Тёмный

EXCLUSIVE NA MSWAHILI JORAM ANAYETREND"NAWAKERA, NINA DEGREE 2 NIMEAJIRIWA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 53 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 189   
@thadeombani7869
@thadeombani7869 20 дней назад
Naona roho za marehemu wetu Nyerere,na Magufuri iko ndani ya joramu inatenda kazi,Mungu bariki sana
@michaelpatrick9137
@michaelpatrick9137 Год назад
Huyu jamaa ni watofauti sana ,Mungu aendelee kumtunza,,,tumshukuru Mungu kwakuzaliwa hapa kwetu
@divinewisdom4721
@divinewisdom4721 Год назад
Mwaka ujao hapa South Africa, wanaanza kufundisha Kiswahili mashuleni, NAFASI ZA KAZI HIZOOOOOOO.
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 Год назад
Hongera sana Kaka.., Hakika Kizungu ni Lugha ya Uwanja wa Vita. Hongera sana kwa Uthubutu wako!!!! Watu kama waandishi wa habari na wasanii wanaharibu sana lugha yetu ya Kiswahili
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 Год назад
Elimu unayojipa ni bora kuliko ya kupewa🔥🔥🔥🔥
@1000Brain
@1000Brain Год назад
Daaa anashawishi kumsikiliza zaidi na zaidi
@kilimosmartprojectsksp
@kilimosmartprojectsksp Год назад
Kwa chata na tamwa itoshe kusema kwamba Joram unaniongezea siku za kuishi..... Uishi sana kaka. 🙏
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Год назад
Asante kaka nafkiri Bungeni watakuwa wamekuelewa ,maana wanachekana kwa lugha ya utumwa ,wako kwenye bunge la Tanzania wanaongea kingereza kumsomea MTU WA nnje, tuthamini lugha yetu ya kiswahili na wao watafute mashine za kuwatafsiria, mbona wao kwao wanaongea lugha zao 🤔? kweli mtumwa ni mtumwa tu.
@danwayne786
@danwayne786 Год назад
Napenda anavyo tumia Misamiati kisha kucheka. Nami huku nataka kutafuta kamusi ya kiswahili.
@360muzicvibez3
@360muzicvibez3 Год назад
Wewe ni wathamani kweli, Joram na unasadifu vyema maana ya jina lako. Mungu akupe siku nzuri kedekede za kuishi.
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Год назад
kiswahili ni kitamu, natamani ninge kijua vizuri
@josephjohn2114
@josephjohn2114 Год назад
Hongera sana kijana you are very smart ....endelea kujiongezea maarifa Elimu haina mwisho. Utafika mbali siku moja
@byaombealoys5967
@byaombealoys5967 Год назад
JORAM, nikikutazama namuona Joseph pombe magufuli kiasi kwamba tanzania 🇹🇿 imebarikiwa waongozi kbs..... Kuna ww na yule mtoto alie mfungisha baba yake kisa shamba.
@LumolaSteven
@LumolaSteven Год назад
Magufuli anaingiaje hapa, yeye alikuwa anaiharibu sana Lugha yetu. Kwenye L yeye anaweka R
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 Год назад
unamfananisha vp jamaa na watu wa ajabu
@giftmollel7788
@giftmollel7788 Год назад
Hongera Joram Sana
@jnrjames9005
@jnrjames9005 Год назад
Boss you're very eloquent in swahili language. 👍
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 Год назад
Napenda ulivyo na furaha kijana mcheshi kweli Mungu akulinde na wachawi
@isaacngulubi2058
@isaacngulubi2058 Год назад
Binafsi nakupenda mno bwana joram
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 Год назад
Asante Sana napenda anavyoongea akicheka bwana na mimi Nacheka ila nimefurahi umetufumbua macho na masikio kumbe kiswahili chetu Kuna vitu vyakutofautisha kama waarabu wanatofautisha akiongea na mwanaume wanamatamshi tofauti na wanavyoongea na mwanamke kumbe na sisi lugha yetu Kuna vitu vya kutofautisha hongeza juhudi tutaelewa tu
@annangosso6680
@annangosso6680 Год назад
Sijuti kukufahamu mwana ulumbi🥰
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
Ndugu yangu huyu namkubali sana amefanya uthubutu wa kiwango kizuri
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Год назад
Duh. Nimegundua kabisa sijui kiswahili kama kweli maneno aloongea ni ya kiswahili😀👌 ila napenda pia wanaume weupe jamani. Hiyo rangi👌👌😍
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 Год назад
Ahahahaha hatimae wanaume weupe tumefikiwa maana hata wanawake weupe huwa wanatukataa asee niko hapa dada nipo
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Год назад
@@bongorecaps3558 🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani mimi kwa weusi wangu aisee nyie watu weupe mnanipa uchizi sana nikiwaona. Weusi wenzangu watafute wanawake weupe tu
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 Год назад
@@faithjonathan3845 Ahaha nipo hapa najiletaje kwako tusitirianne ahaha
@tmasingida2392
@tmasingida2392 Год назад
Aghalabu, Mlumbi ananifurahisha kwa kicheko chake!
