Hakuna cha mkataba wa bn moja kwa usajili wa Feisal. Mkataba kama huo hauwezi kuwa valid kwasababu unavunja haki za binadamu. Hakuna kitu kama hicho Fifa. There is no easy noney like that. Ndiyo maana hata Ibwe alisema yanga hawalambi hata mia kuuzwa kwa Feisal. Lakini hata hiyo ingekuwepo mnamwona MO hana hela hiyo? Huyu mzee wa zandaaan anajitekenya na kucheka mwenyewe. Ameshikilia bango kila siku kuhusu 1bn utadhani yeye ndiye kamzaa Feisal. Hakuna jambo isilowezekana chini ya jua ili mradi pande hizo mbili zikubaliane. Ninyi kaeni na chuki zenu zitawaumiza wenyewe.