Sipendi sana Ambavyo Tunashoboka na wazungu? Hivi unadhani huyo dada katoka Calfonia kuja kufanya vichekesho tu Bongo!! Tuwe sereous Wabongo!! Ukienda kwao ni kwa Moto sana aiseee....unasakwa Kama muizi
Alama za kumjua kama ni CIA: 1.Hawezi kabisa kukubali/kuruhusu kuolewa au kuwa na mtoto mahala kwenye mission alikotumwa sababu kwao ana maisha yake mazuri tu. 2. Wazungu wanayaogopa sana kuyaishi MAISHA ya UMASIKINI. I'm just giving you heads-up only, maana ninaishi nao muda mrefu na ninawajua vizuri sana.
@@ezekieljacob5795 English 'n Swahili have left you..for sure!!😲😳😅did i directly say that she's a CIA? or even mentioned her name that she's a member of any security bureau? poor understanding 'n am not adoring Caucasians as you do!😏😏.
Ushauri kwa wageni wote ambao sio watanzania, ukija Tanzania kwa lengo la kuishi nenda kaishi uswahilini! Sio Sijui Masaki, Oysterbay huko hautapata flavour halisi ya bongo. Mimi nilikuwa na mzungu alikuwa anaishi uswahilini na majirani walikuwa wanampenda sana yani maisha yalikuwa very simple.
Maisha noma huko kama una ndugu huoo au jamaa mwambie akupe habari tu kidogo ni noma marecan hata wa Egypt wamejaa wanauza vifaa wakitembeza mitaani hehehe watanzania mmelala
Sisi wote ni wamoja,Mungu wetu ni mmoja,aina haja ya kubaguwana,km wao wanabaguwana juwa sio wote wanafanya ivo,maana pako ata wa africa wana roho km zao!!wew ishi tu km gisi mungu anapenda tuishi,maana iyi sio dunia yetu bali ni ya Mungu
Anaka kisheria au kwawafrica tu vip vibari viyake vipo Sawa au wa Africa tu murizeni vibari manahake usipangishe mgeni kutoka Africa nikesi kubwa daa sijuwi tunakwenda wapi
Elimu ni ujinga mwandishi anajisikia raha kuongea na mzungu.angekuwa na mweusi mwanzake angekuwa mkali sana.Wimbo aliochagua una maana sana usichukulie poa mwandishi
Hao watu wako free wewe .... Nchi zao ziliendelea miaka mingi sana thats why wako far kwa killa kitu ..... Huyo anataka kujifunza vitu tofauti na wanavyojua huko kwao ili akirudi huko kwao awe na kitu cha kipekee apige pesa .....