Bwana mdogo Mwakinyo naomba nisamehe. Nilicomment awali kabla sijakusikia maelezo yako. Uko sahihi. Sahihi kabisa. Watanzania wabongo tubadilike jamani. Wizi dhuruma ufisadi hadi kwenye Ndondi?! Hongera Mwakinyo kwa ujasiri huo. Hongera sana.
Ngoja majibu halisi yatakapokuja ndio utajua ukweli uko wapi, mara nyingi personal interest kwenye biashara Huwa si salama siku zote...maelezo yake ya awali anasema hakuna makubakiano ya kimaandishi, Kwa akili ya kawaida unaweza kuamini Kwa level yake na kufanya pambano la kiwango hicho anaweza kufanya makubakiano ya mdomo? 1. Promotion company 2. Azam media 3. Kamisheni ya mashindano TZ Wote Wana taarifa kuhusu pambano means taratibu zote zimefuatwa, hakuna pambano lolote Duniani Kwa level ya mwakinyo makubakiano/mikataba inafanyika Kwa mazungumzo ya mdomo. Hivyo basi hao wote niliowataja hapo juu sio wajinga yeye ndio mwerevu, Azam kafanya matangazo Kwa muda gani tujifikirie na tuache personal interest, yeye ashukuru Mungu aliemsomesha kasitiriwa na ibra Class na Mafia Promotion ndio walikuwa washenga wa Ibra Class asipepese macho... yeye ni nani? Amejawa na jeuri na kibiri to be honest with u, kama anataka aendeleze carrier yake aachane na undazi
Mwamba kwa upande wangu mm nimekuelewa vizuri sana hayo ni mapambano ya kucheza na mwili Tena kwakutumia akili sana kwaiyo kaka wewe simamia haki yako wewe ndio uliesaini mkataba
Kupitia uyu tuta yajuwa mengi maporo mota kuweni makini nauyu mtu kakasana mamtoni ana yajuwa mengi siyo ware mabondia wenu wa apa apa uyu aburuzwi ngumi ana zijuwa mwakinyo wewe ni nomaaa👍👍👍
Kujitambua ndio ufunguo pekee wa maisha yako..achana na elimu...wapo waliosoma na vichwani ni mabox na wapo wasio soma wanaongoza jahazi..respect sanna Mwakinyo
Mwakinyo ww ndo bondia Bora kwenye taifa la tz wakitaka wasitake ukwel usemwe usijali na changamoto zinazo kukuta amini mungu yupo pamoja na ww ongeza jitihada tu utafanikiwa%
Kweli kabisa! mil 100 is nothing, wakati sijaanza ujenzi nilipokuwa ninaambiwa mil 500 nikaona looh! sitajenga, sasa msingi tu ulinicost over 35mil tzshs, kupandisha na kufubga slab nimeshaspend zaidi ya million 120, sijamaliza kupandisha first floor na kuezeka sasa mpaka sasa hivi, mpaka ije imalizike, hizo mia tano zitafika kirahisi tu.
Tatizo la huko dunia ya tatu, watu wanataka tengeneza pesa kwa kupitia mgongo wako, lakini hawataki ku respect your concern, tunadanganyadanganya tu. Same with wanasiasa, wanajua kabisa bila wabanchi wapiga kura wao sio kitu, nchi za ulaya wanazokuja omba omba haziwezi wapa pesa kama hakuna rasilimali watu, and yet hawana heshima na wapiga kura whatsoever.
Kupigana n Kaz ngumu Sana ndugu zangu hivyo mtu anapotaka Kula kupitia kipigo chako inakua sio sawa hivyo mwakinyo yupo sahihi co ukapigane tu ka ng'ombe af utoke hapo huna chako
WEWE BRAZA NI MIONGONI MWA WATU WACHACHE SANA KUWAHI KUTOKEA HAPA DUNIANI. RESPECT TO YOU MIMI NAONA ACHANA NA MASUALA YA NGUMI NA UGOMBEE UONGOZI WA URAISI MAANA NAKUONA MISIMAMO YAKO NI KAMA KIONGOZI SAHIHI KAMA REPLACEMENT YA MAGUFULI
hqpo studio wamejaa vilaza wasiojua kuiliza maswali ya maana mwakinyo anatawala waandishi wa habari kama anawahubiria tatizo la kuweka vilaza studio linaonekana saana hapa
Mwakinyo wasilete uhuni kwenye kazi yako , wanyoshe wenye njanja zao safi sana , kwa kiwango chako usingekuwa unapigana kwa dollar 5000 ulitakiwa uwe unapigana kwa dollar laki moja kwenda juu nyosha washenzi hao.
Mi sio shabiki wa ngumi ila ninachokiona kwa mwakinyo ni mtu mwenye msimamo which is good na siku zote ukiwa na msimamo unaonekana mkorofi,jeuri na maringo si sawa muhimu kukaa chini na kupata suluhisho period.
Huyu Mwakinyo na manara baba mmoja mama mmoja, kiufupi waswahili sana, Champez unatupoteza washabiki wako, hautuheshimu kwanza unatudharau unaulizwa na mwandishi kuhusu hisia zetu unaropoka tuu, mswahili sana wewe
Siku zote anaetetea maslai huonekana anakiburi na ushawishi mbaya kwa wenzake ila dogo msimamo wake nimeukubali tupunguzeni blaa blaa uswahili mingi bado tunao
Sijui kilichoendelea maana ndio nimeisikiliza leo, ninachangia nukta ya uongozi kwa kiongozi kuona sintofahamu na kusubiri kosa litokee sidhani kama imekaa sawa.