jitambua na kujielewa, bigup
@shabanimsigiti6827
@shabanimsigiti6827 9 месяцев назад
Mwamba kwa upande wangu mm nimekuelewa vizuri sana hayo ni mapambano ya kucheza na mwili Tena kwakutumia akili sana kwaiyo kaka wewe simamia haki yako wewe ndio uliesaini mkataba
@josephjoseph8982
@josephjoseph8982 9 месяцев назад
Msimamo ni muhimu mwakinyo , ni maisha yako umefanya vizuri kutokupigana sender by Joseph MTZ based SA.
@davidbush8777
@davidbush8777 9 месяцев назад
Hongera kwa msimamo bondia wa nchi
@godfreymsingwa-er7wp
@godfreymsingwa-er7wp 9 месяцев назад
Respect ✊ mkuu sie tunakuelewa wasiokuelewa bado wanasafari ya kujifunza
@saidsalum6101
@saidsalum6101 9 месяцев назад
Safi sana ndugu unajielewa wewe siyo kama wanavyo kufikilia upo kama wengine wanao kurupuka hovyo ngumi nihatari sana
@romanomachemba3533
@romanomachemba3533 9 месяцев назад
huyuu dogo anaakili sana very prof tuheshimu kazi za watu
@user-ox2sy7jp2r
@user-ox2sy7jp2r 9 месяцев назад
Kuna mengi yapo ndani ya pazia Ila kupitia mwakinyo tutayajua mengi Sana Mimi namuamini Sana mwakinyo
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 9 месяцев назад
Nimegundua mwakinyo ana mashabiki wengi saana na wanampenda saana ndio maana yakitokea hayo. Kuna baadhi ya watu wanaumia saaana.
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 9 месяцев назад
In short ana mashabiki wanaojielewa.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 9 месяцев назад
Uko sahihi sanaaa
@rogersiddy
@rogersiddy 9 месяцев назад
Nafurahi sana misimamo ya Mwakinyo hakuna kuburuzana kijinga apa huyu atawanyoosha mapromota wakijingajijga kama hawa
@maulllidially8039
@maulllidially8039 9 месяцев назад
So wanao kuponda kina mfaume Awana shukrani umewatoa mbwinde uringo ulikuwa watu wanazunguka duara b g up mzee baba pambana kivyako❤
@captainmwata9857
@captainmwata9857 9 месяцев назад
All in all bro watu weng wanakulalamikia wewe wakinyo una dharau sa sijui n kweliiii sio mara moja kusikia hiv
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 9 месяцев назад
Huyo mwanyiko yupo vizuri sana anaongea point sana.
@ShabaniMmakuluja-fr1rv
@ShabaniMmakuluja-fr1rv 9 месяцев назад
Nakuelewa big up mwakinyo
@babudingi-gd7pz
@babudingi-gd7pz 9 месяцев назад
Kupitia uyu tuta yajuwa mengi maporo mota kuweni makini nauyu mtu kakasana mamtoni ana yajuwa mengi siyo ware mabondia wenu wa apa apa uyu aburuzwi ngumi ana zijuwa mwakinyo wewe ni nomaaa👍👍👍
@tushabetitus1050
@tushabetitus1050 9 месяцев назад
Mwakinyo unajielewa sana broo hongera sana.