@masoudterebu2779
@masoudterebu2779 Год назад
Hongera,ndugu JORAM
@ameulmontan6753
@ameulmontan6753 Год назад
hongera sana joram
@ndegendegetourssafari6871
@ndegendegetourssafari6871 Год назад
Interview nzuri sana gody
@isackakyoo6446
@isackakyoo6446 Год назад
Hongera sana KIONGOZI na mtaalam
@mwl.michaelsainethmlowe2641
Anajua sana, huyu ni mlumbi fusuli
@GadiEdiomwakanyamale
@GadiEdiomwakanyamale Год назад
Hongera sana ndugu yangu nafurahi sana kukuona katika hatua kubwa wewe ni #hiba ya Tanzania
@uriotz_
@uriotz_ Год назад
Mwamba ana Kujiamini, Sauti unyama sana Madini kichwani Kiufupi ni full package ya Kiongozi.
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Год назад
Vilevile ungefaa uwe mwalimu kwa kufundisha lugha ya kiswahili shuleni
@paschaledward8670
@paschaledward8670 Год назад
You deserve bro 👏 👏 👏
@joachimbaldwin8511
@joachimbaldwin8511 Год назад
Nimekusikiliza kwa makini sana unaongea kama hayati baba wa taifa mwalimu julius kambarage Nyerere yaani ubarikiwe sana kaka wewe ni faida kwa taifa
@user-lv1gc6uf5z
@user-lv1gc6uf5z Год назад
So exciting
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Год назад
Mnyaturu org Safi sana
@juliuskivuyo5384
@juliuskivuyo5384 Год назад
Hongera sana Joramu
@justusnamutilu5235
@justusnamutilu5235 Год назад
More love your way bro from Kenya. Kiswahili chako kitamu sana.
@omaryleonard4264
@omaryleonard4264 Год назад
Neno gigida Bibi alikuwa ananambia sanaa….. sash salalaaaaa
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Год назад
Kweli Mungu ambariki mwl huyo
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution Год назад
Hongera Sana kijana. Umefanya jambo la nadra kwa vijana wa Tanzania
@TALLUBOY
@TALLUBOY Год назад
kaka wewe ni mtu mwenye elim kubwa sana
@asiaikhallah1697
@asiaikhallah1697 Год назад
Jonku...classmate
@arsenalzanzibar2413
@arsenalzanzibar2413 Год назад
Huyu jamaa namuona mbali kesho na mtondogoo inshaallah
@geoufo2858
@geoufo2858 Год назад
Uyu jamaa angepewaa cheo flan ktk hii lugha ya kiswahili sababu ameweza kutusawishi vjana waleo kupenda kiswahili kuliko hao. Wazee walio kaa uko officen kwenye baraza la kiswahili Tz .
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Год назад
hii point kubwa sanaaa
@2116-n
@2116-n Год назад
Kabisa yaaani
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Ukweli mtupu
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Год назад
Apewe ubalozi wa kiswahili huyu bwana mlumbi na mzee wa sharubati. Atahamasisha wengi sana kujisikia fahari kukizungumza kiswahili fasaha
@tumainkitundu1015
@tumainkitundu1015 Год назад
Umenena mithili ya mfalme mwenye hekima 👏👏
@happinesstimoth8392
@happinesstimoth8392 Год назад
Hahahahaha hataari huyu jamaa noma sana
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 Год назад
Salute kaka
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Hongera sana ndugu yetu.Ubarikiwe
@jitathminitv3429
@jitathminitv3429 Год назад
Safi sana
@lubatikoseme9412
@lubatikoseme9412 Год назад
Yuko vizuri sana
@mickzaid9522
@mickzaid9522 Год назад
Huku Zanzibar wazungu wapo wanafundisha Kiswahili.
@iskiji1240
@iskiji1240 Год назад
Na wanasikilizwa kwa umakini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tunkuh661
@tunkuh661 3 месяца назад
😅😅😅😅
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Год назад
Huyu joram angesoma degree ya kiswahili ingekuwa noma Sana.
