Тёмный

Nilihukumiwa Kunyongwa Mpaka Kufa Sasa Nipo Huru, Nimepata Mume - Rose FULL INVERVIEW 🔥 🔥 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Ni story ya Rose Yona Malle aliyepitia mtihani mgumu uliopelekea kufungwa kifungo cha kunyongwa hadi kufa lakini baada ya miaka 6 kuachiwa huru.
Ilikuwaje akahukumiwa ? chanzo cha kesi yake na imekuwaje kuachiwa huru ?
Leo atakuwa live kwenye #LeoTena pamoja na mumewe ambaye walikutana gerezani kuanzia saa nne kamili asubuhi.
Cc. @dahuuofficial @geahhabib @mwijaku @josemarah

Спорт

Опубликовано:

 

4 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 240   
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 4 месяца назад
Isaya 54:14. Utathibitika katika haki utakuwa mbali na kuonewa.
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Ifike muda selikari aanze kuwalipa wanao wafunga kwa maonevu ili wapepelezi wao wafanye kazi kwa uhakika. Wenye pesa wanatoa rushwa hata wakiua bado wanaachiwa huru.
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 4 месяца назад
Tuombee familia zetu, yeyote anaweza ingia gerezani
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 4 месяца назад
Kabisa
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Hakika
@tynahchitamu8675
@tynahchitamu8675 4 месяца назад
Dah pole sana kiukweli mungu atubariki wanawake tulee watoto wetu jamani 😢
@franksanga4283
@franksanga4283 4 месяца назад
Duuuu Maisha kweli ni mlima Yaani kuna watu wamekaa jela miaka na wakatoka na wamenipita mita 100 kwenye mafanikio Mungu nisaidie mimi❤❤❤❤
@eliasharun3273
@eliasharun3273 4 месяца назад
Wengi wamefungwa kwa kuonewa. Usipokuwa na hela ya kuhonga tu unafungwa, hakimu Anaangalia pesa tu, kama Huna hasomi hata kesi anakufunga tu.
@hapinessobeth4131
@hapinessobeth4131 4 месяца назад
Kweli maisha ya mwanadamu yanamisukosuko mingi saana ila Mungu mwema anatusaidiaaaa
@elizabethmahenge2231
@elizabethmahenge2231 3 месяца назад
wow. Jamani hongereni sana kwa intavyuu ya hawa mashujaa, Mungu alikuwa na kusudi kuwapitisha katika maisha waliyoyapitia ili 'awatumie kama watumishi wake' ili kuwasaidia wengine wenye shida. Mungu akubariki sana Rose na mwenzi wako.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@keshalasubuhi
@keshalasubuhi 4 месяца назад
Ndio maana sijawahi kuafikiana na adhabu ya kifo. Kuna uonevu mwingi kwenye mfumo wa uendeshaji wa kesi na mahakama hivyo, unapomhukumu mtu kunyongwa na baadaye unagundua hakuhusika na kosa na ameshauwawa!
@yustakipenya6231
@yustakipenya6231 3 месяца назад
Kaka yangu amefungwa miaka 30 sahvi amekaa miaka 15 kwa kesi ya kubaka lakini kila ukienda kumwona anasema usinihukumu kama nilitaka usije ukatenda dhambi bure Mungu wangu anajua sikufanya alienileta hapa pia analijua hilo inauma
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Ni kweli wengi waliopo Gerezani hawana hatia
@veronicandakaba4639
@veronicandakaba4639 4 месяца назад
Ukweli anaujua mwenyezi Mungu hatuwezi kujua ss wanadamu na hatunawezi kukuhukumu
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 4 месяца назад
Pole Sana Mungu Akubariki Hiyo Yote Ni Mitihani Yamungu Nifaida Kubwa Kwako Kweli Allah Zaidi Ndio Anajuwa Zaidi Kwanini Ulipitia Hiyo..Pole Sana..Endelea Namaisha..
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@user-wo5mv1fv5y
@user-wo5mv1fv5y 3 месяца назад
Unaweza kunikumbuka;?Teddy John. Nilikutambua km Queen nawe daima uliniita mama. Sintamsahau Kaka vedasto mwanasheria wa gereza is a game. Mungu amlinde daima.?Alicia kwangu baba Kaka pamoja Askari magereza wote Tanzania.
