Тёмный

MWAKINYO: SINA CHA KUJIFUNZA KWA MFAUME, TWAHA KIDUKU/SIO WATU ZURI KWANGU 

Dar24 Media
Подписаться 724 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Mwakinyo #RaytonOkwiri #Mfaume

Опубликовано:

 

11 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 107   
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 9 месяцев назад
Nafuraha Sana Kuona Hekima Na Busara Na U OG wake Huyu Champion 🔥
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 9 месяцев назад
Mwakinyo is supper ster the world
@samsonnyihita3985
@samsonnyihita3985 9 месяцев назад
Viumbe vingine bhana ivi leo hii unamlinganisha mwankinyo na kiduku au mfaume kwa vigezo vp kwa mfano mwankinyo kaweka historia kubwa africa dunia inamfahamu leo kiduku anajulikana wp au hao wengine kwa ufupi mabondia wakaze watengeneze rekodi na si kupauka ovyo ovyo dah!
@waziriuledi6322
@waziriuledi6322 9 месяцев назад
Acha sifa ipo siku utapigwa mpaka uitee mama
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 9 месяцев назад
Historia gani alioiweka?
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 9 месяцев назад
Mwakinyo ananyota mbili kiduku mbili kaangalie wangap saivi Tanzania na afrka wangap hata uko ulaya kashinda pambano moja tu
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 9 месяцев назад
Mwaki kaongea utumboweeee mwishoni ndio kasema ukweli kua serikali inazngua...haitaki kuwekeza seriously kwenye michezo lkn ikitokea umejipambania mwenyewe ukatoboa ndio wanakutafuta na kujikomba komba hii inatupunguza sana Uzalendo sisi kama wana michezo tunao peperusha bendera ya Tz nje ya nchi.... Lkn MWAKI.. anatakiwa kuwaomba radhi viwete kwa kuwadhihaki kwa kusema eti mtu hupaswi kua mchafu unanuka kama soksi ya kiwete...NO hii sio uungwana kwa nduguzetu
@omarymwigula9826
@omarymwigula9826 9 месяцев назад
True unajiandaa kupigana mwaka mzima unapigana siku moja na unachoka vile vile
@user-rg3vy8ml3z
@user-rg3vy8ml3z 9 месяцев назад
Mwenye uelewa mdogo pekee ndie atakae mtafsiri mwakinyo tofauti...lkn mwenye uelewa mpana zaidi ndie atakae elewa nini mwakinyo anakimaanisha...na anachokimaanisha kikiwa kwenye uhalisia kitakua na matunda kiasi gani
@hassankuka1104
@hassankuka1104 9 месяцев назад
Msema ukwer unataliwa ..piga kazi mwakinyo
@user-yt2li4hv1f
@user-yt2li4hv1f 9 месяцев назад
MWAKINYO anaenda kupotea kwenye game,majivuno sana mzee
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 9 месяцев назад
Mtangazaji wangu pendwa…maswali yakitaalamu sana
@taurehassan7399
@taurehassan7399 9 месяцев назад
Mwknyo me nakupenda tu unavyojibu maswali upo makn sna ktk kjib maswali
@gweja882
@gweja882 9 месяцев назад
Jamaa mkomavu sana,afu ilo Bango nyuma ni mwakinyo au mwanyiko
@mohdomar3766
@mohdomar3766 4 месяца назад
Umeongea jambo kubwa ambalo asinge ingea bondia yoyote mwakinyo ww kunakitu mungu kakubariki naendelea kujueshim kwa kulisemea taifa ukweli wahusika wasikie hili 🧏🧏🧏🧏
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 9 месяцев назад
MTANGAZAJI ANATEKENYA KIUFUNDI ZAIDI,,NICE.
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 9 месяцев назад
Vzr sana kutekenya sehem husika
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 9 месяцев назад
hakuna cha ajabu hapo, watanzania mmezoea kulinganisha, mbona mnamlinganisha diamond na hamonize, diamond ni wakimataifa huwezi mlinganisha
@asifiwemichael4408
@asifiwemichael4408 4 месяца назад
kaka unauelewa mkubwa kuliko wanavo dhania big up broo
@Paplick9
@Paplick9 9 месяцев назад
Main point zifanyiwe kazi 📌📌📌
@toney..