@lilianlyimo615
@lilianlyimo615 Год назад
Hapana angetamani vitu vingine,waelimishaji Wana fundisha kiswahili kwa kingereza mkuu
@gabrielaniseti1537
@gabrielaniseti1537 Год назад
Safi kabisa
@mbwanabaruti7496
@mbwanabaruti7496 Год назад
Safi sana!! Kijana huyu anapenda Kiswahili na elimu Kwa ujumla ,ni kama mie Ninavyo penda tangu ni kiwa kinda.
@stephennyagonde637
@stephennyagonde637 Год назад
Natamani angeweza kukutana na Marehemu Prof. Ken Walibora alikuwa gwiji haswa kwenye kunena lugha ya kiswahili kiufasaha kweli kweli. Naiona kesho yake njema katika uwanja wa lugha ya kiswahili. Nashauri aanze kuandika vitabu mbalimbali vitakavyo tumika kufundishia mashuleni.
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 Год назад
Jamaa ana cheko km matajir wa kisaudia
@roi2554
@roi2554 Год назад
Jamaa amemrahisishia host kabisa Yani😂😂👍👍
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
Hongera kakaaa
@albertgustavo1119
@albertgustavo1119 Год назад
JONKU Mswahili 🔥🔥
@ahmadmpinzire5649
@ahmadmpinzire5649 Год назад
Jamaa anajitahidi sana, Lkn binafsi naona ni kiswahili cha pwani hasa Tanga,ukiishi Tanga hasa Tanga mjini kwa Wadigo lazima uathilike na kiswahili chao sana hasa kwa kuongeza maneno yenye asili ya kiarabu na kidigo ndani yake.
@ahmadmpinzire5649
@ahmadmpinzire5649 Год назад
Ukikosoa basi ujue umeelewa, Kiswahili cha bara na pwani ni tofauti hasa kirafudhi na wkt mwngn hadi misamiati. Nasema hivyo sababu nizawaliwa Bara na kukulia Bara,lkn sasa nipo Pwani,nashuhudia utofauti ninaousemea.
@AmosiDeogratius
@AmosiDeogratius Год назад
Ungekua umesoma kiswahili usinge judge!!Ila nakupa kazi nenda katafute kiswahili kimetokana na lugha gani utapata majibu!!
@ahmadmpinzire5649
@ahmadmpinzire5649 Год назад
@@AmosiDeogratius We nawe mvulana wajichanganya kwny shughuli ya wanaume,judge hapa inafuata nini?Kiswahili kina misamiati ya kujitosheleza mizuri hakina haja ya kufanyiwa mseto usio rasmi.
@benardmapuga5453
@benardmapuga5453 Год назад
Upo sahihi kbs lugha ya pwani nyepesi Ila ya bara ni bara wanagandamizia sana Kama wasukuma
@BongoZaKitambo55
@BongoZaKitambo55 Год назад
@@benardmapuga5453 hahahah
@BIZOZAMEDIATZ
@BIZOZAMEDIATZ Год назад
Too much appreciate
@modecreatives6
@modecreatives6 Год назад
Cheka ya huyu mwamba 🤣🤣🤣🤣🤣
@babajohn8308
@babajohn8308 Год назад
Kikubwa ni wajina wangu hicho2
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 Год назад
Very inspiring
@SampleKiller99
@SampleKiller99 Год назад
Ukifeli unashushwa chini!
@jacobodhiambo194
@jacobodhiambo194 Год назад
Kazi safi bingwa lakini naomba unijuze nomino kwapa inapatika katika ngeli gani?
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Год назад
TBC wanasubiri nini kumpa kipindi cha kiswahili
@tumainkitundu1015
@tumainkitundu1015 Год назад
Hahaha! Siku moja naliona kipindi cha kiswahili pale TBC hahaha nilicheka Sana kuona pana wazungu mule wakitondoa utondozi kwa lugha ya kwao na kipindi kinaitwa lugha ya kiswahili
@onesmoalphonce3676
@onesmoalphonce3676 9 месяцев назад
Baba huitaji wa kukuhoji 😂unaongea saaana na huo ndo utofauti wako Nakupenda sana Mr JORAM NKUMBI
@mourinemsafirijoram5478
@mourinemsafirijoram5478 Год назад
Sasa wewe Joram ndugu yangu unaongea interview yote wewe wewe ni hodar
@markmhongole
@markmhongole Год назад
😁😁😁 hataki kuhojiwaaa
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 Год назад
Hamkuitendea haki hii interview
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Год назад
Safi sana daah
@andreadaniel8276
@andreadaniel8276 Год назад
Kweli kabisa ,uko SAHIHI jeshin wanafundisha kiswahili ,inamaan kubwa sana
@jacquelineadrian6436
@jacquelineadrian6436 Год назад
Nimekupenda
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 Год назад
Whacha we Jacqueline, niktumie no zake.