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 9 месяцев назад
MWAKINYO ANA JITAMBUA SAANA NA INA PENDEZA SANA KUONA BONDIA ANA KITAMBUA
@godlema6104
@godlema6104 9 месяцев назад
Hizo mic za studio kwenu zinachoka sana nazidi kuona pengo la RUGE mic ni chache kila saa kuzungusha
@IssaMwashilindi
@IssaMwashilindi 9 месяцев назад
Mwakinyo mm namwona yupo sahiii maaaana mm Jana Bo's wake nilimsikiliza lakn alikuwa nimtu wakujing,atang,ata
@gmelectronics1997
@gmelectronics1997 9 месяцев назад
Kujitambua ndio ufunguo pekee wa maisha yako..achana na elimu...wapo waliosoma na vichwani ni mabox na wapo wasio soma wanaongoza jahazi..respect sanna Mwakinyo
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 9 месяцев назад
Mwakinyo ww ndo bondia Bora kwenye taifa la tz wakitaka wasitake ukwel usemwe usijali na changamoto zinazo kukuta amini mungu yupo pamoja na ww ongeza jitihada tu utafanikiwa%
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 9 месяцев назад
Bora ubaki pekeyako kwa unachokiamini ngumi mchezo hatari kupigana kwa ajili ya kuwafurahisha watu ni akili mbovu
@saluyaadamz
@saluyaadamz 9 месяцев назад
Kuna unafiki sana sana rais ana jivua khaa.... mwakinyo amenyooka sana
@samniza1763
@samniza1763 9 месяцев назад
Kweli kabisa! mil 100 is nothing, wakati sijaanza ujenzi nilipokuwa ninaambiwa mil 500 nikaona looh! sitajenga, sasa msingi tu ulinicost over 35mil tzshs, kupandisha na kufubga slab nimeshaspend zaidi ya million 120, sijamaliza kupandisha first floor na kuezeka sasa mpaka sasa hivi, mpaka ije imalizike, hizo mia tano zitafika kirahisi tu.
@bakarimakame4694
@bakarimakame4694 9 месяцев назад
Ngumi ni kazi km kazinyingine
@malkavoice2570
@malkavoice2570 9 месяцев назад
Sio tu Kawaida Mnawaona Mabondia wetu maisha yao ni yakwaida sana wakati bondia anatakiwa kuwa zaidi ya mchezaji.
@makambaally6317
@makambaally6317 9 месяцев назад
Safii sana hakuna kupelekana kama ng'ombe ww ni champion ipo siku watakuelewa leo hawaoni mapambano yako
@ashrafuabdallahmsham1911
@ashrafuabdallahmsham1911 9 месяцев назад
Moja ya kosa kubwa Tanzania ni mtu kutambua haki na thamani yake, utapigwa vita mpk uondoke, uanguke na upotee kabisa. JAMAA ANAIJUA THAMANI YAKE.
@sashashaibu6821
@sashashaibu6821 9 месяцев назад
Utafka mbarisana Mungu akurinde wasanii mabondia wengi wanazurumiwa wewe utafka mbaririy daimondi arikuwa kamawewe usiofu ngumi ni kaži 🎉
@zahirrajab7713
@zahirrajab7713 9 месяцев назад
Huyu ni mwamba ni bondia kweli sio kma wale kuku kina kiduku anajitambua na anajua nn anafanyaa bid up mwakinyoo
@jeniphermushy627
@jeniphermushy627 9 месяцев назад
Kiduku amekukosea nn jaman 😂
@issazalala4907
@issazalala4907 9 месяцев назад
Ngumi inauma ngumi inatia uchizi so mwamba yupo sawa kaza man wangu
@furahamandai6628
@furahamandai6628 9 месяцев назад
Kama ni kweli ndugu yangu simamia hapo hapo sawa mungu amekupa kipaji hivi unakumbuka dulla mbabe amebadilishiwa mara ngapi
@samniza1763
@samniza1763 9 месяцев назад
Tatizo la huko dunia ya tatu, watu wanataka tengeneza pesa kwa kupitia mgongo wako, lakini hawataki ku respect your concern, tunadanganyadanganya tu. Same with wanasiasa, wanajua kabisa bila wabanchi wapiga kura wao sio kitu, nchi za ulaya wanazokuja omba omba haziwezi wapa pesa kama hakuna rasilimali watu, and yet hawana heshima na wapiga kura whatsoever.