@toney.. 9 месяцев назад
Hassan Mwanyiko X HASSAN MWAKINYO 👍
@user-zz9yn9sj4z
@user-zz9yn9sj4z 9 месяцев назад
Mwakinyo safi sana kutoa ukweli kuhusu support kwenye boxing
@rukydaudy3005
@rukydaudy3005 7 месяцев назад
Mwenyez Mungu atuepushe na kibri ,nadhani nimeeleweka
@dugabeachonline4493
@dugabeachonline4493 9 месяцев назад
MWANYIKO...NANI KAONA BANGO LIMEKOSEWA JINA
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 9 месяцев назад
😅😂😬🤣 Yaaah kweli kabisa 😅😁😄
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 9 месяцев назад
😂
@user-re8jc1oc6v
@user-re8jc1oc6v 9 месяцев назад
Aliyesikia drafti uliwe kete mbili ili ule Sita tupeane like 🙏🙏
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 9 месяцев назад
Ukimsikiliza kiundani zaidi Jamaa anakiburi sana Acha makasiriko msikilize mara mbili mara tatu
@user-nm2xh4pm4g
@user-nm2xh4pm4g 6 месяцев назад
Upo OK sana umenyooka sna
@feroozrajab4391
@feroozrajab4391 9 месяцев назад
Bongo Mwakinyo na Ibrahimclass ndio mabondia wastaarabu.Wengine ni watemi tuu wa mitaani,Na ndio maara mashabiki zao wote ni vijana wa mitaani wanao ishi kwa wizi mitaani.
@M3MEDIA07
@M3MEDIA07 9 месяцев назад
Fact my brother gavement tz ni miyeyusho.
@herypinda
@herypinda 2 месяца назад
mwakinyo namuelewa sana anachosema anachofanya pia
@user-ci3gi8ic4x
@user-ci3gi8ic4x 9 месяцев назад
Good hasani from zanzibar iddy bwinoo
@barikislaa80
@barikislaa80 9 месяцев назад
Mwakinyo una akili sana umemkimbia twaha kiduku kipindi akiwa wa moto na baada ya kiduku kupoteza umepata ujasiri wa kumtaka kiduku.. hongera sana 😂😂
@hamisiyusuph2362
@hamisiyusuph2362 9 месяцев назад
🙏🙏
@BabafahadFahad
@BabafahadFahad 9 месяцев назад
💪💪💪💪🔥🔥🔥
@iamchusse
@iamchusse 9 месяцев назад
point
@benosilwani5208
@benosilwani5208 9 месяцев назад
Mwakinyo ni bondia MZURI SANA, ila ajitahidi sana kutafuta manene yasiyomuongezea maadui. Mfano " UNANUKA KAMA SOKSI YA KIWETE " viwete hatapenda sentensi hii.
@happinessnaiman2761
@happinessnaiman2761 9 месяцев назад
Ni mbaya hata Mimi sio kiwete ila nimeumia kusikia hivyo.
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 9 месяцев назад
Nakukubali lakini umeongea vitu vya uongo vingi
@user-ci3gi8ic4x
@user-ci3gi8ic4x 9 месяцев назад
Fayaaaaaa
@mubamoyo44-zc4rc
@mubamoyo44-zc4rc 9 месяцев назад
Halaf kweny hiyo picha hapo nyum ya mwakiny ndiy wameandik nn sasa yan badal waandike mwakinyo wameandik MWANYIKO
@islamicreligiontv2718
@islamicreligiontv2718 9 месяцев назад
"Mwanyiko" Alie ona tujuane hapa
@user-kc3ux2oz8m
@user-kc3ux2oz8m 9 месяцев назад
Mwankinyo ndoa bingwa wa ngumi tz,,,,,,,,,,,ila kule ulaya aliangalia maslah
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 9 месяцев назад
Ntampataje mwakinyo anafanana mjomba wangu sana jaman😢alipoteaga mda sana nahisigi ni yeye afu alipoteleaga tanga
@abdallahamiri8527
@abdallahamiri8527 9 месяцев назад
Duuhh😂😂🤣🤣🤣umetisha
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 9 месяцев назад
@@abdallahamiri8527 nipo siriaz wallah😭😂😂😂
@user-kd4oo5ey5z
@user-kd4oo5ey5z 6 месяцев назад
Wa tz wanaakili ndogo watakuja kufia ulingon
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 9 месяцев назад
Bondia bora ninae kukubali hapa Tz
@hassanraphael3565
@hassanraphael3565 6 месяцев назад
Sawa wajina
@madollarmadollar7097
@madollarmadollar7097 9 месяцев назад