@benardmapuga5453
@benardmapuga5453 Год назад
Jack anacheza na fursa ahahahahahaaaaaa
@cydrahope5251
@cydrahope5251 Год назад
Mbona kama mjapani?
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV Год назад
Mswahili kwenye ubora wake
@simonomar1637
@simonomar1637 Год назад
quran 53:32Those who avoid great sins and the immoralities except the small faults; indeed, your Lord (is) vast (in) forgiveness. He (is) most knowing about you when He produced you from the earth and when you (were) fetuses in (the) wombs (of) your mothers. So (do) not ascribe purity (to) yourselves. He knows best (he) who fears.
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 Год назад
Joramu una akili nyingi sana
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 Год назад
😍😂😂napenda hanavocheka aisee uyu kka ameongea vzr sana watu wanajifanya wazungu na English na kuzarau ruga yao ya kiswairi.
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Год назад
Duh inaonyesha lugha inasumbua kwako pia 😂😂😂
@seifjuma3471
@seifjuma3471 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@uzungupoint
@uzungupoint Год назад
@@mohamedsaid2882 🤣🤣🤣
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Год назад
Angalia ulivyo andika ....hoovyoo ...spelling zako sizo
@joramsengi9123
@joramsengi9123 10 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 yan wewe hata hujahua tofauti ya R na L . Kazi tunayo dah
@swahilimagnet
@swahilimagnet Год назад
Safi sana joram
@moganfred6473
@moganfred6473 Год назад
Namfatilia mnooooooo
@msafitv5461
@msafitv5461 Год назад
duh safi sana joram
@waltergwamaka4490
@waltergwamaka4490 Год назад
Asante
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 Год назад
Nice
@bennydugga9506
@bennydugga9506 Год назад
Hongera sana
@jamesassanga8581
@jamesassanga8581 Месяц назад
Somea utangazaji,,,soon utakuwa BBC swahili
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Hongera.
@jayjay4313
@jayjay4313 Год назад
Hongera mkuu, tufundishe kirahisi tu nasi tupende kusoma, ila sisi sio tumbili kisa tunapigania kula na kulala, ebo. 🤣🤣🤣🤣
@theclassicone7470
@theclassicone7470 Год назад
Ety kama Tumbili
@emanuelandronicus2574
@emanuelandronicus2574 Год назад
Ukifikiri ktk lugha ya kigeni"🙆hapa nimepara ukombozi wa fkra
@bahatimtuluma3798
@bahatimtuluma3798 Год назад
Huyo jamaa anajua kinomaa
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 Год назад
Vido vidox angefaa sana humu No dis intended
@biotechforlife3420
@biotechforlife3420 Год назад
🙏🙏
@danymsemo6610
@danymsemo6610 Год назад
Good 👍
@godfreymanzi3302
@godfreymanzi3302 Год назад
🙌
@godfreymanzi3302
@godfreymanzi3302 Год назад
Vizuri sana
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 Год назад
Anajitahidi👍 Sio mbaya saana, anajitahidi. Tunampongeza kwa hilo na kwa kuwakilisha vema kinamna yake. Kipimo cha kiswahili chake tutaifajamu pale atakapozungumza si anachokitaka bali kile ambacho anatakiwa kusikilizwa.
@fathmaoman1186
@fathmaoman1186 Год назад
Usichoke kutufundisha
@juliuspaskalijjpilato4605
@juliuspaskalijjpilato4605 Год назад
Unasom hesabu unakuwa maarufu kwa kiswahili iyo ndio elim yetu
@Mzitomatelephone
@Mzitomatelephone Год назад
Hahaaaa huyu bwana amesoma shule za kata tu, angesomea kiswahili huyu oooh? Apo ni mathe angesoma kiswahili sujui?
@jamesassanga8581
@jamesassanga8581 Месяц назад
Ana undugu na mwigulu? Kama wanafanana vile
@shenamtukufu1224
@shenamtukufu1224 Год назад
Dah!jamaa hachoshi kumsikiliza
@alijuma8009
@alijuma8009 Год назад
💯
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 Год назад
Hiko kicheko nimekiiba kuanzia leo
@livinusrenatus
@livinusrenatus Год назад
The ALCHEMIST 'kwa kula na kunywa na kulala'
Далее
Я ЖЕ БЕРЕМЕННА#cat
00:13
Просмотров 619 тыс.
Mark Rober vs Dude Perfect- Ultimate Robot Battle
19:00
JORAMU NKUMBI -BE GREAT, SERVICE BEYOND SELF,
34:14
Просмотров 1,9 тыс.
HOTUBA YA PROFESA PLO LUMUMBA ILIYOTIKISA DUNIA
26:06