@user-yc5qk4jf5l
@user-yc5qk4jf5l 4 месяца назад
She is very good story teller
@floramichael1967
@floramichael1967 4 месяца назад
😢😢😢Mungu atusaidie kesho yetu hatuijui😢😢😢
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 4 месяца назад
Pole sana mdogo wangu ❤mungu wa mbinguni ashukuliwe 🤲
@sisterlbloodofjesus4084
@sisterlbloodofjesus4084 4 месяца назад
Pole sana inasikitisha sana na kuonesha udhaifu mkubwa katika vyombo vya kutenda haki
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 месяца назад
Hakika Muumba wetu yuko juu ya Yote, Vyote na Wote. Ana Maamuzi juu ya Maamuzi ya Wenye Mamlaka hpa duniani. Anamjibu mwenye haki sawa na uhitaji wake kwa Utukufu wake Mwenyewe. Hongera sana dada. Usimwache Muumba.
@gracemanyonge4449
@gracemanyonge4449 4 месяца назад
Dada pole sana mungu akupe afya njema
@Chamy-diana1
@Chamy-diana1 4 месяца назад
Mungu hachelewi ni wakati ulikua haujafika
@toptopress4909
@toptopress4909 4 месяца назад
Nimegundua kwa hapa Tanzania unaweza kuenda jela siku na saa yeyote. Uwe umetenda kosa au hujatenda kosa. Nafikiri tujipange kwa yote, huwezijua siku wala saa jela itakuhusu
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Kweli kabisa! Watu wengi wamefungwa bila hatia na wauaji wako mitaani
@user-yc5qk4jf5l
@user-yc5qk4jf5l 4 месяца назад
Very true
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
Ni kweli sana 😂😂😂
@shavasjohnkay-cw8lg
@shavasjohnkay-cw8lg 4 месяца назад
Daniel alihukumiwa kunyongwa hadi kufa Mungu akatuma malaika wakafunga makanwa ya Simba na Daniel akawa huru.
@joshuagitilo3931
@joshuagitilo3931 4 месяца назад
MUNGU wa mbinguni awajalie kustawi zaidi, ktk maisha yenu pamoja na huduma kwa jamii
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@RoseMbise-rw9sz
@RoseMbise-rw9sz 4 месяца назад
Polen sana n hongeren.Mungu ni mwema
@JacklineBenjamin-uz6dy
@JacklineBenjamin-uz6dy 4 месяца назад
Poleni sana MUNGU atawaacha mpendeni sana MUNGU maana yeye ni zaidi ya vyote.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@naeema8155
@naeema8155 4 месяца назад
Huyu dada namjua alikua anajiita Queen Mungu ni mwema kwa kwel
@madahaisack1268
@madahaisack1268 4 месяца назад
Kila penye changamoto Kuna utatuzii
@kosherasengasu5093
@kosherasengasu5093 3 месяца назад
Pole Sana dada.Mungu wetu ni mwenye rehema na huruma.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 4 месяца назад
Mmh! Nani Yuko salama salama Kwa tukio hili...mana kama upelelezi wetu ungekua wa kiwango Cha juu....huenda huyu dada asingemaliza miezi sita jela...hii ni hatari mno kwan kesho utamwita boda akupeleke job wakati anarudi anavamiwa anauwawa wanakufuata ww kazini unapewa murder case
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Ni kweli
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 4 месяца назад
Pole sana Mungu ni Mwema kwakweli
@Auntieminah
@Auntieminah 4 месяца назад
Anaweza akaomba fidia ila inabidi afungue kesi nyingine ya madai.
