Тёмный

Fatma Karume: Mimi Nimeachwa I Nilijiona Sina Amani I Watoto Wanampenda Baba Yao I Nilipatwa Simanzi 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 167 тыс.
50% 1

#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.

Спорт

Опубликовано:

 

17 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 370   
@raymondswai5555
@raymondswai5555 5 месяцев назад
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
@marianajohn5415
@marianajohn5415 4 месяца назад
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 5 месяцев назад
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 6 месяцев назад
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
@wilsonelias9012
@wilsonelias9012 5 месяцев назад
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
@billgussy6099
@billgussy6099 6 месяцев назад
Intelligent and gorgeous woman
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 месяцев назад
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
@caritasmushi461
@caritasmushi461 6 месяцев назад
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
@cheka480
@cheka480 5 месяцев назад
The one thing she is real not fake
@officialkmoneyvevo3175
@officialkmoneyvevo3175 6 месяцев назад
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 5 месяцев назад
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
@ndementriavermand8010
@ndementriavermand8010 4 месяца назад
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
@NyotaTanoTV-gt3od
@NyotaTanoTV-gt3od 6 месяцев назад
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Ameishi sn njee dats the problem
@user-vq2hl4jp1j
@user-vq2hl4jp1j 6 месяцев назад
Aunt tuma❤
@TaarabChannel
@TaarabChannel 6 месяцев назад
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 месяцев назад
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 6 месяцев назад
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 месяцев назад
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 6 месяцев назад
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 4 месяца назад
God is good
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 6 месяцев назад
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
@knight6757
@knight6757 6 месяцев назад
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 5 месяцев назад
I love fatma
@user-px1fg3jz4p
@user-px1fg3jz4p 6 месяцев назад
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 6 месяцев назад
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
@user-vn6vx1qk5i
@user-vn6vx1qk5i 6 месяцев назад
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 месяцев назад
Anakaa uchi tu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 месяцев назад
Wasomi ni kama mbwa tu
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 4 месяца назад
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
@cynthiafolonja3050
@cynthiafolonja3050 6 месяцев назад
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
@bensonmwakalindile8545
@bensonmwakalindile8545 Месяц назад
My good presenter
@MosiHassan-dx6gc
@MosiHassan-dx6gc 6 месяцев назад
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
@jumayussuf6786
@jumayussuf6786 6 месяцев назад
Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui
@mosesgasana4102
@mosesgasana4102 5 месяцев назад
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 4 месяца назад
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 6 месяцев назад
Ila fatma is so beautiful
@Mohamed-uz8id
@Mohamed-uz8id 6 месяцев назад
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 6 месяцев назад
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
@hafidhkhalfan1660
@hafidhkhalfan1660 6 месяцев назад
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 6 месяцев назад
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
@sultansallah8772
@sultansallah8772 6 месяцев назад
Kwani umeambiwa mpemba
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 6 месяцев назад
​@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
@amosmahona433
@amosmahona433 6 месяцев назад
Aise
@robinbayser3079
@robinbayser3079 4 месяца назад
Shangazi wa Taifa soo beautiful
@naturelle1097
@naturelle1097 6 месяцев назад
Aging gracefully girlfriend❤
@missg1430
@missg1430 6 месяцев назад
I just love her
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 месяцев назад
Approach her
@fatmahamdoun74
@fatmahamdoun74 4 месяца назад
Love you wajina
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 6 месяцев назад
Alokupa Jina saluti kwakwe
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 месяцев назад
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 6 месяцев назад
Topo wote
@songombingo108
@songombingo108 6 месяцев назад
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
@choggysly3541
@choggysly3541 6 месяцев назад
Acha songombingo
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 6 месяцев назад
Enjoyment Fatma au Fateeema ❤❤❤
@ganomwakisambwe2715
@ganomwakisambwe2715 4 месяца назад
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 6 месяцев назад
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 6 месяцев назад
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 6 месяцев назад
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@immamfugale7835
@immamfugale7835 6 месяцев назад
Kwa kipi?
@salomemlagila5757
@salomemlagila5757 6 месяцев назад
​@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 6 месяцев назад
​@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
@naomimaro2156
@naomimaro2156 6 месяцев назад
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
@fahadalbusaidy7182
@fahadalbusaidy7182 6 месяцев назад
Kweli anaonesha
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 5 месяцев назад
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
@mbarakawesu6213
@mbarakawesu6213 6 месяцев назад
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
@amanmyolo5359
@amanmyolo5359 4 месяца назад
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid 4 месяца назад
Mswahili Mzungu
@seynabhaji8035
@seynabhaji8035 6 месяцев назад
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 месяцев назад
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 6 месяцев назад
Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 6 месяцев назад
​Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362
@ummuraw6372
@ummuraw6372 6 месяцев назад
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 месяцев назад
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
@johntemba4281
@johntemba4281 6 месяцев назад
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 месяцев назад
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