Ila kwa kweli tuongee uwazi bana kiduku hajui ngumi ni mashabiki tu kumbeba tu nae alivyo kavu bichwa limemvimba anataka pambano na mwakinyo acha umama wee
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 9 месяцев назад
Ajui ngumi wapigane sasa mbona anakwepa
@madollarmadollar7097
@madollarmadollar7097 9 месяцев назад
Mwenye uelewa atakua anamuuelewa mwakinyo ni kwa nni hataki kupigana na kiduku coz mwakinyo lengo lake nikuenda international flight zaidi huyu jamaa wenu lengo lake mazoezi anayo fanya nikutaka akuje amupige tu mwakinyo sasa mwenye akili apo ninani coz hata mwakinyo akikubali hata leo kupigana na kiduku itakua haina faida yoyote kwake ispokua kwanyinyi mashabiki ndio mutakua mnafurahia tu
@2FlevaJin
@2FlevaJin 9 месяцев назад
We we Fredrick pembe ndio fala
@josephmay4260
@josephmay4260 9 месяцев назад
jamaa mwamba sana
@alonerider7164
@alonerider7164 9 месяцев назад
Ivi ni Mwakinyo au Mwanyiko?
@user-ke2xk8wd6y
@user-ke2xk8wd6y 9 месяцев назад
Namkabal sana
@kisomekiguwa3706
@kisomekiguwa3706 5 месяцев назад
Acha ujinga wa kutukana watu wewe.
@machakumedia7879
@machakumedia7879 9 месяцев назад
Hilo Bango limeandikwa Mwanyiko. Ina maana hawajaliona au?
@user-eg9ig6lp3b
@user-eg9ig6lp3b 9 месяцев назад
Kak komaa xana ao wengine Wana kuchangany tu
@philipomwasha5325
@philipomwasha5325 9 месяцев назад
Jifunze namba ya kuongea kihekima we ni mkubwa,tatizo hamna taasisi inayoweza kufundishia mtu akiwa mkubwa basi ajiwakilisheje mbele za watu
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 2 месяца назад
Kiatu kilikubanaa
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 9 месяцев назад
Mwakinyo namuelewa hata ktk anachoongea
@binnassor-ls4dy
@binnassor-ls4dy 9 месяцев назад
Mi nilikuwa mshabik mkubwa sana wamwakinyo lakn tangia kubanwa nakiatu cna imani kabisa
@aboubakarkamikaze-vr9gk
@aboubakarkamikaze-vr9gk 9 месяцев назад
Huyu jamaa hajiamini na maemo yake hayana fact
@isayaashangai1081
@isayaashangai1081 9 месяцев назад
Ila somber somber konyoo Nakubali wee mwandishi, kila la heri Champez 🙌🏿
@user-ee9kl1ob3v
@user-ee9kl1ob3v 6 месяцев назад
Acha ujinga pigana kilasiku umejianda😂vizuli mbona upigani😂 alikumbatia taisoni ww nn pigana ww
@user-jn3bd2vp2v
@user-jn3bd2vp2v 9 месяцев назад
Kak we ndo mwamba wasikuumize kichwa waseng wanatak kukushusha
@suleykilindi5117
@suleykilindi5117 9 месяцев назад
sema uyu msenge ananyodo sana😅😅😅
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 9 месяцев назад
Mfaume mfaume bangi zinamsumbua hana jipya
@edwardsinkonde9878
@edwardsinkonde9878 9 месяцев назад
Acheni utoto ivi kwanini wa bongo hampendani 😂
@JacklineArsone
@JacklineArsone 2 месяца назад
Champenz
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 9 месяцев назад
Kama ulikuwa haujui ni kwamba tangie uhuru Hadi leo mwakinyo ndo bondia mwenye record Bora
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 9 месяцев назад
😅unawajua akina magima.shabani,matumla bwana na rashid brother,Bruno tarimo vifua viwili na wengine😊
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 9 месяцев назад
@@othumanlorenzo260 Sana tu ila mwakinyo number one
@HamisKalulumbe-fv8hc
@HamisKalulumbe-fv8hc 9 месяцев назад
Sisi tupo kwenye bango
@ibrahimkilete7132
@ibrahimkilete7132 9 месяцев назад
BANGO LIMEANDIKWA MWANYIKO 😅😅
@ManAbuu-vc8hf
@ManAbuu-vc8hf 9 месяцев назад
Champez
@chingychingy2066
@chingychingy2066 9 месяцев назад