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Ambayo itachukua miaka mingapi mpaka iishe 😂😂 kibongo bongo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 4 месяца назад
Kweli na alipwe
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 3 месяца назад
Anastahili kulipwa
@rosehaule6765
@rosehaule6765 7 дней назад
Eewee yesu mwema tuhurumie wahurumie wafugwa wotee waliofugwa bila kutenda kosa weka mkono wko ukawaokoe aisee pole sanaa kweli maisha ji safari ndefuu😢
@patrickbatenga2645
@patrickbatenga2645 4 месяца назад
Wapelelezi Mungu anawaona
@malikhilalmohammed5286
@malikhilalmohammed5286 4 месяца назад
Pole sana nakutakia mema kutoka kwa mmungu
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 4 месяца назад
Pole sana kwa uliyopitia.Ila pia tumshukuru Mungu umetoka salama na Haki imetendeka😭🙏🙏🙏
@user-ll3pq4we8v
@user-ll3pq4we8v 4 месяца назад
Mwjaku ukiwa studio unakua na adabu kumbe unatulia ila ukiwa nje hazikutosha
@jacksonmgonde
@jacksonmgonde 4 месяца назад
Namkubali sana mamy sijui nisemeje
@jasmineluande1694
@jasmineluande1694 4 месяца назад
This is insparing story. Mungu ni Mungu
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
@mwanamkeshujaabongoflavama7180 4 месяца назад
Huyu msichana ni mwema sana , na kapata mume Masha'Allah
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Ubarikiwe
@user-gu3px5me6u
@user-gu3px5me6u 4 месяца назад
Pole Sana mdogo wangu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад
Allah amekuhifadhi ila Dunia,imehaharibika,
@davidkea5701
@davidkea5701 3 месяца назад
Pole saaaana kwa wakati mgumu ulioupata
@elizambawala7790
@elizambawala7790 4 месяца назад
Jamani Qeeen... Hongera sana sana umekua sasa nakumbuka ulivyokuwaga na imani Zile sadaka zako hazijakuacha. Mungu aendelee kukupigania😍😍
@timejames5099
@timejames5099 4 месяца назад
Hii inaumwa nilishakamatwa kwa kufananishwa na mtuhumiwa Ila nashkuru askarimoja alinitambua kua sie mimi
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt День назад
SubhanaAllah
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 4 месяца назад
Pole sana sana binti
@user-ue3oq4px4o
@user-ue3oq4px4o 4 месяца назад
Daah pole sana
@LucyChamwi
@LucyChamwi 4 месяца назад
Kweli mvumilivu hula mbivu oh!mungu azidi kuwa bariki
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@FelisterMunissy
@FelisterMunissy 4 месяца назад
Matukio hayo yaponbnakamanulitenda hayo mungu atakulipa hapa duniani liko jicho lilokuna
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 4 месяца назад
Mungu ni mwema alikutetea hukuwa na hatia
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 4 месяца назад
Umenikumbusha walivyoo muua mdogo wangu lakin hata miezi mitatu haikuisha wakaachiwa huru alafu wanaonewa wasio na hatia
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Unaona eeeeh! Ndo nasema serikali waanze kuwalipa fidia waliowahukumu Kwa hila, ili iwe fundisho na wawe makini wanapofanya uchunguzi wawe sahihi na upelelezi wao
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 месяца назад
Pole sana Philly! Kuuwawa inauma sn,ila Mungu atayaauwa hayo mashetwani.
@immaabukuku7180
@immaabukuku7180 4 месяца назад
Very touching story
@user-xx4wb9yo9p
@user-xx4wb9yo9p 4 месяца назад
Hakika mungu nawawote ukuu wake nimkubwa
@veronicandakaba4639
@veronicandakaba4639 4 месяца назад
Dada Mungu ni mwema endelea kumtumikia mungu
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@solomonwangondu2870
@solomonwangondu2870 4 месяца назад
Pole sana 16:32 ❤️❤️
@millymack1370
@millymack1370 4 месяца назад
She should follow up on her compensation.she was innocent.
@priyankaglory6951
@priyankaglory6951 4 месяца назад
Pure heart!!❤
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Ungepata director wazuri wa movie ungetengeneza sinema mzuri au mchi kama marekani ugetengeneza movie madam
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Yeah huko hata fidia angelipwa tena ndefu
@lilmojr7
@lilmojr7 4 месяца назад
Yaani hao majaji wa ajabu saana waliomuhukumu huyo dada maana huyo dereva wa boda kabla hajafa alitoa maelezo amevamiwa na wanaume wawili na kwanini asiseme huyo dada ambae alikuwa mtejawake wanampotezeamtu dira ya maisha yake gerezani inasikitisha saana
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 месяца назад
Hats mimi nimeshangaa. HUYU alifungwa kwa chuki tu ila case ilikuwa ni aandike maelezo tu basi sio kufungwa
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 4 месяца назад
Wapelelezi wa kitanzania wanahitaji kuwa sereous!
