Тёмный
No video :(

MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024 

Top5 tz
Подписаться 25 тыс.
Просмотров 254 тыс.
50% 1

MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
Subscribe to Top5Tz: / top5tz
Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
Tutajibu maswali yako yote kama:
nani tajiri namba moja tanzania?
nani msanii mkubwa tanzania?
msanii gani tajiri tanzania?
wasanii matajiri tanzania forbes?
wasanii matajiri duniani?
nani tajiri namba moja tanzania?
wasanii matajiri tanzania 2022?
wasanii matajiri tanzania 2023?
Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
Wasanii na magari yao
• TOP 5 WASANII WENYE MA...
• Listi ya magari ya bei...
• WASANII MATAJIRI TANZA...
Angalia video zetu zingine hapa:
VIpengele vyetu
0:15 Number 5
0:58 Number 4
1:37 Number 3
2:11 Number 2
2:58 Number 1
4:10 Like comment and subscribe
#Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
#wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 160   
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 4 месяца назад
Mungu awahifadhi yarab amen 🙏
@MagilaiLobangutii
@MagilaiLobangutii 16 дней назад
Hongera yao
@BoniphaceNzenga
@BoniphaceNzenga 23 дня назад
Nimeipenda.endelea mienderezo
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 2 месяца назад
Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿
@CynthiaEsekon-s6u
@CynthiaEsekon-s6u Месяц назад
Bless
@abdallahmbonabona8860
@abdallahmbonabona8860 2 дня назад
Mzee acha uongo roostam yuko on top😊
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад
Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah
@abdulhakhashim764
@abdulhakhashim764 4 месяца назад
Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 5 месяцев назад
na mimi taingia soon kwenye hii orodha
@WamburaBruno
@WamburaBruno Месяц назад
Yupo sawa mo
@KINGSAGENCYCOMPANYLTD
@KINGSAGENCYCOMPANYLTD 2 месяца назад
Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад
Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin
@samiboybb
@samiboybb Месяц назад
Nme ipenda
@SalminRahis-kd9sv
@SalminRahis-kd9sv 3 месяца назад
We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua
@Mumewangu
@Mumewangu Месяц назад
Tutajie wewe
@Evodiuskaijage
@Evodiuskaijage 17 дней назад
Gud
@theplateboy-ym9xz
@theplateboy-ym9xz 4 месяца назад
Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀
@NyerereWomen
@NyerereWomen 6 часов назад
Je, wanachukua nafasi ya ngapi kimataifa.
@DenisHaule-g2y
@DenisHaule-g2y Месяц назад
Napenda kuwapa ongera sana
@AdiliLadislaus
@AdiliLadislaus 5 месяцев назад
Mafuruki kashafariki
@user-th9ut7ro8p
@user-th9ut7ro8p 6 месяцев назад
Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.
@jaxmkada6797
@jaxmkada6797 5 месяцев назад
We muongo na takwimu zakoooo.
@user-ql6fg3bs8y
@user-ql6fg3bs8y 4 месяца назад
Wee bado sana
@GloryFriday-l6y
@GloryFriday-l6y 4 дня назад
Yaani bakhrase awe no2 takwim sio sahihi tz 85% tunatumia vitu vya bakhrase
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад
Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi
@ramahaji2395
@ramahaji2395 2 месяца назад
Ingia google nawe acha ubishi
@user-cj7oo7mi1x
@user-cj7oo7mi1x 2 месяца назад
Msanii gani anaongoza utajili Tanzania
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 2 месяца назад
Rich mavoko
@RogersRange
@RogersRange Месяц назад
Tuletee tajiri wa africa
@henrynuhu2557
@henrynuhu2557 8 месяцев назад
miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote
@mr.jcubic1554
@mr.jcubic1554 2 месяца назад
Matajili
@msafiriomary893
@msafiriomary893 8 месяцев назад
Wizi tuuu
@ayobuyusuphu7641
@ayobuyusuphu7641 24 дня назад
Mufuruki Alli,hayupo namba hiyo,Kuna Zakaria,
@josephatbonifaceclemence1154
@josephatbonifaceclemence1154 26 дней назад
Mbona Taarifa ZAKO zauongo Sana HUYO Ally Mafuruki slifariki miaka mitano ilio pita.