@kulthummaabad
@kulthummaabad 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 месяцев назад
Lretending
@SHALLOOTV
@SHALLOOTV 4 месяца назад
Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video
@zariadunia6328
@zariadunia6328 6 месяцев назад
Sauti yake kama bibi yake wajina wake
@abusalman5139
@abusalman5139 4 месяца назад
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 6 месяцев назад
Mcharuko wanguvu
@user-th9to6yt9y
@user-th9to6yt9y 6 месяцев назад
Dah kiswahili
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw 6 месяцев назад
Mh !😮
@ChristerShao
@ChristerShao 6 месяцев назад
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
@spreadlove5300
@spreadlove5300 4 месяца назад
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
@MussaSuleiman-ui9fy
@MussaSuleiman-ui9fy 6 месяцев назад
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
@bakarimdeve8386
@bakarimdeve8386 6 месяцев назад
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
@SafiaOmar
@SafiaOmar 6 месяцев назад
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 месяцев назад
​@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 месяцев назад
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
@issakawaya8315
@issakawaya8315 6 месяцев назад
Ana uzungu mwingi
@bongomastory791
@bongomastory791 6 месяцев назад
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
@allahisone6386
@allahisone6386 6 месяцев назад
💯%🤝
@aliganzel6512
@aliganzel6512 6 месяцев назад
Hili limenikuta mimi
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 4 месяца назад
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 6 месяцев назад
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 6 месяцев назад
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 месяцев назад
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 месяцев назад
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@annethomas7520
@annethomas7520 6 месяцев назад
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@liannsambu7264
@liannsambu7264 6 месяцев назад
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
@user-rv3pw3cz5z
@user-rv3pw3cz5z 2 месяца назад
❤naomba nambazake
@amneamne2492
@amneamne2492 6 месяцев назад
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 6 месяцев назад
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
@amerwelder7786
@amerwelder7786 6 месяцев назад
Uyo kakaa sana iingereza
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 6 месяцев назад
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
😢
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 6 месяцев назад
Shangaz wa taifa
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 месяцев назад
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 месяцев назад
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 6 месяцев назад
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
@George_Ruttagah
@George_Ruttagah 4 месяца назад
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
It was kawaida😂😂😢😢😢😢 Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
@robertadolf562
@robertadolf562 6 месяцев назад
Ila bado mtamu mbona
@aliathmani7165
@aliathmani7165 6 месяцев назад
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
@seifserenge3340
@seifserenge3340 6 месяцев назад
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
😂😂😢
@hafsamsangi597
@hafsamsangi597 6 месяцев назад
Kama alikunywa kidogo
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 6 месяцев назад
Ndio usemaji wake kama bb yake
@agreymbwilo5874
@agreymbwilo5874 6 месяцев назад
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 месяцев назад
Hqta mimi sikujuwa kqma mzee karume aliowa wake wengine
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 месяцев назад
Mbona kwenye historia ipo tumeisoma alikua akipenda warangi rangi waarabu
@abuumadesign8095
@abuumadesign8095 4 месяца назад
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
@sm5tv
@sm5tv 6 месяцев назад
Kumbe tumezaliwa Hospital Moja
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 4 месяца назад
Wa kishua
@mgenimgambo2312
@mgenimgambo2312 5 месяцев назад
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
@salamasefu5494
@salamasefu5494 6 месяцев назад
Ni kweli maneno yake sio tunavyomjua . Kama kaweka meno ya bandia
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 6 месяцев назад
😂😂😂😂 hahaha
@allywaziry6419
@allywaziry6419 4 месяца назад
Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..
@SalminMkwachu
@SalminMkwachu 6 месяцев назад
mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 месяцев назад
Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii
@paulshija7632
@paulshija7632 6 месяцев назад
Mtume Mohamad alioa mtoto wa miaka sita, we kupika unasema it's not normal? 😂
@khumayraabdul3259
@khumayraabdul3259 6 месяцев назад
Anachana na mtume wewe usiejua
@jameschali6023
@jameschali6023 6 месяцев назад
Shangazi unakumbukumbu mhh hivi unakumbuka aliekudhulumu bikrayako😂😂😂😂😂😂
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 6 месяцев назад
1969 Duh😅 yaan
@openmindtz
@openmindtz 6 месяцев назад
Mm siwez kukuhukum kwa chochote kila kwa maana maisha yana mambo mengi mno hvyo siwez jua the otherside but in all majina ya fatuma kuongea ni miongoni mwao....
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 6 месяцев назад
Hahahaha umejuwaje 😂😂😂
@openmindtz
@openmindtz 6 месяцев назад
@@FatumaIssa-kw3vv neema za mungu tuh si kwa ujanja wangu
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 6 месяцев назад
Swadaktaa
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 6 месяцев назад
Tena sio kuongea tu hatupendi kuonewa pia 😅
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 6 месяцев назад
Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako
@ngoni7944
@ngoni7944 6 месяцев назад
Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 2 месяца назад
Katika familia ya mzee hili ndilo dish
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 месяцев назад
Mwanaume anawezaje kuishi na hyu😂😂😂😂😂😂
@MAPETEE
@MAPETEE 6 месяцев назад
Kwanza hapo ume jichanganya bas wew humkumbuki babu yak
@emanuelsichone8027
@emanuelsichone8027 6 месяцев назад
Msagajo huyo namchukia sana fatuma
@zahormohd
@zahormohd 6 месяцев назад
Una ushahidi au anamsaga dada yako
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 6 месяцев назад
Kumchukia binaadam mwenzio dhambi
Далее
The Hardest Challenge!
00:37
Просмотров 11 млн
Salama Na Shangazi Ep 28 | FIRST BORN Part 1
41:43
Просмотров 124 тыс.
Football
0:16
Просмотров 8 млн
Segurança do Messi 😬 #shorts #futebol
0:34
Просмотров 19 млн