Inaumiza sana kiukwel, na mimi nimempoteza ndg yangu hapo hapo dar Mbezi Beach, tokea tarehe 31 ya mwezi wa 3, na had leo hatujafanikiwa kumpata, inaumiza sana kiukweli hili swala. Mungu abarik aonekane na tuwapate ndg zetu wote waliopotea.
@@HanifaOman-oo4pl yani kupoteza mtu kwenye familia ndio mwanzo wa kuyumba kiuchumi ki familia mzima, maana had sasahivi mambo yalivyo kwenye familia yetu yamekuwa magumu sana kiukwel.
Kuna video imewekwa kwenye akaunt ya samsago inaonyesha kaonekana huyo SATIVA, kaonekana Katavi, ila amepigwa sana, wanaemfaham kwa sana watembelee akaunt ya samsago.
Ukisoma ripoti za haki za binadam kuhusu Tz mmmh sio sehem salama saaana , tena kuna balozi wameanisha maenezo ambayo ni hatari kuishi au kutembelea nyakati za usiku na maeneo ya mbezi , kimara wamejaa watu wa kaskazini kuna matukio ya ujambazi saaana
Kwani amekosea nn ? Na kama amekosea nisawa2 hakuna binadamu aliyekamilika ata kama ametembea na mke wa mtu siyo kwa mateso hayo kikubwa Mungu amemufunika mpaka sasa yuko hai Mungu ataponya
Mzee wa kubet huyo muuza Mikeka ya mtandaoni," wanashirikiana na makampuni ya Betting kushawishi watu wajiingize kwenye Betting kwa mikeka Yao ya kueditt'
@@jumaamohamed2815mikeka ya ku edit wewe Kuma Kama hujui kitu Kaa kimya mwana tu napiga nae kazi ya betting mimi ni zaidi ya miezi 6 now na tume tengeneza pesa nyingi kupitia betting zake tuna nunua mikeka kwake na ku bet mikeka anayo post mwana anajua kisenge KUNA WEWE🚮
It's okay ila usipende sana kuwa in negative thoughts most time,basi utakuwa huna mtu karibu maisha yako yote ama hutakuwa na mtu wa kushirikiana nae..it's okay urafiki umekuwa mtihani ila haimaanishi kuwa ndio hutakuwa na mtu wa karibu wa kushirikiana nae ktk mambo madogo madogo