@annatemu4488
@annatemu4488 4 месяца назад
Mungu atuepushe na kila ovu alilokusudia shetani
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Amina
@FadhilaNyange
@FadhilaNyange 3 месяца назад
Huyu dada anasiri kubwa kifuani mwake anyway tumwachie Mungu
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 2 месяца назад
Umewaza kama Mimi,au pengine sijui ? Tumwachie Mungu
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 4 месяца назад
Mbona humu mnapenda kuhukumu, hamjawahi kutwa na mikosi? Acheni comments za kum accuse huyu dada. Dunia duara.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 месяца назад
Mbona hakuna comment inayo mm wa-accuse huyu dada??
@edwardjohn1507
@edwardjohn1507 4 месяца назад
Aca ukuma wewe mwenye umbwa koko weee
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад
Mashaaalah,hivo vitoto viwili ongezea viwe 15
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Inshaalla kadri Mungu atakavyotujaalia
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 4 месяца назад
Mungu yupo
@abdulrisassy2488
@abdulrisassy2488 4 месяца назад
Ukute baadae atamsaliti huyo mzee kwa sababu ya mwalimu wake alikuwa kipofu😊😆Sister anaonekana ana roho ngumu sana
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 месяца назад
Mapito ya dunia. Na hili ni DOA KUBWA Maishani
@user-cg9il4mz5e
@user-cg9il4mz5e 4 месяца назад
Husna b nakumbuka enzi za coconut fm
@glassamo3847
@glassamo3847 4 месяца назад
Aisee😮
@user-vj1ek5us4r
@user-vj1ek5us4r 4 месяца назад
Pole sana
@StellaWilliam-tj8mu
@StellaWilliam-tj8mu 3 месяца назад
Pole sana😭😭
@doriselipokea651
@doriselipokea651 3 месяца назад
Dah! Munguuuu ni mkuu
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 4 месяца назад
Mwijaku hanavyo mshanga uyo mdda kamtorea macho
@LovelyRacingHelmet-iv6ti
@LovelyRacingHelmet-iv6ti 3 месяца назад
😂😂😂Kumbe na ww umemwona sio Ana mkodorea macho mpk bc
@user-cs1jf8mc9g
@user-cs1jf8mc9g 4 месяца назад
Duuu kwanza wamemfhalikisha wamempotezea muda wamemkosesha haki za msingi kama elimu yake ya chuo hajasima wameharibu future yake angetakiwa kulipwa
@mborawakiche7564
@mborawakiche7564 4 месяца назад
Sio kwa Tz hii ndoto yako
@namsamson3443
@namsamson3443 4 месяца назад
Kazuri sana
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 4 месяца назад
Noma na nusu
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 4 месяца назад
Tatizo la nyumban wanaweza waka kuweka kwenye matatizo usoyajua,
@hamedyahya9291
@hamedyahya9291 4 месяца назад
mtoto gani miaka 18 miaka kumi na tano ni tayari wa kuolewa mila za kizungu hizo
@EmJesho
@EmJesho 4 месяца назад
Daah inauma inaumiza 😢😢😢😢😢😢
@FadhilaNyange
@FadhilaNyange 3 месяца назад
Dada anasiri kubwa
@user-he7ck4zb9b
@user-he7ck4zb9b 3 месяца назад
Tanzania swahili 🎉
@fredykephacy5166
@fredykephacy5166 Месяц назад
aisee maisha pole dada
@florianscarion5085
@florianscarion5085 4 месяца назад
Yani mtu akae gerezani miaka 30 afu fidia milioni tano tu!!!!😢😢
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Kibongo bongo nayo ni bahati kuna wanaotoka patupu!
