Тёмный
No video :(

Fatma Karume azungumzia yaliyofanya kufutiwa haki ya kufanya kazi 

BBC News Swahili
Подписаться 616 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Eagan Salla

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@loner_wolf
@loner_wolf 4 года назад
Haki na kazi wapi na wapi , hakuna kutereza ulimi kwa hivyo ...... Wewe dada zinaingia na kutoka aisee.....
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 года назад
Hujuielew
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 4 года назад
Sasa Leo hii anataka kufanya kazi wakati alikua akipaza sauti ya lockdown. Sasa akae ndani hii ndio lockdown yenyewe ili asipate corona
@bonifasbonara9323
@bonifasbonara9323 4 года назад
Karibu kwenye siasa kurayangu yako njoo chadema
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 года назад
Kuwa mzalendo we dada na nchi yak usitumik na midude ya nchi nyengn
@bibletv9818
@bibletv9818 4 года назад
Ni lock down tu dada. Subiri iishe.
@tusajigwekanemela4784
@tusajigwekanemela4784 4 года назад
Ona kisura kigumuuu mnafiki wewe
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 5 лет назад
Tatizo ni dharau. Siyo Feleshi. Ni jaji Feleshi mpe heshima yake haikupunguzii kitu .
@shadymbuki87
@shadymbuki87 5 лет назад
Wakati wa JK alimzaba vibao na kumtukana matusi ya nguoni hakimu akalindwa, zama zile hazipo sasa acha anyooshwe.
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 5 лет назад
Huyu binti bahati mbaya anatumia jina la babu na baba yake vibaya. Nafikiri amelitumia kwa muda mrefu na kiasi cha kujisikia kwamba sheria za nchi hazimgusi.
@shadymbuki87
@shadymbuki87 5 лет назад
@@zachmaselle6635 huyo sio binti aisee, kama mwaka 2000 wakati baba yake anakuwa R Rais wa Zanzibar yeye alikuwa na miaka 32 leo hii ukiongeza 19 bado unaona ni binti tu? au sababu hakajaolewa!?
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 5 лет назад
Umenivunja mbavu. Njua wanamwita shangazi lazima kuna sababu lakini ukweli ni kwamba sijajua malalamishi yake ni nini! Labda ndio nchi yetu ilipokuwa imefikia kitabaka sasa watu bado wamelala usingizi hawataki kuamumka kwamba kuna mkuu mpya. Kitu kingine kinachonisumbua kichwa ni wenzetu wa BBC. Ukweli sijui wana mchango gani katika jamii yetu. naona kama imekuwa kama ushabiki!
@christophermalongo1577
@christophermalongo1577 4 года назад
Haka kamalaya kanautovu wa nidhamu
@jayemily3821
@jayemily3821 4 года назад
Nina mashaka na sauti yake ahahaaaa
@kopiscojacobisaya409
@kopiscojacobisaya409 5 лет назад
Utabaki kwenye kumbukumbu za mawakili wasio jitambua.unaluga chafu
@josephkizuri4077
@josephkizuri4077 4 года назад
Huwezi jua sababu kamwe coz ww mwenyewe hujitambui...
@kibuzosengamshairi4214
@kibuzosengamshairi4214 4 года назад
We siyo mzalendo ni kibaraka tu
@talibsaid8081
@talibsaid8081 4 года назад
Kwenye siasa utazungumza nini wewe na Kiswahili hujui
@zakiazakia4552
@zakiazakia4552 5 лет назад
Kakae nyumbani ufanye kazi za kupika na kupakuwa
@shadymbuki87
@shadymbuki87 5 лет назад
Tatizo hana hata wa kumpikia na kumpakulia.
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 года назад
Nilikuwa nakuangalia tu!
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 года назад
Pumbavu sana huyu
@christophermalongo1577
@christophermalongo1577 4 года назад
Sababu huna adabu
@godwinmasoud7180
@godwinmasoud7180 4 года назад
Rudisha kiwanja cha Kanisa Anglikana Zanzibar kile cha Mfuuni-Mbweni
@isayaublikiwefeliciansan1514
@isayaublikiwefeliciansan1514 4 года назад
Mmmmm labda ule nguruwe ndio nitakuelewa nautujulishe umekula
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 года назад
Were mchochezi
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 5 лет назад
Usijali sister nijambo dogo sana
@emanuelishayo3431
@emanuelishayo3431 5 лет назад
Usiogope kaz but√>>>
@hamzaathuman9703
@hamzaathuman9703 4 года назад
Emanueli Shayo dharau Na kiburi ndio shida
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 4 года назад
unaelm nenda kafanye kaz uingereza wewe n mzungu huku waachie wa Tz...
@muammarsoud1854
@muammarsoud1854 4 года назад
Unaleta muangaza kwenye kiza hii africa hamna atakae kuelewavifaru watupu
@hamzaathuman9703
@hamzaathuman9703 4 года назад
Muammar Soud alipompiga judge mkuu akati babaake yupo madarakan akalindwa anadhan ndo wakati huuu?!?? Km hujui kaa kimya tatizo LA Fatima dharau Na kiburi
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 5 лет назад
TZ jamaa bado mwazaba kina mama
Далее
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 05/09/2024
28:11
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33
Moto Trial vs Moto acrobática 🏁
00:29
Просмотров 2,3 млн
SIJARUDISHIWA LESENI | FATMA KARUME | KUHUSU FAMILIA
11:47
KAULI YA  FATMA KARUME BAADA YA KUVULIWA UWAKILI
6:02
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33