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 9 месяцев назад
Kudo's to mwakinyo,jamaa anajielewa sanaaa,hapigan sababu ya njaa km kina mandonga mtu kazi,inabid mabondia wengine waige kwa mwakinyo
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 9 месяцев назад
Safi mwakinyo usikubari kupotezwa na maoni yawajinga uko sawa na pande za MWANZA tunakukubali kinoma
@nasserbaabeid6797
@nasserbaabeid6797 9 месяцев назад
Nakukubali bro mwanaume msimamo
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 9 месяцев назад
Kupigana n Kaz ngumu Sana ndugu zangu hivyo mtu anapotaka Kula kupitia kipigo chako inakua sio sawa hivyo mwakinyo yupo sahihi co ukapigane tu ka ng'ombe af utoke hapo huna chako
@thadeusmahendeka4466
@thadeusmahendeka4466 9 месяцев назад
WENYE AKILI TIMAMU TUU NDIO WANAO MUELEWA MWAKINYO KWA HILI JAMBO LILILOTOKEA.
@lenkbizzy30
@lenkbizzy30 9 месяцев назад
Namuelewa kwa asilimia 100. Keep it up bro!
@user-yw8gh2mg4u
@user-yw8gh2mg4u 9 месяцев назад
Mwakinyo nakukubal mm Sina bondia nae mkubal kama ww Yan chochote unacho sema sikupingag uko sahihi Sana mwamba bondia wa nchi mwakinyo👊👊👊
@sahlisaad8702
@sahlisaad8702 9 месяцев назад
Allah akusimamie uweze kufanikiwa
@user-ci2xg9ng1f
@user-ci2xg9ng1f 9 месяцев назад
Mabondia wengi wa bongo wangekuwa Kama huyu brother tz tungekuwa mbali sanaaaa tatizo mabibo korosho Kuni makuti
@ahmedyrutumo
@ahmedyrutumo 9 месяцев назад
Sawa kaka uko sahihi
@CastorPanja-xk5iy
@CastorPanja-xk5iy 9 месяцев назад
Kuna watu hawakuelewi kk 👍👍👍👍👍
@saidsalum6101
@saidsalum6101 9 месяцев назад
Hatufanyi kazi kwasifa tu
@SkopionMmalala-ox3gz
@SkopionMmalala-ox3gz 9 месяцев назад
Champion Hasan Tanzania 1
@jseventz
@jseventz 9 месяцев назад
uko sawa mzee
@justinejackson1731
@justinejackson1731 9 месяцев назад
Ila Champez dah!👊👊👊💯✅ anakwambia "KATA SIMU"😂
@MJB-Africa
@MJB-Africa 9 месяцев назад
WEWE BRAZA NI MIONGONI MWA WATU WACHACHE SANA KUWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI. RESPECT TO YOU MIMI NAONA ACHANA NA MASUALA YA NGUMI NA UGOMBEE UONGOZI WA URAISI MAANA NAKUONA MISIMAMO YAKO NI KAMA KIONGOZI SAHIHI KAMA REPLACEMENT YA MAGUFULI
@LivivingstoneKaaya-zc8dw
@LivivingstoneKaaya-zc8dw 9 месяцев назад
Livingstone kaaya @@@@ Christina's collections ya big up mwakii
@SifaeliMelita
@SifaeliMelita 9 месяцев назад
Naare waawa
@hamynas
@hamynas 9 месяцев назад
hqpo studio wamejaa vilaza wasiojua kuiliza maswali ya maana mwakinyo anatawala waandishi wa habari kama anawahubiria tatizo la kuweka vilaza studio linaonekana saana hapa
@greysonchogga4379
@greysonchogga4379 9 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 9 месяцев назад
Huyu ni bondia anaejitambua na hayumbishwi... Heshima
@mannabu9333
@mannabu9333 9 месяцев назад
Safi sana Bro ww utakuwa mdiigo real 😂😂😂😂😂
@adamkasege28
@adamkasege28 9 месяцев назад
Mwakinyo respect sana
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 9 месяцев назад
Raisi wa ngumi nae anatunza kiti chake. Hakuna point hapo.