@officialmtembezi
@officialmtembezi 4 месяца назад
Ngoja nikae kimya.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 4 месяца назад
Mwijaku hoyeeeeee
@kingkendrickk
@kingkendrickk 4 месяца назад
Polisi tz ovyo sana, uchunguzi hakuna
@ZaynabMsury
@ZaynabMsury 4 месяца назад
Mwijaku mbon unamkazia macho sana
@everlyndevario1895
@everlyndevario1895 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 10 дней назад
Najiuliza angekuwa lulu Michael angeenda jela?? Au hacha nikae 🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
@rachelbathromew6223
@rachelbathromew6223 4 месяца назад
Maisha Yana fumbo sana
@leilahkezen2475
@leilahkezen2475 4 месяца назад
Mhh huy dada mbona simwelewi
@user-cf4dg7se5j
@user-cf4dg7se5j 4 месяца назад
Hueleweki ww sio uyo dada
@sultanaswaleh7813
@sultanaswaleh7813 4 месяца назад
Pole sana mwanangu unani towa machizi🇰🇪
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Pole mitiahani tumeumbiwa sisi binadam
@simongwandu7392
@simongwandu7392 4 месяца назад
Rose Hhaymalley Onna pole
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Asante
@user-ll3pq4we8v
@user-ll3pq4we8v 4 месяца назад
Tena hapo ana upwiru hapo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 4 месяца назад
😢😢jamani waue wengine a
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 4 месяца назад
Usikute huyu nae muuaji alihusika kwa namna Moja au nyngne wacheni kumtetea serikal inaakil timamu hawawez TU kumkamata mtu na kimhukumu kwan mahakaman ilikuaje?
@user-ks7gg3io6d
@user-ks7gg3io6d 4 месяца назад
Mhhhh mtoa hukumu tenaa....temea mate chini usihukumu
@josephlorri431
@josephlorri431 4 месяца назад
Mahakama hiyo haikumkuta na hatia... serikali ipi unayosemea
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 4 месяца назад
@@josephlorri431 ilikuaje Hadi akahukumiwa mwanzo kabla ya rufaa? Hawakupitia mahaman?
@khadijanurdin3163
@khadijanurdin3163 4 часа назад
Mshenzi kweli huyu
@Veni584
@Veni584 4 месяца назад
Sio kifungo cha kunyongwa, ni hukumu ya kunyongwa
@MsAggie5
@MsAggie5 4 месяца назад
Kunyongwa hadi kufa
@k.kswitzerland4168
@k.kswitzerland4168 4 месяца назад
True
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
Kwa Tanzania kuhukumiwa kunyongwa ni jina tu jua hiyo ni maisha tu.Maana wa mwisho kunyonga ni Hayati Mwinyi
@josephlorri431
@josephlorri431 4 месяца назад
Amefanana na Gekul
@user-lx5df1iq2r
@user-lx5df1iq2r 4 месяца назад
Mmmh aisee
@user-ll3pq4we8v
@user-ll3pq4we8v 4 месяца назад
Mbona anababaika babaika au alihusika ? Mana ckuhizi wnawke ndo wezi wa boda
@Sangaligospel
@Sangaligospel 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 polesana dada
@shaqirwayne6029
@shaqirwayne6029 4 месяца назад
Mfate makonda atakusaidia tu ndugu inchi yetu si unaijua
@abuarafatmkweli748
@abuarafatmkweli748 4 месяца назад
Haoneshi kujali kwamba bodaboda wake "aliuliwa"... natamani angeulizwa
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 4 месяца назад
Sasa ndio umeandika nini
@adammveyange9638
@adammveyange9638 4 месяца назад
Huyu dada alikua na mahusiano na huyo boda sponsor akaamua kuwakomesha wote mmoja aende jela mngine mochwar..over
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
​@@adammveyange9638Acha kuwaza nyege muda wote mbwa wewe
@user-yc5qk4jf5l
@user-yc5qk4jf5l 4 месяца назад
Pole sana my dear very srong woman mashashallah,yote ni mitihiani ya dunia.omar from kenya
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation 2 месяца назад
Amina kaka Omary
@abibuchengula4588
@abibuchengula4588 4 месяца назад
Mtu akishakufa haki yake inapotea
Далее
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 197 тыс.
Nyiradi za asubihi na jioni
27:01
Просмотров 28 тыс.
HAKUNA MATUSI AMBAYO ADHABU YAKE NI KIFO!
25:35
Просмотров 17 тыс.
The Goat in 2012 #shorts #football #goat
0:24
Просмотров 2,8 млн