ukipigwa nitafurai
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 9 месяцев назад
Hata mama yako akipingwa utafurah
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 9 месяцев назад
Mwakinyo ana tofaut na fei toto stori zao zinafanana broh sopa Amin kwamba uyoo jamaa miyayusho saana alafu sio shujaa wa ukweli ila we mwandishi chukua tyuu habar basi 😊😊
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 9 месяцев назад
Acha kuropoka champez Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 9 месяцев назад
Wewe ulio ludia kauli ya mwakinyo alivo sema soksi ya kiwete unaona ndo inshu sana kwako mkundu wako
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 9 месяцев назад
We choko nini
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 9 месяцев назад
@@ogenylaurent7961 choroko mbaazi
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 9 месяцев назад
Wewe naic mtanga na wtt wa tanga unawajua Awana marinda🖕
@abuuda4754
@abuuda4754 9 месяцев назад
Soksi za kiwete... Mmmh chunga kauli, your growing up mjinga wewe
@user-hp5ep5jd2n
@user-hp5ep5jd2n 9 месяцев назад
Mnafiki mkubwa kafili wewe
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 9 месяцев назад
Kafili baba yako
@user-hp5ep5jd2n
@user-hp5ep5jd2n 9 месяцев назад
@@ogenylaurent7961 kazi kuvaa vikuku dume weye
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 9 месяцев назад
Njoo tukufundishe hadabu
@HamisiSalumu-ze3ce
@HamisiSalumu-ze3ce 9 месяцев назад
Box unae pg gananae Mbona uwezo wa lenki yupo chin Una tua minishia nn Kama ww Ni bora kaka
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 9 месяцев назад
Hata Mimi namuona okwir hayuko tenki sawa na mwakinyooo
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 9 месяцев назад
Tenki ya mafuta ama
@tonnyelias9454
@tonnyelias9454 9 месяцев назад
Mjinga mmoja tu uyu maneno kibaoaa
@AllyAlly-ud6wv
@AllyAlly-ud6wv 9 месяцев назад
Wemjanja unanini mrara nnje
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 9 месяцев назад
Ndio mana ukaona uze pambano lako huko nchini England ili uje kutamba kwamba wewe ni bondia mzuri kijana wewe bado sana ila kwakuongea tu hujambo sana ndio mana wahenga walisema mjinga akipata utaona majigambo yake wewe mwakinyo ni fara tu
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 9 месяцев назад
Kama vp uingie nae tuu ulingoni bob tujue nani muongeaji
@BakariGoba-hh6go
@BakariGoba-hh6go 9 месяцев назад
Kwani akiuza pambano linakuuma nn
@ahmadsalim8990
@ahmadsalim8990 9 месяцев назад
Kabla hujamuongelea vbaya champez Hassan mwakinyoooooo jifunze silabi sio fara Ni fala boya ww Hassan mwakinyoooooo ndo icon ya boxing Tanzania
@JeremiahMyrosse-qb1yj
@JeremiahMyrosse-qb1yj 9 месяцев назад
@@BakariGoba-hh6go Atakuwa alimuuzia bibi yake mjinga huyo asitu muongelee vibaya Mwakinyo
@kichenjewillian5720
@kichenjewillian5720 9 месяцев назад
Acha ujinga kiukwel ..unazingua uza na www
@KisofaOg-wv8ex
@KisofaOg-wv8ex 9 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-aVaia6YaW-Y.htmlsi=x58znitIflbBNC3N kalibu
Далее
The tactic worked 😂#shorts by  Leisi Show
00:26
Просмотров 3 млн
İranda azərbaycanlı prezident seçilib
00:32
Просмотров 261 тыс.
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
MV. CLARIAS YAPINDUKA   ZIWA VICTORIA
4:19
Просмотров 1,9 тыс.
The tactic worked 😂#shorts by  Leisi Show
00:26
Просмотров 3 млн