@Isack-sx8lj
@Isack-sx8lj Месяц назад
Mwakinyo yupo Makini Sana na anachokifanya kupata stahiki zake
@Yusufu940
@Yusufu940 9 месяцев назад
Mwanamichezo ndo musical wa Ngumi
@mwaitajuma4140
@mwaitajuma4140 9 месяцев назад
Mwakinyo hata kama ww ndie ungekua mwenye makosa mm mwaita nipamoja nawe... Msimamo lazim bro wasituchukulie poa
@josephjoseph8982
@josephjoseph8982 9 месяцев назад
Mwakinyo wasilete uhuni kwenye kazi yako , wanyoshe wenye njanja zao safi sana , kwa kiwango chako usingekuwa unapigana kwa dollar 5000 ulitakiwa uwe unapigana kwa dollar laki moja kwenda juu nyosha washenzi hao.
@ibrahimshaban2361
@ibrahimshaban2361 9 месяцев назад
Umeongea point sana mwakinyo bigup sana
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 9 месяцев назад
Genius boxer
@amirmussa6735
@amirmussa6735 9 месяцев назад
big up brother mimi nimekuelewa sana
@jumaseif2140
@jumaseif2140 9 месяцев назад
Mm nakuombea brother inshallah utafika mbali,,
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 9 месяцев назад
Mi sio shabiki wa ngumi ila ninachokiona kwa mwakinyo ni mtu mwenye msimamo which is good na siku zote ukiwa na msimamo unaonekana mkorofi,jeuri na maringo si sawa muhimu kukaa chini na kupata suluhisho period.
@masumbukokilunga4265
@masumbukokilunga4265 9 месяцев назад
Nimeipenda❤hiyo...
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 9 месяцев назад
Makini sana Bondia
@abubakarhaule1593
@abubakarhaule1593 9 месяцев назад
Da Huu unajua sana kazi yako mwakinyo muongo
@fadhilbutu3305
@fadhilbutu3305 9 месяцев назад
Broo akikupenda mungu inatosha
@user-up1fx4vt4r
@user-up1fx4vt4r 9 месяцев назад
kiukwer mwamba yuko sahihi napia mpaka katoa dola 4000 inamana muandaaji aliferi kifeza ila ingekua wabiga dufu sijui ingekuaj
@jomajoligospel
@jomajoligospel 9 месяцев назад
Huyu Mwakinyo na manara baba mmoja mama mmoja, kiufupi waswahili sana, Champez unatupoteza washabiki wako, hautuheshimu kwanza unatudharau unaulizwa na mwandishi kuhusu hisia zetu unaropoka tuu, mswahili sana wewe
@greysonchogga4379
@greysonchogga4379 9 месяцев назад
Hakika 😂😂😂😂
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 9 месяцев назад
Hujui chochote, kashabikie mabondia wenu kina mandonga. Huyu anajitambua, wabongo wengi tumezoea blah blah!
@karmalyshaft9742
@karmalyshaft9742 9 месяцев назад
Siku zote anaetetea maslai huonekana anakiburi na ushawishi mbaya kwa wenzake ila dogo msimamo wake nimeukubali tupunguzeni blaa blaa uswahili mingi bado tunao
@mussamessi7514
@mussamessi7514 9 месяцев назад
Pamoja kaka champion boy👊
@abdallahabeid8540
@abdallahabeid8540 9 месяцев назад
Tumemuelewa sn mwakinyo Hawa mapromoty wengi dhulma Ila huyu mwamba atawakomesha huyu kacheza ulaya anajuwa yote
@issazalala4907
@issazalala4907 9 месяцев назад
Mwamba yupo sawa kanyooka tupo nyuma Yako
@thecar_lovers_tz
@thecar_lovers_tz 9 месяцев назад
Toka mwanzo nitasimama na mwakinyo.
