Тёмный

EXCLUSIVE: MJUE "STEPHEN WASIRA" MBUNGE MLALAVI NA (BONDIA) ALIKUWA WAZIRI MSOMI TANZANIA 

SAN TZ MEDIA
Подписаться 36 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@Machela-pj9cv
@Machela-pj9cv 2 месяца назад
Kazi mzuri bro nakubali
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
Shukrani 💪👊👊
@selestinislaa3960
@selestinislaa3960 2 месяца назад
Wasira ni mtu wa haki na Bado kamati kuu ya CCM endapo itamteua kuwa mm ,mwenyewekiti CCM Taifa CCM itakuwa imempata mtu imara haswa kwa mda huu asanteni sana ❤
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
🇹🇿
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 2 месяца назад
Maoni yangu, nakupongeza sana, hujakosea hata kidogo, Wassira ni Mzalendo sana. Mwana kwetu
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
👊👊
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 месяца назад
Uzalendo you?
@AyubonapundaNapunda
@AyubonapundaNapunda 2 месяца назад
Namkubali mzee wasira
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
🤝
@FidelisRaphael-b5k
@FidelisRaphael-b5k 2 месяца назад
Mzee wetu nimchapakazi sana
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 месяца назад
Anazeeka Akiwa Anachapa Kazi Kama Ni Bata Atakula Mbele Za Mungu Mali Alizonazo Sio Bata Kwake
@mazartajmohamed1437
@mazartajmohamed1437 2 месяца назад
Wasira ni hazina ya taifa tuendelee kumtumia wasira kutokana na busara zake
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
🤝🤝🤝
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 2 месяца назад
Mwache asinzie tu kwasabu alifanya mjukumu makubwa na umrimdogo alibemendwa na mjukumu mkubwa kushinda umri
@msoveicgaspernoic2986
@msoveicgaspernoic2986 2 месяца назад
Aloooh amepitia mengi mzee
@VedastusMtesigwa
@VedastusMtesigwa Месяц назад
Mbona Historia yake ya kuamia vyama ya upinzani hujasema au Umetumika tu kumuondolea heshima yake ?
@SAHILSHAABAN
@SAHILSHAABAN 2 месяца назад
Mtalamu wakulala bungeni😂😂😂
@SeveriniTemu
@SeveriniTemu 2 месяца назад
Acheni uhuni kutuma picha za mzee amelala. Aliyoyanyia. hili taifa aheshimiwe .rudini kwenye vtaabu vya dini aliona utupu wa baba yake akiwa amelewa akamcheka alilaniwa yule. Mwingine. Alichukua. Nguo na kwenda kinyumenyume na kufunika utupu wa baba yake alibarikiwa
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 2 месяца назад
Kwani kafa?
@MOSESIMCHUNGUZI
@MOSESIMCHUNGUZI 2 месяца назад
Amefanana kwa%97na 😢😮😅😅😅😅😅😅😅😅🎉😢
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 2 месяца назад
Nae ni binadamu au ni mtu au ni kiumbe
@petermasanilo732
@petermasanilo732 2 месяца назад
Wewe mtangazaji unadanganya sengerema Iko geita?
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
😢😢
@emmanuelelisha173
@emmanuelelisha173 2 месяца назад
Kwanini hujasema kama aliwahi kuihama ccm?Na alipogombea ubunge jimbo la Bunda alishinda uvhaguzi kupitia ticket ya Nccr mageuzi akimshinda Warioba.Kama kawaida alipokonywa na kesi ikaenda mahakamani baada ya hapo uliitishwa uchsguzi mwingine na alichaguliwa Mbunge Canal Msataafu Thomas Laban Makunenge.Wakati huu mtu aliyegombea upinzani alikuwa Makongoro Nyerere.
@ezekielmajura7161
@ezekielmajura7161 2 месяца назад
Utaji mkoa gan
@Santzmedia
@Santzmedia 2 месяца назад
Alipozaliwa?
Далее
KUMEKUCHA !!!
20:16
Просмотров 28 тыс.
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
He went ALL in 😭
00:12
Просмотров 2 млн
ŠKODA не перестает удивлять
00:48
Просмотров 444 тыс.
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36