@DrMbonea
@DrMbonea 23 дня назад
Yawezekana hata hamfahamu
@frankmajila7632
@frankmajila7632 8 месяцев назад
Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana
@MasterGrouptz
@MasterGrouptz 27 дней назад
Huna data maskin liongo
@kasibalisaid7036
@kasibalisaid7036 Месяц назад
Rostam aziz si mhindi ni mbulushi .
@SimionMajaliwa-wg8xi
@SimionMajaliwa-wg8xi 3 месяца назад
Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus
@JaphetyLubasha-vw5hr
@JaphetyLubasha-vw5hr 7 месяцев назад
😂😂😂 tatzoo la RU-vid waongooo sana yaan daaahh 😊
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 4 месяца назад
Ko tufanyaje
@alisalimo2861
@alisalimo2861 8 месяцев назад
Ww muogo😊
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 6 месяцев назад
Ana asili ya Uajemi,Iran
@user-so5jf8nf3e
@user-so5jf8nf3e 8 месяцев назад
Liongo kweli ilo
@iddkaoneka7485
@iddkaoneka7485 5 месяцев назад
Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 7 месяцев назад
Tunaomb na list ya maskini watano TZ
@swedywamba5535
@swedywamba5535 6 месяцев назад
Lazima watatoka dodoma wote wa5
@EnocyDaud-xt8vj
@EnocyDaud-xt8vj 6 месяцев назад
Wa kwanza ni wewe
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 6 месяцев назад
@@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 4 месяца назад
​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn
@aaroneu07
@aaroneu07 4 месяца назад
Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.
@OfficialMsamiboy-zh4tu
@OfficialMsamiboy-zh4tu 8 месяцев назад
Tajir ni Mungu pekee yake.
@alencleophace2182
@alencleophace2182 8 месяцев назад
Stop your poverty mentality brother
@KulwaKisansa
@KulwaKisansa 6 месяцев назад
Upewe ulinzi kaka
@mwitanyahiri4586
@mwitanyahiri4586 3 месяца назад
Mo hawezi kuwa na hiyo hela
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 7 месяцев назад
N I utajiri cash, auvitu
@hilarymark7583
@hilarymark7583 9 месяцев назад
Ally Mafuruki alifariki 2019
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 6 месяцев назад
Ndiomana nikamuliza
@qariuzzamaantanzania7074
@qariuzzamaantanzania7074 2 месяца назад
Taarifa nyingi c kamilifu.....
@noeljacob9644
@noeljacob9644 2 месяца назад
We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 8 месяцев назад
acheni ukuma wenu
@habibrizzyone
@habibrizzyone 2 месяца назад
Takwimu zako za kifala
@SaidMaganga-yi4ez
@SaidMaganga-yi4ez 3 месяца назад
Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa
@user-um8xn4ge4i
@user-um8xn4ge4i 3 месяца назад
Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe
@khalfanseif8027
@khalfanseif8027 Месяц назад
Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa
@FransisLaurenti
@FransisLaurenti 4 месяца назад
Gsm anashika nafasiyangapa ndugu
@SengaSenga-fe4gw
@SengaSenga-fe4gw Месяц назад
Hajajajha mshkajkaj haina mambo
@talalballeth4330
@talalballeth4330 3 месяца назад
Hujui lolote angalia unachojua
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee
@MayanziBubinza
@MayanziBubinza Месяц назад
GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?
@MwalimTumeniAhmada
@MwalimTumeniAhmada 14 дней назад
Mbona hizi tathmin zenu feki zko tafaut man juz alipost mtu akasema 2024 tajir namba 1 ni bakhresa lkn naona leo amewekwa namba 2 hii vp jamn?
@frankmwinuka3413
@frankmwinuka3413 7 месяцев назад
Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?
@williamkimweri2293
@williamkimweri2293 Месяц назад
Sisi wa tz tuko wapi mbn wote matajili ni wageni tu
@angelsulle7177
@angelsulle7177 7 месяцев назад
Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 6 месяцев назад
Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!
