#EXCLUSIVE: KIJANA TAJIRI wa TANGA AMWAGA MAMILIONI KWENYE MPIRA, ANA MIAKA 27 TU....
Humoud Hamadi kijana tajiri mwenye miaka 27 aliekataa kujiendeleza kimasomo ambae amewekeza Tanga kwa kujenga uwanja wa mpira wa miguu uliotumia gharama ya shilingi milioni 75
Humoud ni kijana wa kitanzania aliezaliwa visiwani zanzibar ambae alikuja Tanga kwa ajili ya miangaiko ya kutafuta Maisha miaka nane iliyopita
Akizungumza na Global tv amesema kiwanja hicho kitachukua watu 16 ambacho kina urefu wa Mita 45 kwa 30.
Kwa upende wa elimu ameishia ngazi ya diploma sababu lengo lake lilikuwa ni kuwa mfanyabiashara
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
14 окт 2024