Poleni sana wanaitezi, pia asanteni busokelo tv kwa coverage nzuri watu wa mazingira wanaweza fanya environmental impact assessment ya hiki mlichokifanya..well done kama bbc vile🙌🏾🙌🏾😊
Poleni sana kwa tukio hilo. Lakini tahadhari iendelee. Nilivyo ona hiyo video ya drone kuna nyufa kule mlimani muda wowote vipande vikubwa vinaweza kushuka tena. Poleni sana wana Mbeya
daaah ahsante boss kwa ushauri na Imani nasi ... Helicopter ni maji marefu. tutanunua baada ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kununua moja kwanza!! Kwa Sasa tutaendelea kutumia DRONE na Kamera za kawaida!!
Mungu ametenda kwa kweli, haikuwa rahisi ni mkono wake ulionekana, Mungu awasaidie ndugu zetu, pesa zinatafutwa uhai ndoo kila kitu. Jina la bwana libarikiwe