@AginesKihoo-zw3yf
@AginesKihoo-zw3yf 7 месяцев назад
Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu
@user-br1fc9xn2u
@user-br1fc9xn2u 4 месяца назад
Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 9 месяцев назад
Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 8 месяцев назад
😮😮😂😂😂😂
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 6 месяцев назад
Ana zaidi ya 100
@user-fo5bg6tv5s
@user-fo5bg6tv5s 7 месяцев назад
Waongo asas na abud
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 8 месяцев назад
Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 8 месяцев назад
Huyu fala Bado kabisa Rudi shule
@erodasterrichard1535
@erodasterrichard1535 6 месяцев назад
Mhhh.....mjomba, uongo umezid
@hamadhamis9763
@hamadhamis9763 8 месяцев назад
ivi we jamaa unaakili kweli
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 7 месяцев назад
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@mohamedhussein3583
@mohamedhussein3583 Месяц назад
Acheni chuki kwa Mo hata mkienda kwa fobes bado Mo anapngoza why amkubali takwimu
@MwandosyaMajele
@MwandosyaMajele 5 месяцев назад
Mayele 0:23
@KilimanjaroBand
@KilimanjaroBand 4 месяца назад
Hii list katoa mkundu kwake
@MuhsinJuma-wo2bg
@MuhsinJuma-wo2bg 2 месяца назад
Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir
@user-uo9tq8cc7q
@user-uo9tq8cc7q 5 месяцев назад
Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?
@babaabro8847
@babaabro8847 8 месяцев назад
Gsm vp 😮😮
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 6 месяцев назад
GSM anatengeneza magodoro
@exaudyjm5170
@exaudyjm5170 7 месяцев назад
1 uyo ndio 2 kaka acha zako
@kibambiibrahim5714
@kibambiibrahim5714 Месяц назад
Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?
@danielmweta8716
@danielmweta8716 8 месяцев назад
Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 8 месяцев назад
Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe Afu ali mfuruki ni marehemu
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 6 месяцев назад
Nashangaa
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi 2 месяца назад
We n fala kiazi ww
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 8 месяцев назад
Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 4 месяца назад
Et utajiri wa mo trion4 cash Sasa wewe huoni kama anakwambia Usiku wakati jua lina waka Amiliki trion5 cash Amekuwa banck
@Meky-of9vy
@Meky-of9vy 4 месяца назад
Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Месяц назад
Matajiri tano ndio nini? Hiki kiswahili fyoko kimetoka wapi😂
@masoudnzowa4608
@masoudnzowa4608 6 месяцев назад
Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India
@victorombay6625
@victorombay6625 4 месяца назад
Rostam ni Mlebanon
@victorombay6625
@victorombay6625 4 месяца назад
Ni Mtanzania mwenye asili ya Lebanon
@Marjeby
@Marjeby 3 месяца назад
Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 6 месяцев назад
Achane uongo
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 9 месяцев назад
We mjingaa kweli
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 8 месяцев назад
😂😂😂
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 8 месяцев назад
Mailing au mzima mfuruki
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 6 месяцев назад
Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?
@hashimmwipallo120
@hashimmwipallo120 8 месяцев назад
Uyu boya anakalili
@mndewaog990
@mndewaog990 2 месяца назад
We huyo ali mafuruki mbn ashafariki
@user-lg7yl8zr1o
@user-lg7yl8zr1o 8 месяцев назад
Kumanyoko
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 7 месяцев назад
Siokweri wengine umechapia
@starkidwamoro8775-n5e
@starkidwamoro8775-n5e 6 месяцев назад
km nani amechapia hapo
@kamamussa6792
@kamamussa6792 5 месяцев назад
Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo
@dinamossy5149
@dinamossy5149 8 месяцев назад
Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu
@Jumapili-ws5em
@Jumapili-ws5em 3 месяца назад
Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako
@user-du1ls3zf4s
@user-du1ls3zf4s 6 месяцев назад
Kwendraaaaa acha kutudanganya ww
@fx3.0
@fx3.0 6 месяцев назад
duh acha uongo bro😂
@user-se2xp8vv4h
@user-se2xp8vv4h 7 месяцев назад
E
@user-ce8qf3nc3s
@user-ce8qf3nc3s 7 месяцев назад
Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr
Далее
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 519 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 207 тыс.
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 519 тыс.