@mayaniphilipo9256
@mayaniphilipo9256 9 месяцев назад
Huyu Rais Anazingua, Kwsbb Kinachotakiwa Yeye Kukiri Uwepo Wake Na Ushahidi Wa Maneno Kwa Wakat Yeye Yupo...! Na Sio Kushirikishwa Tangu Awali...!
@user-ej5xy8kb2t
@user-ej5xy8kb2t 9 месяцев назад
Ndugu unajieleewa sana nakubali ninacho kiamini wanataka wakushushe au kukualibia
@hamisshaban9651
@hamisshaban9651 9 месяцев назад
Huyo ni mwalimu wa mabondia njaa wanadanganywa na ma promota wanakubali tu kizembe
@mimihuyo8239
@mimihuyo8239 9 месяцев назад
Mwakinyo 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@bongotv7365
@bongotv7365 9 месяцев назад
Upo sahihi bro ngumi ni maisha bro don't Tyr on it.
@AnodSalum-qx7tp
@AnodSalum-qx7tp 9 месяцев назад
Hongera kaka huna baya
@nicodemasfrancislumongolo5879
@nicodemasfrancislumongolo5879 9 месяцев назад
Huyo mwijaku nae mtangazaji au ? Mbona nchi ya ajabu sana hii uhuru umepitiliza
@dennismungai4632
@dennismungai4632 9 месяцев назад
Big up
@rashidrashidmaulid1129
@rashidrashidmaulid1129 9 месяцев назад
Hapana yupo sahihi bila msimamo unazeeka maskin
@user-mx9xu6st4o
@user-mx9xu6st4o 9 месяцев назад
Mwakinyo nakubali msimamo wako watu wanatak umaarufu kupitia wew mim nipo belgium nakukubali mtot wa mwananyamala Chau ..
@mwinjumakilangilo9598
@mwinjumakilangilo9598 9 месяцев назад
Sijui kilichoendelea maana ndio nimeisikiliza leo, ninachangia nukta ya uongozi kwa kiongozi kuona sintofahamu na kusubiri kosa litokee sidhani kama imekaa sawa.
@petermheta4566
@petermheta4566 9 месяцев назад
Laiti watanzania tungekuwa na akili kama huyu jamaa tungefika mbali sana, nimekukubali sana mwakinyo, boxing sio mpira.
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 9 месяцев назад
Huyu jamaa nmemkubali anamisimamo hatal na kaz yake
@fadhilbutu3305
@fadhilbutu3305 9 месяцев назад
Haki haiombwi.haki nikachukua simamia unacho kiamin
@user-iq5ue3ht6r
@user-iq5ue3ht6r 9 месяцев назад
B boy hasani mwakinyo super champions
@Isack-sx8lj
@Isack-sx8lj Месяц назад
Huyo mghana ni bondia wa kawaida Sana Hassan mwakinyo angemchakaza vbaya huyo mghana
@dominicrobert266
@dominicrobert266 9 месяцев назад
Unazingua boxer,point zako za hovyo kabisa.
@mudytz9069
@mudytz9069 9 месяцев назад
Mabondia wote wa bongo wangekuw kama mwakinyo tungeshkuw na akina gevonta weng sana ila bongo mabondia wanadharauliw sana na ma promoter
@Wakwetujitu
@Wakwetujitu 9 месяцев назад
Nakubalisana kaka
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 9 месяцев назад
Mwakinyo yuko sahihi sana mapromota wengi longolongo ndo maana unaona mabondia wengi hali zao mbaya sana
Далее
Counter-Strike 2 - Новый кс. Cтарый я
13:10
Я стала богата за ночь
12:04
Просмотров 259 тыс.
kwa Mavazi yako utatambulika Bishop Gwajima
1:48
Просмотров 3,4 тыс.